Viva Mwabukusi wewe utabaki kwenye mioyo yetu Mungu akulinde na waovu
@isaiahmwasonzwe2486
Жыл бұрын
Duuuh hakika mawakili wetu wazalendo mmejitoa kwelikweli Mungu awabariki sana na kuwasimamia. ...
@leonardinnocent9638
Жыл бұрын
Rip Mchungaji Mtikila. Nilikuwa namkubali sana kwa harakati za kuipigania Tanganyika. Serikali 3 hazipingiki. Ni suala la muda tu....
@leoniamnyani8148
Жыл бұрын
😅
@hussennyange5702
Жыл бұрын
Allah awalinde sana ndugu zangu na awape maisha marefu sana nilikuwa naomba kitu kimoja tu kwenu Naomba mawakili wote nchini wakujetegemea mkutane mtengeneze mikakati mizuri zaidi sisi wanachi tuko nyuma yenu Mungu awasimamie tu
@majaliwakibwama9634
Жыл бұрын
Safi sana
@erastomadary2891
Жыл бұрын
Ubarikiwe Kaka hussen kwa uelewa Wako mkubwa
@odilomwemeziernest646
Жыл бұрын
Wakipigwa noti na DPW wata wataendelea kututetea?kumbuka wajomba walipelekwa Dubai vyuma vikawekwa mfukoni leo wanakuwa wakali kama pilipili,hapa naona tufanane kama Roma tu,twende zetu Marekani au Lema kule Canada
@bishopaugustinempemba4561
Жыл бұрын
Huwezi ukaunga mkono mkataba huu unaozungumziwa mpaka uwe umerogwa au umehongwa au yote mawili. Ni mkataba wa hovyo mno na kama hii ndio aina ya mikataba inayoingiwa na nchi yetu, basi nchi yetu imechezewa na hawa wasio waaminifu kwa muda mrefu sana. We can't TRUST these people anymore. Nothing that is hidden that cannot be revealed! Watanganyika, tusikubali kabisa kuruhusu nchi yetu kuuzwa kwa ujanja ujanja na watu wachache wenye ULAFI wa kujinufaisha wao binafsi na familia zao. Wakili Mwabukusi na timu yako mlindwe na Mungu.
@florangido202
Жыл бұрын
BIG AMEEEN.....
@stephanonyembedodo758
Жыл бұрын
❤❤❤
@joshuajoseph1176
Жыл бұрын
Chizi ndiyo anakubali huu mkataba wa kipumbavu MUNGU atushindie
@kommuhassan299
Жыл бұрын
Unaeleweka sana bro , ni watu wachache sana wenye ujasiri wa kukemea uovu huu hatari sana ktk nchi yetu Tanganyika kwa waroho wachache na wapambe wao kina Rostam Azizi na machawa wengine wa Haya Ma-ccm ....
@medicalamon908
Жыл бұрын
Very relevant and fact! Mtu mwongo ni hatari sana! We are not fools and ignorant HATUTAKI na Wasitulazimishe.Tuko pamoja tutaomba na tutawaombea at any cost. BARIKIWENI SANA MH.MWAMBUKUSI NA TIMU YAKO YOTE.
@nantaembanusurupia5674
Жыл бұрын
Wanajua hatujui kiingereza, ndio maana wanatumia zaidi kiinglishi,waandike kiswahili tusome wote😢
@user-bx3ko9ft5t
Жыл бұрын
Mwabukusi bro nakuombea mungu akulinde sana naolewao wakuue
@user-rc1dp6ux3k
Жыл бұрын
Mwabukusi una akili nyingi jaman nakupendaaa tuko tayar kuchangia
@rehemashabhay8946
Жыл бұрын
Mungu yuko pamoja na nyinyii,Mungu ni mueza wa yote..kwakwe yeye ni mgawa haki .Mungu awatie nguvu.
@user-rc1dp6ux3k
Жыл бұрын
Mungu akulinde mwabukusi unaeleweka sana tusijali kwa wanaoneza Mungu atasimama
@hamisikitwana7957
Жыл бұрын
MWAMBUKUSI HUPO SAHIHI NA TUPO PAMOJA NA MUNGU ATAKULINDA❤❤❤
@luganomwaigomole7441
Жыл бұрын
SAFI SANA BROTHER..MSEMA KWELI SIKU ZOTE ATAISHI...SAFI SANA BROTHER PHILIPO ..KAKA MWABUKUSI TUKO PAMOJA SANA.
@juliusjohnii7823
Жыл бұрын
Nawakubali sana mawakili watetezi wa nchi yetu. Big up 💪💪💪💪💪
@user-hd7nf3xs1r
Жыл бұрын
Waziri mkuu anafikili bado tuko Zama za mawe ndiyo
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
Eeee Mungu nakuomba umpe ulinzi mkubwa Mr Mwabukusi. Amejitoa kutuelimisha WATANGANYIKA kwa jasho na damu. Tupo nyuma yake. Tunamsupport sana. MUNGU tunaomba utupe roho ngumu kama ya Farao tuwe na uwezo wa kupihana na Askari jambo lolote litakalotokea. Tupo tayari kuikemea hili mkataba wa ajabu wa Bandari. Mungu ibariki Tanganyika
@sulimanmzee2310
Жыл бұрын
SAFI SANA WAZARENDO AWA LAZIMA TUWAUKUMU SERIKALI MBOVU IMEOZA WEZI
@mwenem8130
Жыл бұрын
Big up kwa vijana wa Tanganyika, huu ujinga ccm wamerikoroga, ila kiburi kinawamaliza.
@Sr.BasilisaPanga
Жыл бұрын
Tunasali, tunaendelea kusali. Mungu tuhurumie na tusamehe, Mungu tusaidie kuvuka ktk giza, maficho na hila. Tuunganishe pamoja ktk nchi yetu. Tunasali kwa ajili ya raia wote tuwe salama, na rasilimali ya nchi yetu kwa manufaa kizazi cha sasa na kijacho. Amina
@luganomwaigomole7441
Жыл бұрын
HERE WE GO BROTHERS...WE'LL FIGHT FOR YOU UNTIL EVERYBODY IS WAKE UP..
@KassimAlly-xp4dz
Жыл бұрын
Are u sure u will fight 4 them cz hu ever anapinga uo uwekezaji ujue amelipwa tayari
@WemaChuma-qx3gz
Жыл бұрын
Mi nakuelewa Sana mungu tusaidie bandari zetu wasichukue hao wadubai
@elibarikimollel7149
Жыл бұрын
Barikiwa Wakili Mwabukusi kwa imani yako kubwa kwa Mungu. Tufunge na kuomba tangu tar.14,15,na 16 ili Mungu mwenye nguvu awe pamoja nasi na kuwakatilia mbali wote wenye tamaa na kiu ya kutuuza
@zeelamipango
Жыл бұрын
Safi sana wazee wetu nyinyi ndio ngao yetu msituangushe tupo kipindi kigumu zidi ya watu ambao ni ndg zetu viongozi wasio na uzalendo kwa nchi
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Tuliyeni huko mama afanye mambo yake mbeya limeni mpunga huondiyo uwezo wenu
@zeelamipango
Жыл бұрын
@@isaliisu3408 mambo gani?
@nyambegamatoro6817
Жыл бұрын
Naam, good. Roho ya uzalendo iliyokuwemo ndani ya wazee wetu akiwemo Mwl Nyerere na Magu . Rip
@bryanmagee5681
Жыл бұрын
Huu mkataba bwana una mambo sisi watanzania tumekataa kabisa mkataba huu.serikali inangangania kutoa zawadi bandari yetu unaweza ukadhani ni mali ya DP world. Halafu serikali ndiyo inauotaka kupewa bandari hiyo. Kama kweli serikali haina mkono hapo kwanini wanganganie kutoa bandari ambayo ni mali ya watanzania halafu watanzania tumekataa kwanini wasirudi kwa DP world wawambie bandari zetu hatuwekezi zita tuletea matatiizo tutafukuzwa kazi. DP world matapeli. Watanzania msikilizeni Lissu ni mtanzania hali.
@odilomwemeziernest646
Жыл бұрын
Tena siyo bandari yetu bali bandari zetu,maana nindari za bahari na maziwa,kasoro tu bandari ya Tanga na Mtwara.ila zingine zote kwishenea,tumeishauzwa tayari,nahisi tumeishachelewa,na kibaya zaidi hakuna kiongo wa dini yoyote ambaye amepinga hili,usalama wa jeshi la wananchi.hivyo naona maneno hayatoshi mtwambie mnataka tufanye nini?
@user-oj2rm3wl9l
Жыл бұрын
Mungu wa Mbingu na Nchi awapiganie Nyote.
@profs.a5412
Жыл бұрын
Tena kuhusu kifo Cha mjomba hata mama alihusika kutudanganya .....na Leo wameungana kutuuza , na wanatudanganya kama hawatuuzi
@ZainabSige-ev3em
Жыл бұрын
Asanteni sana wazee na mawakili wetu wasomi. Nafurahishwa sana na ujasiri na ukweli mnaosimamia. Binafsi niko nanyi hadi kieleweke
@user-sw1dv1iq6h
Жыл бұрын
Mwabukusi Mungu akufunike kwa bushuti lake. Wanaowazia mabaya juu yako Mungu wa Mbinguni awapige upofu macho yao yasikuoneee mwamba wetu. Washindwe kwa jina la Yesu
@winniefridamutakyawa5943
Жыл бұрын
Mungu awabariki sana.
@tanzaniakwanza1699
Жыл бұрын
Hongereni wana wa Tanzania. Better to die poor than slavery richness
@mdmahammad3278
Жыл бұрын
Hatutaki waranganyoka kufanyiwa unyama katika asilimali zetu tulizo pewa na mwenyenzi mungu
@user-rc1dp6ux3k
Жыл бұрын
Waziri mkuu mwabukusi tunamwelewa jibu maswali hayo ni ndiyo mashaka yetu
@rutashobyanovath1116
Жыл бұрын
Wakili umenifurahisha sana sana
@fidelfidel-jz4iw
Жыл бұрын
Safi Sana Wananchi kwani bandari ni sehemu muhimu sanaa ndilo mambo yote ya nchi hasa za kijeshi huwa nisili kubwa ili maadui wasitoe taarifa kuwa wameingia siraha ya Aina furani nchi inakuwa uchi
@saidmtetwa4363
Жыл бұрын
Great job wakili Mwabukisi
@mathiasshirima4520
Жыл бұрын
Asante mawakili wasomi. Mwenyezi Mungu awape hekima na ulinzi wa roho mtakatifu.
@danielmushi5755
Жыл бұрын
Well said, congrats ❤❤
@ezekielhaule364
Жыл бұрын
Hivi Tanzania mtu akishakuwa kiongozi anakuwa na akili na uelewa kuliko Wananchi wote??
@ezekielhaule364
Жыл бұрын
Ni muda wa wananchi kuwaita wabunge wao majimboni na kuwahoji juu ya huu mkataba.
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
Watanzania wana machungu.... Jamani 😭😭
@nantaembanusurupia5674
Жыл бұрын
Watanganyika bana😢
@africayetutv329
Жыл бұрын
Siku moja niliwahi kusema ipo siku watu uoga utaisha ikifika hapo itakuwa hali mbaya, Jpm alishawafumbua macho watu , jinsi avoongea jamaa anaonesha uchungu wa hali ya juu, huu ndio usomi sasa na kuelimika
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
But pole sana wakili msomi kwa kutishiwa maisha mzee.. Mungu akulinde sana na utakua salama.
@nestor384
Жыл бұрын
safi sana wakili👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@dollyjohn6811
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa tuingie kwenye maombi kwa ajili ya nchi yetu
@user-rc1dp6ux3k
Жыл бұрын
Wakili Mwabukusi umejitahidi serikali inatukaanga kwa kutuadaa zama za ujinga zimeisha nilikuwa namwamini sana waziri mkuu kweli mkataba haufai waziri mkuu kaa upande wa watanganyika
@TwahaSaidiLigoola-kr1rt
Жыл бұрын
Mwacheni mama. Mama yupo kazini mwacheni apige kazi mh samia suluhu hasani mungu ambalik
@francissimwinga-gb2vd
Жыл бұрын
Hatutaki kazi yake sasa
@juliuskitaluka1206
Жыл бұрын
Njia aliyo tumia huyu wakili ni njia nzuri sana mji ukiwa na wazee mambo huwa hayashindikani hongereni Sana
@user-rc1dp6ux3k
Жыл бұрын
Mungu awatie nguvu tuko tayar kuchangia gharama kukusanya maoni ni geresha toto ya kuwadanganya watanganyika hapa hoja ni mkataba huu ufutwe hatuutaki kabisaaa
@mathiasshirima4520
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awalinde. Hii ndio shida ya watu wasiochaguliwa na wananchi. Tunaendelea kuwaombea hakika Mwenyezi Mungu yuko upande wenu. Kwa maombi inawezeka hakika watashindwa.
@fidelischibukwe543
Жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿 Mwabukusi Mungu akulinde sana kaka
@justardzelphine6526
Жыл бұрын
Wazee wetu myie mnjitambua sana!
@ernestmasanja4641
Жыл бұрын
Inauma sana yaan unaweza ukalia..lakin wananchi tusikubali.nyie mawakili tembeeni mikoa yote na wilaya kuwaamsha wananchi.wachangiwe fedha wanasheria hawa wazalendo
@lilykarim8968
Жыл бұрын
Wafanye hivyo mimi niko tayari kuchangia
@theresiakessy4747
Жыл бұрын
Waziri Mkuu ww ndio Uliobaki mbegu ya hayati magofili tulikuwa tunakuamini lakini umetusikitisha sana mungu anakuona Laana zote zitakutafuna ww
@sulimanmzee2310
Жыл бұрын
WAMEZOEA KUWAONA WATANZANIA WAJINGA
@benderarulenge2477
Жыл бұрын
Na kweri uandikwe kiswahili mkataba huo tuusome vizuri
@themanofgod7562
Жыл бұрын
We are Ready for Sacrifices.
@angelsgabriely3575
Жыл бұрын
Safi sana,..Aamina!..Tanganyika hailiwi tena!
@ambakisyemwailongano6078
Жыл бұрын
Ameeni ameni ameni NAWASHUKURU. Sana
@robsonlotyloy5678
Жыл бұрын
Maneno mazuri mno. Kijana akimkosea babà atahonywa na mama. Je? Akimkose mama? Mama hawezi kuhuza nyumba ya baba,ni ngumu sana ❤
@user-rc1dp6ux3k
Жыл бұрын
Watanzania wengi ujinga wetu ndiyo hasara yetu na watoto wetu tukate kuhuzwa kwa bandari yetu
@ndingolivin-qy6xk
Жыл бұрын
Mwabukusu wewe ni mwamba sana Mungu akubariki sana sana
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
Жыл бұрын
Mnalenu sio bandari,yaani mnampinga mama wakati anafanya vizuri,kweli kuna wanafiki wengi,mi nasema mnajisumbua sana mkataba ushapita na hamuna la kufanya munaleta udini hapa, pumbavu zenu.
@user-zy8nx1ol5m
Жыл бұрын
Utakua umelogwa au umehongwa
@thieryniyonkuru5023
Жыл бұрын
Kweli, ati wawe na Imani na serikali. Serikali imekuwa kanisa? Ni Facts, Data, na reaches . 👌👌👌👌👍👍👍
@user-gr9wc7bc2m
Жыл бұрын
Kanisa ndo kila kitu bila kanisa kuna amani duniani wewee
@jamaa2760
Жыл бұрын
Picha linaanzia Masharti ya MKATABA,💥💥💥💥💥
@deomajiji1789
Жыл бұрын
Mbeya Oyee!!
@muharamiesther5908
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu tuepushe na viongozi wapumbavu 🤲🙏
@omarmagimba1971
Жыл бұрын
Wewe ni wakili, umekwenda mahakamani badala ya kusubiri hukumu tayari unahamia kwenye Uzanzibar na Utanganyika. Umeshashindwa.
@emmapaul1766
Жыл бұрын
wewe shoga la warabu wa dpworld tuliza mkundu wako na kama hiwezi kutuliza huo mkundu wako wapelekee warabu wakakupige mtingo choko wewe.
@aishakhatib3107
Жыл бұрын
Well said 👏 Allah awalinde Mawakili hawa
@clemencemkondya8561
Жыл бұрын
Wazee wa mbeya mnaakili Sana .Huyo mwabukusi anawadanganya.kwanini huyo wakili amepeleka kesi na huku anahangaika kuongea kwani nanyi mnaongea mambo ambayo yapo mahakamani.Jiuluzeni kunanini mawaakili mnatapatapa .
@angelsgabriely3575
Жыл бұрын
Mwabukusi mungu akulinde!..na uwekewe ulinzi!..ni kweli walikimbia wote sasa wanerud kula nchi
@ThomasiMatoke-xx9do
Жыл бұрын
Wazir mkuu mpiga Dili anatetea maisha yk nafamilia yk Akumbuke cheo ni zamana asiwaone watanzania c wale Tena tumeaamka Magufuri alituaminisha ndani ya serekali wapiga Dili tu
@ThomasiMatoke-xx9do
Жыл бұрын
Huko sahihi
@joycemboya5728
Жыл бұрын
Hongereni mawakili wetu
@sportsnewjs4330
Жыл бұрын
Mkataba wa matapeli huu'! Hatuutaki
@uredmwasembo8579
Жыл бұрын
Tupo pamoja sana kwenye ili 👏👏
@ezekielmirambo8704
Жыл бұрын
You are good and on the right way, thanks
@jonathanakhabuhaya1693
Жыл бұрын
Nafurahi kuwa Wazee mmeamua kumwita Mbunge wenu ambaye ni Spika.Akisema upuuzi pigeni kura ya kumfukuza ubunge.Akipona hapo atakuwa na adabu na kufanya kazi yke kwa iadilifu.
@muharamiesther5908
Жыл бұрын
Mwenyewe Mungu Tuepushe na viongozi wapumbavu 🤲🙏
@hassanihamidu8546
Жыл бұрын
Mimi naomba wazili mkuu asijiingize kwenye huu mchongo, atajiharibia sana. Maana katika zunguka yangu nchi hii anakubalika sana sasa akitaka kuchafuliwa aendelee
@RenaldaZeramula
Жыл бұрын
Siyo.Bandari tuu wananchi hv sasa Hatuna amanita.ktk nchi yetu. Kila.sehemu hama bila.fidia pish mwarabu etu muwekezajj. Mkoa wa pwani umevamiwa na waharabu wakosaidiana.na.Mkuu wa.mkoa dhuruma imezidi
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
Жыл бұрын
Mnajisumbua sana mkataba umeshapita
@mwasongolefraiden798
Жыл бұрын
Nyie wazee wa mbeya bandari wapi na wapi na mbeya! Mnaacha kuzungumzia maendeleo kama vile barabara stand kuu hivyo ni vya muhimu kwa wanambeya bandari mbona ya Tanzania Tanzania wote.
@PeterNaftalkichere-bm2wp
Жыл бұрын
Jamani kwa hili la bandali kila mtu amejua tumepigwa, ila wenye madalaka wanadhani sisi wanaichi hatujui ,eeh mungu ikiwa unaona ya sili bas tenda jambo lililo gumu kwa binadamu
@erastozawadi8002
Жыл бұрын
Naomba mawakili toeni account namba za kuchangia ili kusaidia kuuelewesha uma Kwa mambo ya kisheria yanayowapasa wao kama wananchi kuyafanya maana watanzania wengi hatuoni faida ya kuzaliwa Tanzania ndyo maana tunaimba bongo bongo bahati mbaya. Yan hii inatosha wanasheria mlipo Kila Kona ya nchi toeni elimu account ikitolewa Kila pesa inayoingia wanasheria andaeni semina kufundisha wananchi stahiki zao ili hata kupunguza rushwa maana watanzania wwao bila kujua Kila kitu kikifanywa na serikali wanalazimishwa kupiga makofi na sasa ilivyo uongoz wote umekaririshwa Kila kitu kafanya mheshimiwa raisi Yan mfumo wa uongozi haupo kwa kuwasaidia wananchi lakin upo kwaajili ya kumsifia raisi Kwa mantiki hiyo viongoz hawafikiri wanafikiri uongozi wamepewa kama zawadi kutoka kwa raisi na kwa wakat wowote wasipomsifia anaweza akachukua uongozi na hiili ndilo linalosababisha wasiweze kumsemea raisi Bali waongelee koridoni Apa nakumbuka kauli ya tundu lisu aliyosema raisi anatakiwa apunguziwe mamlaka ya uteuzi maana kwa style hii anakua mungu sio kiongozi na haya ndyo madhara yake wanasheria angalien hilo
@sulimanmzee2310
Жыл бұрын
WAZIRI MKUU ATA AKIRI ANA ANAPEREKWAPEREKWA
@onionpeeling5822
11 ай бұрын
Linchi linabwengwa hili ( linauzwa) .. Wanauza nchi utafkiri hamna binadamu wanaoishi na wamenogewa kweli kweli aisee ... Tutauzwa hadi nyayo za miguu tubaki viwiliwili tu 😢😢
@thomastarimo
Жыл бұрын
sawa kabisa mnatakiwa msomee alibadiri
@yusuphjoram6487
Жыл бұрын
Mungu atasimama na watanzania
@majaliwakibwama9634
Жыл бұрын
Waziri mkuu ni jizi na muongo, kwanza alitudanganya kutuambia magufuli ni mzima
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
Hata mimi hapo nilikasirikaga sana aisee. Mwamba alitutoka yeye kaja kasema bado anapiga kazi. Simuamini mtu mwingine zaidi ya Dkt BASHIRU
@user-rc1dp6ux3k
Жыл бұрын
Watanzania mkiwapuuza mawakili hawa mtakuja kujuta kwa laana hii kumbukeni liliondo imeuzwa kwa waarabu
@simaraphaellucas8469
Жыл бұрын
Tunaomba mawakili wote Kila mkoa fanyeni hv hv hi yamwisho ya kufunga nakuomba kumtegemea MUNGU nimeipenda MWAMBUKUSYO shikamoo💪💪💪💪💪💪💯
@timeofjesusministries9611
Жыл бұрын
Yes aisee italeta maana sana
@eliyasumatek4574
Жыл бұрын
Naombo ngeza wazee wetu
@alphoncekagezi4950
Жыл бұрын
Tanzania na swala dp word upande mwingine swala mkataba wa bandari za Tanzania. Haliipeleki katika kesho ilivyo salama.
@irovyairovya2333
Жыл бұрын
Zungukeni nchi nzima mkutane na wazee wa kila mkoa mtapata sapoti
@veronicawilson4263
Жыл бұрын
MUNGU wewe ni MUNGU hujawai shindwa Baba watazame Hawa watoto wako wliojitolea kuitetea nchi yetu Mungu ninaomba uwalinde na hay vitosho vya adui shetani Mungu wa Mbinguni wasimamie watetee wapiganie ulipga vita Kwa ajili ya wana wa Israel simama Mungu wetu wape kibali mbele zako na hata sisi watoto wako sikia kilio chetu Baba
@yusuphjoram6487
Жыл бұрын
Pambeneni ndugu zangu nawaamini Sana Sana
@erastomadary2891
Жыл бұрын
Mungu awalinde mbarikiwe Sana
@GeorginaNgimasi
Жыл бұрын
Tuko pamoja mungu atawasimamia
@exseviangaeje1158
Жыл бұрын
Waziri mkuu watanzania tunakupenda sana lakini dude ili la bandari linakuchafua kisiasa watu tulikutumaini saaana Kama ungemshauri mama aache Kama ataki ungekaa kimya Nalo NI jibu
@jumannerajabu8259
Жыл бұрын
wazee dar salam wanamuogopa charamila ira najua nawao hawapend hili jambo kama mm nikichaa2 ndio anaeweza kusaini au kama yuko naakili timamu bx amehogwa
@mufundegemwakalonge3987
Жыл бұрын
Zaburi 74:17 na Matendo ya Mitume 17:26, Mungu ndie aliyeweka mipaka ya dunia na akaweka mipaka ya nchi au Taifa. Wazanzibar wasiuze Taifa la Tanganyika.Wazanzibar wanaionea Tanganyika. Katika Isaya 49:26 Wanaoonea watu, Mungu anasema anawalisha nyama zao wenyewe na kuwalewesha kama Kwa nvinyo mpya Kwa kuwanyweshwa damu zao wenyewe. Mungu atawalinda Kwa nguvu zake mawakili mnaotetea Tanganyika maana tunalindwa na nguvu za Mungu.
@RugemaliraRenatus-rf6yv
Жыл бұрын
Asante sana mweshimiwa wewe ni mzalendo .
@mfwimiekayuki8692
Жыл бұрын
Wazee wa Mbeya asanteni kwa mawazo yenu.Ila binti yenu TULIA historia haitamsahau kwa usaliti wa nchi yetu kama spika.
@user-qo2nf6vm7k
Жыл бұрын
Wazee wa dar wamekaa wamevaa misuli wakinywa kahawa na alkasusu
@marystambuli8045
Жыл бұрын
Mko sahihi jambo likishakuwa mahakamani halitakiwi kuendelea kuzungumziwa nje. Waziri Mkuu anatakiwa asubiri mahama ilifanyie kazi kwanza
Пікірлер: 344