Huyu mzungu ana kitu na atafika mbali, wageni kama hawa ndio tunaowataka Mje wengi tutawapokeeni mkifata sheria tu❤❤❤
@gracemushi2207
6 ай бұрын
Anatumia majina gani kwa mitandao ya kijamii
@nakalikyumile3234
4 ай бұрын
Media za hovyo,kwahio huyu ana nini sasa
@albertkatuga2434
6 ай бұрын
Ila mnapomuhoji mjitahidi kuficha baadhi ya maneno, nikimaanisha wasungu kwa kule kwao kuongea ni free ila uku kwetu polisi ukimsema au selekali ikikosolewa inakua kesi wakati anachosema ni sahihi kabisa.
@albertkatuga2434
6 ай бұрын
Bora wanavyojua umeme atuna maana upo kama haupo😂😂😂 tumezoea
@albertkatuga2434
6 ай бұрын
Uku kwetu umeme kila siku, kweli ni jambo la AIBU, mnasikia uko wezetu ukikatika mjue ni fitina ya mtu.
Пікірлер: 6