I didn't vote for Ruto but now i love him & i wish him good health & good leadership.
@tfl4963
6 ай бұрын
💯
@twaibumikidadi7377
Жыл бұрын
Ruto speaks good Swahili than kenyans Bravo Ruto !
@heronimomsefya3190
Жыл бұрын
We East Africans we should stick together especially in protecting our environmental biodiversity, Congrats to all Our presidents , Much love from Tanzania 🇹🇿.
@peterbayo4677
Жыл бұрын
Nimecheka hadi mbavu sina!!! Ruto you made my night!!!! 😂😂😂😂😂
@naomikrause1762
Жыл бұрын
RUTO NI SHUJAA WAKENYA HONGERAAAA RAISI WETU ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mapendoglory16
Жыл бұрын
Mr. President Ruto😂 you have made my day. Thank you sooo much. Much love from Tanzania.😂😂😂
@fifo262
Жыл бұрын
Ruto umechekesha sana
@salamaisayas8281
Жыл бұрын
Tunawapongeza waheshimiwa hawankwa kongamano zuri la kuondosha njaa ktk mazingira yetu kwani chakula ni uhai yaani Kula ni uhai na uhaibni Kula kabla ya utajiri wowote . Hongera Rai's Ruto na Rai's Samia mama yetu _ tuwaombee wayaweke ktk utendaji yote . Amen
@CatherineJoshua-fi4gw
Жыл бұрын
PRESIDENT RUTO MADE MY DAY!!!! KARIBU SANA TANZANIA!!!
@ernestlocken4500
Жыл бұрын
Raisi ruto hongera kwa kiswahili
@ericbahizi6526
Жыл бұрын
hongela rais ruto kuongea kiswahili shukrani
@leaparoine7401
Жыл бұрын
Naangalia toka Dar es Salaam-Tanzania, na Mh.Ruto, amenifurahisha sana! Nimefurahi kwa hoja hii na umoja huu kwenye summit hii iliyokuja nyakati sahihi
@ashaalali1221
Жыл бұрын
Kwanini Africa tusikuwe na raiz moja ..pesa moja...soko moja
@254pinca
Ай бұрын
Jana kuna mzungu alisema africa tungeungana tungefika mbali sababu tuko na kila kitu...just like USA...
@SalumMusafiri
Жыл бұрын
Mr President ruto u make us laughing to much .your respect sir
@conasmalale1073
Жыл бұрын
huyu jamaa ni mwanasiasa pure
@fablovesaadi9879
Жыл бұрын
Asanta Mheshimiwa Rais Dkt William Samoei Ruto hapo umeweza... Kiswahili kitukuzwe
@angelsulle7177
Жыл бұрын
Mh. Ruto Hongera, Nadhani Wakalenji sio wabantu Lkn wewe unaongea Kiswahili kizuri kuliko hata Nomads wa Tz
@miltonjohn9779
Жыл бұрын
Unajipa moyo
@mvunge7108
Жыл бұрын
MbonaKishwahil chake ni safi kabisa..
@josephmwabange9633
Жыл бұрын
Nimecheka kweli , kumbe rais Ruto ni mcheshi sana 😂😂
@qasammamachinya4448
Жыл бұрын
Ruto, evarst, na mama na wanaest afrca asanten sana
@jeannettenyabitanga9999
Жыл бұрын
Ruto❤❤
@domtecmedia7072
Жыл бұрын
Hey whoever vis talking at the background while while president ruto is speaking that one is unprofessional,it's unfair,am one of the snr international investigative tv journalist from Kenya,
@nickmaina4482
Жыл бұрын
Hongera heshiwa raisi wetu
@samwelkipkurui2843
Жыл бұрын
This guy is more of a comedian than a president 😅
@Malaikalaizer-d2q
Жыл бұрын
Uko sawa broo ww nganganatu
@bonniechannel1497
Жыл бұрын
Anaitua ruto Mr prezo 😂😂
@benardmuchui460
Жыл бұрын
Kura yangu hii,haikupotea wewe ni mwakilishi wa kweli, thanks Mr president
@MWALIMUCHAKATV
Жыл бұрын
Nimecheka kweli
@faithfaith4342
Жыл бұрын
My president ❤ twende kazi ruto
@KilasiCollins
6 ай бұрын
Azimio kenya inatesa Ruto
@mohamedmwinyi3261
Жыл бұрын
Lazima ujifunze Kiswahili tuache kuzungumza kiingereza hio ni lugha mseto lugha ni ya Kiswahili bunge letu tunaongea kiingereza Tanzania bunge lao laongea Kiswahili
@jimmymushi2357
Жыл бұрын
@Habari Digital tafsiri za nn mnatuchukuliaje ????
@wamupepe5301
Жыл бұрын
Ruto mtoshe WAJINGA wote . Muwapatishe ni vizuri kwa WOTE
@bonabonala5559
Жыл бұрын
kwa mtazamo wangu hawa ndio marais wasiopendwa na waninchi wa kawaida ira wanapendwa na viongozi wario wateua na familia zao na kwa mh samia kutokupendwa huku uswahilini ni kuuingiza ubaguzi kati ya bara na znz kuwapenda sana wabara kwa kuuza bandari za tanganyika na kuziacha za zanzibar inamaana anawachukia wa znz huo sii ubaguzi umeingia tz??? watatuchukia wa znz tutakwenda znzbarkweli wabara???
@juliannjunwa7857
Жыл бұрын
Hata mkubwa ukosea, kiongozi wake amemsaidia kusahihisha kile alichokusudia kuongelea.
@johnlobuin4212
Жыл бұрын
Sisi hapa Kenya Tunakupenda Rais Suluhu Hassan, na Uongozi wake Bora. Na pia ametuonyesha kuwa mwanamke, anaweza kuongoza kuliko wanaume pia.
@jimmymushi2357
Жыл бұрын
Kaa kwa kutulia ww hv unajisikia kweli
@mlawayusuph8842
Жыл бұрын
Nabii hasifiwi kwao lakn Samia aminia
@miltonjohn9779
Жыл бұрын
Acha uzwazwa
@wamupepe5301
Жыл бұрын
Kuchochea , ni kweli umeweza leta mambo mazuri. Wenye kuchocheya kwa mambo mbaya , ni wachawi , wasubiri kiloko kabisa kabisa
@rockcitynative9985
Жыл бұрын
We jamaa mbona ni mswahilina kabisa acha zako. Kiswahili unakijua mapungufu uliyonayo hata siye wengine watanzania tunayo wapo tulioathiliwa sana na makabila yetu.
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Wakenya wao wakiongea wenyewe huwa sawa ila hukosa amani wakiongea na watz wanahisi tz wanaufasaha zaidi
@JosephBruno-bm8ge
Жыл бұрын
SWA mweshimiwa
@mainakihurusia6380
Жыл бұрын
😂😂😂😂My president
@talibsaid8096
Жыл бұрын
Nice
@josephlorri431
Жыл бұрын
Mtafsiri angeacha..kiingereza ni lugha rasmi ya biashara kwa nchi yetu
@jimmymushi2357
Жыл бұрын
cjui katumwa kazingua mbona Ruto hajamtafsiri
@rwenenahomechannel1634
Жыл бұрын
Sisi tunacheka😅.Ni vipi mkenya hajui kiswahili ila anazungumza kiingereza kwa ufasaha!? Afrika bado ina safari ndefu...
Si eti atujui kuongea Kiswahili, ila tunaongea Kiswahili mufti nanyi mwaongea Kiswahili sanifu, so their is a bit difference but all we speak the same language and we are good neighbors
@JumbaKalanjin
Жыл бұрын
Gods.must be crazy 1
@vincentombasa
Жыл бұрын
Umenichekesha kuliko wacheshi wengine
@MadimbwalaMafhtaa
Жыл бұрын
Kswahili ni kizuri sana
@MWALIMUCHAKATV
Жыл бұрын
Eti Azimio ni nini Rais Mpendwa?! 😮❤
@espoirpaul376
Жыл бұрын
Ruto hajuwi kiswahili?😂
@ssam3385
Жыл бұрын
Hapo ni wapi?nauliza jmn
@dominiconditi1833
Жыл бұрын
Ruto hapo ulina ndipo
@12feisalh
Жыл бұрын
Congratulations for my president Ruto Kenya 🇰🇪
@MossesiMosessilaizerlaizer
5 ай бұрын
Ww ach siasa bwn ww ongea
@twaibumikidadi7377
Жыл бұрын
marais wako pamja kkn wanayojiita kıoo cha jamii hujıfanya wao ndıo waoo.
@DanielLaiza-l2j
Жыл бұрын
Ngorongoro
@mohamedmwinyi3261
Жыл бұрын
Ndio ujue Azimo wako na mambo mazuri
@berthatz
Жыл бұрын
😂😂
@KorirCosmas18
Жыл бұрын
Watu si wachinga bwna😂😂
@mdl6463
Жыл бұрын
Kelele za wasanii zipuuzeni jenga nchini zenu agizeni mafuta ya kutosha maana najua kuna ndugu zenu wako kijijini usafiri wao bodaboda kwenda hospital umoja ni nguvu ✌👊
@Dr.zaidi4
Жыл бұрын
Too much talking. And Kenyans are starving and completely confused about their future. Hata kujaza gas watu wameshindwa
@hoseakavubu2844
Жыл бұрын
Sura ya maamzi inaonekana katika maongezi.
@TradeIQ_Profits
Жыл бұрын
🤣🤣🤣azimio iko na fujo sana😂😂😂
@samochristopherroche9953
Жыл бұрын
Huyo wnaetafisiri anatupigia kelele..tumemuomba hiyo huduma??
Enyewe rais mwenye anabeba mambo ya kwake kwa wenyewe ni ujinga
@RisaJakson-fv7qt
Жыл бұрын
O
@kennethisiko882
Жыл бұрын
Rais Ruto, I have laughed my tail off. .....but you speak good kiswahili, you need not speak like them (Tanzanians) just like they sweat oil while speaking English.
@wimranpatrick
Жыл бұрын
jama akiskia azimio anahaha chonde chonde waheshimiwa msitaje tena asije akakimbia ruto wa watu
@j.c.maxima816
Жыл бұрын
😅😅😅
@denisrukangula2227
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@duncan.manyekikariuki1237
Жыл бұрын
Huyu president amechaguliwa na GOD alisema mambo ni matatu upizani ikaanza kelele soma maadiko diyo ujue ukweli
Пікірлер: 87