Marekani ameangamiza mataifa krbu 20 hatukuona ulimwengu ukiongea sahii Russia amrekebisha jirani yke mekua kila mmoja kelele shenzi.marekani ametumia mpka nuclear japan
@prezzotruemediatanzania256
2 жыл бұрын
....Hii vita ni Mbaya sana ila Kuna Wakati Naona Bora pia Hao Ukraine wale kichapo Maana wanaendeleza Ubaguzi wa Rangi....
@vanessastafford5120
2 жыл бұрын
Wamebaguliwa na Nani, wa Afrika Ndio yunabaguwana wenyewe hata shule zetu zipo hovyo. Hao wafrika huko Ukraine wanadeka kwanza walitakiwa wasaidie vita, wanaume. Eti waache kujali wazee na watoto wavushe haraka wanaume vijana wazima wenye nguvu??? Haiwezekani Ulaya kipaombele ni watoto na wazee wengine wapambane watafute wenyewe njia ya kurudi. Ukraine wana kazi ya kupigania nchi yao sio kuwaza wanao ondoka.
@gilbertkalanda9354
2 жыл бұрын
Kichapo hicho kwa Ukreini ni mwafaka kabisa, mabwana zake US na NATO wanam-provoke anavutia kichapo anaanza kulia
@barakamolistv5732
2 жыл бұрын
Kwel
@yahyasaid5328
2 жыл бұрын
As my ngu ni mwema
@immamwandolela6851
2 жыл бұрын
Umoja wa mataifa ni kwajili ya mataifa mengine mbona marekani anafanya fujo umoja unakaa kimya tu
@btsanime6138
2 жыл бұрын
Imma Mwandolela Umoja wa mataifa ni Marekani hivyo sasa hata wa kivamia nchi zingine hakuna atakaeongea lolote kuhusu Marekani. Angalia, Sylia,Libya , Afghanistan 🇦🇫, Congo na sehemu zingine hamuoni kwamba Marekani ni wachokozi??
@immamwandolela6851
2 жыл бұрын
@@btsanime6138 upo sahihi
@sunrise6371
2 жыл бұрын
Kweli kabisa umoja wa mataifa ni Kwa wengine ila marekani na washirika wake NATO Huna nguvu Siri imefichuka Asante Sana Moscow
@Ernestpastory
2 жыл бұрын
ONGEZENI SAUTI IPO CHINI SANA
@josephatjordan5560
2 жыл бұрын
Nunua IPHONE 😂😂
@ghaniyaebrahim1593
2 жыл бұрын
Mumeona jinsi wazungu wanavyo chukua hataua ya haraka kutaka kusimamisha vita vita hata wk mbili hazija timia lkn ingekua wa Africa tunge dhalilishana mpaka tungetia akili
@philemonmagesa5548
2 жыл бұрын
Sisi kwetu afrika wanatupatia siraha ili tuendelee kupigana ila wao hawataki vita ili uchumi wao uendelee kuwa juu
@gilbertkalanda9354
2 жыл бұрын
Ndio upumbavu wetu, ujinga mweninge ni Elitrea pekee ndiye kaondoa unafiki, wengine wote ama yamepiga Kura upande wa Nato au eti hawafungamani. NAM ni unafiki mwingine wa kiafrika
@vanessastafford5120
2 жыл бұрын
Nyie wanafunzi shikeni siraha msaidie Vita😂😂😂.
@gilbertkalanda9354
2 жыл бұрын
Vyombo vya Magharibi mnataka tusikie mabepari wanachotaka sio?!
@Zrss602
2 жыл бұрын
Haswa
@gideongerald2846
2 жыл бұрын
Sauti zenu ziko chini tofauti na channel zingine muongeze sauti
@crissinkala3110
2 жыл бұрын
Afrika mjifunze jambo hapa wazungu hii Vita ni mjadala wa kila siku lkn Vita vya afrika wala huwa hawajli kabisa
@sunrise6371
2 жыл бұрын
Kweli kabisa wazungu, Wana jipendelea ,ila matatizo waliyo sababisha kweli Africa Tujifunze Kwa kweli Africa Tujifunze!!!
@salimmasoud1253
2 жыл бұрын
wkipigwa zungu wanalalamika na kusaidiana na kusema uvamizi ugaidi na mauaji na kuchukua hatua mbali mbali ila wengine kama wa Iraqi na Afghanistan pamoja na palestina kila siku wapalestina wanakufa kutekwa na hapasemwi kitu vp apo jamani hawa ni wabaguzi
@suleimanabdallah9823
2 жыл бұрын
Sio ubaguzi hawa nimbwa washenzi
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
2 жыл бұрын
Na ndio Maana Nasema Wauwane Tu Wafee Mbwaa Hawa wameuwa watu sna
@LudoMwamsaku-x2u
5 күн бұрын
Ambaye hajui umoja wa mataifa ni marekeni aje hapa tumueleweshe.
@ikrissaidrissa8613
2 жыл бұрын
Western country means Europe na marekani acheni kuchochea bwana toeni uhuru wa habari Kwa pande zote nani asiye jua marekani anafanya biashara ya silaa ambapo Kwa vigezo hivyo hivyo Russia ilipofanya Kwa Cuba marekani walichokifanya mpk now mpo kinywa please be fair western Media
@hasanimkamba1448
2 жыл бұрын
mngekuwa mnatumia nguvu kubwa kama mnayo tumia sasa hakika kule parestna kusengekuwa namauwaji makubwa vile ila inavonekana.kuna upendeleo
@fabiansam8157
2 жыл бұрын
Sasa mbona Marekani wakivamia nchi hakuna wa kulaani kwani yeye ndio mwenye haki na mustakabali wa maisha yetu wote duniani ila nchi nyingine zikifanya hivyo ni kosa kubwa sana
@kimadamolebanga3966
2 жыл бұрын
Kama watu wanakataa kwanini kuwalazimu? acheni kulazimu watu. vita vinaua ma milioni ya watu, vina sababishwa na marecani, kwanini haisemwi?
@alihijiiddi8977
2 жыл бұрын
HUYU SI MRUSI NI MUYAHUDI NA ANAKAA HSPO URUSI NDIOKATIKA MAYAHUDI🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱👹😇💀
@maimunaqueenmaimunamaimuna9001
2 жыл бұрын
This is a new world order yaani wanataka tuwe taifa Moja inshallah mungu atatulinda dajjal atauliwa na mungu
@muranisaitabau5149
2 жыл бұрын
Aki tunaomba tuende Ukrainian tusaidie kiukakamafu nikipewa nafazi nitaenda kweli watu wanaumia tukiangalia tu
@mansourkombo587
2 жыл бұрын
Adui akikufta nyumbani kwako lazma umfate nyumbn kwake na umize kizaz chake ili ajuw maumiv gan umeyapitia wew rais wa ukren anakwama wap kwani hawaon wasomal jins walivo
@innocentman5954
2 жыл бұрын
Picha ya Russia na Ukraine inafanana na Tanganyika na Zanzibar, tofaut ni kua ndani ya wiki moja wa ukraine 1000 waliuwawa.. wakat Zanzibar ndani ya siku tatu watu zaid ya 10,000 waliuwawa. Ni sawa na kusema Watanganyika walifanya unyama usiolezeka!!
@lady_ziysam6799
2 жыл бұрын
😮😮
@ikrissaidrissa8613
2 жыл бұрын
Wee mdomo huo
@yohanamhagama8975
2 жыл бұрын
Ukikamatwa na kuambiwa uthibitishe utathibitishaje na kwa ushaidi gani...
@missmrs829
2 жыл бұрын
Mchonganyishi mshenzi mbwa wewe ebu tuletee ushahidi 😏
@patricialpatrick9927
2 жыл бұрын
chizi
@mahirmahir9257
2 жыл бұрын
Video ya leo haina sauti boss
@immamwandolela6851
2 жыл бұрын
Ulaya ivyo ndivyo tunaumiaga waafrika mnavyo tuvamiaga na kutuuzia silaa vita mbaya
@shakilamasoud2983
2 жыл бұрын
Katarina anaenda wapi tena jamani 😢🙆🤔
@zerock2973
2 жыл бұрын
Hawa mbwa wanapigwa na Urusi lakini bado yameshikilia ubaguzi tu, Urusi iendelee kuwapiga hadi watoke damu masikio
@kalugululugata7425
2 жыл бұрын
mbwembwe za kutafuta mafuta wao ndo chanzo za vita
@kalugululugata7425
2 жыл бұрын
nataman wazungu wauane Sana tu Sina huruma na mzungu yeyote mungu mmoja
@chazy7ya216
2 жыл бұрын
uyo msaliti wa ukrein akamatwe akatwe vipande vipande anasababisha watu wanakufa kwann anakiuka mkataba uliowekwa
@vanessastafford5120
2 жыл бұрын
Mkataba upi, huo umoja ulishaporomoka miaka 40 iliyopita na nchi nyingi tu zimejiunga na union tofauti. Katafuta tu kitaifa chakuonea. Kila Taifa lina haki yakuchagua kushirikiana na Taifa linalopenda hata TZ hajalazimishwa kujiunga na UN au na umoja wa East Afrika Sasa Kwa nini Ukraine 🇺🇦 wasichague. Dunia ime move on yeye analazimisha History. Mavi ya kale hayanuki.
@khamisramadhan4381
2 жыл бұрын
WAZUNGU WAMECHOKA NA HII DUNIA KITAMBO SISI NDIO KWANZA TUNAITAMANI HEBU WASUBIRI KWANZA ATA TUTUBU ZAMBI ZETU KWANZA KISHA NDIO WAIZIMU DUNIA.
@hassanibakari9667
2 жыл бұрын
kwanini iwe urusi.Hakika dunia inashanhaza sana. marekani uinhereza imeingia vitani iraki imeuwa watu wangapi ikiwa na kumnyonga Sadamu. na mulikiri kuwa mulifanya makosa nani kachukuliwa hatua. urusi ipo sahihi kwa hatua anayochua ni kwa ajiri ya usalama wake kwani amerika ni manafiki wa dunia
@joshuaswai8203
2 жыл бұрын
Wewe ni kilaza huna lolote zaidi ujinga mwingi
@mussajelee8747
2 жыл бұрын
Urusi Sawa kabisaa kuivamia. Yukreen
@hechechacha4032
2 жыл бұрын
Tangu nimekuwa Moja ya mambo yaliyowahi kunikasirisha Sana ni lissu kupigwa Risasi , mbowe kubambikiwa Kesi Mdogo wangu suguta kuuwawa kituo Cha polisi na polisi kwa Kisu Hili la urusi kuivamia Ukraine nalo ni Moja ya yaliyonipa hasira
@georgemassebu2083
2 жыл бұрын
Mzee @Heche... Tutaaminije kua Mbowe amebambikiwa kesi na hana makosa ilihali hatupo nae muda wote wa shughuli zake? Tutaaminije pia Lissu alipigwa na Serikali na si wabaya wake tu wengine? Hakuwahi kupindisha Sheria na mtu akakosea haki zake? Maadui ni wengi na wala usituaminishe kwamba walionewa
@allyduniaomaryally9054
2 жыл бұрын
We kafili kimya
@vanessastafford5120
2 жыл бұрын
Uongozi wa Udictator na Urusi KAUWA sana wapinzani nchini kwake. Afrika wanaipenda Urusi ila Putin anaongea vibaya sana kuhusu Afrika
@titoeliatv684
2 жыл бұрын
@@vanessastafford5120 Urusi haijachukua Mali yoyote kutoka Africa.USA na NATO ni wezi wakubwa.pole Sana soma historia ujue mambo mengi.
@vanessastafford5120
2 жыл бұрын
@@titoeliatv684 ushasema ni History the world has moved on.
@obrigadoofficial1506
2 жыл бұрын
Hata Tanzania tuna uza urani nishati ya umeme Sasa tupo vizur na mama kzitem.info/news/bejne/zml3tGqur4aYeHY
@mussajelee8747
2 жыл бұрын
Ajisarimishe raisi wayukireen
@jerrymaison5522
2 жыл бұрын
Rais wa ukraine aliwapa raia wake silaha wapambane dhidi ya urusi, leo hii analalamika raia wake wameuawa vitani, Zelensky ametumia raia wake kama ngao vitani.
@joshuaswai8203
2 жыл бұрын
Angekutumia wewe? Lala tu huko kw
@mtakimjinja2328
2 жыл бұрын
Hapo nimalekani na urusi
@jimmycliff6977
2 жыл бұрын
Tusingae hapo baadae Ukraine baada yakuporwa eneo lao watahitaji kulipiza kisasi
@kaburembodaniel5151
2 жыл бұрын
.....
@abdulmajidsina7838
2 жыл бұрын
Duuh kumbe na ukren inamiliki nyuklia??
@chazy7ya216
2 жыл бұрын
kwaajili ya umeme siyo ile ya mabom
@MikiGermany210
2 жыл бұрын
Tanzania sisi tumerogwa wapi, Uranium ipo pale Wilaya ya Bahi singida haijaanza hata kuchimbwa, Tanzania kwanini tusichimbe tuuze jamani dah
@halfanihalfanih3565
2 жыл бұрын
Bora kidogo hii vita imekuja kumaliza covid
@Princewaweru
2 жыл бұрын
Wazungu wamenda had mwezin hawajamwona mungu acha wafanye wanachotaka
@peterolucas9519
2 жыл бұрын
Pole sana
@chazy7ya216
2 жыл бұрын
ata bbc ni wazee wapropaganda tuu ilatushawajuaga
@vanessastafford5120
2 жыл бұрын
Unapenda kudanganywa, BBC ni ukweli mtupu search google uone kama wanaongea uongo.
@danielaloycedaniel.1178
2 жыл бұрын
Huku waafrika na watu weusi wakiachwa kwenye mipaka ya Ukraine. Yaani Hawa watu wanaleta ubaguzi hadi kwenye vita.
@braystuskibassa3842
2 жыл бұрын
Tuombe kwanza Marekani na NATO wanapovamia pia waadhibiwe na taarifa muweke wazi kazi kama hizi za Urusi kwasababu sioni kama wapo sahihi kuadhibu wengine wakati wao ndo vinara wa kuvamia, kupora, na kuua hatujasahau Libya, Kongo, n.k
@sunrise6371
2 жыл бұрын
Kweli kabisa wazungu NATO ni watu Hatari SANA 👍👍👍 usiwaone wanang'a Kama nguruwe mweupe samahaninijamani Wao hutuita ngedere nap tuwafananishe na swine -pig Yaani manguruwe!!! Wanawatenga wanafunzi wa kiafrika; Wacha Putin awafundishe adabu HAWA mabeberu ( manguruwe) Hatuna JINSI Waafrika amkeni Jamani
@barakakusa7606
2 жыл бұрын
Ila kwanini Warusi wanaua wenzao bila hatia.
@sunrise6371
2 жыл бұрын
Wemepigwa Kwa sababu nyumba ya pazia wapo mabeberu (NATO)
@yonayohana2737
2 жыл бұрын
E MUNGU TUSAIDIE ISITOKEE VITA YATATU YA DUNIA
@williammsenwa2627
2 жыл бұрын
Huyo mchanbuzi Dar es Salaam iko poa
@umpump8472
2 жыл бұрын
Leo ndiyo namona alizabet kazibure mrembo
@omaryregga5315
2 жыл бұрын
Ukraine ni wabaguzi san
@edsonpascal598
2 жыл бұрын
Kelvin clemence
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Allah nusuru hili la vita iishe 🙏😢
@allymusa6119
2 жыл бұрын
Ningependa wa malizane sisi huku dakika za mwisho tutatetewa na Mungu kwa sbb hatumchokozi mtu wala nia ya nyukilia.
Пікірлер: 100