What I appreciate for harmo ,he takes time to write a good lyric, very nice 👍
@user-mb7oe3pg3y
2 ай бұрын
True❤
@DamtelLegunju
2 ай бұрын
unajua katika maisha haya mwanaume anavyo kamatika na kimapenzi huwa anapagawa sana ila huyu anataka hera kama magufuri angekuwa yupo angekupa hera uacha kuandika mashairi ya kumuhusisha mung si mwanamke wala mwanaume hafananishwi na kitu chochote
@NdayisabaValens-gh7kb
2 ай бұрын
Tunataka collable ya ninyi,ikiwa Harmonize ataimba wimbo na Diamond tena,tutakubali wao wameungana tena,kutoka 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 much love to TZ Musics
@KarambiziMartin-xv8op
Ай бұрын
Sijui kama itawezekana. Bro I'm from Rwanda 🇷🇼 hhh
@NdayisabaValens-gh7kb
Ай бұрын
may be coz all of them are searching money may be wale wametudanganya wana beef lakini hakuna beef katikati yao
@frankkulwa3981
2 ай бұрын
Very nice song. Hongera sana Harmonize. 🎉🎉
@AnastasiaKilonzi
2 ай бұрын
Mashaallah konde boy mungu akubariki na raisi Samia hapo
@bishopdavid6371
2 ай бұрын
harmonise anaimba vyema kwenye live zaidi ya diamond. nimesema bila kuogopa ,yuopo tu sawa
@user-mb7oe3pg3y
2 ай бұрын
Kweli❤
@MelodyniyomwungereOfficial
2 ай бұрын
Ukweli saana
@Maryc2G
2 ай бұрын
Mwanamke ni mtu na nusu, kukatishwa tamaa usiruhusu, hata kurudisha nyuma unitów nafasi.💪🏽💪🏽👍🏽
@user-wg1sl2bh7n
Ай бұрын
Me unaitwa ranzorld Nina nyimbo yangu naomba mnisaport Jina LA mzki wangu ni sitomuacha please naomba usisahau kucomment mnitie moyo
@DirectorNgosha
Ай бұрын
❤❤ harmonize I appreciate your work hakika unaweza Kaka
@jumakivuma581
17 күн бұрын
Hongera harmonize Kwa kuungana na wcb Tena by Alex John Pollo
@OFFICIALVIDEOS-z4p
2 ай бұрын
Great song. Mama
@WalkersTech1
2 ай бұрын
MAMA YANGU #RAULENCIA NI MTU NANUSU✅
@fuadaladawi1255
2 ай бұрын
Harmonize is Golden boy,talk & go sleep
@lgdnce8309
2 ай бұрын
❤kweli MUNGU ni wa kwanza mama ni MUNGU wa pili bila mama wewe usinge kuwepo na huwezi pata mama original hila bandia utapa
@mtumishijoshua
2 ай бұрын
Hata mii natamani niimbe kwa ajili ya rais wetu make ni jasiri kwa kuongoza nchi yetu, haka huyu mama ni shujaa hila nilipotuma kipande cha sauti kwenye mitandao nilishambuliwa na wakatishaji tamaa
@ndayikengurukiyeremy3744
Ай бұрын
wee ni nani??
@Chazyassenga
Ай бұрын
Na mim nikuongezee????
@user-pn7em9nm6r
2 ай бұрын
Konde nakupega sanatumbusha tulipo my brother 🕺🕺🕺
@Woniala-fj1pk
Ай бұрын
Good song big up to every mam in the world ❤❤❤❤❤❤❤
@PaulJohn-vp8ue
Ай бұрын
Good very much kaka mkuu
@JumaSabai-l5b
Ай бұрын
Mm nampenda sana Allah make ndiemkomzi zaidi ya chochote hapa duniani
@shebbyJr
7 күн бұрын
Marafiki hawaachan kirahis🎉🎉
@aminamwinyi6004
2 ай бұрын
tumuombee sana uhai mleefu huyo simba lama simba.maana bila simba media yote za habari na wasanii wetu kwishaaa.
@user-zg8lr7ur5k
29 күн бұрын
😢si pending mimi
@JofreyElisaria
Ай бұрын
ENJOY Good music from REENA MANGI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@JashMedard
6 күн бұрын
Asante konde boy unasema veman ongera
@IssaMuhamed-sg6np
2 ай бұрын
Nakubali konde❤❤❤❤
@GodfreyMoses-m6u
27 күн бұрын
Asante sana kwa wimbo mzuro
@Christianbround
Ай бұрын
Kweli harmonize we ni mkali sana i'm from Drc
@BarakeyRasta
Күн бұрын
nice for you m'y bron
@danielwesonga1501
2 ай бұрын
nice one good song 💯🔥🔥🔥
@Miriamerasmas-rk7nz
2 ай бұрын
Konde wew kibok jmn honger san
@salehezimbwe6395
2 ай бұрын
mama yangu ni mtu na nusu
@Wizzky-w8m
18 күн бұрын
Kaka unaweza
@rosemutisya2073
2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@DigaBoyTz
2 ай бұрын
Me naimba natumia jina diga boy tz please please please please please please naomba msaada nanyimbo yangu inaitwa raha
@Official_taya_mhenga_smith
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Khany_voice417
2 ай бұрын
Pandzp ww
@BizeddOfficial
2 ай бұрын
Msaada gan unaotaka?
@Chazyassenga
Ай бұрын
Em tuione kaka
@BizeddOfficial
Ай бұрын
Unaishi wap?
@fuadaladawi1255
2 ай бұрын
Mis understand harmonize & Diamond start from journalist
@ShabaniSalumu-et4zm
2 ай бұрын
Mama nitu na nusu
@michaelmanya2376
2 ай бұрын
Kazi nzuri sana kwa huyu kijana .Jamani hiki ni kipaji.
Me kama mekarboy nko upande wa harmonize end I wish nipige ngoma na yy
@GastonMnyukwa
Ай бұрын
Big ap brother
@user-of5db6ze4x
2 ай бұрын
Sawaa bwana lakin Mondi ni mtu hatari sana
@JashMedard
6 күн бұрын
Konde boy mimi ni shabiki yako namba moja Nipo congo
@WilliamYatosha
2 ай бұрын
Toka hpa tumechoka na kumsifia diamond
@emilykoi135
2 ай бұрын
One love bro Konde
@harunaAsuman
2 ай бұрын
Konde boy ametisha
@LucasMagukuru-hc9kr
2 ай бұрын
Huy ndo kondeboy, bravo
@EmmanuelMashala-xv1em
4 күн бұрын
Mungumkubwa sana
@HaronMwingi
8 күн бұрын
Uyo mama sioni kitu akafanya sifa za Bure tu
@MuniBoy2000
4 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉😮😊
@WardaMauwa-hk8vl
16 күн бұрын
❤❤❤❤
@ANDREWOBARA-d4r
16 күн бұрын
Nìmeipenda
@user-pg8zq4bo9c
26 күн бұрын
Berry good
@sadaccaron9782
2 ай бұрын
1:13
@goodlucksenyagwaofficial2299
2 ай бұрын
Namuona lwaga anapoitamani maiki yan hapo angepauwa
@sadaccaron9782
2 ай бұрын
Francais
@amanimlengwa9202
Ай бұрын
Hiyo live na sauti inatoka hivyo... Daah! Huyu dogo anajua sana kuimba!
@DigaBoyTz
2 ай бұрын
Me naimba natumia jina diga boy tz please please please msaada
@SebastianDaniel-mb4nl
2 ай бұрын
Jisaidie kabla hujasaidiwa
@RamaSaid-je3sd
Ай бұрын
Wewe nisupa
@DeusSilas
Ай бұрын
Kunamama na mama yangu
@ElvisWanjala-vr8jg
Ай бұрын
Acheni kutuchanganya sisi kama shabiki wenu tumechoka
@IsaacNapudjo
2 ай бұрын
Konde weye uko shida.kaha apooh usi toke.
@izaboymtykwl
2 ай бұрын
Mbona sipatihata jina ya Diamond ninyi😂😂😂😂😂
@samuelkimomo2336
Ай бұрын
Baki hivo H umwnyowa vizuli
@GedeonKatobola
17 күн бұрын
Ok❤❤😢
@IdiMuhimpundu
Ай бұрын
Kiukweli kijana karogwa
@NtakobajiraYasini
Ай бұрын
😂😂😂 kabisa vraiment maman ni mama😂❤
@NoeNdahama-em5si
Ай бұрын
😊😅❤❤❤❤❤❤❤❤
@hivebeecalpiz
Ай бұрын
mada yenyewe uongo mtupu
@MarksonOsoro
Күн бұрын
Kama ww mwnainchi unatamani kumuimbia kiongozi mgani
@user-hd3pi3bc9v
2 ай бұрын
Rajabu ww ni kijana wa kiislam umemfananisha ALLAHU Mtukufu na Mwanamke na umekiri na kutubia makosa yako lkn bado unaendelea kumshirikisha ALLAHU kwa kusema Mama (mwanamke) ni Mungu wa pili achana na njaa itakupeleka pabaya hapa duniani tunapita tu, pia jitahidi kuteng muda wa kuisoma dini yako uielewe vizuri na ulazimikiane nayo hadi kufa ALLAHU atuongoze sote na Atujaalie mwisho mwema✓
@BizeddOfficial
2 ай бұрын
Unahakili sana
@LucasMagukuru-hc9kr
2 ай бұрын
Kwel
@ibrahimkarisa-cp7su
2 ай бұрын
Apa nataka like za wakubwa....watu walio komaaa sio wale wanao mchukia hamo bila kosa...😂😂😂 Pumbavu zenu🏃🏃
@user-vv1te9fu8q
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-vv1te9fu8q
2 ай бұрын
Bravoooo konde gang for life 🎉🎉🎉❤❤❤
@RichardRutembesa-ns1kn
2 ай бұрын
Kwa Maana hiyo umekuwa !! Umevunja *Ungoo!! Au siyo
@MonaJuma-cp3jg
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@BizeddOfficial
2 ай бұрын
Njaaaa tupu
@RangoPrince
28 күн бұрын
hingera baba
@MsalabaniReko
2 ай бұрын
Kalewa nn
@fuadaladawi1255
2 ай бұрын
Kwanini Wasafi wivu sana,inamaanisha niwachungu
@olivertwistproductions
Ай бұрын
most boring crowd ever, this coperate heads dont need entertainment
@ALEXISBAHATI-xp2qi
Ай бұрын
ndokweli
@aminamwinyi6004
2 ай бұрын
mimi ninachoona harmonyiz habari zake aziend mpaka muweke picha ya simba ndio muuze habar zenu.kweli simba ndio baba lao
@user-cg6sr7vr3k
2 ай бұрын
Hatamipiya nimefungua vidéo nikizani kwamba nitamuona Simba
@waidiyoyadagospelsmusicofficia
2 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/pot5l3t5pZV_kn4si=b3RgegP_3-DcwKBv Big up saaana brother 🙏 #mkomboziLucifer ft #Waidiyoyada #FAT'IMISARABA #mkombozi kzitem.info/news/bejne/pot5l3t5pZV_kn4si=b3RgegP_3-DcwKBv 😊 1:14 1:15
@Woniala-fj1pk
Ай бұрын
Good song big up to every mam in the world ❤❤❤❤❤❤❤
Пікірлер: 109