😂😂😂😂 dawa ya magonjwa ya mapenz hii nyimbo Wasafii sio watu wa zur😚😂😂😂🙏🙏🙏
@balcutemohamed6306
6 жыл бұрын
Rojally Rmr kweli kabisa
@naimahusseyn1599
6 жыл бұрын
haahha...yenyewee
@mercynseka6432
4 жыл бұрын
Tuoge maji ya vuguvugu..ya baridi siyawez si unajua Nina ugonjwa wa kutetemeka🔥🔥🔥
@wandasanes
6 жыл бұрын
i dont understand his language or know him.... BUT I LISTEN TO THIS SONG EVERYDAY FROM THE FIRST DAY I HEARD IT.... much love coming allll the way from the CARIBBEAN VIRGIN ISLANDS
@michaelomondi6216
2 жыл бұрын
Am Kenyan Swahili speaking but Tanzanians speak pure Swahili I hardly understand what they saying
@bronsonchapo5029
6 жыл бұрын
nakubali mkali wao mbosso hawakuwezi aminia bro uko juu ile mbaya...top sana hapa kutoka mombasani hapo tudor kuja sasaa
@lameckhassan8404
6 жыл бұрын
Kweny kumi bora nipo mimi dah ila bonge la goma kaka mkubwa mbosso🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@quietshorany3318
6 жыл бұрын
Yani Mbosso www ni fundii aiseh akuna ngoma yako ambayo siielew aiseh kweliiii kiyoyoz
@mikelmasanja2522
6 жыл бұрын
Mbosso unajua kuandika mashairi ya mapenzi , kama na wewe unamkubali Mbosso gonga like hapa #wcb 4 life
@SaidSaid-ef8md
6 жыл бұрын
Mbosso we unajua sn na ukitulia utafika mbali sn mdogo wangu anaejua music akikukataa bc hajui music
Asiekukubali wew mbosso itakuw ana matatz ya akili t #nipepee is on 🔥🔥🔥🔥
@bonfacemwangi1471
4 жыл бұрын
Mbosso my best bongo artist in africa penda wewe sana Mbosso
@daisysine320
5 жыл бұрын
Young talented artist if you love mboso give him thumbs up # mboso for life
@salmadalaquimane5303
6 жыл бұрын
Yaan we una jua adi una kera nakupendaga sana my mboso hizo style zako ndio tulizo la moyo wangu
@shabanichaye2945
6 жыл бұрын
YANGA 😭😭😭😭😭😭😭2umefungwa Lakini Kwa NGOMA Hii Nimesahau Maumivu Yoooooooote MBOSSO Big Up Brother
@rehemashafi4809
6 жыл бұрын
😀😀😀😀😀poyeeee
@pachoherera8555
6 жыл бұрын
Weka jiwee toa jiweee mamaeeeee💪💪💪💪💪
@wilsonwizzo2483
6 жыл бұрын
Ww mbosso ni 🔥🔥🔥🔥 daaah umenikosha kiKuma😁😁😁😁😁😁👏👏👏
@historyyetu9104
6 жыл бұрын
Wilson Wizzo huyu Kuma anasifa sna anataka kumfuniia adi mond😂
@wilsonwizzo2483
6 жыл бұрын
Nick Vidutu umeona eeeeh mzee baba😁😁😁
@athmanswaleh3860
6 жыл бұрын
Wilson Wizzo 😂😂
@rosekureba6356
6 жыл бұрын
Wilson Wizzo haahaha
@fairunaomari2131
6 жыл бұрын
Wilson Wizzo mmmmh
@natalyntash5517
6 жыл бұрын
Unajuaga kuninogesha adi wanikera yaani tamuuuu😘😘😘
@nafisamohamad3182
6 жыл бұрын
Wangapi wanamkubali mbosso wagonge likes zao apa tuendelee kumsapoti zaidi, from +254
@fatumamuhidin6562
6 жыл бұрын
penda Sana mbosso
@sumaiyakui5025
6 жыл бұрын
@@fatumamuhidin6562 nipo sanaaaaaa listening from Bahrain
@hamisikombe2723
6 жыл бұрын
Ausio?
@hawaomar547
6 жыл бұрын
@@hamisikombe2723 ndio boss
@hawaomar547
6 жыл бұрын
Piga like Kali bro
@hassanbabakesonia8404
6 жыл бұрын
Mbosso uko Vzuuli... Napenda saana nipepee
@slapdashplatonic5210
6 жыл бұрын
Kama kikota flan iv cha kihindi..... unaekubalian n mm weka like ya mbosso 🔥🔥
@abasmohamed7432
6 жыл бұрын
slapdash platonic umeona
@mwanalegay3416
6 жыл бұрын
Babe zima feni Nimeleta kipepeo unipepee 😍😍
@mbizakmbarak1925
6 жыл бұрын
Uko vizuri mdogo wangu....Imbaa imbaaaa
@organizertz3109
6 жыл бұрын
Daaaaaaah mbosso style ya ssa n balaaaa utatua kama uhindini, kaz nzuri sanaaa
@prideofafrica_254
6 жыл бұрын
Babaaaaaa nakupenda thanks for the good song wakenya mko wapi????
@abeidmasalu7511
6 жыл бұрын
Shree k
@swabrahamid2341
5 жыл бұрын
oyoo
@nathaliewang2278
6 жыл бұрын
Nathalie from DRC namkubali mbosso kabisaaaaa
@abdiqanihussein4164
5 жыл бұрын
Really speechless. I don’t understand it. But I like it the way he breaks it. Heart touching. It will be good if there is an english lyrics. 🇸🇴🇸🇴🇸🇴
@jamalymigeyo6837
6 жыл бұрын
Mboso mboso mboso we ni zaid ya msanii i swear
@gockoomzawa226
6 жыл бұрын
Nani mwingine Kama mm anapenda wapambe wapewe chai kwenye jag!!! #Wcb4life
@shabanndabari5958
6 жыл бұрын
mbosso khan,,,,mtu mbaya ,ngoma inachoma km pasiiiiii
@beautyblessing8846
6 жыл бұрын
God knows how much I love guy with his songs yaani mtoto sauti kinanda. Kwenye nyimbo za mapenzi mbosso hauna mpinzani
@abdullyhabibu2958
6 жыл бұрын
Sarah Nafula 🔥🔥
@rasialiamir9391
6 жыл бұрын
I m from Somali bt the is real touching m big up bro.... u r talented u will reach far
@nurumahsein8645
6 жыл бұрын
Namkubali MBOSO 😍😍mia na nusu....
@ukashachabara1431
6 жыл бұрын
bwana bwana bwana mbosso..dah can't express how i feel abt dis song yo killed it . kama umemuelewa mbosso gonga like twende sawa
@peterzjohn6260
6 жыл бұрын
Aiseee mbosso we ni nyoko daah, hatar xn yan n zaid ya kutsha yan nakosa manen mazur yanayokufaa, unahatarsha kibarua had cha boss wko chibu hahaha
@stephenotieno4499
6 жыл бұрын
Maji baridi siwezi, si unajua niko na ugonjwa wa kutetemeka, nisugue sugu sugu....mwaaah love it. Watching from Kenya
@travisweche4487
6 жыл бұрын
african voice....jamani mbosso unanipa rahaaa
@tonidieumerci
6 жыл бұрын
The love I have for swahili musics it is just indescribable
@jumbajevis7342
6 жыл бұрын
mbosooo kali broooo walisema sanaa sasa ni machooo tu heat baada ya heat
@mahamoudjacob1983
6 жыл бұрын
Kwa kulia tu.. Nakupa zote makx #MBOSSO#NIPEPE
@tsumajullo5094
6 жыл бұрын
This is more than #Nadekezwa,hata wenye kisonono watapona mwaka huu.
@dakxirdakxir5897
6 жыл бұрын
My kaka aiseeeeeee umetishaaaaaaa hili goma la kukaya naenda kumsimulia mama kule kwetu rufiji na Salam za hatari ya kwamba marehem Babu karud kutoka India nitawafikishia... Nitawambia mboso akamatiki tena sasa anasumbua nchi kila moto anaowasha unateketeza Jiji.. Jina la ukoo mboso khan kutoka wasafiiiiii... U 🔪 it my brother
@victorsir-nga7708
6 жыл бұрын
muhindi wa kusini, mbosso Khan kweli mahadhi ya nachi
@zamilmohammed6037
6 жыл бұрын
Wapi lyk za +254?? Kama tko pmja nipe lyk yko tusonge mbele👍.... ngoma tamu jee ww waikubali?? Kama waikubali usikose kulyk na kucomment tumsuport mbosooo😍
@naimahusseyn1599
6 жыл бұрын
io song ni super asikosoe mtu
@shabanimusa9381
6 жыл бұрын
Ebana mboso yuko pw sana
@paulineikumi7949
6 жыл бұрын
Beautiful song...we play it all the time..kweli ngoma hii tamu!!
@saidyhamis8182
5 жыл бұрын
Zamil Mohammed nimeukubari Dogo
@annekabuu9716
5 жыл бұрын
Yani Mbosso nakupenda bure hadi naumwa❤❤❤
@omarmungani7989
3 жыл бұрын
Mr Mbosso wa somali yote unabenda this song my nigga ni poa sana by Osmaneto
@dijafam1686
6 жыл бұрын
Wow am here for ma mbosso..... He is goin far .... All de way from Somalia 😘😘
@khamishajikhamis5530
6 жыл бұрын
dogo namuelewa sana naza anajua kuitumia nafas uyu mtoto. hongera.
@ahmedios5390
6 жыл бұрын
I'm from Somalia 😘 I'm not understand but it is beautiful song Mbosso the African voice ❤💚💙
@sharma1944
6 жыл бұрын
عابر سبيل 🇸🇴🇸🇴🇸🇴
@ahmedios5390
6 жыл бұрын
Sharma 19 💙💙💙
@hamisiallymwenda5103
6 жыл бұрын
عابر سبيل good to hear that
@ppranoz
6 жыл бұрын
عابر سبيل It talks about love firstly he started by thanking God for giving him such a beautiful woman he wanted and he feels very happy to have her then he (@mbosso_) sweared that he will love the woman and protect her at any cost And argue that she is his weakness and ask her to increase love to him so that all those with jealous to hang themselves out there IN CHORUS HE ASKING HIS BEAUTIFUL WOMAN TO SWITCH OFF FAN (air condition) and fan him with local fan he brought it with him... SUBSCRIBE TO MY CHANNEL 👇 #PacalPranoz
@mulkyawale
6 жыл бұрын
lol waan qosleee kuhlahaa am from somalia nways
@mangiruben
6 жыл бұрын
safi saaana Marombosso, we waimba kusifu mapenzi, wenzako tu nikulia wameachwa!!!
@helmashimba910
3 жыл бұрын
Nice song very romantic 👌 😍 lot love
@xianmushi539
6 жыл бұрын
Endelea kuuwasha hivyo hivyo daaaa kweli weee n moto tena moto
@simplemsimon666
6 жыл бұрын
Mbosso respect mi don't here your language but mi love your music and mi love you too keep it up more love to mbosso Tanzania bigup
@onesmosaimon6719
6 жыл бұрын
kumamaeeee3eeeeeee mboso wanikosha mie aiiiii
@michaelbwoma2760
6 жыл бұрын
nahisi baridi nikikusikia Mdogo wangu mbosso ibebe mbagala mabegani Mdogo wangu kipati tunajivunia Mdogo wangu, sema Aslay anapata taabu sana aiseee uongozi umeharibu uhondo wa mashindano haya yenu kwa kuizingua clouds daah ingekuwa ni vyema mkapatanishwa
@robertmosha6801
6 жыл бұрын
Michael Bwoma tatz clouds mabepari sana.bora ibak hvyo tu ad watambue thaman ya wasanii
@michaelbwoma2760
6 жыл бұрын
tatizo la wasanii wa siku hizi shule hakuna kwahiyo hata historia ndogo mnakosa mashabiki, hivi unadhani wasafi pekee hasa Diamond ndio ameanza kufungiwa nyimbo zake!? unakumbuka Juma nature akiwa msanii mkali sana alifungiwa na unakumbuka ni kipi kilichopelekea kuondokana na tatizo hilo!? ni kuomba radhi pekee.. msanii kama Diamond hategemei home its OK lakini Mbosso kwa aina yake ya mziki local market is more important... sasa wewe niambie ni wangapi wana access na belief or trust in Wasafi media!? kuna saa niliwahi kusema alipofungiwa na East Africa media nikasema tabia hujenga mazoea na kweli ikafikia mpaka clouds na kwa tabia ile ile atazoea kuona vyombo vyote havina maana mpaka kukiamini chombo chake tu sasa hapo hanguko litatimia maana kuna watu kama miye ni mashabiki wa Mondi lakini inapokuja clouds nakuwa Neutral maana nilianza kuipenda media mpaka kusomea shughuli zake mpaka sasa nafanya marketing so be carefully Kiburi si maungwana sawa mbaba Mbosso na Aslay wote wakali wapewe nafasi sare kwa kuondo vipingamizi tuone nani mkali na hapo natabiri anguko la kiba na Mondi
@jamalselemani7042
6 жыл бұрын
Michael Bwoma mbosso local market hajawin? soko lipi ilo Blazza, km efm, radio free, tbc, times, radio five, abood, na zoote local zinapiga, msanii hawezi kushuka kisa clouds tu, unless kipaj Hana anatungiwa km Ruby, Au Hana fan base, Au kaishiwa. nature haezi msingizia clouds brand yao iliisha tu, jidee katoa yahaya, ndindindi bila clouds, kwangwaru imevunja rekodi ya east Africa 10m views in a month na inaenda 20m bila clouds, aslay kahit bila clouds ndo wakamfata but mtaani tayari ana taji. kisa umesomea Au unawapenda Au bila wao ngumu ndo uwe mtumwa. mbosso kashatoboa locally nani haijui nadekezwa?
@michaelbwoma2760
6 жыл бұрын
Sikiliza ndugu yangu, umesoma nilichoandika vizuri hapo juu? Niliyotoa hayo maoni ni katika kutaka mdogo wangu huyo atusue kwa haraka na uzuri zaidi... sasa sikia ki mass communication as a proffessional Audiences (Msikilizaji) ana kitu kinaitwa trust yaani kama akijengea imani chombo au mtangazaji fulani lazima aendelee naye huyo huyo niamini ukatae ukubali kuna watu hawawaamini watangazaji wa E FM mpaka leo ingawa kuna watu wanawasikiliza na kuwaamini kuna watu ambao kwao kitu kizuri chatoka XXL kwa B12 tena hawamuamini hata Adam Mchomvu wapo na hiyo ni shule wala siyo mambo ya kusadikika ni vitabu vinavyoeleza tabia za wasikilizaji so ujue kwamba kuna saa ni vyema kuwajali hao na narudia tena ukileta mihemko ya Tandale kwa mtu kama mimi utapata taabu sana mzee miye siyo ni shabiki maharage bali ni shabiki kindaki ndaki wa WCB so sipendi kuona kuna shida yoyote.
@michaelbwoma2760
6 жыл бұрын
Ukija kuzungumzia rekodi za You Tube toa huo ushuzi wako wa 10M views watu waongelea views kubwa zaidi ya hizo aisee so usipende kuchukulia vitu kijujuu ukiwaza utaona Media sio nzuri kugombana nao kama unaweza kutafuta peace unaitafuta kisha mnaendelea na business yenu..... wewe unayebisha umeona kilichotokea kwa WCB na Eric Shigongo? Si mondi alisema hawezi fanya pale Dar Live mbona alienda kufanya show na umeona impact yake? si umeona anavyoandikwa Je unataka kusema lile tatizo lilitatuliwa na Eric kuwafata WCB kuwabembeleza? Watch your words and think before you pen them down right?
Mboso we noma yaan kuna katoto kakiarabu kamenisumbua mwaka mzima ila nimetumia lyrics zako kumtingoza kameingia king 🤣🤣 mboso ww ni song writer mzur sana
@mudynationtz3412
6 жыл бұрын
very respect__mbosso khan originally,bonge langoma #uwezo
@nurumohamed9264
6 жыл бұрын
yani huyu Mboso anakuja Moto ni balaa. very nice song I love it
@yakubbates6550
6 жыл бұрын
Mbosooo sanaaa tuu ...uko vizury ile mbayaa
@DEGESTAR
6 жыл бұрын
Mimi wa pili leo sija chelewa. Gonga like kama wamkubali mbosso..hil baba badilisha style ya mziiki huhoo. Hila balidaaa tu. Wauni si watu wa zuri 🔐
@shebbymastory1570
6 жыл бұрын
Young star juma 7
@nastermwandampapa2087
6 жыл бұрын
Young star juma Mbosso
@maryamyaliy4637
6 жыл бұрын
Young star juma ppppp
@gabrielson9182
6 жыл бұрын
Umeongea point .inabdi mda Mwingine awe anabadilika kidogo ,co kila akitoa ngoma inakua kama ile aliyotoa before
@DEGESTAR
6 жыл бұрын
Luteye Omary pa1
@ummun8763
6 жыл бұрын
Imfikie mpenzi wangu nipepee zima feni sante sana Mbosso
@ligmmohd8112
6 жыл бұрын
MBOSO, ASLAY, NA BEKA ninyi ndo MULIIBEBA YAMOTO BAND, leo MUNADHIHIRISHA HILO, haya ngoja namimi nitafute WA kunipepea 🙏🙏🙏
@fadhilrashid4175
6 жыл бұрын
Saidi Amiri enock pia Ako very unique
@pearltz
6 жыл бұрын
tupe na video mzeee baba tuinjoy nakukubali saana mboso.
@burhansadik8826
6 жыл бұрын
hiyo ndio wcb shule mziki!!!
@ibrahimmbambwa1657
6 жыл бұрын
qonk hii Ngoma meikubaliiiii #mboso ni motoooo
@ahmedabdallah107
6 жыл бұрын
I am somalian I don't understand Tanzanian language but I like it this song.and i love to listening
Sometimes it takes one song to bring back a thousand memories #2018_what_a_year 💥
@joshuahayden9919
3 жыл бұрын
Instablaster...
@k-radtz7633
6 жыл бұрын
Hii ngoma sichoki kuickiliza kwa kwel moyon kuna kitu nakiona kinasismka wallah tena
@rozzymsupa1162
6 жыл бұрын
I can't work without this song ooh!! i mean i like it❤
@peterjinasa1435
6 жыл бұрын
oivipi
@KIMTAATVKE
6 жыл бұрын
dude kalii sanaaa... aminia mzee baba mbosoo
@wilsonwizzo2483
6 жыл бұрын
Mzee baba we sio muhindi wa kusini we ni muhindi wa Mumbai kabisa
@husseinmnyass3372
6 жыл бұрын
Wilson Wizzo
@buganyatherealer
6 жыл бұрын
Wilson Wizzo 😂😂😂😂😂😂
@jirajuma8654
6 жыл бұрын
😂😂😂
@amanimbeva4412
6 жыл бұрын
ngoma kali sana..........Mungu kanipa nilichomuomba
@bakarimadjeshi4603
6 жыл бұрын
Dogo ww Ni nomaa/unajua sana dogo....
@kibindunjunja3986
6 жыл бұрын
mboso unajua kaka mungu akujalie
@lucasmwakalobo1444
6 жыл бұрын
Hatari xana huyu binadamu mungu aendeleee kumbariki
@sutjuma6692
6 жыл бұрын
tunaamini ufanyalo fundi lakini fanya kama una change style ivi ili uwafunge midomo wanao tema pumba za kiloko si unaelewa bola wali tembele.... mzee baba gonga like bas kama umenisoma...
@moxamudhallac_official9117
4 жыл бұрын
Always hit maker wecnt compare with others ... #Swahili raha
Пікірлер: 1,5 М.