Dada mwimba solo,anaimba kiulaini sana nimempenda sana, yaani ningejiunga na kwaya hii tungeimba huu tu
@timotheocharles4322
2 жыл бұрын
Naipenda sana kwaya hii kiukweli inanivuta Sana karibu na yesu
@FainessChisunga-eh4ly
3 ай бұрын
Nawapenda Sana mzaliwa wasabato
@LucyKatani
8 ай бұрын
Mungu awabark Sana ❤
@chrisshonga
2 жыл бұрын
Hakika Ni MUNGU mwenye enzi na MUNGU mwenye njia za ajabu na alinificha hadi mwisho wa kazi yake ilipokamilika kiasi kwamba shetani mpaka sasa hajui na kamwe hatajua MUUMBA wangu alinifichaje. MUNGU awabariki sana kwa uimbaji mzuri
@dreamsuccess7187
8 ай бұрын
Huu ndiyo uimbaji unaotakiwa hadi unapata usingizi kwa raha kabisa
Пікірлер: 7