Ndugu zangu naomba tuchange fesha za kununua gari. Uwekwe utaratibu wa sisi tunaoishi nje ya Kenya tuweze kuchangia kidogo kidogo mpaka lengo litimie. Hii kazi (Jihad) ni kubwa na inahitaji msaada wetu sote. Shime alleikum jamani tusaidie hii project its a good cause.
@salimdaawah123
Ай бұрын
Allah akuhifadhi na atufanyie wepesi kwa hili jambo litimie
@abuuaminah5655
Ай бұрын
@@salimdaawah123naomba No. Ya mpesa please
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Huyu Jamaa wa kwanza ameoshwa Akili na Clorox Hadi anasema Mungu niwakabila fulani
@user-kc6hc6re7t
Ай бұрын
SHEIKH SALIM NDIO ANAWEZA HAWA MAJAMA
@suleymanali431
Ай бұрын
Mungu awazidishe , lakini mzee hassan karioki unge mwachia salim hapo inaonekana hauwafahamu hawa jamaa, kaa jama ya kwanza aliuliza kwanini mungu amewachagua wa israil lakini mzee hassan kariuki huja fahamu hapo suali , unge mjibu simple kweli wana wa israili walipewa watume wengi kwa ajili ya nabii ibrahim lakini wali muasii Allah ndiyo akamleta mtu wa mwisho kwa watu wote , hiyo ina maanisha mwenyezi mungu amewapa wana wa israili muda baadaye akawalaani na hakuwapa tena cheo chochote banu israil .ndiyo mtume muhammad swalah lahu alehi wasalam akatumwa afunge ujumbe wa mitume ndiyo hapo akatuma sasa kwa ulimwengu wote .pole mze hasan hapo mwanzo ulishindwa kweli na hawa jama kidogo next time mwachiye salim apambane na hawa jama masugu. wote wko hapo nyuma ni group moja wana kuja kwa ubishi tu na hawana elimu yeyote.
@MrBabasaba
Ай бұрын
@@suleymanali431 nakubaliana na wewe, nahisi ustadh Hassan anawajibu hao jamaa kimkato sana, kwa sababu anashughulika sana na huyo mwenye kuuliza swali lakini kwa ukweli hao wenye kusikiliza wamewacha kazi zao ili wafahamu kinachotendeka kwa waislamu, basi hao ni muhimu sana kufahamu, maelezeo zaidi kutoka kwa mashekhe itawasaidia kusilimu siku za mbele.
@molee2339
Ай бұрын
Swadakta. Team 8na hitaji Gari very urgently. Please HELP! Ai TimeWaster Gang ya Kichwa Ngumu Raphael, haka 'Ka Rama' na huyu WaZimu danihel, wame jumuika hapa ku VURUGA! Piga hawa WaTatu Marufuku! TabarakAllah Team.
@salimdaawah123
Ай бұрын
Inn shaa Allah
@Jingajinga64
Ай бұрын
Assalamu Alaykum sheikh. Allahumma Barik
@salimdaawah123
Ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@user-rc7oi2hp8l
Ай бұрын
Kheir insha Allah kw waislam wote apa na kesho akhera
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen
@josemu870
Ай бұрын
Barikiweni sana sana kwa mafundisho bora Allhamdhillah
@Lgut-xn9hi
Ай бұрын
Isha Allah
@sulimankarusi8345
Ай бұрын
Mashallah. Wakristo hawatamini Bible wala Quran. Basi wanaubishi hawataki kuwamini. Musiwape furusa ya kuchaziya madiko ya Mungu.
@salimdaawah123
Ай бұрын
Inn shaa Allah
@almasrluhagami1497
Ай бұрын
Mimi ni Muislam nipo Tanzania nahitaj kujifunza daawa nami nilinganie
@Zainab_salat
Ай бұрын
@@almasrluhagami1497 tuko wengi
@salimdaawah123
Ай бұрын
Allah akufanyie wepesi kwa nia yako
@hamisiwesonga2496
Ай бұрын
kwanza kaka uko karibu na.kinyogori,shafii, sule mazinge na wengineo.jaribu basi
@almasrluhagami1497
Ай бұрын
@@salimdaawah123 aamyn ndugu zangu hakika hii ndo kazi Bora Allah awadumishe
@almasrluhagami1497
Ай бұрын
@@hamisiwesonga2496 nitaanza hivi karibuni in sha Allah
@mahmudmugarura2175
Ай бұрын
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
@bahsansheikh6042
Ай бұрын
ALHAMDULILLAH
@AchimoRamadan
Ай бұрын
Nawependa san masheikh wetuu
@salimdaawah123
Ай бұрын
Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@ahmedcaptain2347
Ай бұрын
Masha Allah
@davidjuma3440
Ай бұрын
Wapi yule kijana mdogo ambaye huwa anawasomea, huwa anasoma vizuri sana
@salimdaawah123
Ай бұрын
Yuko safari
@alinurharun8468
Ай бұрын
Bless you sheikhs
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen
@mamasiham9287
Ай бұрын
Mashaalah
@loner_wolf
Ай бұрын
Hiko kichwa kichogo hamna kitu anataka kujifunza , ni ubishi tu ..... wengi waliouliza maswali awali wakajibiwa walishaelewa na wengine wameshasilimu .
@Adm9464
Ай бұрын
Ma Sheikh wetu hawa ni time wasters . They are sent to disrupt muhadara. They are not here to learn or to benefit others.
@ngokaomary5123
Ай бұрын
Wewe mokaka wa SDA ukona pepo la kuuliza maswali kuja tukuombe uenda mbinguni
@dominicwafula3997
Ай бұрын
ASalam aleikum salim hua dawa yao time inaisha na maelezo kidogo. Maelezo ya salim hua clear sana tena kila jambo hua sawa.
@salimdaawah123
Ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@abuuaminah5655
Ай бұрын
Assalamu alaykum tutumie namba gani tuchangie angalau kidogo
@loner_wolf
Ай бұрын
Wakristo wa kenya matatizo sana . Kiswahili shida kinawachanganya maswali kila siku yale yale
@salimdaawah123
Ай бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate
@fatumahamisi1604
Ай бұрын
Asalam Alykum warhmatullah wabarakat mashekh wetu shekh Salim chukua mike bwana hao wamchezea mzee Hassan wapoteza mda tu
@salimdaawah123
Ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah next time atachukua
@zaidiissa3714
Ай бұрын
Hivi hawa wakristo wana shidagani mbona hawajitambui kabisa yani mtu anaambiwa uliza swali yeye anapiga story za jaba kweli huu nimtihani mkubwa mashekh wetu mnapitia mambo mengi maana kama mtu huna uvumilivu unaweza ukamfukuza mtu maana wengine hawajui hata wanauliza nini mungu awaongozetu waweze kujitambua
@salimdaawah123
Ай бұрын
Inn shaa Allah daawah ni ngumu inataka subra sana
@user-te3ir8yh6k
Ай бұрын
Assalam aleikum,huyu bwana hamjamuelewa,anamaanisha yeye ni muisraeli
@salimdaawah123
Ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Wanyoeke chukua usukani juu Hawa wakimuona mzee wetu wako na mchezo
@salimdaawah123
Ай бұрын
Inn shaa Allah
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
@@salimdaawah123 watu wengi wanaelimika Sana
@myunaniniahmad6463
Ай бұрын
@@salimdaawah123 Nikweli kabisa wanyoeke anatoshea sana kwa usikano.
@ZakiyaAnwar-w1r
Ай бұрын
Asalam aleikum warahmatulahi
@salimdaawah123
Ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@HabibuMohamed-n5k
Ай бұрын
Asalam aleykum warhmaturllah wabtakat sheikh salim vipi hali mimi niko tz nahitaji kujifunza ili nami nibebe daawah ni VIP mnaweza kumezaa AYAA ZOTEE
@salimdaawah123
Ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh ni kusoma kwa wingi inawezekana kila kitu ni nia
@dulividuli5237
Ай бұрын
Shekh Hassan Karioki hapo Umekosea kidgo Kusema Kutoa Sadaka ni lazima,Sadaka sio lazima bali Zaka ndio lazima Kutoa kwa Mwenye uwezo,Maana Sadaka ni jambo la Sunna ila Zaka ni faradhi.
Пікірлер: 57