Walio kuja kuangalia baada ya kusikia Marko kafariki😢😢😢 tujuane
@PhelinahMoruri
Ай бұрын
Mimi hapa natokea Kenya
@kelvinlaghat254
Ай бұрын
Poleni sanaaaa kwa kumpoteza Marco. Nlipenda nyimbo zake sana😭😭😭😭😭😭😭😭
@sophiamakani6133
Ай бұрын
From kenya nipo
@BernardMayengo-iw7bh
Ай бұрын
Niko hapa😢😢
@suzk8345
Ай бұрын
😢
@ATHOKIMUSIC
Ай бұрын
Kama na wewe unamhuzunika na kifo Cha mpendwa wetu naomba like zang
@marthabosibori5141
4 жыл бұрын
Kenyans kama huu wimbo umekufikia gonga like👇👇
@joyblessing7315
4 жыл бұрын
God bless you so much brother
@RachaelChebet-l8t
Ай бұрын
So sad...kupotesa mtu kama ww marco zabron...poleni sana poleni sana kwa familia yake
@michaelkyalo-w3n
Ай бұрын
Acha Mungu aitwe Mungu kama umelala lakn Mungu atazidi kuongoza zabro singers
@AmosDudu-k4n
Ай бұрын
Asante Mungu kwa maisha ya Marco duniani jina lako Lihimidiwe
@paschalyusuph5720
18 күн бұрын
Amen 🙏
@jeannettekeza6434
Ай бұрын
Ama kwakweli Leo Ume lala 😭😭😭 Mungu aikumbuke kazi yako mtumishi Waze
@HappySamm-jf8qx
Ай бұрын
Aise ni kwel Bwana uamualo hakuna wa kulipinga 😢🙏🏿🙏🏿 Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe 🙏🏿🙏🏿😢
@brianlendama4259
Ай бұрын
Mnichangie nauli niende mazishi yake tafadhali natoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭😭😭😭😭😭
@musomaofficial8191
Ай бұрын
Sawa
@DISMASMAKOKHA-us3nc
Ай бұрын
Weka jokes kwa vitu serious tu
@marydann6405
27 күн бұрын
Pole😂
@MarySwai-f1s
Ай бұрын
Dah hii nyimbo km alijitabiria jmn,so sad for sure 😢 nenda mpendwa njia yetu sote
@esthernjogu8182
Ай бұрын
Who else is here after his demise 😢 May his soul rest in peace
@AgnesKalinga-ku5se
Ай бұрын
So sad indeed my heart is bleeding 😭😭😭😭😭😭😭😭
@neemaagatha3698
Ай бұрын
May his soul rest in peace
@linetkinyua5553
Ай бұрын
Shine on your way Marcos 😭😭 how I wish God can give you another chance you comeback
@vedastomtasha
Ай бұрын
Pamoja na kumuimbia mungu nyimbo nzuri lakini amekuchukua ndugu marco joseph je vipi Kwa wew ambae huamini kwamba mungu yupo na unafanya anasa za Dunia daa ni huzuni Baba mungu mpokee mtumishi wako na sisi tuliobakia tupe NEEMA ya kukujua wew 😭😭😭🙏🙏🙏
@Esters-zr6nl
Ай бұрын
Amen 🙏
@SadikiDavid
Ай бұрын
Mungu amulaze mahali pemapeponi 😭😭😭😭
@chelangatbeatrice2933
Ай бұрын
We will miss you Marco, may God protect your family as you rest in peace😢😢😢😢 great singer
@charlesrhombo7910
Ай бұрын
My friend Marco ..Heri wafu wafao katka Bwana tangu sasa...naam wapate kupmzika baada ya taabu zao.
@AgnesKalinga-ku5se
Ай бұрын
Who else have been touched by his death( Marco)like me 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
@mwendemugambi1751
Ай бұрын
Me aki it's so painful 😢😢😢
@RaphaelDaniel-y6k
Ай бұрын
Mungu akusamehe,pale ulipo jikwaa.akupokee kama kiumbe chake .
@BishiraMunga-ey6jx
Ай бұрын
Poleni,Mjngu awaited nguvu,mimi ni muislamu ila napenda kusikilizq hospal,poleni kazi ya Mungu hainamakosa.
@ZabronSingers
4 жыл бұрын
Jina la bwana lipewe sifa
@japhetzabron1881
4 жыл бұрын
amina
@petermarwawankaba5378
4 жыл бұрын
Amina
@petermarwawankaba5378
4 жыл бұрын
Naikubali hii talanta imeibadil MAGOTO kwa kiwango kikubwa kila mtu n MKONO WA BWANA.
@cobralsno3276
4 жыл бұрын
Amin
@cobralsno3276
4 жыл бұрын
Amin
@makhanuelijah5033
Ай бұрын
Mungu aifariji familia ya mpendwa aliyelala, Na kuwapa nguvu waimbaji wote
Mimi nimeumia sana ,because nilikuwa napenda nyimbo zenu mungu tena kamuchkua mwngine tuzidi kumuombea mungu ampokee mbingu 🙏 🙏 🙏
@ericngugi603
3 жыл бұрын
Nashukuru kuona kazi ya Bwana yaendelea,mumepitea Kenya sana,mara ya mwisho tulipatana effort ya Kiambu mulikua mumekuja kuhudimu kupitia Borniface Ng'ang'a Mungu awazidishie,yule mjuu wa Zabron yule elder,mwambie hongera kwa kuoa,niliacha wakati ule wanangonja kurudi waoe,sasa ni familia twashukuru,hiyo ndoa idumu🙏
@Daniella249
Ай бұрын
Dah hakuna wakuziba nafasi yako ulio iyacha , ila mungu atabaki kua Mungu tu, rest in peace Marco 🕊️😭
@samwelmayuki5889
4 жыл бұрын
Hongera sana kwa Mwendelezo wa kazi za kumtukuza Mungu.Bwana akubariki na akukumbuke katika ufalme wake wa sasa na ujao.
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
amina sana na asante sana
@ChocllatteMusicPublisher
Ай бұрын
@@Marcojoseph❤❤❤
@ukhutfatumah1154
Ай бұрын
Daaaaaaa nimelia sana hii nyimbo imeniliza sana NI WEWE 😢😢😢REST IN PEACE MARCO
@msaniiezekielkamoyani
Ай бұрын
Lkn hii Dunia Haina huruma😢😢😢😢 mtoto wa mtu ameanza tuu kuinuka setani kainuka kweli hapa sio kwetu
@peternelsonP.N.M
Ай бұрын
Pole sana wafiwa wote tumeumia wote jaman 😢
@abelpilato8851
Ай бұрын
Mwanadam aliyezaliwa na mwanamke siku zake si nyingi nazo zimejaaa taabu nyingi sana PUMZIKA KWA AMAN BROTHER (R.I.P)
@cherotichmercy2317
Ай бұрын
I wish I had strength to bring you back marco for the sake of your children and family Waah May God's will be done to your young family
@rebecarenatus4559
Ай бұрын
Inauma sana Mungu ampe puziko la milele poleni sana Zabron singer's leo mumeimba bila Marco,
@abigirlchiedzamatondo5858
Жыл бұрын
Thank you for such a powerful song ...when my soul is overwhelmed it leads me to the rock that is Higher...❤❤🙏🙏🇿🇼
I just can't describe how powerful this song is....! God is amazing
@japhetzabron1881
4 жыл бұрын
amen
@princeaspenace1450
4 жыл бұрын
Nafurahi sana kazi zako Marco Mungu aendelee kukulinda na aendelee kukupa zaidi
@dorismakwayamoses
Жыл бұрын
With some songs you don't even know what words to write... May this anointing always flow 🙏🏾🙌🏾🙏🏾
@eunicemueni9321
3 жыл бұрын
I love the way this family support each other True family which know the love of God is not without challenge but they stick together
@kissahmakama8538
2 жыл бұрын
Very true !!!
@mercyermest4874
Жыл бұрын
Exactly When we give everything to God that’s exactly what happens
@dativamlay6769
4 жыл бұрын
Na kweli hakuna wino Wala karatas zitakazotosha kuandika matendo ya Mungu ...hongereni sana.....Ni wewe Mungu💯
@GraceBesya-qk3sj
Ай бұрын
Nigekuwa n'a nauli nigefikapale mimi niko Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 namoba mungu atufariji shota
@winniekere3652
3 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana!wonderful!
@LovenessMassawe-xr8dr
Ай бұрын
Nyimbo zako nilizipenda tangu uzitoe 2021 ila nenda broo tutaonana asubuh njema😭😭😭😭😭
@theconquerorsmusicministry2020
Ай бұрын
He saw what was coming, and sang exactly what would happen to him, 😭😭😭😭😭, he already talked to God about it and told God whatever your answer, it be final and ok, God knows indeed why He let it happen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@dorcusmusombi3646
Ай бұрын
Mungu aliku tayarisha Kwa kifo chako .till we meet again bro
@josphinejebichii6882
3 жыл бұрын
Nyimbo mzuri sana kaka zangu. Nawapenda sana....muimbe katika lugha ya kingereza pia ili wasioelewa wabarikiwe pia,,nawapenda sana kutoka Kenya👊
@lucyedgar4869
Ай бұрын
Upumzike salama mtumshi wa Mungu
@stephenkioko472
Жыл бұрын
❤❤❤🎉🎉, can't get enough words to describe the depth of this revelation
@MrKiwuuwa
Жыл бұрын
You pple sing so sweet!! God bless you!!!
@MonicaEzekiel-tj4rm
Ай бұрын
Mungu asante miyoyo yetu inaumia lakini kwakuwa ni wewe umeamua basi nakushukuru
@abigailmukonyo789
3 жыл бұрын
Huu Wimbo unabariki sana! Ubarikiwe sana na uendelee vivyo hivo
@nickodemsimchimba594
Ай бұрын
Huu wimbo mzuri sana ni wimbo Bora kuliko zote walizoimba wakiwa pamoja 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 it's painful to lost you in our Country and world as well 😢😢😢😢😢😢 Rest in peace Marco
@sarahpaulo7130
4 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana Mungu azidi kuwaongoza katika huduma yenu.
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
amina sana
@LuckyMatola
27 күн бұрын
Wewe mungu kakunyakua,kuna Kaz mbinguni,familia poleni,mim ni mkatorik rakini huwa nafwatilia nyimbo zenu nimelia sana,mungu akupatie pumziko
@susan_the_masterpiece
28 күн бұрын
Linauma . Kenya we shared these son. Rest in eternal peace Marco. You had such a talent. A big vision and your sudden demise affected me hard. I cry many times and I know it's painful for WaTz and Familia but Kenya you belonged. 🕊
@andembwisyemwakalinga9351
3 жыл бұрын
wimbo mtamu Sana , ni wewe Mungu, ni wewe baba
@nkechikarachinedu5983
3 жыл бұрын
wow nice one frm my guys God loves u so much .keep on the good work .love frm Nigeria
@MichaelMwangi-r3l
Ай бұрын
Mungu akulaze pahali pema kwake na sisi binadamu wadhaifu tujue kuwa siku ni mbili tu ya kuzaliwa na ya kufa na tulizaliwa
@jofrayanthony9769
Ай бұрын
Nenda baba mwendo umeumaliza 😭😭😭😭😭😭
@bitejohn2454
4 жыл бұрын
Wooooow ubarikiwe kakangu Mungu akuinue zaidi na zaidi
@eunicewilson9285
3 жыл бұрын
Hallelujah,ni wewe mungu🙏🙏
@Sharon-ng5ff
Ай бұрын
for sure inauma sana mimi nimkenya naumia sana
@theresiar99
Ай бұрын
Pumzika kwa amani Marco, is shocking kweli
@AgapeMagowa
Ай бұрын
poleni sana ndugu zangu KIKUBWA MUNGU atufundishe kuzihesabu siku zetu ili tusijisahau kuwa Kuna kifo duniani si kwetu tuwasafiri
@happynesspaul8881
4 жыл бұрын
May Almighty God bless you all.Hakika tunapata Neema ,baraka na kukumbushwa wema wa Mungu.#Ni wewe
@henrymapalala7372
4 жыл бұрын
Very good, wimbo una ladha nzuri sana kuusilikiliza go! go! go!! Marco...
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
Shukrani sana kaka
@JemuMercy-bl4ib
Ай бұрын
😢@@Marcojoseph
@novertydeograthias5572
3 жыл бұрын
Wimbo mzuri. Barikiwa zaidi.
@danielbandika7036
Ай бұрын
Najipata tu na machozi nikisikiliza huu wimbo. Jina la Mungu litukuzwe amefanya yaliyo mapenzi yake.Poleni kwa familia 😢😢
@unclefrankie7774
4 жыл бұрын
Best song indeed.kubariki daima.
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
AMEN
@PaulinaSengo
Ай бұрын
Kazi ya mungu Haina makosa ,pumzika kwa amani
@ssozijoram2530
4 жыл бұрын
Nimeufurahia wimbo huu! El shaddai ! Amina
@ElizabethSingili
Ай бұрын
Amefariki Leo jamani
@agnetamwaighuri736
2 жыл бұрын
Wow wimbo Mfupi ila mtamu Sana Penda sana ujumbe uliko katika huu wimbo Barikiweni sana Watumishi wa Mungu 🙏@marcojoseph God bless you and more anointing in Jesus name
@ZabronSingers
2 жыл бұрын
Amen 🙏 ubarikiwe sana
@jullyjulline4359
3 жыл бұрын
Daima unaishi Baba. Sifa na utukufu zimrudie Yesu
@scalesboe
Ай бұрын
Sikumfahamu ila baada ya kifo chake msanii mwenzangu😢😢
@scalesboe
Ай бұрын
So sad😢😢😢😢
@brianochieng5872
2 жыл бұрын
May God continue blessing you all ,,ur songs are really blessings to me,,keep that hurt amen 🙏
@Marcojoseph
2 жыл бұрын
Thank nay God bless you
@rosenanjala6155
Ай бұрын
It's hard to believe bt take heart guys mungu awatie nguvu🫂🙏
@eugedesi11
7 ай бұрын
Gosto muito desse louvor 🙏🏽
@mukatukundorosine1745
Ай бұрын
Mutumishi wa Mungu pumuzika kwa amani Yesu akupokee
@gladystaylor2239
Ай бұрын
Great composition and vocals and melody is top. My condolences to the family and zabron singers family. God give you strength to carry worship to the heavenly throne for God's glory 📖🛐✝️🙋🏽🙋🏽🇰🇪🇬🇧🇰🇪🇬🇧🇰🇪😭🙏🏽
@natashmarcy6672
Ай бұрын
Congratulations to you junior Joseph may God bless you and continue keep it up toto 🎉🎉
@mussaelias6558
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana, wimbo mzuri sana .... Mungu awe nanyi kwa utumishi shambani mwake.
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
amina tunashukuru sana
@milliemihesoh194
4 жыл бұрын
Excellent Song! M blessed wth the song.. "Hakuna Linalo mzidi Mungu Wetu!!" Kp the fire burning🔥🔥🔥Great is ur reward!
@japhetzabron1881
4 жыл бұрын
amen
@estherbwire757
3 жыл бұрын
So touching
@siahtesha1927
4 жыл бұрын
Hakika ni wewe Mungu tuu....AMEEN...BARIKIWENI SANA.🙏
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
kabisa ni yeye pekee
@maureenokello8444
4 жыл бұрын
Be blessed,may God continue to give you strength for the wonderful work your doing👏🙏🇰🇪
@marthamsacky6973
Ай бұрын
Dah ,ukiwa na mkeo jamni Mke wa marco Mungu akuone kipenzi
@joycemaige7088
4 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu kazi nzr saaan
@joycenose2356
Ай бұрын
Duh nyimbo hii ilikuwa kama utabiri wa kikachotekea 😢😢😢 dunian tunapita
@rosemlala3746
4 жыл бұрын
Wow wimbo mzuri Sana MUNGU awabariki Sana..
@charlesmwita8903
4 жыл бұрын
Nafurahia kwa kuwa mwaitumia karama mliyopewa na Mungu vyema, Kila kukicha mnafanya vizuri kuliko jana, Mungu awa bariki
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
Amina sana mwita kwa kuendelea kututia moyo
@japhetzabron1881
4 жыл бұрын
We jamaa nicheck tena @Marco
@Japhetmadenda
Ай бұрын
😢My best Vocalist ...Tuonane asubuhi Ile njema
@kulahpesa2165
3 жыл бұрын
Nazikubaliiii sana kazi zenu mungu awazidishieeee nguvu
@RozaAmos
Ай бұрын
Duuuuh Leo umelala. Mungu wa mbinguni tunaomba mwisho mwema.
@usteryakobo7551
4 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana kaka zangu mungu azidi kuwainua zaidi kazi nzurii 🙏
@SalmaSefu-v1t
Ай бұрын
Jamn nimeumia sanaaaa 😢 mungu amlaze mahalipema pepon
@tutindagawanu3701
3 жыл бұрын
Mungu azidi kuwatumia watumishi wake kwakweli mnanibariki Sana na nyimbo zenu
@kleinmnibi132
4 жыл бұрын
🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆💥 and supper Directed
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
thank you
@crixdirectorcrix4911
4 жыл бұрын
Thanks
@suzankasile484
4 жыл бұрын
Big up Bro Marco zabron Mungu aendelee kukupa kibari Ni Mungu tuuu anaetufikisha hapa tulipo
@Marcojoseph
4 жыл бұрын
amina sana na asante sana
@releiabby6201
Ай бұрын
😭😭😭😭Oh Lord. This has been by song, still on my saved list😢😢it's hurting jamani
@mercyermest4874
Жыл бұрын
I’m learning this song everyday I don’t know Swahili but I tried to listen kindly
@susan_the_masterpiece
28 күн бұрын
Am so broken by your death, Marco. This voice and your voice, your songs I really a blessing and uplifting. Rest well, General of God. I cry a lot 😢, for the loss. Am from Nairobi Kenya 🇰🇪.
@EsterKusanja-nb2fg
Ай бұрын
Asante mungu kazi Yako Haina makosa
@carolineotinga-p5e
Ай бұрын
Siamini hakiiiii😭😭😭BT safiri salama mtumishi tumeshuhudia KAZI yako duniani rip
@praisesingersbariaditz
Жыл бұрын
We appreciate exactly God blessed you,.
@IbrahimLusi-j2d
Ай бұрын
Marco. You were a great artist... We will miss you for sure... Your composition are unique.... Am so touched by your demise... May almighty God console your young family 😢
Пікірлер: 471