Kwa kweli Mzee Lowassa Hata ukimwangalia tu kwa mwonekano ni Mtu mwenye busara na hekima, Mungu amlinde.
@manafikhatib9413
6 жыл бұрын
INNA LILLAHI WA INNA ILLEIHI RAJIUN...... Mungu ailaze roho yake mahala pema kwenye wema. Amin
@SwahiliPrideBongoMovie2018
6 жыл бұрын
PUMZIKA KWA AMAN, innalilahy wainaillahy rajiun ALLAH AKBAR
@raheemnanyakata3894
6 жыл бұрын
Innallilah waina illaih rajiun.....faida za kuish na wtu vzr..jaman ndugu zangu waislam na wale wa dini zingine tuish na wtu vzr bila kujali wadhifa,cheo,au hali ulonayo.tujifunze kupitia matukio..sory kama kuna nilomkwaza
@wemakalam9415
6 жыл бұрын
Mwenyeezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi ammeen ammeen ammeen 🙏 🙏 🙏
@abuuissa1642
6 жыл бұрын
Innallilah waina illaih rajiun Naam naona Al Akhy Halfani amejikita kwenye sunnah zaidi maa shaa Allah
@nasrynasry4632
6 жыл бұрын
Innalillah wainalillah raju'ni
@hadijadamumbaya5423
6 жыл бұрын
Poleni sana
@jumahory5249
6 жыл бұрын
mh.jk. pole namsiba
@abubakariramadhani1372
5 жыл бұрын
mungu awajarie sana Amina
@binurarassi8156
6 жыл бұрын
Poleni sana kwa msiba, Inalilahi wainaillahi radium.
@allyshafi4391
2 жыл бұрын
M/mungu ampe kauli Tahiti 🤲
@hamzajusata6611
6 жыл бұрын
Mbona mmeweka music Tofauti na kiislamu
@mwambirekwamboka9525
6 жыл бұрын
innalilahy wainaillahy rajiun
@mashimbazephania3511
6 жыл бұрын
poleni ndg
@peterwilliam195
6 жыл бұрын
poleni sana
@sweetlove9550
6 жыл бұрын
Rip babu ss tulikupenda lakini mola alikupenda zaidi m .mungu ailaze roho yake pema palipo na wema ameen
@deogratiusmarwa8389
6 жыл бұрын
pole sana
@wemakalam9415
6 жыл бұрын
Poleni nyote mliofikwa na msiba huu poleni sana@kikwetes family mbele yake nyuma yetu
@franciskavyega280
6 жыл бұрын
Poleni
@kilamegroup2968
6 жыл бұрын
Innalillah wainna ilaihi rajiun
@mtoroonetv9621
6 жыл бұрын
Nimechukizwa na muziki uliowekwa na hawa Clouds Media Group... Mmefeli sana kujua huyo ni wa dini gani...
@ahmedstza2900
6 жыл бұрын
Ina lillah waina ilaih raajuun
@Zubaiba
5 ай бұрын
Innalillahi wainnalillah rajiun
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Innalilah wainnailah Rajiun
@ibrahimenos4199
6 жыл бұрын
Amen
@abdallahfuad5085
5 жыл бұрын
the BGM doesn't embrace the context, kanisani hakupigwi qaswida please for the respect of the family, I believe this can be rectified. Inna lillahi wa inna illaihi rajuun.
@femmyyakobo2116
6 жыл бұрын
poleni
@magdalenamatiko9995
6 жыл бұрын
Wala msililie jamani,mtakufuru.
@wemakalam9415
6 жыл бұрын
May his soul rest in peace ammeen
@cosmasngolomole6517
6 жыл бұрын
Pole sana Mr kikwete kaz ya Mungu haina makosa
@ubuyutv2577
6 жыл бұрын
R. I. p
@mussabuhondo6928
5 жыл бұрын
Huyo Kaka alobeba hapo mbele hutaki kuachia wenzie
@latifamanzi2903
6 жыл бұрын
R.I.P Babu Ila huo muzik s mahala pake hapo
@halimahalima1488
2 жыл бұрын
Innalilah wanna ilah lajihun
@starnewstvtv1126
6 жыл бұрын
Rip
@towardlearningsuccess4465
6 жыл бұрын
Please naomba mawasiliano ya kiongozi wa TV hii
@mackdonardbaharia5699
6 жыл бұрын
R. I. P
@nurdinismail8961
6 жыл бұрын
Innalilah wainaillah rajuun
@newagecommunications7258
6 жыл бұрын
Pole zangu kwa familia ya Mzee wetu...
@dottohenry2794
5 жыл бұрын
poleni sana familia yote ya muheshimiwa j,m,kikwete
@jaydon3361
6 жыл бұрын
Bonyeza picha hii kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone mwanzo mwisho alichokifanya Lowasa kwenye mazish
@djamanitvonline3623
6 жыл бұрын
RIP
@massaej6232
6 жыл бұрын
Dj Amani Tv online polen sana familia ya mzee wetu mstaafu
@allysondaudi3998
6 жыл бұрын
Sote ni njia moja
@hurumasafari9799
6 жыл бұрын
Allyson Daudi poleni sana
@nigeriacultureandtradition8527
6 жыл бұрын
APUMZIKE KWA AMANI.
@suleimanally3515
6 жыл бұрын
shehe wali
@abubakarmohamed8248
6 жыл бұрын
Duuh mh.kikwete mudawote tabasabu kubwa hata akiwa msiban
@florakweyunga878
6 жыл бұрын
poleni,sana.kila mtu ataonja mauti.Mungu baba ampumzishe kwa Amani. Amen.
@michaelkessy5740
6 жыл бұрын
Abubakar Mohamed kama dhinho
@abubakarmohamed8248
6 жыл бұрын
Hahaa eti km dinho
@jonasamos555
6 жыл бұрын
Daaaa marehem ameondoka mapema sana
@mbaroukkhaan9809
6 жыл бұрын
Clouds hapa mmechemsha sanaaa kwanin muweke music wakat marehem wakati msiba ni wakiislamu inamaana mmeshindwa kuweka hata qaswida za msiba za kiislami
@vivianlenard3618
6 жыл бұрын
kwani waislamu wanamuhabudu nani??na wakristu wanamwabudu nani??? acha udini wimbo ni wimbo tuuu
@vivianlenard3618
6 жыл бұрын
Hata hiyo inausiana na mungu
@cmsa1r
6 жыл бұрын
mbarouk khaan tulia wewe. Duh. Stupid
@suzanamsagaty7137
5 жыл бұрын
mbarouk khaan
@christmasmachele5589
6 жыл бұрын
Hivi huyu khalfan kikwete si ndio yule mtoto wa kikwete alietukana watanzania wapinzani baada ya uchaguzi 2015,.? Ndio maana namkubali JPM kichizi kuna watu nakumbuka waliona kama Tanzania ni mali yao binafsi sababu sio kwa dharau ile
@restymlale6003
6 жыл бұрын
christmas machele ndio ninakubaliana nawe kuhusu hili. Juzi hapa kulikuwa na program kwenye TV huku arusha karibu na mbuga za wanyama. Hawa watu wamewauzia ardhi waarabu wa amerates. Wamasai wamenyang'anywa ardhi. Inasemekana familia hii! Imewauzia familia ya kifalme United Arab Emirates. Ila Wamasai wameishitaki serikali. Ninategemea Wamasai watarudishiwa ardhi yao!
@christmasmachele5589
6 жыл бұрын
resty Mlale jamaa aliharibu nchi sana aliirahisisha ikawa kama nyanya mbovu sokoni
@yusuphmdadike8758
6 жыл бұрын
christmas machele nyie vp ya msiba mnaingiza ya siasa yani nyie kila sehemu siasa tu nadilikeni nyinyi
@hassanmakamba7166
6 жыл бұрын
Ukiona mtu anapenda sana lawama sana ujue ana dalil za kufel maisha...huu ni msiba siyo sehemu ya kukosohoana pia hakuna binadamu mkamilifu pia kila mtu anabaya lake na zuri lake pia ndomana neno toba lipo kwenye kitabu ambacho hakina shaka ndani yake....
@ramsoramso9273
6 жыл бұрын
christmas machele acheni unafki nyinyi afadhali ya jakaya lkn awamu hii ndio nchi lmeingia shimoni kabisa nyie mnaendelea kupiga makofi tu
@SwahiliPrideBongoMovie2018
6 жыл бұрын
MBONA LOWASSA namuonea huruma sana yuko sawa kweli
Пікірлер: 70