Hapo kulingana na wingi wa ukristo na imani huyo kuwa kama chakula, nilikua naomba maustadh mtulie kwelikweli maana hilo eneo linataka utulivu sana hili kuwavuta hao wakristo ambao wamepotezwa kupita kiasi. Naomba mtulie maustadh naomba sanasana. Allah awapeni nguvu ya kuwashinda hao waliopotezwa na makafiri
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote, Inshaa-Allah
@mwaks3347
4 жыл бұрын
Mashekhe wangu mnatisha kweli kweli Mash Allah
@jafarykahera1727
4 жыл бұрын
Ukrsto sio imani ya yesu wa sio dini ya mingu waokoeni allah atawalipa heri inshallah
@suleimanali8317
4 жыл бұрын
Ma Shaa Allah hukuna kurudi nyuma
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Kabisa
@richardsineno6720
4 жыл бұрын
Huyu mama anajifanya mjuaji na hali hamheshimu Mungu,angemuheshimu asingekuwa uchi kwa kuvaa mavazi ya kiume hajafunika kichwa,ana aibisha kichwa chake na Mungu hajampa mwanamke ruhusa ya kufundisha,haya maandiko yote yako ndani ya biblia asome aelewe aache kushindana na wanaume awache ukafiri.
@nak3477
4 жыл бұрын
Waislamu hatar kwel na hapo king dr mazinge hajaingia zi wengelikimbia..
@kijangwazay7711
4 жыл бұрын
Maa sha Allah Kwakweli najivunia kua muislam Allah awape macho ya kuona njia iliosahihi na kuifata
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin
@jafarykahera1727
4 жыл бұрын
Dadaa huna uwezo wakutetea bibilia sawa na kubeba gunia la misumari utembee
@nabilmuhaj9624
4 жыл бұрын
MAA SHAA ALLAH MWENYEZI MUNGU AZIDI KUWAPATIA NGUVU NA AFYA ILI MUEZE KUENEZA NENO LAKE YAA RABBI LAA ALLAMIN NA JAZAA YENU IKO KWA ALLAH
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@ernestkabura587
4 жыл бұрын
masha allah
@geerleebmuhamed8301
3 жыл бұрын
Mashaa llah mungu awajalie ni wenye kuelewa na mashekhe mungu awalipe kila mazuri
MASHA ALLAH, kazi nzuri na Allah azidi kuwapa nguvu na afya njema mashekh wetu ili muendeleze DAAWA
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@charlesmerrill771
4 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp wewe Yusuf unafaa ubatizwe alafu uwekwe kwenye Kwaya sababu unapenda kuimba sana. Hata kama sauti ni mtihani utazidishiwa tu INSHA ALLAH, tia tu bidii
@aishawangui6635
3 жыл бұрын
Mashaallah Gifhurai dawa wahitaji sana..napia kuchekesha wambugu 😂😂😂hubaki nyuma
@shixeoshxs7276
3 жыл бұрын
Mimi nnana maoni shekhe yusuf wakiristo wakiuliza suali munawajibu nyinyi mukiwauliza suali kabla hawajaibu wanarukia jengine wajibu kwanza ndio warukie jengine samahani kidogo kule kwa mazinge hakubali comedy iyo ya wakiristo lazima ajibu 2
Yesu aliingia msikiti ya wayahudi hakuingia misikiti ya waislamu tuonyeshe mahali yesu aliingia msikiti ya waislamu
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
Wewe ndio ujihelewi kabisa
@shabanawino9426
4 жыл бұрын
🤣huelewi chochote,uyaudi ni kabila si dini!
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
@@shabanawino9426 achana nae ndio wale wale
@kibojewee2710
4 жыл бұрын
Msikiti ni msikiti ikiwa wa mayahudi au msomali mhindi, baniani mkikuyu yote msikiti. Na kanisa litabaki kuwa kanisa kwa watu wote, so what is your point?
@ritanget9174
4 жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 njooni kwa yesu bila yesu hakuna
@kutailadifi2854
4 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rajiun.. ni msiba kwa wakristo. Allah awaongozej Allah awape Afya njema masheikh wetu inshaallah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@shixeoshxs7276
3 жыл бұрын
Kazi nzuri mungu awasimamie salama inshaallah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
3 жыл бұрын
Amin sote
@Nora-v1m3p
9 ай бұрын
Mashaallah walim wetu Allah amfanyie wepesi maisha yenu n ampe pepo kesho akhera
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
9 ай бұрын
Amin sote
@maherzain615
3 жыл бұрын
Mashekhe zetu niwatu wa subira sana mungu atawalipa khery. Maana hapa kuna wakristo vitwa vyao koko hata huchokesha
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
3 жыл бұрын
Amin sote
@SalmanGamer1
4 жыл бұрын
Masha Allah tabarakaAllah
@mariamothman7404
4 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Allah awabariki
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@mariamothman7404
4 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Amin thumma Amin yarab
@nak3477
4 жыл бұрын
Among the best Debate....
@jafarykahera1727
4 жыл бұрын
Dada silimu uko hamna muelekeo wa uzima wa milele kwani hakuna atakae kueleza kweli ndio maana yesu amesema itafuteni kweli na kweli itakuweka huru achana na wachungaji wasaka tonge
@didaahabubaz8512
4 жыл бұрын
Mashaallah allah awazidishie inshaallah😍
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@mohafishaal4190
3 жыл бұрын
Mashà allah masheikh wetu mungu awahifadhi sana
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
3 жыл бұрын
Amin sote
@mwanaidishibe9275
4 жыл бұрын
Ma sha Allah
@uwesusaid9764
4 жыл бұрын
Mashaallah 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@issackabdi7001
4 жыл бұрын
Mashaalah
@jamilaomari1823
4 жыл бұрын
SubhanaAllah..christians r so thika to understand!
@lagosmutemi9691
4 жыл бұрын
This is what many people are missing for really.Allah awajalie zaidi.mfikishe habari hii njema kwa mataifa
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@حنةمنغا
4 жыл бұрын
Bismillah Maasha Allah tabaraka Allah Rahman,subhannah Allah,this is more interesting,May Allah help you yaa sheikhs to do dawah in places like this,hata ikisomwa bado,wanasema apana na ni bible yao,subhannah Allah Alhamdulillah Allah a'ala neemat Islam. You deserve more reward yaa sheikhs in this world and the hereafter,because mko patient no matter what they say
@charlesmerrill771
4 жыл бұрын
The only problem is that Yusuf and Muhammad are deliberately misrepresenting the scriptures. If they were more truthful then their ministry would bear much fruit, but since it is based on deceit and misinformation, thats why they they are getting such reactions from the crowd.
@nak3477
4 жыл бұрын
Tatizo hawa wacristo hawazikilizi wanakalia ubishan..maana wakiona aya ishasema kwel wao wanatafuta nyengine ile wanaicha.
@AA-sp7cl
3 жыл бұрын
MashaAllah Allah awajaalie afya na subra na maisha mema ktk dunia na akhera kazi hii ni ngumu sanaa. Allah awahifadhi mashekhe wetu Ameen.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
3 жыл бұрын
Amin sote
@rajabkimia1876
4 жыл бұрын
Aameen shekh kwa duwa yako kutukumbuka tulio mbali InshaAllah Mungu atakufanyia wepesi kwakila lenye uzito kwenye maisha yetu na atujaali husnul-khatma InshaAllah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@bockaselemani563
4 жыл бұрын
Uislam mbele kwa mbele nyuma mwiko wataelewa tu insha Allah.
@yusufmwangichannel6692
4 жыл бұрын
Elimu nzuri ila wakristo awaelewi maskio yalishaziba hayaskii
@nak3477
4 жыл бұрын
Mushaallah.allah awalinde walimu wate.
@حنةمنغا
4 жыл бұрын
More dawah in Githurahi is needed Insha Allah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Inshaa-Allah
@safarisafari7388
2 жыл бұрын
Kuna kitu nimeona kwa hawa jaa zetu wakriso. wanakubali maandiko lakini wanaona aibu kukubali.......alafu wanapenda ukristo sababu inawaruhusu kufanya vitu mingi
@blessinganna6354
3 жыл бұрын
Mashallah
@zuwenamohd4372
4 жыл бұрын
Maa shaa Allah, mkutano ni mzuri sana, lkn shekh Yussuf umenichekesha eti ukigongwa na treni unakua chapati😂😂😂
@alimussa5560
4 жыл бұрын
Maanshallah. May Allah Bless and Protect all.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@abedidunia6904
4 жыл бұрын
Shukrani ma sheik wetu kwakuelimisha hawo waktisto
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Afwan
@wadimtwana7286
4 жыл бұрын
Hatariii hii ya kuwa mkiristo
@jamalbaja5041
4 жыл бұрын
asalan aleykum shekh tupo pamoja in sha allah ALLAH akupe afya
Enyi watu wa mataifa mliosalia, kusanyikeni pamoja mje! Nyinyi mmekosa akili: Nyinyi mwabeba sanamu za miti na kumwomba mungu asiyeweza kuokoa watu. Semeni wazi na kutoa hoja zenu; shaurianeni pamoja! Ni nani aliyetangaza zamani matukio ya sasa? Ni nani aliyetamka mambo haya zamani? Je, haikuwa mimi Mwenyezi-Mungu? Hakuna Mungu mwingine ila mimi! Mimi ni Mungu wa haki na mwokozi; hakuna mwingine ila mimi. Nigeukieni mimi mpate kuokolewa, popote mlipo duniani. Maana mimi ni Mungu, wala hakuna mwingine. Mimi nimeapa kwa nafsi yangu, ninachotamka ni ukweli, neno langu halitarudi nyuma: Kila binadamu atanipigia magoti, kila mtu ataapa uaminifu. “Watasema juu yangu, ‘Haki na nguvu viko kwa Mwenyezi-Mungu peke yake.’” Wote waliomwakia hasira Mwenyezi-Mungu watamjia yeye na kuaibishwa. Lakini wazawa wa Israeli watapata ushindi kwake Mwenyezi-Mungu na kufurahi. Isaya 45:20-25 .
@agnessmutua7749
4 жыл бұрын
Kweli Yusuf wajua kweli shida nikufuata Usilam yesu die jia.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Uisilamu dio dini ya haki na kweli
@AaAa-kr9nb
4 жыл бұрын
uislam ndio njia ya haki mungu audumishe uislam popote.
@suleymanally4729
3 жыл бұрын
Hy makristo bhn Allah ayaongoz walh. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ramazecha2877
2 жыл бұрын
Wakiristo ni wabishi tu ukweli wanaujua tu hla wanafanya makusudi
Wala usifananishe yesu na Mohamad Muhammad hatoshani na yesu hata kidogo wala hamfiki Yale yesu alifanya hakuna hata moja Mohamad.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Hayo maoni yako tu,But kiusomi Muhammad ni mkuu kuriko yesu,nitafute nikufundishe pole pole mpaka uelewe
@AaAa-kr9nb
4 жыл бұрын
ww ulipotea sasa waongea kama waota yesu amfikii muhamad
@ritanget9174
4 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Mohamad hana ukuu wowote yesu ndie mkuu waulimengu ukimkataa umepotea
@ritanget9174
4 жыл бұрын
@@AaAa-kr9nb Mimi sija potea wewe ndie umepotea njoo kwa yesu uwepuke Moto wa jehanamu
@charlesmerrill771
4 жыл бұрын
@@ritanget9174 Amina, hebu tia hawa ndugu zetu wapendwa chuoni... sana sana huyu Yusuf, naona akibatizwa atakuwa mwimbaji hodari wa kwaya maanake anapenda wimbo sana
@kalamajulius6107
4 жыл бұрын
Mliwatesa kweli hawa nduguzangu natamani ningekuwako hamngetosha
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
Wewe pia ungea hangaika
@kalamajulius6107
4 жыл бұрын
Wanijua Mimi wewe
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
Mnajulikana kwa matendo tu
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Karibu tupo bado
@chiefmkalikibz1503
3 жыл бұрын
Fanya ujilete Mwenyewe babaa
@nak3477
4 жыл бұрын
Namba namba ya simu muhadhir
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Iko hapo kwa profile ya hii channel 0728830597
@charlesmerrill771
4 жыл бұрын
Yaani Yusuf umeeda kutafuta nini mbere ya kanisa ya Wasabato, unafikilia utawasilimisha? Shindwe!!!
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Watasilimu sana . USHINDWE KATIKA JINA LA SAID MSOMAJI WANGU
Пікірлер: 123