Mm ni mkenya ndio maana sipati likes kwa kila comment
@kidonsagrayson9769
3 жыл бұрын
Chukua hyo
@juliethmsoka2234
3 жыл бұрын
Pole ndoukubwa Uwo Mtanzania mbaka Akukubali utafanya kazi kubwa sana Baby😂😂
@babasandra638
3 жыл бұрын
Thanks
@samsonisaack833
3 жыл бұрын
Pole
@kenethtembo673
3 жыл бұрын
Ckukua hyo
@samchacha2320
3 жыл бұрын
Kicheko cha Sopa aki-act as mtu mwenye pesa uhakika sana, jamaa hakosei Big up SOPA
@fiziparadise7808
3 жыл бұрын
Kama unakubali sisi wa Kongo🇨🇩 pia tunamkubali sana joti, tupe like jamani😁👍🏾
@kingbashar4293
3 жыл бұрын
Wakongo bolingo! 🤓
@ghostelmendez7206
3 жыл бұрын
Hahaha vizuri
@omarramadhani2324
3 жыл бұрын
Nakubari sana jot
@fredrickwcbmbeyasiriboy4418
3 жыл бұрын
Good brother
@mhinautunge5942
3 жыл бұрын
@@kingbashar4293 ⁰
@starridge3615
3 жыл бұрын
From Kenya likes za kuchelewa ufike
@djbee257
3 жыл бұрын
Love from Burundi 🇧🇮 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 #runtowndjs
@maishacenter-eastafricatv3976
3 жыл бұрын
Wajinga ma DJ wote wa Burundi, wasiopenda vya kwao, pumbavu zenu😏😏
@misapinamiswi5751
3 жыл бұрын
Hahaha joti hiyo nguo balaaa Mama dame Kenya tunakupenda tembea 254...
@rashidahmed7504
3 жыл бұрын
yani sopa umeuwa baba nakupenda buree chukuwa hilo 💋💋
@Keymambo_
3 жыл бұрын
Big up sana joti!!!!!!!!joti baba lao%%%%%%%%%%
@StarBoy-oi7vx
3 жыл бұрын
Hivi hizo likes mnapata Vp mbona me sipati au nakosea wap jamen😢😢
@tatoorashedi1787
3 жыл бұрын
Wenzio wakubwa umeelewa maana yake
@msugalatz1112
2 жыл бұрын
,pambna mwanang
@abdiaziz2978
3 жыл бұрын
My dream Car InshaAllah may Allah make my dreams come true
@khizralghawy9489
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 fanya mema uende peponii hizoo ni zakupita
@affaanothmaan6287
3 жыл бұрын
Wakati unaliwaza hili gari, usisahau kuliwaza na kaburi,,,
@feyzalyusuph14
3 жыл бұрын
@@khizralghawy9489 hizi fikra ndo zinatufanya tunatawaliwa kiuchumi sisi waislam...Allah anasema tuitafute pepo kama tunakufa kesho na tutafute mali kama tunaishi milele..ukiwa maskini utafanya uchafu mwingi sana na utashindwa kuinua jamii yako ndo maana ikawekwa zaka kwa matajiri sasa jiulize kama hakuna utajiri zaka itatolewa vipi?
@feyzalyusuph14
3 жыл бұрын
Bro pambana na Allah atatimiza hitaji la moyo wako pia hakikisha una mshukuru kwa kila kitu kufanya hivyo utakua umetoka kwenye kundi la wanaokufuru.
@nashaissa3804
3 жыл бұрын
Aamin
@jessicabrown5885
3 жыл бұрын
Napenda mbunge anavyocheka😁
@doreenmushi3859
3 жыл бұрын
Dah leo nmewah kwa best comedian in east africa
@johnnabie5445
3 жыл бұрын
"Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba lake." 😂😂😂😂😂😂
@simonmahundo1735
3 жыл бұрын
Safi sana umegusa home Ulanga MALINYI yetuuu
@samsonsimon7882
3 жыл бұрын
Kumbe joti ni mnafiki yupo kimaslahi!!!km umenielewa gonga like
@John_Msambya
3 жыл бұрын
Wewe ndiyo unanifanya niwe Furaha 😂😂😂
@jonasmongi7811
3 жыл бұрын
Leo nimechelewa ila sio mbya joti n best comedian in east africa 😂 😂
@friendsinternet-oz1fi
Жыл бұрын
and his team too
@adiahassan2416
3 жыл бұрын
Washabiki wa joti tujuane hapa🤣🤣
@shantalismailhassan9878
3 жыл бұрын
"Kukuangusha inatokana na uzito ";🤣🤣🤣 jamani joti hufai.
@tembomnyama2310
3 жыл бұрын
Tulio wahi Naombeni Likes5 tu.... Zinatosha 🤓🤓🇹🇿🙏
@kekiplus1andonly
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti tupo tumechakaa kama hivi😂😂😂😂😂😂
@michaelramadhan9466
3 жыл бұрын
Je *1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?* *2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?* 3. Una U.T.I sugu ? 4. Umepungukiwa na Damu mwilini ? 5. Una Kisukari (Diabetes) ? 6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ? 7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ? 8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ? 9. Una shida ya mifupa ? 10. Una aleji (Allergy) ? 11. Una matatizo ya macho ? 12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ? 13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ? 14. Una tatizo la nguvu za kiume ? 15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake? 16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ? Piga0629280027 WhatsApp+255629395655
@brightonchedego8100
3 жыл бұрын
Uzuri wajumbe na wao wakafanya kweli🤣🤣😂😂😂😂
@brightonchedego8100
3 жыл бұрын
Mambo ya takrima hayo,et ikionekana n rushwa ila icpoonekana ni takrima,kunawatu wanatambaa kabsa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@CertifiedStoic
3 жыл бұрын
Dah Sopa ni bonge moja la supporting act. Anajua sanaaaa 😂
@omaryrashid1873
3 жыл бұрын
Kwel yuki poa sna et wananchi wamekufaaa
@CertifiedStoic
3 жыл бұрын
Omary Rashid Ni bonge la comedian mshkaji.. soo natural !
@ferouzmasoud4741
3 жыл бұрын
Na Mimi kanifanyia hv hv 😂😂 inuka Baba kawa mpole 🤣🤣🤣
@alpherhaule179
3 жыл бұрын
Joti baba lao la comedy tza naomba like za kutosha tuuuuuuuuuuuuu🤣
@setinswila9499
3 жыл бұрын
Daa sopaa ""eeh nmeshangaaa zaman ulikuwa na magagaa mwili wotee dahh😂😂
@eastafricabrokerkiller8028
3 жыл бұрын
Hahahaa Kama unavyotuona mmoja mmoja km matone ya mvua😂😂
@kelvinjohn6851
3 жыл бұрын
Ila Joti anavovaagaaa 😁😁😁😁😁😁. Dah!
@abdallahmohammed7947
3 жыл бұрын
United states apa California nawaona gonga like hujachelewa
@naomirobert4867
3 жыл бұрын
Kwahyo ukificha ni takrima ila ukitoa waziwazi ndio rushwaa..😂😂😁😁😁 uhuwiii 🙌
@lareineminah1353
3 жыл бұрын
Kuku angusha inategemeyana na uzitoo🤣🤣🤣🤣🤣
@hopechami521
3 жыл бұрын
Vitu iv nlivipata kwenye ndoa Yang ya 1saiv nandoa 8,😃😃😃
@salehechuma3970
3 жыл бұрын
Mama Damme umetisha upo kwenye ndoa ya Nane hiyo.....Hahahahahahahaha
@user-xi1pi4zr3b
3 жыл бұрын
Kama unamkubal JOTI 100 parcent gonga like hapa!
@tulsepeter3372
3 жыл бұрын
UK;;;; is;:;;;
@ashaathman4355
3 жыл бұрын
Joti hoyeeee
@fadhiliignusy3790
3 жыл бұрын
koti la mbuge sopa hapo nyuma ya bega 😂😂😂😂
@paulinamhecha4420
3 жыл бұрын
Etii watu wamekuja wanatambaa kama kengee🤣🤣
@franciskomba4144
3 жыл бұрын
Suti ya mbuge imechanika nani kaona 😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumamecha
3 жыл бұрын
Joti wewe mukali big up sanaaa
@josephNdichu879
3 жыл бұрын
Qatar tuko ndani 🇶🇦
@pauljosephmashaur3118
3 жыл бұрын
Leo ndo wametoa kitu poa kabxaaa like twende sawa
@fatmafetty4117
3 жыл бұрын
Sopa 😂😂😂😂😂eti watakua wamekufa au wapo🤣🤣🤣🤣
@davidkashelo7300
3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@severinatyphone6122
3 жыл бұрын
KAMA YA GEITA 🤣🤣🤣🤣🤣 KATOMA MTUSAHAU!! DAA NANI ATAISEMEA JAMANI!
@mohamedmziray6669
3 жыл бұрын
Umeona
@queenalimoja4386
3 жыл бұрын
zamani ulikuwa namagaga😃😃😃
@tausihasheem5051
3 жыл бұрын
Hyu n dereva ake hyu n dereva ake...joti kanichekesha wallah🤣🤣🤣
@danielngoza3746
3 жыл бұрын
We
@bmbyamstz9408
3 жыл бұрын
Zidisha kutupa raha kaka😁😁
@obenitejailos7007
3 жыл бұрын
Mvua zote zikipiga 120 ndani 😂😂😂
@taslimanyange2850
3 жыл бұрын
Tarehe 28 ni moto naisubiri Mungu anipe uzima tuuuh
@zuwenaalamin8985
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣joti bhana
@saidyhamidy286
3 жыл бұрын
😂😂😂😂 joti talehe 28 nitalehe ya kuchoma sindano
@watakaniitaje1215
3 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 Kweli trh 28 Mwendo WA kujiajiri tu
@emmanuelnzaligo6262
3 жыл бұрын
Wasiwasi wangu tutawakuta kweli wananchi au tutakuta wamekufa@@@Nimependa hii
@iscobuzness7153
3 жыл бұрын
Kipande Yupo Wap Mbona Sikuizi Aonekan
@mahmoudaziz4717
3 жыл бұрын
Mzuri sana nimeipenda hii Safi joti😀😀😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@ramadhaniramji7048
3 жыл бұрын
Kuna watu wanatambaa kama kengee😂😂😂
@dearnamypastime2435
3 жыл бұрын
Kwan na huyu anataka kugombea. Hahahaaa
@vohaiabilah8900
3 жыл бұрын
Hatar
@khadijaamour7654
3 жыл бұрын
Nimelielewa ilo gari tu apo😂😂😂
@abelmusyani4583
3 жыл бұрын
Lexus hio
@michaeljoseph6586
3 жыл бұрын
Hiyo ni LX570
@kenmute7737
3 жыл бұрын
Hahaaa..wee unakuja na kushikashika miguu kuna watu wanatambaa kama kenge 🤣🤣🤣 wapi like ya joti kama unamkubali..
@sulaymanwaziri4455
3 жыл бұрын
Joti ukitoaga kitu kizuri nakosa hata kukomenti. 😂😂😂😂 eti mvua ikinyesha 120 moaka ndani
@simonsweka7305
3 жыл бұрын
Mhe..sopaa....duh hii ni kampen...real life in tz
@tecklaadam6146
3 жыл бұрын
Kicheko cha mbunge 😂😂
@samirimunguawazidishiekher7319
3 жыл бұрын
Kwani izo like mnazo ziomba mnazipeleka wapi Maana atuwaelewi mmecharuka kuomba like
@kekiplus1andonly
3 жыл бұрын
Nani kaleta maendeleo huku😂😂😂😂😂😂😂😂
@kekiplus1andonly
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂mbona takrima
@zulekhamnene9462
3 жыл бұрын
Likes zanguu Kama unamkubali mama dame😅
@bonfacemuhammed
3 жыл бұрын
zulekha upotea wp? Dadaa 🇰🇪
@lizzybahati9833
3 жыл бұрын
😝😝😝
@tz7976
3 жыл бұрын
Kukuangusha inategemea na uzito🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti hatariiiii
@abelmange5430
3 жыл бұрын
Gari la kibabe Sana 🤠
@feisalfarid147
3 жыл бұрын
Mjomba jotiii ukooo juuuu sanaa👍
@templerfx4212
3 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
@simonimwanamasi6527
3 жыл бұрын
Joti wewee Mungu Ana kuona
@producermaiko1762
3 жыл бұрын
Malinyi uranga ahahahahaha😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃nyumban uko ifakara mbele ukooo
@thierybien7051
3 жыл бұрын
Uyu jamaa cheko yake ya kitajili inaniacha hoi kabisaaa 😀😀😀😀
@badboychitanda7345
3 жыл бұрын
Safi sana mbunge unatisha
@samytexas
3 жыл бұрын
Man so creative 😂👌🏽🤲🏾🤝🔥
@user-cg1wg3ll9h
4 ай бұрын
Mda wote naikubali hii clip😂😂😂
@abdulkillya2655
3 жыл бұрын
Nitawakuta wananchi au nitakuta wamekufa 😂😂😂
@omariamiri5556
3 жыл бұрын
Hhhhhhh hhh sopa unapendezea kuwa mbunge
@templerfx4212
3 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
@claraedwardmalingumu3565
3 жыл бұрын
Baba wawili weeee unanifanya nisahau shida zangu zote za mchanaa,suluali hiyoooo baba wawiliiii mie hoi ,mungu azidi.kukupa.ubunifu wako.mzuri mnoooo
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
Joty bhan umetisha Sana'a na sopa.ila kipande simuoni hapo daaah ela yakeeeeee.
@naomirobert4867
3 жыл бұрын
Nan ameckia mama Dame anawakilisha mbele 😁😁😁😁😁😁😁
@harryvice77
3 жыл бұрын
Broooh joti awajamaa zako skuizi umeshawaambukiza ugojwa wa kuvunjambavu jamaa alipoanza apo mwanzo kwa kucheka kanivunja mbavu sanah
@adamclassictz
3 жыл бұрын
Bora leo tangazo halipo mwanzoni
@sumakandosa1064
3 жыл бұрын
Kwel kbs
@templerfx4212
3 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
Пікірлер: 549