Dah! Hii ya somo la kutafuta Hela na kutunza fedha ni mzuri sana. Aliyemuelewa mbunge gonga like. Na hii nusu degree nayo!
@williamsenkoro2210
4 ай бұрын
Mbunge huyu jimboni kwake haonekani. Mara ya mwisho katokea wananchi wamemwambia akienda bungeni aongee kelo zao kibao sio mara Bangi iwe legal. Mara ndio hiii.. Alafu uchaguzi ujao utasikia kapita bila kupingwa.
@ernestdirangw804
4 ай бұрын
🎉😂😂😂😂😂😂.
@patrickKitambo
4 ай бұрын
Inaitwa financial literacy au elimu ya fedha ni mfumo wa dunia kutokufundisha hilo somo ili wachache waendelee kutawala na wengi waendelee kuwa masikini babylon system...
@nyamweririchard5945
4 ай бұрын
Huyu Mh ni Great Thinker bhasi tu,Tunamchukulia pouwah
@geofreybakina6010
4 ай бұрын
Dadek,huyu kabuni kitu kitamu
@charlesmakuri792
4 ай бұрын
Yani kishimba kuusu chakura masculinity ni miladi za walimu au watu furani hivi kila siku 1000chakula 1000 mitihani ya jalibio kilasiku ukija hapa hasa shule za maeneo ya mgulani taifa,ukija boko hakuna mitihani kiasi hicho na chakula bei nyinginesasa unawatoto 4kila mmoja 2000 zidisha kwa mwezi zen Mtu maisha siyanakuwa magumu
@umbaliche
3 ай бұрын
Tatizo ni kwamba Kishimba akionhea watu wanafurahi tu, wanaishia hapo. Kama mawazo yake yangechuliwa serious kungekuwa na mabadiliko.
@paschalpaul3862
4 ай бұрын
Nafuta vijana wa kuajiri sharti awe na nusu degree ya kilimo na mifugo
@TimotheoSoteli
4 ай бұрын
Tafuta mwenye degree kabisa,siyo nusu degree,mimi nipo na Degree ya mifugo kutoka Sokoine University of Agriculture
@jabarmalid5393
4 ай бұрын
somo la kutafuta pesa ni muhimu sana, uyu mzee anakitu. Kuna mtu mfanyabiashara mkubwa anaimba huu wimbo kila siku.
@bs5802
3 ай бұрын
Ndo maana ana hela
@GodfreyMwambwalo-ev9nh
4 ай бұрын
Inatakiwa tupate wabunge wengi kama huyu Mzee Kishimba Mwenyezi Mungu Amjalie afya njema.mwenye namba ya simu yake naomba anirushie
@SophiasaidiMushi
4 ай бұрын
Kishimba wakuache kabsa hamna kuuza ng,ombe
@jonathansehaba7441
4 ай бұрын
Hongera sana hoja ya msngi
@nivesmapunda694
3 ай бұрын
Wewe ni genius kwelkwel!
@alexmatt9504
4 ай бұрын
Huyu mzee ni master mind, kwenye cabinet ya mawaziri wakipatikana angalau nusu ya wenye IQ kama yake tutapiga hatua.Imagine ni mtu wa elimu ya msingi lakini upeo ni mkubwa sana.
@praygodmawalla7884
4 ай бұрын
Acheni kushabikia ujinga bro.
@johncharlesmu37
4 ай бұрын
IQ ya huyo mbuge ni kubwa sana
@nivesmapunda694
3 ай бұрын
Nashangaa kwanini hapewi PHD?
@praygodmawalla7884
4 ай бұрын
Du huyu mzee aisee ni uzao wa quilification za kujua kusoma na kuandika. Prof anakazi.
@athanaskipeto572
4 ай бұрын
Ina onekana wenye moyo wa uzalendo kama huyu mubunge hawapo kabaki peke yake kila siku ana ongea lakini hakuna mabadiliko
@victorcephas3618
3 ай бұрын
Ukiwa kiongozi unayeongozwa huwezi kufanya maamuzi yakinifu serikali zetu za Africa bado zinaongozwa na wazungu kifikra,kisiasa,kiuchumi na kiutamaduni. We are not free na lengo la wazungu ni kulifanya bara la Africa kuwa masikini na tegemezi daima. #AfricaTuamke
@anthonylugoi6269
3 ай бұрын
Tulio soma Kishimba secondary tujuwane hapa 🙌
@FanuelAloyce
3 ай бұрын
Hawa watu wa aina hii Kwa Nini wasiwe mawaziri?
@paschalpaul3862
4 ай бұрын
Generous
@mirajiramadhanikyande6173
4 ай бұрын
Anaongea uhalisia. Kwanini hapewi PHD
@barakaschaula8323
4 ай бұрын
Huyu mbunge afike mbinguni
@perfectchoiceenterprises
3 ай бұрын
Huyu mmoja ana thamani ya wabunge 50
@user-xq1cx7qg5s
4 ай бұрын
Waje huku tuwafundishe
@SundaySteven-bz4yq
4 ай бұрын
Waambie wanaofukuza wamasai
@Optionxll_Playz1
4 ай бұрын
Wazungu hawataki tujue hela inatuzwaje na inapatikana vipi.
Пікірлер: 35