Mash ALLAH safu ya kwanza Leo alhamdulilah.ALLAH awabarik walimu wetu pamoja na wanafunzi wetu neema Mash ALLAH ❤️❤️❤️
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen sote
@user-rc7oi2hp8l
Ай бұрын
Kazi nzuri walim wangu.Allah amfanyie wepesi kueneza dini y haki
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen sote
@SaleheKijazy
Ай бұрын
Maaaashallah shekhe Mungu AWA lipe kheri duniani na akhera
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen sote
@Noorein-ws8wk
Ай бұрын
Maa shaa Allah masheikh wetu, Allah awazidishieni ilm hii yenye manufaa
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen
@mahmudmugarura2175
Ай бұрын
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
@musanike3079
Ай бұрын
Miujiza ingine ya Mtume S. A. W ni kuhifadhi Quran mzima.. Nakuna kitabu kwingine Duniani kimeifadhiwa kama Quran. Subhanah
@salimdaawah123
Ай бұрын
Kabisa alhamdulillah
@zuenahassan8882
Ай бұрын
Wallahi ndugu hii kazi inayo fanya hawa ndugu zetu ni kazi nzito..inafaa mimi na wwe tujiulize je ushawai msilimisha mkristo maisha yako na je utakufa ivyo ukose fadhla za kusilimisha mtu maishani mwako? Mungu atupe nasi kheri izi kwa sababu ya kuchangia daawah Allah atuongoze atupe jannah..
@dulividuli5237
Ай бұрын
Kaz iendelee😊
@user-fl5jj1sr2h
Ай бұрын
Mnafanya kazi nzuri sana ❤ Mungu awabariki
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen sote
@josemu870
Ай бұрын
Barikiweni sana sana kwa mafundisho bora Allhamdhillah
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen sote
@Jingajinga64
Ай бұрын
Gen Z jacket!!! Alhamdulillah, nimefurahi na kushukuru kwa kuregea kwako kwenye daawah. Allahumma Barik team
@salimdaawah123
Ай бұрын
Alhamdulillah
@husseinmoha7959
Ай бұрын
Masha Allah❤
@mohammedosman3181
Ай бұрын
Baaraka Allah fiikum. Allah Awahifadhi kwa kazi kubwa mnayoifanya. Tunawakaribisha Thika kisii estate tena karibu na msikiti Amina kendi in shaa Allaah.
Mashallah salim na Ali may Allah reward u with fardows
@salimdaawah123
26 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@ibnusleyyum9743
Ай бұрын
ماشاءالله..بارك الله فيكم.
@user-du2fy5sd5u
Ай бұрын
MashaaAllah tabarakah Rahman
@mohachinku362
Ай бұрын
Mashaallah ❤
@user-fb7hw8vg6q
26 күн бұрын
Mashaallah hongereni eeee
@IssackAlfa
Ай бұрын
ManshaAllah ustadh salim na Alii Mungu awajalie kheri katika dunya na Akhiri.Siku karibu nitawatembelea InshaAllah.All the way from Tana River in Bura Tana huwa nawafualitia kila siku.
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen sote
@mwangimuhammad-sx9hb
Ай бұрын
Maa Shaa Allah... Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu..huyo mwenye sauti ya kichungaji kagonga mwamba...Allah awahifadhi nawapenda sana
Huyo wa kuvaa hoodie ya yellow, musimkubali Tena kumuhoji, amejitangaza QUEEN na dalili zake pia zaonyesha. Allah awastiri
@MashoAbdi-m6n
Ай бұрын
MashaAllah ❤
@samxx411
Ай бұрын
Sheikh Salim ujuwe mnafanya kazi kubwa sana, hao ndugu zetu elimu zao ndo kama unavyoziona, huyo kaka yeye anasema jini ameumba shetani..ujuwe kazi unayo kubwa...ikisha ujuwe kuwa walimu wao huwa hawawafundishi biblia wanawafundisha zaidi kupinga ndio mana inakuwa vigumu kukubali na hasa wanapofundishwa na waislamu..ila hayo hayo wakifundishwa na mkristo wanakubali..hawajui kuwa hawajui.
@salimdaawah123
Ай бұрын
Ni ukweli kabisa wakristo wengi hawajui because wanangoja mchungaji awaambie
@hythamhashiem4458
Ай бұрын
Majini na binadamu ni viumbe waliumbwa na mwenye ezzi mungu ili wamuabudu yeye tu! Sasa wakimtwii mwenye ezzi mungu huwa wako sawa na wakikengeuka ni mashetwani au waasi. Kwa ufupi binadamu na majini wote wame umbwa wamwaabudu mwenye ezzi mungu!
@salimdaawah123
Ай бұрын
Wakristo hawaelewi na hawajui majini kama ni viumbe wa Mwenyezi Mungu
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh...ustadh Salim......Allah awajaalie jannaah.....nilikuwa na swali kwamba iwapo mwanamke hakuweza kufunga Ramadan 2023......kwa sababu ya kuwa mjamzito alafu Ramadan 2024 imefika kabla hajalipa ile ya mwaka jana....je atalipa pamoja na kibaba kwa kuvuka mwak ungine kabla hajalip au hukumu yKe ni upi
@salimdaawah123
Ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@user-du2sv5fb5s
Ай бұрын
Mashaalla❤❤❤❤❤❤❤
@user-du2sv5fb5s
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@Elybwayz
Ай бұрын
Allah Akbar❤
@254trends
Ай бұрын
Wanasema shetani hakuumbwa na mungu lakini wanasema shetani alikua malaika na alikua anabudu mungu kabla ya kuasi.... sasa kama shetani alikua anabudu mungu kabla ya kuasi si inamaanisha aliumbwa... hawa watu hawaeleweki
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
LeoNimeonaMuzungu🤣🤣🤣
@salimdaawah123
Ай бұрын
Tena mweusi
@AbdullahKalicha
Ай бұрын
Mashaallah
@AbdullahKalicha
Ай бұрын
Sauti hamna sheikh lkn
@AbdullahKalicha
Ай бұрын
Yaani video Haina sauti
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
KweliKapagawa🤣🤣🤣🤣🤣
@salimdaawah123
Ай бұрын
😂🤣😂😂😂🤣
@254trends
Ай бұрын
Hawajui tafauti ya shetani na majini hiyo ndio shida wakristo wanajua majini ni mashetani hawajui kutafautisha
@musanike3079
Ай бұрын
Wakristo hawapendi kufanya utafiti😢
@salimdaawah123
Ай бұрын
Wanapenda kuambiwa na wachungaji
@loner_wolf
Ай бұрын
Huyo Queen kwel kapagawa ......😅
@salimdaawah123
Ай бұрын
🤣😂😂
@dibasora6481
Ай бұрын
Ma sha Allah, Allah Awajazie yote munayofanya ma sheikh wetu.
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen sote
@dibasora6481
Ай бұрын
Ameen In sha Allah
@isahbarasa
Ай бұрын
Alhamdulilla rabbi allamin ❤️kazi safi walimu 👏
@salimdaawah123
Ай бұрын
Alhamdulillah
@yahyaali3951
Ай бұрын
Sauti hamna shekh
@mohamednurmohamed8812
Ай бұрын
My brother nenda kwa video ingine then go back kwa dawaa ya Leo sauti utapata shukran
@salimdaawah123
Ай бұрын
Yeah sauti iko jaribu kufungua tena inn shaa Allah
@abdallasuleiman8785
Ай бұрын
😂😂😂Eti unaogelea ikifika muda muda wa sala nenda msikitini. Wataelewa tu kupumzika ni peponi.
Bro, hizo 'Full Stops' katika post yako, ni ya Kazi gani?
@AchimoRamadan
Ай бұрын
Nawapend san kwajil ya Allaah ❤
@salimdaawah123
Ай бұрын
Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@molee2339
Ай бұрын
Huyu Bosirey ni Pastor wa Maneno mengiiiiii! Huyu Pasta ana 'FAFANUA', ni kama ali kweko wakati WAZUNGU wali kuwa wanai TUNGA hizo verse za Biblia! Na waki anza tuu ku 'fafanua', wa ULIZENI kama yeye ali kweko wakati HUO!??? Na musim patia haka Mini Pastor ku soma, kwa sababu ata anza POROJO zake,! TabarakAllah Team!
@salimdaawah123
Ай бұрын
Amejaribu kubadilisha lakini wapi
@molee2339
Ай бұрын
@@salimdaawah123 Kweli Kabisa! Kwa sababu Ame gongana na Kiambaza cha itwao Salim! 😅
Пікірлер: 83