#baharia #mbanga #comoro
Ni jamaa alojaribu kuzamia meli kwenda visiwani Mayotte akipitia njia za magendo huko visiwa vya Comoro.
Alipitia mengi hapa katikati kama kuuza dawa na mengine lakini alikamatwa mwisho wa siku akarudishwa Tanzania na sasa anauza mihogo koko beach hebu
Негізгі бет MBANGA PART1: Aliyezamia meli asimulia "wote walikufa/ tulikaa kwenye injini' | Dar24 Media
Пікірлер: 74