Kiswahili ni lugha adhimu kwa wakazi wa Afrika Mashariki inayopigiwa chapuo la kuwa lugha rasmi kwa mataifa yote ya ukanda wa Afrika Mashariki na ikiwezekana barani Afrika kwa ujumla.
Hii leo lugha hiyo adhimu ilikuwa sehemu ya burudani kwa wabunge na wafuatiliaji wa siasa za bunge la Kenya.
Ilikuwaje?
Ivona Kamuntu anatupeleka huko.
Негізгі бет Matumizi ya lugha ya Kiswahili yalivyozua "vicheko" kwenye Bunge la Kenya
Пікірлер: 17