Ila nymbo ya godzilla- kingzillah na Bullet ya Quick rocka n noma
@salumuseif3324
Жыл бұрын
Ukimtoa P funk nadhan uyu ndo producer mwenye hits nyingi kuliko yeyote Tanzania respect bro
@chotarawakingoni8148
Жыл бұрын
P Funk ana hits nyingi Ni kweli…! Ila MARCO CHALI namuweka kwenye LIST ya kizazi kipya kuanzia 2008-2015 Lakini 2008 kurudi nyuma maproducer 10 bora 1:P funk 2:master Jay 3:mikka mwamba 4:henrico 5:Roy(r.i.p) 6:Said Comorien 7:boniLuv 8:Kameta 9:bizzman 10:Marco ndio namuweka hapo
@jamiestan7280
Жыл бұрын
Ume zaliwa mwakagani
@deomarwa6583
Жыл бұрын
Master J ametoa Hits hadi za Kwaya.....
@joshuamakota6714
Жыл бұрын
MASTER J NA MIKA MWAMBA
@salumuseif3324
8 ай бұрын
anaitwa dokta
@ericksonmuhulo1570
Жыл бұрын
Jamaa amekuwa the best producer. Maana hakuwa anajionesha kama Hawa watoto wa kisasa wanao copy mziki, wajinga wajinga tu,, mbwembwe nyinge hata codes hawazijui
@mweusiasili8345
Жыл бұрын
Kuvi tuongezee mda kipind kaka madini mengi mda mchache
@mzadomwongozo3671
Жыл бұрын
Jabir ni hazina ya bongofleva , one day watakuelewa mwamba All in all pindi la kibabe sana
@spartachize122
Ай бұрын
Ivi dax chali macko chali alafu zacha ni ndungu ama ebu nijuzeni apa
@eddienyota5
Жыл бұрын
Dokta chali🙌🙌
@kennedymwagambo7197
Жыл бұрын
Yeeah, chali ft msamiati and one the incredible. Kali sana hio ngoma !
@harrykarua9238
Жыл бұрын
MARCO CHALI MOJA KATI YA WAPIGA MIDUNDO HATARI SANA KUTOKEA KATIKA HII SANAA YA BONGO.SALUTE SANA KWAKE..
@MomadeabdulAbdul-i3w
Жыл бұрын
Maco yani wewe the best africa
@MONEY_CHANNEL.
Жыл бұрын
Legend
@12322879
Жыл бұрын
Mimi nikiskia mtu anajiita king of interviews huwa nacheka sana…Kuvi atabaki kuwa Kuvi tu.
@jabirkuvichaka5391
Жыл бұрын
salute sana jamaa yangu,thnx for watching
@abdibuddy7583
9 ай бұрын
#2pacWithoutNoseRing signing in 💯
@denissnkya5891
Жыл бұрын
Kamiligado pia ni moja ya akzi za Chali napenda sana
@sabanajunior3243
Жыл бұрын
Jabir kaka mlete Enrico wa sound crafts
@khatibumtaki7425
Жыл бұрын
Umetoka mj nayo imekufa
@sabanajunior3243
Жыл бұрын
Ametoka lini mj babu
@raphaelmheta
Жыл бұрын
WINKO 🔥🔥🔥🔥
@rwamaphajoaness8820
Жыл бұрын
Doctor
@salumjumah5648
Жыл бұрын
Na marco chizi kidogo
@amanmwambapa1892
Жыл бұрын
Kuvi miongoni mwa biti Kali za Marco kwangu Mimi ni propaganda ya Fareed hiyo nadhani kwangu ni namba moja yaan nikisikiliza Ile biti nahisi Kama imetengenezwa na mtu kutoka sayari nyingine inamizuka mingi sana,,,kazi nzurii kibonge tozi ☝️☝️☝️
@ballisticsound4796
Жыл бұрын
The Classic for Classic People...
@jabirkuvichaka5391
Жыл бұрын
thanks for watching ,respect
@chappagold
Жыл бұрын
The classic jamz 💥🔥💥
@chappagold
Жыл бұрын
One love !!!!!
@eddytheblayze3810
Жыл бұрын
baby don let ,sweet don let, honey don leeeee 🔥🔥DIBAJI 🙌🏾alinyoosha kweli humo MJ anahaki yakudata na lile dundo
@bensonjohn9633
Жыл бұрын
Kuvi ni Next Level. Interview zako ni hatari sana
@innocentmushi1550
Жыл бұрын
Hapo kwa Professor🤣🤣
@sabanajunior3243
Жыл бұрын
Kweli jamaa alikuwa Bora sema kitu kimoja tu midundo yake ilikuwa inajiludia ludia sana huyu ubunifu kwa kweli hapana
@ericksonmuhulo1570
Жыл бұрын
Sio kweli, sasa kama unasema midundo ilikuwa unajirudia. Vp producer wenu sk2key hata kupiga codes tu hajui
Пікірлер: 44