Amen na ubarikiwe wewe unayesikiliza sasahivi kama Mimi🤗🤗
@emanuelmsigwa1927
Жыл бұрын
Amina Mungu utuhurumie unisamehe dhambi zangu hata ifikapo siku ile unichukue Eeee Yesu
@ritayalala3993
4 жыл бұрын
Oh yesu wangu aku bariki
@louisejean5846
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana na bwana, ee'mungu tusaidie tusimame katika haki na kweli yako
@abduelselemani4667
2 жыл бұрын
Namshukuru Yesu Kristo kwa kunifundisha kupitia ushuhuda huu na mtumishi wake Jacktan Msafiri wa Promover tv. Mungu wa mbinguni awabariki sana.
@danielbarasa2359
3 жыл бұрын
Amen tujiande Yesu uanja upesi tutubu nakuaja thambi waebrania 6:1_8
@leahwanjiku8625
4 жыл бұрын
Ee Mungu nisaindie nizifuate njia zako vyema maana siku ya kurundi kwa Bwana yesu kunakaribia,ili nimalize mwendo salama
@zawadivumilia1752
4 жыл бұрын
Ubarikiwe jacktani musafiri 🤗😇👼👍💗
@belindasulubu6574
4 жыл бұрын
Eeeee yesu wangu nisamehe mm mwenye dhani nakiri chini ya miguu yako unifute jina langu kwenye kitabu Cha dhambi 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@basilisamsaka8469
4 жыл бұрын
Nampenda YESU, sauti ya Mungu ni nzuri
@BerylSeer1
4 жыл бұрын
Mungu nifunze kutembea katika njia zako.
@shanteejulius8673
4 жыл бұрын
Eh Yesu wajua nakupenda kwa moyo wangu wote🙏 Uje uniokoe bwana Yesu unisamehe dhambi zangu zote 🙏yafute mabaya yangu yote🙏 Bwana yesu nakugonjea wewe unionyeshe utukufu wa mbinguni na unikutanishe mtoto wangu aliyefariki miaka iliyopita najua ypo kwenye mikono salama🙏❤Yesu ❤🙏
@zawadimwanyuke3053
4 жыл бұрын
Yooo yesu wa uruma ni rehemu mimi pamoja na familiya yangu watoto wangu na kila kilicho changu baba neema ya kukubaliwa katika ufalme wako wa mbinguni baba nisameye kwa yote ambayo ninayo ya fanya 😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@ndenitoriakimaro9631
4 жыл бұрын
Haleluyaaa Haleluyaaa Haleluyaaa MUNGU akubaliki sana mtumishi kwa ushuhuda mzuli wenye mafundisho halisi na tafsiri ya mbinguni.Nimeusikiliza nimepata kitu kipya kua kazi ya maandalizi mbinguni tayari ila tumepewa Neema ya kujitakasa oooh MUNGU atusaidie Mfalme wetu tusaidie Bwana YESU
@happysalavius3769
4 жыл бұрын
Asante sana Mungu wangu maana umeruhusu nisikie hii sauti naami unakusudi na maisha yangu nipe njaa na kiu ya kuijua kweli yako na kuenenda sawasaw na mapenzi yako amina
@MMUNGAHOSEA
4 жыл бұрын
Hacha Mungu Aitwa Mungu hiii story imenigusa kwli Hallelujah ❤️❤️❤️sifa kwa Mungu
@abcdg1995
3 жыл бұрын
Praise God Brethrens Greetings from Diaspora U.S. foreigner lands
@alphoncealmack9240
4 жыл бұрын
Asante JEHOVAH,naomba mwisho mwema na ndugu zangu,hakika muda umekwisha hapa duniani
@dennismwenje7041
4 жыл бұрын
Asante sana kaka
@declanslapy7011
4 жыл бұрын
Mungu ni mwema mbarikiwe wote mnaosikiliza hii🙏🏻
@HelbethMlelwa
4 жыл бұрын
Huwa siamini kila shuhuda. Ila Mungu aliyemwambia aombe masaa saba kila siku huyo nimemwelewa sana na nimpenda. Yaani hata leo ndio maisha ambayo wakristo tunatakiwa kuwa nayo. Walokole wa sasa ni wavivu kweli kuomba yaani hata saa moja au mawili tu kwa siku wanaona kuwa ni mengi. Walokole wote mnaosikiliza ushuhuda huu, najua na comment hii mtasoma. Kanisani sio sehemu pa kwenda kucheza viduku na kuimba kwaya ambazo waimbaji wenyewe ni wazinzi au wanavaa minini na visuruali au hata wakivaa sketi au gauni ni zile zinazowabana kiasi cha kuchora maumbile. Wapendwa na wokovu huo mtumwa sana duniani hapa. Dawa yake ni KUOKOKA kwa kumaanisha na kuomba angalau saa moja, mawili au matatu kila siku na ndipo utaona msaada wa Mungu na kuweza kuishi maisha ya utakatifu. Acheni utani walokole maanisheni kwa Bwana. Kwa yeyote anayetaka kumaanisha kwa Bwana na anayetaka KUOKOKA (sio kuwa unasalimiana Bwana asifiwe ili hali ni mgonjwa, kuna vyakula hauli, homa za mara kwa mara, mafua za kila aina, maralia, dengu, Corona n.k hivyo vyote ni DHAMBI tu wapendwa. Nitafute 0714483548
@saimonjohn808
4 жыл бұрын
Ujumbe umefika shujaaa 💪💪💪🙏🙏
@HelbethMlelwa
4 жыл бұрын
@@uwimanavirginie7758 Amen, mimi nimeshaanza kufanya hivyo vyote unavyovisema na ninakaza buti, nikiwa chini ya mwalimu wangu Mch Mbarikiwa Mwakipesile aliyenifundisha ukweli huu.
Eeeeh! Mungu wa Rehema na Neema. Naomba utusamehe. Kumbe tunaishi kwa Neema tuu zako. Muda ulishaisha. Wapendwa tusipuuzie ni kweli muda wwote YESU anarudi yupo mlangoni.
@abiudmawazo116
4 жыл бұрын
Barikiwawa sana mtumishi unatufungua sana juu ya ufalme na ukuu Wa MUNGU alie hai yeye ni mmoja tu
@EsterChilato
4 ай бұрын
YESU NAOMBA TOBA KWA DHAMBI ZOOOTE NILIZOZIFANYA KWA KUJUA AMA KWA KUTOKUJUA BABA....AMEEN
@neemarugutu8188
4 жыл бұрын
Ee Bwana mungu turehemu sisi na watoto pamoja na wazazi wetu
@jesusiscoming237
4 жыл бұрын
Niumbie Moyo Safi Baba wa Mbinguni
@نايفالشمري-ط3د
4 жыл бұрын
AMEN ME 2 LORD LET UR MERCY SPEAK FOR US AMEN
@fidellujo8362
4 жыл бұрын
Mungu Atusamehe Na abariki kanisa lake Amen.
@gamingcasbet1
4 жыл бұрын
Ee Yesu wangu nisaidie hiki kipindi cha Neema nimalize mwendo salama
@RealGiftLydia
4 жыл бұрын
Amen heri mwisho kuliko mwanzo tujipange sawasawa kabisa tukamalize mwendo salama dada🙏
@esteremmanuel5225
4 жыл бұрын
Mungu wangu n dhambi moja tu ndio inanisumbua nibariki nisamehe nitakase niishinde dhambi. Nipatie mwisho mwema.
@rosepeter8996
2 жыл бұрын
shuhuda nzuri sana.🙏🙏🙏am blessed
@wemambonge3737
4 жыл бұрын
Mungu nifundishe kulishika neno lako.nisamehe Mimi pamoja na familia yangu
@نايفالشمري-ط3د
4 жыл бұрын
I no all this Am a testimony God encountership since 2014 untill now . The speed in realm of spirit is 2 powerful Thank you Jesus for divine connections and salvation of my soul .
@unyakuotv.1391
4 жыл бұрын
hivyo ndivyo mungu wa kweli huita watumishi wake.. kwanza lazima akupe siku na saa maalum ya kusali .. mengine sita sema ni uwezo gani unatakiwa kua nao
@loraumuhire4755
4 жыл бұрын
Asante sana Mwenyezi Mungu akubariki
@elizabethmpugumoto5851
4 жыл бұрын
Ee Mungu nirehemu sawasawa na fadhili zako!
@juniorkalinge5861
11 ай бұрын
Amen&Amen, oh my saviour JESUS CHRIST for blessing with this day, that I am listening to this testimony
@ojasoojaso9479
4 жыл бұрын
Amina Amina, Yesu yu hai na ndiye mkombozi na mfalme wa milele ,Heri waaminio na kuishi katika kumwamini yeye kwani watahurumiwa na kuuona mfalme wa wafalme. AMEN
@jennjaja1586
4 жыл бұрын
Thanks and My God bless you.
@jumaabduli781
4 жыл бұрын
Amen, Yesu nisaidie niingie katika ufalme wako
@tumainigeofrey9702
4 жыл бұрын
Asante sana BWANA YESU KRISTO kwa ushuhuda huu mzuri na wa ajabu. Hakika ni maonyo mazuri kwa kanisa lako ya kukaribia kurudi kwako duniani mara nyingine kuja kunyakua kanisa lako !! Asante sana BWANA YESU KRISTO!!!
@lindaandrew2215
4 жыл бұрын
Yesu yesu mwana wa mungu unisamehe baba na usiniache peke yangu Amen!
@happymbuya9702
4 жыл бұрын
Tutubu na nakuomba sana tusiikose mbingu pia tuache dhambi YESU anatupenda
@economistsarafina8085
4 жыл бұрын
The Lord is coming very soon, je umejiandaaje mpendwa? Kwa shuhuda nyingi Kama hizi usisahau pia kutembelea Peniel Ngode TV hapa you tube, lakini pia tusikilize shuhuda kutoka kwa Linda Paul rika, nyisaki chaula, Angelica Zambrano na wengi Sana wenye shuhuda za hivyo, Asante Yesu kwa kuniokoa🙏
@rozinamaleka214
4 жыл бұрын
Ni Kweli nimesoma shuhuda hizo zote na nyingine nyingi Mungu atusaidie
@samkipandula
4 жыл бұрын
Amen...Bwana utusaidie sana
@edakiputa1108
4 жыл бұрын
Eee Bwana Yesu tusamehe.
@Shalom2018
4 жыл бұрын
Mungu atusamehe na atuwezeshe kusimama na Yesu ili tuweze kufika mbinguni amen
@twidikagejoel1892
4 жыл бұрын
Ee Mungu nirehemu ,nisaidie nikutumikie wewe tu, Ahsante kwa ushuhuda
@juniorkalinge5861
11 ай бұрын
Amen&Amen
@mamiclementine5402
4 жыл бұрын
Mungu anazidi kutuma watuwake kutuambiya ukweli watu hawamini mungu atusame anipe mwicho muzuri koliko mwanzo
@tamaraeliz7114
4 жыл бұрын
Mungu aturehemu. Asante sana Jactan Barikiwa sana
@gideonkalumbu5220
4 жыл бұрын
Yesu, Nisaidie Sana Nishinde Duniani hapa penye dhiki nyingi Sana...
@juniorkalinge5861
11 ай бұрын
Amina
@gilibethgirigory9580
3 жыл бұрын
Mungu akubaliki brother
@dokasa9176
3 жыл бұрын
Naomba Mungu anipe mwisho mwema na jamii yangu
@johnbenjamin8123
4 жыл бұрын
Ee bwana YESU naomba unisaidie katika mdawangu duniani
@aminaally4163
3 жыл бұрын
Amen amen
@roseokongo3229
4 жыл бұрын
Heavenly father locate us in your favor. It is written in Matthew 5 verse 8. Blessed are the pure in heart, for they shall see GOD. Thank you Jactan for the good work. May our LORD strengthen you, blessings.
@josephinewluis8871
4 жыл бұрын
Holy Holy Holy is the Lamb of God 🛐O hallelujah 🙌
@carolinelipesa1056
4 жыл бұрын
I believe God speaks to his chosen people and I know he will do for me too I welcome holy spirit in my life.
Пікірлер: 298