Daaaaaah Ningekuwa karibu na huko uliko ningekuchangia hata laki Kwa sababu nafurahia na vile unasimamia haki. Laki pia nafahamu uko na mambo mengi ya kushughulikia hivyo inawezekana kabisa ukafika Mahali ukakwama. Kwa Mtanganyika yeyote anaye Jua kazi Yako nzuri jinsi unavyopambana na majizi ya rasirimali za Tanganyika na unavyopambana na maharamia ya nchi wangetafuta namna yakukuwezesha badala ya kubeza. Hongera sana kamanda mpambanaji.
@nedlly2
9 күн бұрын
Umeshafika bei tayari! Kuna msemo wa kiingereza unaokwenda hivi " if the bait is convincing enough the fish always bites."
@jamaliddiin9357
10 күн бұрын
Hiki kipita pia ni maslahi tu ,hakieleweki pia .
@HaryPoter-zw7vr
10 күн бұрын
Mmmmmmmh 🤣🤣🤣🤣na wewe PETER Bwana??? Yamekuwa hayoooo Tena!!!!🤣🤣🤣🤣
@HaryPoter-zw7vr
10 күн бұрын
Upuuzi tuuu wa Wakiri PETER MADELEKA,Eti natoa Masada.msahada gani huo???
@Mathayo1Athuman
9 күн бұрын
Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamuwezeshe, maana kila wakati yanaonesha kutetea sana.
Bora angetuambia tucha ngie hata kiyasi kidogo pls weka namba
@JamesMlingilwa
10 күн бұрын
Aaaah sio kweli
@ZainabuBakari-yb4vj
10 күн бұрын
Kaona anashindwa,
@OmmyJames-xn7ji
10 күн бұрын
Si ulisema sisi ni matajiri au unasubiri miujiza😢😢😢😢😢
@duniakidogo8516
10 күн бұрын
Hiyo kesi ni ya msingi sana ktk swala la HAKI na demekrasia ktk nchi hii. Ktk hili Tunatakiwa wapenda haki wote tumuunge mkono. Hakuna aliye juu ya sheria. Hakuna kikundi cho chote kilichopo juu ya sheria
@MohamediBakari-lq6xw
10 күн бұрын
Ametishwa
@MngwaliAllykizangwa
10 күн бұрын
Changisha muhishimiwa ,waTanzania hela wanayo msimu ndiyo huu
@Bilioneabichwa331
10 күн бұрын
Kumbe unaanzisha kesi alafu huna hela, masikini utaogwa tu
@HusseinKimbyoko
10 күн бұрын
Aaahaaa haiwezekan au umechukua fedha tayli za upande wa watuhumiwa umepewa pesa tayl ndio shda ya Tanzania hkna haki, Kwanza Yann yote wgungwe au kunyongwa
@RenaldaZeramula
10 күн бұрын
Kishenyi naye etinkahamishwa huyu naye kajitoa. Kweli pesa ina nguvu
@WakiliHaule
10 күн бұрын
Ushaongwa ile milioni 30 tayali
@jamaliddiin9357
10 күн бұрын
Huenda kalamba asali bwana pita janja janja tu
@ZainabuBakari-yb4vj
10 күн бұрын
Duuu
@RenaldaZeramula
10 күн бұрын
Kuanzia leo Madeleka nimemdharau
@EnockKanduli-cv8yr
10 күн бұрын
Kukosa kwani ni ajab nimeambiwa wewe hukopaka mpaka kahwa ya 100
@DevotaPacras
10 күн бұрын
weka namba tuchangie
@ZaidAKissinza
10 күн бұрын
Duh !!!!! Hata wewe Madeleka? Sasa zisome comment nina hakika zitakuumiza
Пікірлер: 40