Mmbalikiwa Asante sana Kwa somo. Fundisha watu tuelewe vifo vingi ni uzembe , na madkt weng TZ hawana mafunzo yakutosha
@mchungajiZachariatv
11 күн бұрын
kzitem.info/news/bejne/lYeQl4mrh52UhH4si=EdQkPnn7TI_GEKzA Roho ya mauti imeteketea Fuatilia video hii uone maajabu Haya
@EdwardMwasyamula
16 күн бұрын
Elimu ya Tanzania ni KUFANYA kazi kwa halaka nikuesabu sana ya mshahala tu bila kufikili chochote Asante mungu kwa lbada hizo zinazo ENDELEA
@mchungajiZachariatv
11 күн бұрын
kzitem.info/news/bejne/lYeQl4mrh52UhH4si=EdQkPnn7TI_GEKzA Roho ya mauti imeteketea Fuatilia video hii uone maajabu Haya
@Leokadiangailo
18 күн бұрын
Mbarikiwa mungu akupe cku za kuishi
@beatricechepkorir9138
12 күн бұрын
Very true man of God very very true mimi nakupenda kwa sababu wewe husema ukweli mungu Akupe hekima zaidi
@donathajasson6401
17 күн бұрын
Dah wewe jamani Mimi naamini kama Mungu hajaamua ufe haufi Mungu ndivo alivopanga Baba yangu waache Madaktari
@constancewakio604
13 күн бұрын
Kabisa Mungu hashindwi angetaka Marco aishi wala asingekufa
@aaaaaah290
13 күн бұрын
🤣🤣🤣 NDO MAANA NAWACHUKIA SN VIONGOZI WA DINI..😡😡 wameua uwezo wa watu KUFIKIRI NA KUGEUZA MUNGU NDO MUAJI,, Yaan me nikose MAARIFA, niangalie mimi afu MUUAJI awe MUNGU 🤔🤔🤔 Hii ni Sawa na MZINZI kusema Aah. Alikuwa SHETANI TUU
@epifaniamilinga2848
18 күн бұрын
Mungu,tusaidie.na matokeo ya mtihani kutolewa na mwl wa chuo ni mbaya kuliko.Bora Necta itoe matokeo.Wanaostahili hawapati wanapata wasiostahili
@user-sf4hf1my3m
18 күн бұрын
Mtoto wangu aliwahi kuvunjika mkono akiwa anacheza na watoto wengine nyumbani............ tukampele hospital yawanajeshi HOSPITAL MILITARY nilikua naishi nchini BURUNDI kipindi hicho Tukaonana na dactari mbingwa wahiyo hospital anayeamika kuwa anahusika na watu waliyovunjika mifupa..... akatwambia kuwa tunatakiwa tutafute kiasi fulani cha fedha ili apasuliwe maana mkono ulikuwa umepinda kidogo akasema pia itabidi awekewe chuma... mimi nilipo sikia habari za kupasuriwa mkono wa mtoto wangu nakuwekwa chuma niliogopa..... Sikuamini tatizo nikubwa kiasi hiko...... nikamwambia sawa acha twende leo nyumbani tutafuta hizo pesa kwanza tutamurudisha kesho kiukweli sio kwamba nilikua sina pesa mdahuo nilikua nazo......... ila nilisita kubaki kwahiyo Hospital kesho ilipofika asubihi nikahamia hospital nyingine iko BUYENZI wanaita kwa SIMBA..... tulipofika tukaingia kuonana na dactari akahangali mkono wa mtoto ulivo akatuandikia BILL ya elfu albaini 40mill tu Wakachukua mtoto wakamunyosha ule mkono ili mfupa ukae sawa sawa wakamwekea vile vitu wanavyo weka kwa mtu aliyevunjika kawaida wakamuandikia na dawa za kumeza za maumivu tukazinunua siku hiyo tukarudi Nyumbani .... bila kupasuliwa, Mtoto wangu amepona Vizri huwezijua kama alishawahi kuvunjika mkono bila kuambiwa na mtu... .. Mkono wake uko sawa sawa kabisa ...... kwahiyo Mchungaji uko sahihi unachokiongeea ni kweli kabisa..... Jamani ndugu zangu elewa Vingine madagitari wanafanya ili waendeleze ujuzi wao kwenye mili yetu....... hivi TANZANIA kunawatu wangapi walishawahi kupasuliwa upasuwaji mkubwa kama huo wa ndugu yetu Marehemu MARCO ambao wapo wamepona? ili tuamini kwamba Marco yeye ilikuwa ni mapenzi ya Mungu alitowa na akatwa jina lake lihimidiwe........... inauma sana😭😭😭😭😭 Sitaki kuongea mengi ila Mungu awahurumie madagitari wetu. Maana kwa kweli niwatu wazuri na wabaya pia.
@gracemarcus1146
18 күн бұрын
Nimejifunza kitu kupitia wewe Na Mungu aturehemu
@AliceAlistidia
15 күн бұрын
Ndo hivo madactali wote wanajifunza upasuaji kwenye miwili yetu na wengi wao ni kubebwa tu Awana uwezo wowote mi mama angu nilikataa akikatwe miguu mpk saiv yupo tz akuna madactali bingwa ni move tu pole sana kwa wafiwa wote kijana kaondoka Bado mapema😭😭😭😭😭
@amoskizigha4781
12 күн бұрын
Mwisho wa siku bongo kila mtu anajifanya daktari..
@jmihenga9079
16 күн бұрын
Watumishi acheni kuwa na mihemko,madaktari wetu wako vizuri tu na wanafanya kazi nzuri tu,mapenzi yetu kwa mpendwa wetu yasitufunge macho na kusahau maelfu wanaoponywa kila siku na madaktari wetu hawahawa tunaowabeza leo.
@nembibenard8440
15 күн бұрын
Acha ujuaji ww mtu afe kwa uzembe watu wasiongee?
@MiragorethLaswai
15 күн бұрын
Samahan unajua Hy Hali iliyompata au unaongea tuu fungua you tube andika aortic aneurysm halafu uone huo mshipa uliopasuka halafu uniambie umeelewa Nini achen kupotosha@@nembibenard8440
@MiragorethLaswai
15 күн бұрын
Kabisa wanaingilia taaluma ambazo hawajazisomeaa acha mbarikiwa kupotosha
@MiragorethLaswai
15 күн бұрын
@@nembibenard8440na wewe ulikuwa nenda india ukapate matibabu
@mchungajiZachariatv
11 күн бұрын
kzitem.info/news/bejne/lYeQl4mrh52UhH4si=EdQkPnn7TI_GEKzA Roho ya mauti imeteketea Fuatilia video hii uone maajabu Haya
@EsauKalanje
17 күн бұрын
Mbona maneno ni mengi sanaaa, tumwachie Mungu, sasa mwisho mnakufuruu
@EdwardMwasyamula
16 күн бұрын
Mambo yote YANAYO kusumbua mwachie mungu ila sisi hii ni Elimu muhimu sana na anatuelimisha ambalo tunauwitaji WA kujua
@ASHOCKSEYAGARA
15 күн бұрын
Jaman unachosema nikwer family 💞 hata ambao huwez Amin wanasema maneno mpaka jamaniiiii
@medardkalinjuma5503
18 күн бұрын
Asee hii ni hatari, na kweli Munishi nmemsikia nawewe pia ,nikama kuna kitu napata had sielewi tutawezaje kupona ikiwa ndivyo ilivyo,lkn Bwana Yesu atatupigania hakika
@mchungajiZachariatv
11 күн бұрын
kzitem.info/news/bejne/lYeQl4mrh52UhH4si=EdQkPnn7TI_GEKzA Roho ya mauti imeteketea Fuatilia video hii uone maajabu Haya
@isayamwashibanda5819
18 күн бұрын
Mtumishi ukweli Mimi piaa nilienda hospital nilienda nikiwa na umwa mkono na mguuu chaajambu nika ambiwa Nina uvimbee kwenye ubongoo wakanambia ina takiwa wanani fanyiee upasuaji nikaenda kupima sehemu nyingine Hawa kuona kituu ukweli usipoo kuwa nawatu wenye kufikili kwakinaa una weza jikuta unakufaa kabla ya wakatii
@jonathankessy9615
18 күн бұрын
Rafiki yangu na classmate wangu Emanuel Marishai alipasuliwa kichwa badala ya got Wanaomkumbuka ☝️
@Fx_expertmoneymaker001
17 күн бұрын
Daah kwahyo alikufa?? 😢😢
@jonathankessy9615
17 күн бұрын
@@Fx_expertmoneymaker001 hapana ila aliparalyse yule aliyepasuliwa kichwa
@jonathankessy9615
17 күн бұрын
@@Fx_expertmoneymaker001 aliyepasuliwa goti badala ya kichwa ndiye alikufa
@CalistusTitus-s5o
19 күн бұрын
Mbarikiwa amuwezi kuimba nyimbo zote zinafanana hapana kanisa aliimbi nyimbo za harakati. Kanisa litaimba nyimbo za kumtukuza Yesu tu! Lakini siyo wote madactari wabaya wengingine wako wacha Mungu. Na kama tutakataa madactari wetu swali je ni wangapi wanakipato cha kwenda nje? Muhubiri kristo tu ayo mengine achia wanaharakati. Paulo anasema kufa ni faida kwa anaye mwamini kristo. Iwe wamepanga ama Mungu kapanga. Cha msingi tutakufa, na kuishi ni kristo. Tukiacha kumuhubiri kristo tutaingia kwenye mtego wa wanaharakati. Kumbuka Mungu alitabiri kufa kwa Yesu. Swali je nani atatimiliza unabii uo? Lazima watu wapange mabaya juu ya BWANA Yesu
@bcozhenry2698
19 күн бұрын
😂😂😂😂kwani Kristo tunayetakiwa kumhubiri anataka tuishije? Je, anataka tutangaze jina la Kristo au tutangaze mafundisho ya Kristo?
@UAMSHOTV
18 күн бұрын
Ni Kwa sababu hata Maana ya Kristo huijui, waefeso 2:12 inasema zamani tulipokuwa hatutendi mema ndio tulikuwa hatuna Kristo, Kristo hasa ni MATENDO MEMA YAKUZUNGUKE WEWE NA JAMII YAKO.. wewe unaabudu Mungu ASIEJULIKANA MATENDO 17:23
@sifawayesu7079
18 күн бұрын
Rahisi kuwa na maelezo mengi kwa kuwa hayajakukuta
@jenyyusuph4973
18 күн бұрын
Hivi akiimba nyimbo na ma Dr ikawaingia wakajitambua tuwaokoe vipi wanadamu huko sio ndio kumtukuza yesu au Mungu kifupi Mungu kwa vyovyote vile anahaja na sisi wanadamu sio wanyama sijui harakat nini unavyojua
@cylviapatric7343
18 күн бұрын
Hata kwenda muhunbur tu syo kaz ndgo wapendwa kwa sa wa hal ya chin
@elizabethchiwamba8372
3 күн бұрын
Mimi ni Muuguzi Mkunga, ni kweli kazi yetu ina lawama sana, sana, na siyo kweli mnavyosema ,laiti na ninyi mngewashauri ndugu zenu wa karibu wasomee hii tasnia ili waone ugumu wa kazi tuliyonayo, msingetukashfu namna hiyo! Ila kwa vile mhukumu wa haki na kweli yupo, ameketi mkono wa kuume wa MUNGU BABA AMBAYE NI YESU KRISTO! NDIYE ATAKAYETUHUKUMU KATIKA HAKI NA KWELI.
@evflorasoledad1437
3 күн бұрын
Ameen
@doricebilauri5081
Күн бұрын
Elizabeth endeleeni kufanya kazi njema...lawama hazikwepeki..ukifanya utalaumiwa hata usipofanya pia utalaumiwa..
@righitkileo
18 күн бұрын
❤❤paulo anasema Kufa ni Faida na kuishi ni Kristo.Kama Yesu Kristo alikufa sisi ni Nani???? Nyie mnaojiita Watumishi mnafundisha nn??Acheni kuumiza wafiwa.kama huna cha kusema kaa kimya .Shinwa kabisa ktkt Jina la Yesu,
@nembibenard8440
15 күн бұрын
Kwa sababu aliekufa sio ndugu yako ndio mana unaongea ujinga Tanzania hatuna ma doctor wakufanya operation kubwa kama hizi hatuna watu wengi sana wanakufa hatuwajui huyu maarufu ndio mana tumesikia lakini waliowengi wanakufa watu wanaenda kupimwa wanaambiwa wanamagonjwa yasiotibika wakienda nje wanapona alafu ww unaongea nn acha watu waseme kama ww unaogopa kaa kimiya wenye ujasiri wa kusema acha waseme
@chisugimunvanesa2352
11 күн бұрын
Marehemu alishaenda zake,musiongeye kuhusu marehemu!Heri muendeleye kuombea watoto wake na kuwasaidia pia,hizo ma dactari ndiyo walifanya afariki haraka,operation wa moyo siyo kila ma dactari!Mungu asamehe hizo ma dactari
@zebedayokatamaduni9676
6 күн бұрын
@@nembibenard8440 Wewe kuna vifo vingine ni makosa ya kibinadamu ndugu yangu, Mf ,ndiyo ukipewa dawa hospitalini unapewa utaratibu wa jinsi ya kuzitumia, Ukikosea matumizi ya dawa zinakudhuru na unaweza ukapoteza uhai
@daliaangelo3242
13 күн бұрын
Muachie Mungu kwa maana ukiongea hivyo maumivu yanaongezeka ,hacha Mungu hajawahi shindwa na ndo anayejua
@ShukranMustapha
18 күн бұрын
Endelea kuimba Tenzi Mtumishi haya mengine unatuchosha wakati wa harusi waimbe nyimbo za msiba?
Mawazo ya Vijana wa Tanzania ni kama Mawazo ya Misukule,yaani wewe Unatia huruma
@mchungajiZachariatv
11 күн бұрын
kzitem.info/news/bejne/lYeQl4mrh52UhH4si=EdQkPnn7TI_GEKzA Roho ya mauti imeteketea Fuatilia video hii uone maajabu Haya
@ibrahimmasanja9097
18 күн бұрын
Ila huyu mchungaji Mungu amsaidie tu leo kwa mara ya kwanza naandika waziwazi
@christinewomanoffaith5479
18 күн бұрын
Nacheka Kwann unasema hivi?
@alexvenas2699
18 күн бұрын
Anashida ya kisaikolojia anahitaji msaada.
@mchungajiZachariatv
11 күн бұрын
kzitem.info/news/bejne/lYeQl4mrh52UhH4si=EdQkPnn7TI_GEKzA Roho ya mauti imeteketea Fuatilia video hii uone maajabu Haya
@janewambui6608
18 күн бұрын
I support Munishi. Marco did not have a heart attack but a blocked artery. Unlocking the artery was the solution. Mot slaughtering someone like a goat. 😮😮
@JacksonMutinda-jw5qw
18 күн бұрын
Munishi nmwibaji na cjasikia amewai kuwa doctor,uyu naye nmtumishi Wala sio doctor,,nkurobokwa kumewajaa tu
@doricebilauri5081
Күн бұрын
@@JacksonMutinda-jw5qw😢
@RobertEmmanuel-pl9jj
17 күн бұрын
Ubarikiwe sana baba. Nilipomsikia munisi mimi nilimuelewa sana kumbe nawew umeona....Mungu akutunze sana mwe
@BagoreSongambele
8 күн бұрын
Dogo alikosa maombi sio madaktari!
@BagoreSongambele
8 күн бұрын
Ukimya ma usiri ulitawala
@alphabartazary9692
18 күн бұрын
😭 Kasome na wewe wakupe huo udaktari Ili tuwe tunatibiwa kwako
@RoseKinunda
18 күн бұрын
Duu yaan ww mchungaji bakukubali sana❤❤❤❤❤
@Asidonia
17 күн бұрын
Tushkru mungu kwan marko amepigana vita ameumaliza mwendo mungu na atamvika taji ya uzima wa milele,kifo ni njia na kila mmoja atapita kwa namna yake.Tusikufuru ni safar yetu sote.Polen sana.
@NyemoJairos
18 күн бұрын
Mtu akisema ukweli mwamtukana,,,,akiwapanga mwashangilia mh 😢😢😢
@saimalunde4002
18 күн бұрын
Shangaa na weww
@Kahindi-k2o
18 күн бұрын
Muwepole mungu awapefaraja
@melanialeonard4031
18 күн бұрын
Jaman shukuruni kwa kila jambo maneno mengi mwisho mtakufuru
@modestapeter2997
18 күн бұрын
Akifa kifo ka hiki mwanao uje utufundishe kushukuru
@lucasmollel4919
18 күн бұрын
Punguzeni ujuaji @@modestapeter2997
@bitumwatemu2731
18 күн бұрын
We nan kakwambia wanae ataishi milele? Au unajua kila mtu kaandikiwa kifo gani? Haya tuambie ww .. labda unajua marco alikuwa ameandikiwa afe kifo gan? Maana hiki unakikataa unaamn hakikuwa chenyewe hk kimesababishwa na uzembe wa watu. Acheni kkufuru kila nafsi itaonja umauti .. sali kabla hujasaliwa.
@alexvenas2699
18 күн бұрын
Tatizo mbarikiwa Wewe unaongea sana unajifanya dictionary Kila kitu unajua wewe acha hizo huo siyo uhubiri unaongea mpaka uanaboa
@lwakainaza
18 күн бұрын
Analeta siasa katika tiba.@@alexvenas2699
@StelaEliabi
17 күн бұрын
Mtashangaa sana pale mtakapo ona kindi la zabroni likiendelea kumtukuza mungu kwa uzuri kabisa shindwa kabisa
@moganimgovano1143
11 күн бұрын
Kabisaa
@maryamsuleiman6340
18 күн бұрын
Kufa haiji bila wakatiwake 😢
@saimongilala8938
18 күн бұрын
Kweri kabisa mm niliambiwa nikwanguliwe jicho bahaty nzuri nikakutana na dakitali tunae juana akanizuia na kunipa ushauri na kunituma kwenye huduma na mpaka reo sijaona shida chicho
@Frank255-e5g
18 күн бұрын
Habari boss
@saimongilala8938
18 күн бұрын
@@Frank255-e5g sarama sana
@Frank255-e5g
18 күн бұрын
@@saimongilala8938 Nina tatizo la macho kinyama kinaota kwenda kwenye kiini Cha jicho naomba namba yako ili unisaidie ndugu yangu
@Fx_expertmoneymaker001
17 күн бұрын
Ni wapi huko na mm nna shida ya macho.. 😢😢
@josephmarwa1295
18 күн бұрын
😅kamahakusitahili kufa ulitakanani afee? Wakati Mungu anawahitaji watukama hawa watendaomema ifahamkweli kwanza ya Mungu baas hautasemahivyotena
@catherinewanjiru1055
11 күн бұрын
Lakini jamani ,tuwe na habari kamili ya the Diagnosis of the patient kabla ya kutamka lolote kwa wauguzi wetu.Hamna hata mmoja wetu ambae ameugua na kutibiwa akapona Nchini Tz?
@NelONYANGO-y9d
16 күн бұрын
Dah kweli mjomba angu alifanyiwa uparesheni ya mgongo pesa nyingi ilitumika ila akupona alikufa mungu awalaani walitoa uwai wa mjomba angu wao na vizazi vyao
@StevenMsome-xc5zw
18 күн бұрын
Ninyi ndio watu wasiyo na roho watu wa dunia hii tu waletao mafarakano
@Zuwenamchuzi
11 күн бұрын
Mungu aipokee loho yako kaka imetuachia majonzi
@desolz3809
11 күн бұрын
Siyo loho...😂😂😂 ni roho
@sifahamuli6902
11 күн бұрын
Kwa nini walimufanya operation ? Hafanani mwenye anaenda kufa😮😮
@janejoel2465
18 күн бұрын
Yaan kweli kabisa madaktali wakati mwingine sijui wanakuwa napombe kidogo kichwan!! Mama yangu kidogo afanyiwe upasuaji wa macho tusinge tuma vipimo nje, bado kuna mtoto walisema ana saratan ya jicho anatakiwa afanyiwe upasuaji, bahat nzur kuna daktali alisema aone vipimo na kama vip apimwe tena mtoto , baada akagunfua kuwa jicho halina shida hiyo!!! jaman Kwakweli ni changa moto
@DivinePromise-sv3qq
18 күн бұрын
Madaktari wetu ni changamoto Mimi ni muhanga nimeshuhudia hayo makosa kwa macho yangu niliambiwa na uvimbe wa kufanya upasuaji lkn nilienda hospital nyingine nilipewa dawa na nikapona ilikua 2021 saa hizi ningeshazikwa muda mrefu sana
@thelivingwordchannel9027
18 күн бұрын
Madaktari hasa vijana siwaamini kabisa
@bahatinyandula6425
18 күн бұрын
Jitaidi nduguyangu mbarikiwa kuongea machache ,angalia usije ukaumwa na kupelekwa hospital, wakati madaktari unawasema hawana uwezo wakutosha na mambomengiiiiii
@Mbarikiwa_Mwakipesile
18 күн бұрын
WAMEUA mwanangu hata wakinimalizia sawa tu.
@officialgiventz5829
18 күн бұрын
Figo inaangaliwa kwenye ultrasound scan sio x ray, usiwe mjuaji too much vitu vingine ni vya kitaalamu
@ZainabuBakari-yb4vj
18 күн бұрын
Jamani hebu tuwaachie madaktar,mbona wachungaji kila idara mnataka muwe nyie,siasa nyie,Leo mmeingia tena kwa madaktar,tumekwisha,ongea huu upuuzi kwa wazungu,utaishia jera,acheni wenye fani jamani,hiyo sio fani yako
@odamssanga6871
18 күн бұрын
Mcha Mungu ni Nuru ya ulimwengu, ya kumulika uovu kila mahali, haijalishi unatendwa na nani, yaani bila kujali cheo chake
@odamssanga6871
18 күн бұрын
Ezekieli 3:16 Hata ikawa, mwisho wa siku saba, neno la BWANA likanijia, kusema, Ezekieli 3:17 Mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa nyumba ya Israeli; basi, sikia neno hili litokalo katika kinywa changu, ukawape maonyo haya yatokayo kwangu. Ezekieli 3:18 Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. Ezekieli 3:19 Lakini ukimwonya mtu mbaya, wala yeye hauachi ubaya wake, wala njia yake mbaya, atakufa katika uovu wake; bali wewe umejiokoa roho yako. Ezekieli 3:20 Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. Ezekieli 3:21 Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako.
@odamssanga6871
18 күн бұрын
Ezekieli 33:7 Basi wewe, mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli; basi ulisikie neno hili kinywani mwangu, ukawape maonyo yangu. Ezekieli 33:8 Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. Ezekieli 33:9 Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.
@odamssanga6871
18 күн бұрын
Isaya 58:1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
@Frank255-e5g
18 күн бұрын
Watumishi ndiyo wenye kweli ya mungu nakwakua Kila mamlaka inatoka kwa mungu basi wao ndiyo viranja kuchunguza mamlaka hizi kama ni zanamna gani kwahiyo tuna Imani na watumishi wa mungu japo wanapitia magumu mengi
@gabrieljuma Kama vile ilivyo wewe kila kitu hujui kwani wewe ni shetani?
@bitumwatemu2731
18 күн бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Jichunguze@@modestapeter2997
@mariayegela239
13 күн бұрын
Mchungaji yupo gerezani au naonaje🤦
@user-mi5ur8re7p
18 күн бұрын
💔😭😭😭😭 Inaniuma sanaa,
@florahlaanyuni8553
16 күн бұрын
Mimi pia ni muhanga, yaani nakumbuka kabisa kuna siku nilikuwa naumwa tu maumivu nikiwa mjamzito wa wiki 6 na kila ujauzito wangu uliopita mara kwa mara napata maumivu makali sana huwa napewa tu drip ya maji basi, sasa siku hiyo nikapelekwa hospitali fulani cha ajabu nilichomwa sindano mbili hata sijamaliza masaa mimba ikatoka. Sometimes uzembe ni mwingi sana kikubwa Tuombe sana tunapoumwa Mungu atupe madaktari sahihi
@modestapeter2997
16 күн бұрын
😢 duh!
@maryaugustor6983
14 күн бұрын
Hao ndio walikosea kwa nn hawakumpeleka Nairobi hospital I mean KUNA doctor's hapa KENYA Kwanza professional sasa hivyo pesa ya ndege mpaka DAR SALAM huoni ingemtibu TU vizuri tena yy walimwimbia president wetu kama walikuwa hawana pesa wangemwita tu angewasaidia anyway ishafanyika SIKU nyingine ikifanyika kitu jua Kenya wamesoma na malengo na wanafanya kazi KWA roho Moja poleni wafiwa.
@PetrolBhulugu
18 күн бұрын
Hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe iwe kusudi iwe bahati mbaya iwe ni uwezo mdogo wa madakitari, tuseme mungu karuhusu kifo cha huyu ndugu na mimi kipindi hiki tuwape faraja wafiwa
@Kadiam726
17 күн бұрын
Asante kwa kuenekeza ukweli dhidi ya swala hili
@TheSalma1999
18 күн бұрын
Ameongea point huyu baba msikilizeni kwa makini sana anaongea ukweli mtupu kuna rafiki yangu alifanyiwa operation ya fibroids aka anza ku bleed ma dr na manesi wakakimbia mbio wakamuacha amekufa kifo kibaya sana juu ya operation table kuna tatizo la ma dr Tanzania huo ni ukweli
@user-dy8ss4ly8z
16 күн бұрын
Kuishi kwetu ni kristo na kufa ni faida
@PhinaEdmund
18 күн бұрын
Bwana ametoa na Bwana atwaa jina la Bwana libarikiwe.. Pokeeni sana wafiwa.. Tumshukuru Mungu kwa yote
@odamssanga6871
18 күн бұрын
Ndo ujinga waliowaingizia wazungu kuwa kila kifo ni bwana katwaa, waafrika tufike mahala tuamke na kupaza sauti kwa pamoja kuleta haki Duniani, tusibaki na unyumbu nyumbu tu, wa kwa kuwa halija kukuta wewe, nawe litakukuta tu.
@melanialeonard4031
18 күн бұрын
MUNGU atabaki kuwa MUNGU angetaka angezuia hata huo ugonjwa usingempata punguzeni kelele
@DidierAKILIMupimbidjumaDidier
17 күн бұрын
Oooh lalala poleni sana ndugu zangu wa Zabroni
@godliverokwero5233
18 күн бұрын
Yes true
@GloryChristopher-mq4ci
7 күн бұрын
Ujuaji ukizidi unaleta hasara mchungaji leo kawa doctor dah. Kila kazi ina ugumu wake kama ulifungwa ni ugumu wa kazi yako. Yesu alifufua wafu kwanini ahukwenda kumuombea afufuke. Utasema sio gharama yako sawa. Na doctor nikutibu tu na sikurudisha uwai wa mtu Unajua kutengeneza hela hii sio injili tena Siasa , kiki, dah vimeamia kanisani
@Gospelactorstv
18 күн бұрын
Mwachieni Mungu mwenyewe
@constancewakio604
13 күн бұрын
Death is spiritual just leave doctors alone they only treat, God heals if it was not the will of God for him to die he cud be leaving right now so lets just stop blame games guys..the will of God was done on earth as it is in heaven though it hurts so much😢😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@KidsKornerTV-ul6hs
11 күн бұрын
Kwanza from Kenya, if it was the will of God wangekaa Kenya kutibiwa. He should have been treated hapa Kenya.😢
@constancewakio604
11 күн бұрын
@@KidsKornerTV-ul6hs exactly
@ManaseLazaro
12 күн бұрын
Operation kubwa kama hizi,Nchi yetu haijashindwa kuajiri wataalam kutoka nje ya Nchi,ni tatizo sana kama Taifa lisipokua makini na watu wake.
@crispakyando8854
7 күн бұрын
Tutasikia mengi
@Spark8Technoo
16 күн бұрын
Jmn Mungu nisaidie nihepushe na hizo balaa
@andriessegotsane
18 күн бұрын
Ko hapo anahubiri kanisani au ?
@AmisiLulacha
18 күн бұрын
Familia ilifanya kosa kumleta Dar walipo juwa tatizo ni Moyo wange kaa chini wawe namaamuzi sahii wangapi walisha pita operesheni Dar wakapona hapo wangepata majibu sahii uwezo wanao tena sana wange mpeleka Indian angepona safari ya Kenya tu Dar angefika Indian
@NyanyamaNkombe
18 күн бұрын
Naupenda sana utumishi wako Baba
@nantaembanusurupia5674
18 күн бұрын
Mume wangu pia alifariki kwa kuziba mishipa ya damu, damu ikawa haifiki kwenye moyo ilikuwa ni kipindi cha corona basi hakupata matibabu wakang'ang'ania kuwa ameshikwa na corona basi tukamuangalia mpaka akafa😢 na walisema kabisa damu haifiki kwenye moyo kakini walivyokufa wakasema ni corona! Basi nashukuru Mungu kwa yote😢😢
@cylviapatric7343
18 күн бұрын
Duuuu pole
@GraceKazi-z8d
18 күн бұрын
Daaa! Pole sana mwanamke mwenzang
@VeredianaKalembi-gs4vs
12 күн бұрын
Jamani TUACHE maneno mengi juu ya Kifo Cha wengine kwani India hawafi? Ikifika utakufa tu
@user-pw5lb6or4z
18 күн бұрын
Kama mungu kauwa kumchukwa mtuu wanke una weza kumponya mungu kashamwa
@nabosedward4836
18 күн бұрын
Siyo kila kifo kinatokana na Mungu
@user-vh2qd6zu4o
18 күн бұрын
Ndio Yan bongo ni kazi sana bado tunatamaha ya pesa 17m zirudishwe
@hellenjulius7790
18 күн бұрын
Eti wairudishe kwakweli
@MasumbukaNhagara
13 күн бұрын
IV kweli mtu uugue ghafla ufe kusafr kwend nje ishndkane ndan y wik mojtyuu
@NelsonDavid-f6u
12 күн бұрын
Acha maneno yako we Mzee
@modestapeter2997
12 күн бұрын
Lete maneno yako we kijana
@AlexWilliam-r2p
18 күн бұрын
Jmn uxongee maneno ayo family na watanzania tupo kwenye wakat mgumu wa kumuombolez kjna ,rafk,ndugu yetu jmn
@leonaherman1249
18 күн бұрын
Au usomee udaktari mana unaujua udaktar zaidi..... Unayoongea hayana maana zaidi ya uchonganishi mana wakwenda ameenda acha familia iomboleze kwa amani
@vascoaidan8648
12 күн бұрын
Kwani huyo mgonjwa ndo alikuwa wakwanza kufanyiwa hiyo operation? Au wote waliofanyiwa hiyo operation wamefariki kwa jinsi hiyo?
@user-ot1ff7yq2l
18 күн бұрын
Wewee nawe mbarikiwa kuna muda sjui hujielewiiiii unasemaj hakustaili kufa kwani wwe ni munguuu hbr y vifo ni kazi ya munguuu hakuna wa kuweza kuzuiaaaaa
@fridalyanguka1733
18 күн бұрын
Ni kweli kaka tumekuwa tukifanyiwa majaribio ktk miili yetu.
@GeorginaMkumbwa
15 күн бұрын
Yaani ni wachache sana wanaofanyiwa upasuaji wa moyo wanapona hata akipona anakaa tu siku chache utasikia kafa.
@remigiusrwechungula7047
16 күн бұрын
Mbinguni tutaendaje bila kufa????
@CostansiaMtwigu-xh8li
17 күн бұрын
Acheni uongo jamn muwe na woga kila mtu ataonja mauti
@mathiaszakaria7052
18 күн бұрын
Nimeona comments za wanaoish kwa connection,kuanzia kufaulu kimchongo na kupata ajira kimchongo wanang'aka balaa na huo ndo ukweli.Ndo mana huduma nzuri zipo hospital private maana hakuna hakuna kubebana
@user-vc4xr1mf5q
18 күн бұрын
Wewe acha kimdomo icho ivi ukikaaga kimya huwa mdomo unavimba sio
@modestapeter2997
18 күн бұрын
Ama wewe usipo koment mavidole yako Yanavimba? Au nyani haoni kundule
@bitumwatemu2731
18 күн бұрын
@@modestapeter2997 nawasiwasi na hekima zako mtumishi?
@odamssanga6871
18 күн бұрын
@@bitumwatemu2731Mithali 26:5 Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
@sebastianmwantuge5597
18 күн бұрын
Kuna madaktari wengi sana na wengine tumesoma nao shule ya msingi na sekondari,uwezo wao ulikuwa si wa kuridhisha lakini sasa ni madaktari
@eliudsinkala419
17 күн бұрын
Hivi wewe mbarikiwa umebarikiwa na nani? Maana aliye barikiwa na Mungu hayuko hivyo,labda wa shetani
@JohnJoseph-qq7ow
16 күн бұрын
Mkristo ukiugua usiende jk hiyo hospital wakiristo wakienda wanakufa MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI atusaidie mnielewe ninacho wambia wakiristo
@caronafula-bd5co
18 күн бұрын
ni ukweli kabisa pst, hata Marco asingekufa hawakumpa mda wa kupumzika alisafiri masaa marefu, kutoka Kenya, wangempa mda apumzike kwanza,, alafu ilikuwa ni mshiba wa damu ndo ulikuwa na shida hao wakapazua moyo ,
@christinewomanoffaith5479
18 күн бұрын
Mmmh jmn
@GraceMhoja-bu3ce
17 күн бұрын
mzazi mwenzangu ni tanesco shinyanga aliombwa 200,000 ili apate kazi
@Okay2Martin
14 күн бұрын
Bado kitambo kidogo,tu kazi itasonga
@BarakaWicklifu
18 күн бұрын
Mnakosaga cha kuhubiri au
@felisterandrew8741
12 күн бұрын
😭😭😭Mungu atusaidie.
@josestudio4534
18 күн бұрын
Daaah hii ni kweli maana Tanzania Madactari ni wauwaji tu
@winfridarebecca6246
18 күн бұрын
Jaman polen sana
@MwitaKihugi
18 күн бұрын
Kabisa kabisa
@jonathankessy9615
18 күн бұрын
Una jicho la Mungu brother
@NovatusSweetbert
18 күн бұрын
Hivi wewe pastor unayaongea haya ,ukiumwa wewe ,utaenda hospitali ipi wakati uko unawaaibisha mbele kuwa hawana utaalam
@andrewmaseta4635
13 күн бұрын
nikweli kabisa hospital atuna matabibu
@bahatadof5543
18 күн бұрын
Aisee,Mungu akubariki mbarikiwa,
@NERYJONAS-fw2jc
18 күн бұрын
Lalasalama
@tonytyson1019
17 күн бұрын
mbn Yuko tofauti na maelezo ya daktari
@AnnaAnna-sz3vo
18 күн бұрын
Hata hivyo sio kifo cha kawaida, ati ghafla kashtuka moyo ,mara mshipa sijui vyenye alikuwa kenya alikosa mtu wa kumpa wasia wakwenda kwa Ezekiel maombi ingekuwa bora zaidi. Ila ndugu zanguni huku ticktok nako vifo vimezidi
Пікірлер: 252