Mungu mwema akubariki kwa utume wako.Tunakupenda na kuwaombea daima
@obadiasylvester8509
4 жыл бұрын
Aminaa babaa ubarikiwee saaaana
@seraphinqorro5039
4 жыл бұрын
Mha. Baba Askofu Mkuu Asante sana kwa humilia nzuri. Kila tusikiapo sauti yako tunafarijika na kuimarishwa kiimani. Mungu akujalie afya njema.
@julianacellestine801
4 жыл бұрын
Neno la Mungu huwa halichoshi. Na daima halichuji hukaa jipya na tamu. Inatamani kuendelea kulisikiliza.Mungu aendelee kukutimia baba kati ya watu wake
@prossesiusdeogratias2299
4 жыл бұрын
Kuitangaza Imani yetu ni jukumu la kila mbatizwa
@yohanamakoye1004
4 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu WEWE ni Alama Moyoni mwangu, na KWETU wakristo wotee, Mwanza tumebaki na Alama YAKO, HAKIKA MUNGU anatenda makubwa NDANI yako
@raphaelngoy1680
2 жыл бұрын
Baba yetu mwalimu wetu wa imani mtanzania
@barakamhagama5586
4 жыл бұрын
12:3 Baba, daima wewe ni kitabu cha kusomwa,mfano wa kuigwa.Heri walio wapole & wanyenyekevu wa moyo!
@justinagabriel5467
4 жыл бұрын
Amina
@benedictorsarya2192
4 жыл бұрын
Baba homilia nzito sana imetujenga kiroho
@NIUX007
4 жыл бұрын
⛪⛪⛪⛪⛪
@danielkimario8311
4 жыл бұрын
Amina Baba Askofu
@justinajulius3383
4 жыл бұрын
Asante sana baba utume mwema
@linahsemindu9575
4 жыл бұрын
najivunia,kuwamkatoliki kweli mavuno ni mengi ila,watenda,kz,ni wachache wapo wakatoliki wenzetu wengi tu wanaona,bora,wacoment mambo y kidunia,kuliko neno ila mungu aliekupa pesa,ukanunua bando lait ungekuwa mgonjwakitandani sidhan kama usingemkumbuka
@yohanamakoye1004
4 жыл бұрын
Alama katika ukristo na ukatoliki, Kwa Wale tuliomo duniani😋
Пікірлер: 16