Mwalimu nchini Tanzania apata umaarufu katika mitandao ya kijamii kutokana na namna yake ya ufundishaji anapokuwa darasani. Ungana na mwandishi wetu akikuletea mahojiano na mwalimu ambaye anasema kuwafunza wanafunzi kwa vitendo ndiyo siri ya mafanikio ya wanafunzi. Sikiliza maelezo kamili kutoka kwa mwalimu Yusuph Pangoma....
#mwalimu #tanzania #wanafunzi #mbinu #elimu #vitendo #voa #voaswahili
#dunianileo
- - - -
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Негізгі бет Mbinu za ufundishaji zampa Mwalimu umaarufu katika mitandao ya kijamii
Пікірлер: 13