Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa kusimamia agano takatifu Hilo MUNGU awasimamie sana
@jessymathias4535
2 жыл бұрын
Amina, mchungaji masanja endelea na kazi ya mungu, usisikilize maneno ya adui za mungu maadamu mungu amekuita umtumikie,songa mbele
@vogellukanka1333
2 жыл бұрын
Ila tuwen makin sana sana. Hakuna userious hapa naona maruweruwe tu
@anordmbembela6940
2 жыл бұрын
Good servant of God ,as Yesu ndye njia keel na uzma! Ubarikiwa
@agesag.m2476
2 жыл бұрын
Wonderful proceeding .
@lydiamgollo9899
2 жыл бұрын
Big up pastor Masanja.
@jeanmjimmy
2 жыл бұрын
Ongera sana vijana, kazi njema mbarikiwe kwa jina la Yesu Masiya. Mungu awasaidiye muishi kwa amani na mdumu kwenye ndoa mpaka kifo kitakapo watenganisha.
@osgentertainmentdancers8924
2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana hii uliyoifanya bishop
@RobsonAnthony-cx3wv
Ай бұрын
God bless you pastor
@mpangaladickson6837
3 ай бұрын
Acheni kumuhukumu mtu.maandiko yanasema usihukum usije nawe ukahukumiwa......mungu ndie aliyemwita afanye kazi yake.
@user-pg8uk7vw3m
5 ай бұрын
Mambo masanja
@joelmsawile1718
2 жыл бұрын
Safiiiiiiiii sanaaaaa pastor
@sabrinaandrew4245
3 ай бұрын
Nimefurahi mtumishi Kwa kuto tamka ktk shida na Raha.🎉🎉🎉🎉🎉hujawaungamanisha agano la shida na raha🎉🎉🎉❤
@amanjr5635
2 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu. Pia hongera nyingi kwa Musa , Apatae mke amepata kitu chema🔥🔥
@nestorymsacky6838
2 жыл бұрын
Tofautisha comedy na Mungu, uwezi sema comedy ni mungu, masanja kutumia comedy akiwa madhabahuni ni sawa labda inaweza fanya watu wakaelewa neno zaidi ya akiwa serious
@kefaphilipo8060
2 жыл бұрын
Balikiwa kweli inapendeza mchungaji kwa hao wawiilii Mungu awatunze
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.Kazi yako ni njema sana👏👏
@mwanaiddicosmas7946
2 жыл бұрын
Ongera sana kaka
@bahatimbembela1825
2 жыл бұрын
Hongera kijana Ila jikaze ndoa mh
@rithakuyala9951
2 жыл бұрын
Mungu aitunze hii ndoa
@misheckmrk8848
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥💕🤝
@martinkisha6307
2 жыл бұрын
Uko sawa
@adeladaudi8780
2 жыл бұрын
Mungu tuhurumie lkn haya lazima yawepo ili maandiko yatimie
@jonsongabriel937
2 жыл бұрын
Barikiwa katika jina la Yesu kristo
@kacimonpoint4598
2 жыл бұрын
Get it be done
@tawiso_online_tv.
Ай бұрын
Hamna wito hapa😂
@evaristmrope
2 жыл бұрын
Amen
@cafejohn3582
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu utuhurumiye
@ednamasud2613
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 ni yeyeeee!!
@dunstannyange7509
2 жыл бұрын
Hapo hakuna mchungaji zaid ya ujinga ujinga tu, yan sasa hv din imeiingiliwa kwel kwel yan kila mtu ni mchungaji
@ntibashimadicksonyingo392
2 жыл бұрын
Masanja cheni za nn?
@seciliakayombo4845
2 жыл бұрын
Ongera kwakazi njema
@sabrinaaron4212
2 жыл бұрын
eti Ni yeyeeee 🤣🤣🤣🤣Mungu akaitunze inshallah
@MS.independent8934
2 жыл бұрын
Biarusi wa jinaaa jmn😌 Mariam
@nyororotherock5567
2 жыл бұрын
💜💜💜💜💜
@tanstudiotv
2 жыл бұрын
Mwanza mwanza! Mtumishi feel free church tunataka Mwanza
@lovegodmunisi1006
2 жыл бұрын
Masanja ameitwa na Mungu mwenyewe, kwa kusud maalum
@lydiaemmanuel7893
2 жыл бұрын
MUNGU gani anaeruhusu mchungaji kuvaa cheni simhikum lakin Yesu alisema jifunzen kwangu
@peteveprosper7186
2 жыл бұрын
@@lydiaemmanuel7893 uliona wapi akitaza
@jaberjohn7556
2 жыл бұрын
Masanja l love your job but kindly tell the bride and groom always to look at each other in the face, to make assurance of what they are talking.To look down is not good idea.
@@francismangula2715 l think you have no awareness. Period
@francismangula2715
2 жыл бұрын
You lack some knowledge brother.
@johnngowi2103
2 жыл бұрын
Amina
@williamoscar6657
2 жыл бұрын
Sijaona kma kweli kuna roho mtakatifu kwa masanja... hakika sio kila kanisa ni la mungu
@evoteclimited2319
2 жыл бұрын
Kwani wewe unaangalia mavazi, mwonekano na namna anavyoongea? Au unaangalia ujumbe na matendo yake? Usihukumu usije ukahukumiwa, maana anaye hukumu ni Mungu peke ake.
@williamoscar6657
2 жыл бұрын
@@evoteclimited2319 hata shetani ana maneno mazuri sna kuliko hata ambyo ww unayajua.... lakin kuwa mtumish wa mung ni kuwa mtauwa mbele yamacho ya bwana mtu aliyeacha yote naye akijkana na kumfuata mungu... aliyeacha utu wake wa zaman na kuuvaa utu mpya..... usijedanganya kwa maneno ya watu hata yule mwovu mkuu anamaneno mazur zaid ya unavfkir..
@matswelopelemphela9676
2 жыл бұрын
Umetumia kipimo gani?
@Zaburi-
2 жыл бұрын
Mungu/MUNGU nasio mungu
@ffrank6754
2 жыл бұрын
mung huangalia ndani ila sis binadamu tunaangalia nje ww umeonaj km hkn roho mtakatif
@levinyaosi3556
2 жыл бұрын
Kiburi chako ndo hasara kwako brother
@tulimlawa8608
2 жыл бұрын
Kwaiyo sio mpaka kifo kiwatenganishe au ckuizi co mpaka kifo
@irenesangawe6366
2 жыл бұрын
Amenii
@edinamadebele973
Жыл бұрын
Hivi huyo mke wa katibu akiangalia hii kwa sasa anajisikiaje jamani, Mungu amsaidie tu kwakweli
@user-ii9qx9ii5p
4 ай бұрын
Wewe uliyekomenti kuwa aache mzaa madhabauni wewe nana mpaka huuu kumu atatengenezwa na Mungu aliye muita si binadamu
@rutashubanyuma4546
2 жыл бұрын
Caption haijakaa mujarabu ukisema ntacheka wakati ni jambo la serious nashangaa!
@user-ur5mq5em3f
4 ай бұрын
balikiwa sana wanandoa mmenikumbusha mbali
@nsiaelieza9568
2 жыл бұрын
Masanja ukiwa madhabahu usitumie tonic ya komed. Kaa madhabahuni kwa utulivu. Chagua kuwa comedian au kuwa Mchungaji. Huwezi kutumikia mabwana 2.
@claraedwardmalingumu3565
2 жыл бұрын
Hata mie cpendi kabisaaa cyo ucha mungu huo
@afrohomeofsuccess2359
2 жыл бұрын
@@claraedwardmalingumu3565 kwan wachungaji hutumia sauti zao wawapo mazabahuni au wana sauti zao za kbumba
@labanbishirabandi3740
2 жыл бұрын
Wewe unataka aongee nini
@ezekieljackline3903
Жыл бұрын
Pande zote mbili zimakubaliana this ndoa ( wazazi
@justinsindani-zq2jl
Жыл бұрын
Masanja mpaka sasa una nyimbo ngap?
@veronicabenezeth6602
2 жыл бұрын
Mwenye wivu aokoke
@issaramadhan7456
2 жыл бұрын
Vizuri mtumishi
@emmycondrad9706
2 жыл бұрын
🤣😂😂👏👏
@majaliwamahenge3658
2 жыл бұрын
🙏🙏
@joyelia5356
2 жыл бұрын
musa and mariam khadija and yusufu
@GraceJaphet-fr4jt
3 ай бұрын
Ameni.
@gasperamoxi4330
2 жыл бұрын
Yes
@mwangosmgs6471
2 жыл бұрын
Mtumshi🥰
@peterfrank4299
2 жыл бұрын
Amina Piga kazi masanja
@happinesszabron7635
2 жыл бұрын
Utawaepuka wengine wote na kubaki nayeye peke yake wote NDIO Imeisha hyo
@peterchonya3938
2 жыл бұрын
Ameni
@kadijahajali3918
2 жыл бұрын
Bass
@matukiomedia191
2 жыл бұрын
Kama igizo hilo
@khdigahk4246
2 жыл бұрын
Mussa na mariam wafikaje kufunga ndoa kanisani😅😅😅😅
@fanikiwamhapa4236
2 жыл бұрын
Hatuja elewa maana yako
@edithafrancis7057
2 жыл бұрын
Majina yapo pande zote kwa wakristo na msikitin
@fanikiwamhapa4236
2 жыл бұрын
Majina haya Yana patikana ndani ya Biblia,vitabu vingine vimeiba ndan ya Biblia,,Ila Kuna baadhi ya vitabu vimediriki kubadili mpaka majina mengne kwa kiwahofia wafuasi wao,mfano km jina la Yohana wa kwenye Biblia wanamuita (Yahaya) n .k
@antonthomas807
2 жыл бұрын
Unamuulizanani au una jiuliza mwenyewe
@sebonikegobi6244
Жыл бұрын
Wamefika kama wengine
@gvmstudio5659
2 жыл бұрын
ndoaa
@adamsibora9991
Жыл бұрын
Akujibu mkeo ndo alikuwa anajua
@donaldtadeodontado9991
Жыл бұрын
Na shida ndio ilianzia hapa Sasa ..........
@michaelmagige4669
2 жыл бұрын
That's a business like another business,je wanaenda na sheria na ushuhuda wa iman ya yesu? Cku yesu akirud kuna watumish wengine atawakataa!! Watadai tulitoa mapepo,tuliponya,yesu atawakibu ondoken cwajui!!!
@francismangula2715
2 жыл бұрын
Kosa liko wapi?..
@emmanuelmwamlima1027
2 жыл бұрын
Usihuku usije ukahukumiwa
@edojoseph4273
2 жыл бұрын
Hao maharus hiyoo sio ndoa ni uhuni nyie wazinifu tu mbele za Mungu
@venitarugemalila9290
Жыл бұрын
Hawa wamama nao watoto mbele kila muda muna haribu tukio
@mashashamsimba4740
2 жыл бұрын
Hiv hapo kunajasho kweli mbona kuna fen
@fatimaabdulla6967
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙄🙄🙄Wanadamu Mna kazi kweli kweli
@nicianezekiel9144
2 жыл бұрын
Chap xana
@issacklyandala7023
Жыл бұрын
HII NIFUJO TU, NO UTUMISHI HAPA
@mohamedalawyi8336
2 жыл бұрын
Sawa ni Moses na Mary . Musa na Mariam wanaowana Msikitini sio Kanisani .
@francisemmanuel1551
2 жыл бұрын
Hayo ni majina tu ila ya na maanisha Musa na Mariam kwafano wewe katika kabila lako unamwitaje Mungu waarabu wanamuita Allah wazungu wanamuita God
@mandejumanne6429
2 жыл бұрын
Ni yeye
@kadijahajali3918
2 жыл бұрын
Heee
@justinsindani-zq2jl
Жыл бұрын
Pete haina maana yoyote kwenye ndoa
@briankatani8765
2 жыл бұрын
Matapeli bhana
@khanniebaraka1515
2 жыл бұрын
Hahaha
@mlawimweusi9219
2 жыл бұрын
Nan kakutapel
@agathathobias8690
2 жыл бұрын
Kama rahis katapel na wewe
@charlessitta8247
2 жыл бұрын
Mchungaji Safi Sana. Naamin one day ntatokea hapo church. Location wapi ?
@fatmaayoubfatmaayoub8882
2 жыл бұрын
Lipo kinondoni Leaders ukifika hapo Leaders uwanjani utaona kibao chake napia kam unatokea makumbusho unashuka kituo cha kontena unashuka na njia hd ufike benk ya Kcb utaona kibao chake pia ila kam unatokea maeneo ya kariakoo unapanda gar za masaki unashuka ubalozi wa ufaransa ukishuka tu pia unaona bango lake la kanisa la masanja FEEL FREE CHARCH Utakuwa umefika kabisa kanisani kwake karibu
@issacklyandala7023
Жыл бұрын
ATI ASKOFU!!!!!!
@childofgod4412
2 жыл бұрын
Mke wa pilipili naye ni pastor🤔🤔
@josephurupia4653
2 жыл бұрын
😆😃😃😃☹️😢
@rachaelkazimili4092
2 жыл бұрын
Huyo dada muone hivyohivyo tu ni muombaji mzuri sana
@akxakalapa8950
2 жыл бұрын
@@rachaelkazimili4092 shida ya sisi watanzania tunapenda kum judge mtu bila kumjua kiundani ila kwa mm nakaona ni ka dada kenye imani sana mbele za Mungu
@sebonikegobi6244
Жыл бұрын
Pole yake manake hiyo kazi siyo mchezo Mungu amsaidie
@silyvesterlameck9754
2 жыл бұрын
Kiukweli2 masanja unaniboa hiyo cheni wanayo vaa waganga wakienyeji
@childofgod4412
2 жыл бұрын
Yaani na mimi nimeuangalia mh haya tumuachie Mungu mwenyewe
@godfreywilliam9673
2 жыл бұрын
Usihukumu ndugu
@joyelia5356
2 жыл бұрын
@@godfreywilliam9673 hajui lakini mungu anaendelea kumtengeneza ataachaga tu
@user-ot2io4cy6w
2 жыл бұрын
Kwan Waganga wanavaaga cheni na umejua kama wanavaaga cheni au na wewe ni Mganga au unaendaga kuaguliwa huko🤷🏾♂️🤷🏾♂️🤷🏾♂️
@jaliamwasomola5518
2 жыл бұрын
Mungu tusaidie na wew pia mmmm
@latinusdominic7625
2 жыл бұрын
Eti Askofu???
@rabsontryphon9254
2 жыл бұрын
Unataka awe vp
@sabastianraymond.6383
2 жыл бұрын
YAANI HATA SAUTI YAKO MASANJA NI KIUSANII MUOGOPE MUNGU ONGEA KWA HESHIMA.NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
@joycenyakiha8121
2 жыл бұрын
Ahahahahaahha
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Wamependeza Mungu awe nawo kila siku
@kingsforchange1039
2 жыл бұрын
You don't know God well.. Masanja ni Mtumishi wa Mungu na milele hata kwa kuzungumzaje he speaks God words and powerfull.
@farajachesco985
2 жыл бұрын
Roho mbaya tu inakusumbua ww
@kingsforchange1039
2 жыл бұрын
@@farajachesco985 anamatatizo huyu nae.
@kephahusseni3331
2 жыл бұрын
Zuchu nyumba ndoga
@jacobelikana1624
2 жыл бұрын
Hagg uliorusiwa na askofu mmeionna
@waytvtz2549
2 жыл бұрын
Masanja kusema la ukweli wewe ni comedian upastor umevamia kwa nyuma
@sabastianraymond.6383
2 жыл бұрын
HAKUKUA PETE EDENI. NINYI MMETOA WAPI? NA KWA ANDIKO LIPI?
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Pete ni ishala tu ya Upendo Hakuna kwenye Andiko ndugu yangu
@pendobaharia7227
2 жыл бұрын
Pete Ni ishara ya kua mtu kaoa au kaolewa
@lovegodmunisi1006
2 жыл бұрын
Msiongee neno juu ya huyu jamaa, huyu ameitwa na Mungu mwenyewe
Пікірлер: 185