Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.
@jipemoyo5461
4 жыл бұрын
Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.
@paschalmk313
7 ай бұрын
2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.
@JaphethSimiyu-r9l
2 ай бұрын
😂
@frankdanford8245
3 жыл бұрын
Mimi sio msabato Ila nawapenda sana wasabato munajua kuimba mno
@ochangamigwanga4100
5 жыл бұрын
kazi nzuri sana mbiu,hamjawahi kutuangusha kanisa la waadventista wasabato ulimwenguni kote.safi sana
@joselynebenjamin9080
5 жыл бұрын
Amin
@agneskitugi6579
5 жыл бұрын
Ok
@gideonmounde548
4 жыл бұрын
Pls vol one night habari njema na hallelujah pls naitaka hauko you tube
@gladysombati2806
4 жыл бұрын
@@joselynebenjamin9080 3ou
@veronikageorge7030
3 жыл бұрын
Amen
@gracemadatta1456
2 жыл бұрын
Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.
@mereziawilson3044
4 жыл бұрын
kazi nzuri sanaaa...Mungu azidi kuwabariki...you know i love you guys
@norahnyanchokasosi544
4 жыл бұрын
Kazi safii watoto wa magufuli,, WanaMbiu you never disappoint 💕💕 💕 watching you from Kenya. Blessings!!
@piuscheseret9033
3 жыл бұрын
MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.
@mariamkondo8230
5 жыл бұрын
mungu awabariki sana! kwa kutubariki kwa nyimbo za kutia nguvu ili wote tukaze juhudi wa kufika pale
@cathbethkiplimo2256
5 жыл бұрын
nawapenda sana wana mbiu sda am from kenya mungu azidi kuwabariki
@gracejohn1769
5 жыл бұрын
Mungu awabariki wapendwa kwa kweli nyimbo zenu zinabariki, Mungu azidi kuwatumia apendavyo.
@janehamisi6069
5 жыл бұрын
nyimbo zenu wasabato zinanifariji sana nazipenda
@joselynebenjamin9080
5 жыл бұрын
Amin
@leahdominic8199
3 жыл бұрын
I love you mbiu with your sololist da happy nataman siku moja tuimbe wote
@pillymaira4088
Жыл бұрын
Nawapenda!! Mungu awajalie nguvu ya roho mtakatifu mmuinue kokote ulimwenguni pasipo majivuno Amina!!!
@victormwita4078
4 жыл бұрын
Nyimbo inabariki kila msafiri anayengojea marejeo ya Yesu ambayo yamekaribia sana
@tigerchristmas5491
5 жыл бұрын
JE TAWI?!!I'm a Catholic but napenda sana nyimbooo zenu wapendwa jitahdn kuapdate nyimboo ili tulio mbali tubarikiwe distance istitutengenishee
@niscolahcheperur6962
4 жыл бұрын
WELCOME to our adventist world
@nadamata1303
4 жыл бұрын
Amen be blessed
@tigerchristmas5491
4 жыл бұрын
Jitahdn kuapdate nyimboo
@mariajohnfelix8018
4 жыл бұрын
Ni SDA ndugu
@tigerchristmas5491
4 жыл бұрын
@@mariajohnfelix8018 yes mpndwa ,napenda nyimbo zao
@aiyasageo2572
4 жыл бұрын
Who's from Mombasa listening to these grate voices
@faithmwikamba4391
4 жыл бұрын
Here🙌
@uwamahorojirber7126
4 жыл бұрын
E
@brianorina3798
3 жыл бұрын
Me
@brianorina3798
3 жыл бұрын
Like your songs, they rilly insipires me
@marthadanstan4242
2 жыл бұрын
@@uwamahorojirber7126 gv good
@omonywamotangi9015
3 жыл бұрын
Safari yenu next yafaa iwe Kenya kwetu hapa. Mungu awabariki kwa kazi mnayoifanya
@mijashushu9552
4 жыл бұрын
Nikweli kabisa kuna matumaini kwawanao mjua Mungu. Mungu awabariki sana mmoja wenu asikose kuingia mji huo waajabu. Nami nautamani humji waajabu.
@senator166
3 жыл бұрын
Takuja kuwatembelea apo Tandale Mungu akipenda 🙏🙏
@golumene
4 жыл бұрын
Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.
@georgegabriel9180
5 жыл бұрын
Asante mbiu kwaya. Kazi nzuri,hiyo key board nimekubali safari hii kiukweli.
@collinscollo8188
4 жыл бұрын
May God bless you for the goood job you're doing, nyimbo zenu tamu sana🙏🙏🙏💯
@asooraaasooraa4816
4 жыл бұрын
Ninabarikiwa sana na nyimbo zenu nzuri nawapenda Mungu awabariki mzidi kwenda mbali 💞💞
@yonamatola9854
5 жыл бұрын
Kila siku tutakuwa vijana, natamani sana kufika jijini Yerusalemi
@angnesmuthui2505
3 жыл бұрын
Me to
@mariammaimbo6802
5 жыл бұрын
mko vizur Mungu awabarik mkaimbe na mbinguni
@godlovemrosso8715
5 жыл бұрын
nabarikiwa sana sana nanyi mbiu mungu na azidi kuwainua katika viwango vya juu
@mokiridaniel6795
5 жыл бұрын
Yaan mbiu choir hamjawahi kuniangusha🙏🇹🇿
@elizabethmarco7457
4 жыл бұрын
Barikiwa kwa nyimbo nzuri
@ZebidaMagambo
4 күн бұрын
Waoooo i love you a lot,,,,mnanibarik kwa thanaaa,,,,
@fmwikwatyonews7415
5 жыл бұрын
mungu awabariki sana kwa kazi njema,tukutane yerusalemu .
@kiangiemmanuel8371
3 жыл бұрын
Mnafanya vizuri Mbiu Ila ongezeni program za maombi na kujifunza neno la MUNGU na moja ya ombi lenu iwe kila kitu kifanyike kwa utukufu wa MUNGU, Mbarikiwe sana.
@adister1420
5 жыл бұрын
Kazi nzuri. Nawapenda Sana.. Salimia apilo opiyo Justin..
@fatmakizimba744
5 жыл бұрын
Nyimbo nzuri,na pia mmependeza sasa.
@danielndarera8087
4 жыл бұрын
Wimbo huo ni bora kweli kweli.Barikiwa mno kwa jina la Yesu
@aloisemukoma8701
3 жыл бұрын
Mji ni mzuri!!!! washangaza!!!! ukiwa pale ni furaha tele
@thomkimaro5801
4 жыл бұрын
hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best
@philipchumba1074
5 жыл бұрын
Ooooow!!! Nice one mbiu be blessed choir i daily listen to your music nd videos plz upload more it blesses more. Listening from Doha
@danielpaschal6526
3 жыл бұрын
Mmbarikiwe waimbaji na mungu awaongoze siku zote Amen
@happysamson7079
5 жыл бұрын
Mungu awabariki wasafiri wenzangu mwende mbali.
@francishungi2720
Жыл бұрын
Ilove this choir it has done a tremendous job to spread the good news of the kingdom in east africa
@shukranimugasa3521
5 жыл бұрын
THERE IS ONLY ONE MBIU CHOIR IN THIS WORLD... GOD BLESS YOU RICHLY
@eliamshahara7665
5 жыл бұрын
mbiu mbarikiwe kwa kazi ya Bwana
@alfredodindo4703
4 жыл бұрын
Mbiu SDA choir never fails me with their songs, they always kills it. much love and be blessed
@singwithlenin
4 жыл бұрын
The man behind these great compositions is Gibson Nguru I hope so.
@millicentayot8733
5 жыл бұрын
Mungu awajalie nyinyi nyote na muendelee kukusifu milele na milele
@aloyssimbare5938
Жыл бұрын
Asanteni saaana kwa wimbo mtamu sana tena wakunimbusha nyumbani
@corneliuskiprotich2753
4 жыл бұрын
Great message,uplifting.... From Kenya SDA community
@nathanaellugema5484
5 жыл бұрын
Wonderful song, wonderful style of singing the song,, be blessed Mbiu Choir
@nabsonkifuge5115
4 жыл бұрын
Mnanibariki sana kwa nyimbo zenu murua ,barikiwa sana
@justinemariita4141
4 жыл бұрын
kazi nzuri wapendwa
@samuelmuhindosivamwanza4988
5 жыл бұрын
Amina. Mungu Awabariki sana. Mwende mbali.
@benpius3076
5 жыл бұрын
My favorite choir you always sing very well, nice message and sweet harmonies
@kavutadanieli4071
5 жыл бұрын
Hongeren sana Mungu azd kuwabariki.
@aloisemukoma8701
3 жыл бұрын
OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.
@ezelkan6350
3 жыл бұрын
Ezekiel from Kenya nawapenda sana kwa nyimbo zenu,wamama wazuri kama kuna yule aja olewa ningependa ni juwe hili tuwaziliane hivi karibuni.
@marionjons2288
Жыл бұрын
Ameeen and Ameeen katika jiji lile Jerusalem ❤❤❤❤
@theobarddimoso8835
5 жыл бұрын
Kazi Nzuri imejaa upako na baraka tele.
@abigailkalee7151
2 жыл бұрын
Mbiu SDA choir may God bless you. You really bless me.
@mako331
5 жыл бұрын
Nimewakubali aisee, one of the best
@duncanoonyango5635
5 жыл бұрын
Wow.. 👏 👏 👏 👏 👏 God bless Mbiu... Looking forward to another meeting in Kibera #CAMPMEETING2020
@sophymetto9166
4 жыл бұрын
Lack words to express how I feel to your songs may God bless you my SDA family
@rozimalima-t8d
2 ай бұрын
Mbarikiwe kwa wimbo mzur na wenye ujumbe mzur
@momanyijunior1566
5 жыл бұрын
you never fail.. you are our leaders, mfano wa kuigwa kila wakati
@AdrianMarkclay
2 ай бұрын
Nyimbo mzuri sana nauliza tu Kuna dada apa anaimba kwa both choirs mbiu and salasala
@japhethsaid4023
5 жыл бұрын
Mbiu mbarikiwe sana
@shemmondo76
2 жыл бұрын
Amen best song 🎇🎇🎇🎇🎇🎇 God bless you mbiu choir.
@nadamata1303
4 жыл бұрын
Ameen be blessed mbiu choir for your good work.
@keruaya
4 жыл бұрын
Kweli mwapendeza sana,kweli tu wenye dhambi.
@Kipchumba117
5 жыл бұрын
Good work mbiu nawapenda tu saana,,more of the same album please
@willsonndayanse6557
5 жыл бұрын
Katika album zote ambazo mmetoa hii ni kiboko, High Definition Video. Good work. Mwende mbali mpotelee mbinguni.
@cynthiachepkogei6490
5 жыл бұрын
Mbiu you've always be the best choir .May God bless you people
@hezekiahmatiko3494
3 жыл бұрын
The veterans in the ministry.barikiwa
@kabaranamaganga6646
5 жыл бұрын
Mbarikiwe makamanda wa yesu
@JeffsonNganga
5 жыл бұрын
I now see why you have delayed to release a new album....so that you release such a nice song. God bless you richly...
@peterlumumba6247
5 жыл бұрын
Ni wimbo mzuri hakika. Kwa kweli wanaimba.
@JeffsonNganga
5 жыл бұрын
vyema kabisa
@emmanuelndala4809
3 жыл бұрын
@@peterlumumba6247 p
@ZebidaMagambo
4 күн бұрын
Waooo huo mji mzuri nataman tusikose ukoo
@justusmuange4388
4 жыл бұрын
May our great God bless you nightly for the good job.
@salimmbui1459
4 жыл бұрын
great song from Mbiu, i love the content 😍
@hamzamwilaphy2902
4 жыл бұрын
Na nyimbo zenu nzuri sana zinabariki
@delvinenyaboke4143
4 жыл бұрын
Amen amen mji ni mzuri
@georgemchalumbi5008
5 жыл бұрын
mbiu mbarikiwe sana
@gloriousmelodiesministry2172
4 жыл бұрын
Lovely song keep it up guys 👌🏽👌🏽👍🏽
@dorothychangawa4316
3 жыл бұрын
Barikiweni
@Mr._clean
5 жыл бұрын
Am always blessed by ur songs may the Lord richly bless u ..... Pendo whenever I see u am happy
@dottoaluphonc9262
4 жыл бұрын
Nzuri saaaaaaana
@vivianngala6793
4 жыл бұрын
My all time choir ur voice n the message gives me so much hope I can't miss heaven for anything else nataka nizunguke Katikaka jiji jerusalemu
@elizabethongori378
4 жыл бұрын
Mnaimba poa napenda nyimbo zenu
@judithcherono2595
5 жыл бұрын
Amen barikiwa sana
@alexngala2634
5 жыл бұрын
Hi kwaya hunibark sana Mungu awabark
@hayaishlameckmtareha3394
3 жыл бұрын
Mung awe nanyi mzid kumuimbia mung
@nsiamassawe3075
4 жыл бұрын
Uimbaji Wa kisabato unanifanya nitamani kuitwa msabato.
@kibetandrew5622
20 күн бұрын
Umekaribishwa kabisa.
@nsimirenshokano9585
4 жыл бұрын
Ameen mubarikiwe nyimbo zenu nizaupako
@aliceagoodsongnicevoices4855
3 жыл бұрын
Mbinguni ni mahajabu when shall we meet there?Amen 🙏
@marthakyando4836
3 жыл бұрын
Wimbo mtamu mbiu nataman asiwepo hata mmoja wakuzeeka muimbien bwana ama hii ndio kwaya itakuwapo mbinguni🤔🌹🙏🏻
@issokateketa1275
5 жыл бұрын
kwa hakika Mbiu mmekuwa baraka kwa ulimwengu. peperusha bendera ya BWANA hata ajapo. MTOBESYA, ZACHARIA
@sheilaombongi8086
4 жыл бұрын
My favorite choir hallelujah Amen
@deborahmaangi40
5 жыл бұрын
my best...be blessed for the good work
@KawaMaxTVKenya
5 жыл бұрын
Mbarikiwe sana wanambiu kwa kutuinua kiroho kila wakati
@ongakisamwel778
2 жыл бұрын
A very niice song it gives me hope for God's kingdom be blessed
@ntimifrank2770
4 жыл бұрын
Mbiu are Amazing... BLESSED BE THE SAINTS!!!
@faithkimosop1887
3 жыл бұрын
Aky nimekuzwa sana na uu wimbo sana thanxs
@realreen2349
5 жыл бұрын
Watching from kenya, Adventist for life
@shemnyaka
4 жыл бұрын
Good song mbiu...it will be better if u had your own KZitem channel,,,
@jothamyohana9599
5 жыл бұрын
Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro
@RomwardWM
5 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@cyrusmbwana693
4 жыл бұрын
Mungu aibariki Mbiu🔥
@mosesobed760
4 жыл бұрын
Nawaombea mungu aenderee kuwanemesha kwa maubili matamu
@veronicaenock2000
5 жыл бұрын
Mungu awabariki Mbiu,
@juicymann1
5 жыл бұрын
Thank you Mbiu for a beautiful piece. May God be glorified.
@ruthnanjela7496
3 жыл бұрын
I never stop listening to their songs they bless my soul.
Пікірлер: 320