Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, #AntonyBlinken, amesisitiza kuwa Polisi wa #Kenya wanatakiwa kujizuia na kujiepusha kutumia nguvu dhidi ya Waandamanaji wanaopinga Muswada wa Fedha wa 2024
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Mathew Miller amesema Blinken amezungumza kwa njia ya simu na Rais wa Kenya, #WilliamRuto na wamejadiliana kuhusu kupunguza mvutano unaoendelea
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZitem channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Негізгі бет MAREKANI yatoa NENO Hili kwa RUTO kuhusu MAANDAMANO/WAWAHUSISHA POLISI Kwenye HILI...
Пікірлер: 2