Tunaotaman kumuona chado hum kwenye maumivu gonga like hapa
@ClamVevoTV
7 сағат бұрын
🎬🎉✨KAZI NZURI SANA NDUGUYANGU #CHADOMASTA✨🎉📺📽
@NasraFahmy-j9y
7 сағат бұрын
Fany ututolee iz movie na cye
@SubiraMussa-f3y
5 сағат бұрын
Jmn mbn movi ipo vzr t nahaya maish ypo py yaan kwe mitaa sheha yupo naserekali zamitaa zipo ila mwanamke ananyanyasik nawala haend potepote yale nimamuz yke mtu anaezalilishwa kuend au kutokuend maan tunaon majiran zetu wanapigka nawaume zaoo nahawaend popote kiufup movi ipo swaaa wanao kubali wagonge like❤❤❤❤
@ShamsaJumbe
8 сағат бұрын
Jaman 🎉🎉🎉🎉 naombeni like na mm
@Zakaria-ok4ov
55 минут бұрын
Safi sana dady
@Zakaria-ok4ov
54 минут бұрын
Oya zaka
@mariamEvelyn-h8p
52 минут бұрын
Jameni iyo nafasi angepewa chado duhhh tunge enjoy saaaana ila siyo mbaya nipeni tu like kumi inatosha
@aishangambage
7 сағат бұрын
Nimepanda hicho kibaoakichopigwa Dady but Niko palee nasubir muendelezo😅😅😅
@AnnastaNaman-tf2gh
5 сағат бұрын
Kazi safi sana 🎉🎉🎉🎉
@NaifinMohamed
4 сағат бұрын
Hanifa umenichekesha kweli yaliwahi kunikatia kama hayo naenda safari yangu mwanamme akaja akanichukuwa kama Ivo na gari yaani no lichukia mashoga mabaya alinichoma kama natok akanifatilia nilichukuliwa kama mzigo 😂😂😂😂😂
@AzizaJuma-p7x
52 минут бұрын
Good hapo imeisha poa lazima ukazane mama ngwengwe
@Awoshy
5 сағат бұрын
Sio kwa mibwana hiyo 😂mama ngwengwe 😂😂wahuni mpk mashemeji ila anakupenda mwenyewe ❤😅
@DicksonNassary-pg4tq
6 сағат бұрын
Chado please naomba kuwa miongoni mwa kundi lako namie najua kuigiza please ❤❤❤
@AhmadAlaee-x1r
4 сағат бұрын
Heeee mama ngwengwe ilikuwaje ukawa mnyongee aaaah tushazoea msham sham yako bhanaaa weeeeee 😂😂😂😂😂😂😂😂unatuangusha mama ngwngw
Mmmmhhh!!! Mama ngwengwe gani mnyonge hivo, atakama utemi kwa mwanamke filamu yenu inaenda mbali sana , kwani mnataka tuambia mpaka mtu anafanyiwa unyanyasaji kiasi hiko akuna msaada wa serekali? Jaribuni kurekebisha pia juweni uwepo wa vyombo vya sheria kwenye movies zenu ,mwanamke awezi kunyanyaswa na wanaume wa kijiji kizima bila msaada wa kisheria.
@mohammedhabib1306
8 сағат бұрын
Hii ni movie na hatujui mbeleni wanampangilio gni kemu acha haraka tuone walichokiamua huko mbeleni issue yko inakaa kishamba sana
@Kabi_47
7 сағат бұрын
Japo sijaiangalia hiii filamu lakin nijaribu tu kukufungua macho kuna watu wanapitia manyanyaso sio kidogo na kijiji kizima kinajua na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa hii ni sanaaa na kazi yake ni kujaribu kuonesha yale yanayoikumba jamiii yetuu🙌🏿✌🏿
@MisBarua
7 сағат бұрын
@@Kabi_47yer apo kwel❤❤❤
@NemaAli-zh6hr
7 сағат бұрын
Acha ujuaji kijana tunga movie yko alfu weka sheria za serikali kwn kuna shido....
@SalmaLucas
7 сағат бұрын
Kweli kabisa@@NemaAli-zh6hr
@Aaqwe-yi6qn
5 сағат бұрын
Jamaa anakanda kinoma 😂😂
@AhmadyAbdalla
8 сағат бұрын
Daddy nakubar❤❤🎉🎉🎉misumali time
@MkasyswallehsaidSwalleh
Сағат бұрын
Daddy mapenzy gni hya lazima lazima😂😂😂
@MwajumaRamadhani-f9w
3 сағат бұрын
😂😂😂 hatimaye mama ngwengwe naanzA kumwona ss
@IluMohd
6 сағат бұрын
Nampenda sna chado❤
@MimahKenzer
4 сағат бұрын
Mjomba taratibu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@BisharaMuhammed-e4z
4 сағат бұрын
Chado chado chado nakuita mara tatu naomba uitike chado
@AtupeleMwambeso-x3j
5 сағат бұрын
Jamn andikeni comment zenye akili msikurupuke
@BarakaMunga-u9d
4 сағат бұрын
Kutoka Kenya mbona mnaonea najma wangu aki😂😂😂😂
@MonaaOm
2 сағат бұрын
Hanifa sasa umeamua kumwambia daddy ukweli
@AsmaAsma-og6ul
6 сағат бұрын
We imba to Mzee wa misumali SAS hv
@rojamohd1844
9 сағат бұрын
Msela wangu chado yuko wapi sasa
@IDDYMLIGAZI
53 минут бұрын
Mh hanifa kalegeeeeeea 😂 isiwe ikawa ni serious
@ConfusedNaturalRock-ye6lr
5 сағат бұрын
Chado ako wapi
@TumaAmin
9 сағат бұрын
Tunao angalia 2028 tujuane hapa na leo mm mtu wa 6 sitaki like wala comment yangu isiguswe❤
Пікірлер: 81