Nyumba ya Msechu nzuri sana ya Mwijaku imejifinya nyembamba ndani vyumba vyembamba
@josephndilwa2445
9 ай бұрын
nilisangaa sana. nyumba ya mwijaku ni 130ml imezidi 150ml
@jamesdadu7059
9 ай бұрын
mkome kujadili nyumba za wenzenu..hata kama b 4 sawa Si kasema yeye
@shijamakoye6544
9 ай бұрын
Kama ulikuwa hutaki ijadiliwe mmeleta matangazo ya nyumba ya nini? Kwani nyie ndio wakwanza kujenga Tanzania hii? Na ukileta huku mitandaoni lazima ijadiliwe otherwise kamuonyeshe mkeo tu utulie harafu utaona kama tutaijadili?
@LeonardPhilimon-p2u
9 ай бұрын
Mwijaku anapenda sifa haijafika huko b .3
@idinado-wk3lx
9 ай бұрын
Mnajishumbua na uyo mwijaku nikama amjawazoe awa watu
@SalumuAlly-d9q
9 ай бұрын
Iristote ndo komesha kuliko zote
@keyla3641
9 ай бұрын
Mia tatu nyingi sana nyumba ndogo kalazimisha
@mcmwitatv1951
9 ай бұрын
Hata Mwalimu Nyerere aliijenga Tanzania na hakuwai kujigambaaa tuache kumprote upuuuzii
@jojigeorige1056
9 ай бұрын
Ila tuchukulie kama darasa, kwamba unaweza kusave pesa ukajenga kitu cha kukufaa. Watoto wakapata urithi😂😂
@shijamakoye6544
9 ай бұрын
Mwijaku nifala nyumba ya billion hajawahi iona nini ?
@warakawayohana2896
9 ай бұрын
Ameongea kiujuzi zaidi
@mcmwitatv1951
9 ай бұрын
Uhandishi sio habari ya Ujenzi Brooo Tanzania tunafeli wapi?
@godwinmwakibibi274
9 ай бұрын
Hta 250 unajenga nyumba km hyo itategemea wengine mafundi wajomba
@user-pe9uo4ec6y
9 ай бұрын
Mil 120 inatosha sana
@rosemneney3244
9 ай бұрын
Master J hueleweki na wewe chawa 😂😂😂😂😂😂 kwishneeee
@janeyjohnson9274
9 ай бұрын
Siku hizi watu wa kigoma wako km wahaya majigambo
@lybiajohn4122
9 ай бұрын
😂😂😂
@eladiuspeter586
9 ай бұрын
Wewe unajua ujenzi. Sio yule Mjinga Isa tambuj anasema ml 150
Пікірлер: 20