Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa
@angellomarcel5677
2 жыл бұрын
Kishimba OYEEEEEEE umetishaaa
@Locker6996
3 жыл бұрын
Professor Kishimba... very smart😄
@msafitv8663
3 жыл бұрын
Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani
@jjborn8728
3 жыл бұрын
Mheshimiwa unastahili kuitwa Mheshimiwa Mara Sabin tu nakupenda sana kishimba naomba like elfu moja
@janegofrey3143
3 жыл бұрын
Asante
@musasabu6969
3 жыл бұрын
Anajuwa shida za watu hyu mzee
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Kishimba unanifurahisha mnoooo ningekupa na namba yako ya cm ningekupigia uniambie nimpeleke wapi mwanangu kamaliza nimpeleke wapi màana naona ntapoteza hela yangu bure ?
@mariammwenda9719
3 жыл бұрын
We baba una akili kubwa sana, may Almighty God protect you
@fredricksteven2063
3 жыл бұрын
Huyu mbunge ni great thinker!!!
@anthonykondobole3962
3 жыл бұрын
Daahh, mzee shikamoo, mungu akulinde na corona
@itNeza
3 жыл бұрын
Imekua Corona tena 🤣😂
@gracejohn886
3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@anthonykondobole3962
3 жыл бұрын
@@itNeza Amna kamanda watu kama hawa huwa wanakubwa na matatzo haraka kulko wale wa ndio kila hoja
@novathpanga8216
3 жыл бұрын
Ndiyo wabunge wanao hitajika,kishimba yuko vizuri sana anaongea point🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@fadhilisecha4268
3 жыл бұрын
Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu
@emmanuelfwillo6721
3 жыл бұрын
Hawa ndio vipaji maalum kama ulikuwa hujui. wale wa makaratasi achana nayo. KISHIMBA Big Up
@ramadhanimtetu7246
3 жыл бұрын
HAHAHAHAHAHAAA Huyu Mzee ni Hazina ya Taifa Nampenda sana Kwa Kujenga hoja
@fredymteule2092
3 жыл бұрын
I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂
@patrickzlee3345
3 жыл бұрын
.....
@enockmwakyelu142
3 жыл бұрын
Nn
@enockmwakyelu142
3 жыл бұрын
@@fredymteule2092 s Try)
@godwindiana6288
3 жыл бұрын
Tunaomba serikali imuongezee Ulinzi
@benderarulenge2477
2 жыл бұрын
Kishimba ana busara sana,Hana vijembe Wala malingalinga,ngombea uraisi mwaka 2025,kula yangu ipo
@jorammpore9628
3 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa anaongea vitu vya msingi sna 💪🏾💪🏾
@issamagota8945
3 жыл бұрын
Safisana mzee
@M7-Band
3 жыл бұрын
Yaani huyu mzee nimemwelewa sana,anaelewa ground ikoje,na anaongea facts tupu
@khadijamisayo7476
3 жыл бұрын
anachekesha lakini anachoongea ni kweli kabisa
@marwakenene847
3 жыл бұрын
Fine
@prosperkillas2398
3 жыл бұрын
Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.
@josehaule9425
3 жыл бұрын
Very wiser man, God bless you Mp
@newbornhaule1635
3 жыл бұрын
Mh kishimba wewe kweli msomi sana nafikiri hapo bungeni mpo wachache sana...
@avyalimanaathanassambuta6577
3 жыл бұрын
Mzee ni darasa la Saba tuu SEMA ANA AKILI SANA.
@stellamwasenga6205
3 жыл бұрын
safi sana mheshimiwa wewe unasemaga ukweli tu ila serikali imeweka pamba masikioni
@eliasmtaki8518
3 жыл бұрын
Mtu wa akili za kawaida kumuelewa Mh Kishimba inabidi urudie kusikiliza mara 21.
@errydeo8865
3 жыл бұрын
saaaaana.Anachekesha lakini ni madini matupu.Hasa hilo la medical investment!
@paschazianestorymatunda6490
3 жыл бұрын
Huyu mtu ni potential sana
@rayprince8267
3 жыл бұрын
Hayo ndo matunda ya chama kimoja.point Le's
@princebuganzilut2047
3 жыл бұрын
Aise jamaa huyu ni kifimbo
@fadhiliignusy3790
3 жыл бұрын
huyu mzee angekua waziri waelimu alafu apewe uhuru wakubadili mambo nazani tungefika mhali
@junioryasin5306
3 жыл бұрын
Kabsa
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
Namini
@yohanamathias1666
3 жыл бұрын
Ukwel
@MfizoCrypto
3 жыл бұрын
My best MP of all time... big up
@peetahluzwilo6560
3 жыл бұрын
Kishimba anadhihilisha kuwa elimu inavuruga uwezo wa kufikiri, mzee ni std 7 lkn, ni genius anaongea madini matupu
@yovithaobed5574
3 жыл бұрын
Hoja nzuri mheshimiwa mbunge wa kahama
@felicianholle3010
3 жыл бұрын
Hoja ya mh.Kishimba ni nzuri na inahitaji fikra big up mbunge
@godlovemlinge2220
3 жыл бұрын
Kama ningefundishwa na mwalimu kama huyu mzee darasani, Walahi ningekuwa mbali sanaa
@abubakarsuleman1983
3 жыл бұрын
uyu mzee ni zaidi ya pro , na wapo wachache Tz, ni bonge la mtetezi , nafikiri ukimuweka pamoja marehemu ruge wangeweza kuwasha moto usiozimika.
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
Ruge alikuwa genius
@boniphacemihayo1591
3 жыл бұрын
Huuu ni kama walaka kwa mataifa na watu wote...nzuri sana hii
@henryxavery1713
3 жыл бұрын
Mheshimiwa Kishimba,ulikuwa wapi siku zote 🤣🤣🤣🤣..
@bahatinzingula4309
3 жыл бұрын
Hongera sana Mh.Kishimba.Mawazo yako ni mazuri sana zaidi ya Prof.
@henryxavery1713
3 жыл бұрын
Hongera Sana Mh:Humanness Kushona💪👏👏👏 Ni kweli Kabisa.
@hawwahawwa9590
3 жыл бұрын
Wewe baba mungu akupee uhaii mkubwaa Maan nimepitiwa maishaa ya kijijini😭😭😭🙆♀️🙆♀️
@emmanuelmuhando1052
3 жыл бұрын
Mnzee kwanzia umengia bungeni Leo nimekuelewa kwaniniii wanakuita professor 💪🏿💪🏽💪🏽💪🏽💪🏿💪🏿💪💪💪🏿💪🏿🔥🔥🔥
@danielkyando6726
3 жыл бұрын
Aiseeeee ur so creative mzee mawazo mazito ya kujenga
@awesomevibes5847
3 жыл бұрын
Namna iyo.... Ni upuuz unaenda shule unarudishwa kisa viatu ni vya blue au vyeupe..
@masundelwa
3 жыл бұрын
mh raisi naomba huyu mzee umpe cheo Cha UWAZIRI
@stephanomwashilindi574
3 жыл бұрын
Mzee upovizuri Sana
@michaelmedard5709
3 жыл бұрын
Off course
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
Apewe na ulinzi Kabisa
@ambakisyemwanjemba5787
3 жыл бұрын
Nampenda Sana kishimba wewe ndio mbunge wangu kwa Sasa.
@mbarikiahamadjuma6824
3 жыл бұрын
Nakupa hongera kishimba, umetoa hoja/mchango mzuri na wakujenga
@plasidodavid1487
3 жыл бұрын
Genius 👏👏
@magongwematinde5773
3 жыл бұрын
Hii speech nimewasha feni lakini bado najipepea na shati. Dah
@timbukwa9771
3 жыл бұрын
Nakupenda sana Kishimba my Icon!!
@trickyjosia4326
3 жыл бұрын
Kweli nimeamini walio ishia darasa la saba wana akili sana kwahiyo jaribuni kusikiliza michango yao na kulifanyia kazi
@saxannjo6173
3 жыл бұрын
Huwa naEnjoy sana kumsikiliza huyu PROFESOR
@soloartist_ivanvespalusind1609
3 жыл бұрын
Spika wetu naye ni Genius. Walio faulu watangazwe kwa pamoja, kusiwe na second selection
@msafitv8663
3 жыл бұрын
Huyu Mbunge anaongea madini tupu
@theophilmalaba4048
3 жыл бұрын
Excellent
@monicakalinga8258
3 жыл бұрын
Shikamoo baba unajuua sana Professor
@paschazianestorymatunda6490
3 жыл бұрын
Nimekupenda sana mbunge wa kahama
@MrMandevu21
3 жыл бұрын
Respect mzee wangu
@godfreygeofrey7804
3 жыл бұрын
Huyu mzee atakuwa ni darasa la saba kwenye vyeti lakini kichwani ana PHD sasa mtasubili sana nyie mnaotaka vyeti. Shikamoo Mr Kishimba.
@amanmwakyoma2263
3 жыл бұрын
Hakika huyasemayo keep it up
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Nampenda huyu ,ndugai kazi unayo
@sebamgalula2632
3 жыл бұрын
Genious, 😊😊😊
@leverimlaki5667
3 жыл бұрын
Huyu mzee huwa anaongea vitu nyeti sana ambavyo wenye PHD hawawazi hivyo. Huyu mzee kweli anawaza tofauti kabisa.
@rockyvlogs2214
3 жыл бұрын
Mzee wangu Kishimba duh 🙌🙌
@kassimmurji2872
3 жыл бұрын
Mheshimiwa unahofu namungu na mungu hakuachi atakulinda atakutetea na hatakuangusha kwa hoja zako zakutetea umaskini
@gasperswai6963
3 жыл бұрын
Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr
@emmanuelmanga3478
3 жыл бұрын
Good Kashimba
@magorimagori9264
3 жыл бұрын
Hahaaahaahaaaaa..mzee namwelewa sana anacho pambania...anatamani tutoke kwenye nadharia twende kwenye vitendo upande wa elimu
@neemasalema1546
3 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu Baba ukweli anafaa kuitwa Mheshimiwa
@musasabu6969
3 жыл бұрын
Ukimskliza huyu mh.had inatia huzuni sana anaongea point sana
@munampinda1888
3 жыл бұрын
The Best Kishimba
@fridahmark5930
3 жыл бұрын
We really need ppl lyk you ❤️
@ajuayesanga522
3 жыл бұрын
Magufuli
@marcohamisi2418
10 ай бұрын
Uko vzr
@gipsonmwankobela2825
2 жыл бұрын
mbunge mwenye free mind ideas saf sana
@uledimtumwa2406
3 жыл бұрын
Mh!!! Ati wa ugausigeli kesha enda 😂😂😂😂 Ndugai mkuda sana.
@titus_maridhia
3 жыл бұрын
Huyu angesoma angekuwa mjinga sana.
@sebamgalula2632
3 жыл бұрын
🌿 analokula huyu mzee hailimwi nchiii😆😀😀😀
@kenedykihaga5416
3 жыл бұрын
Ulongite hilooo myaaaa
@kingcharlz2965
3 жыл бұрын
Alongite unofu myaa
@jeremiahzacharia7655
3 жыл бұрын
Huyu Mzee shikamoo.
@aristidestibaijukasebastia5225
3 жыл бұрын
Mungu akubariki Mh Kishimba
@Hillary_Daudi_Mrema
3 жыл бұрын
Mbunge shimba, Askofu Gwajima na Msukuma wa Geita wanatoa hoja za maisha halisi, hawa wote ni wasukuma kuna kitu cha kujifunza kwa makabila mengine kuhusu ukarimu. Ila maisha ya Watanzania bado yako chini. Anyway Uchumi wa Kati inabidi unufaishe wananchi wote hasa wa Vijijini. Elimu ni bure basi iwe bure kweli
@laurentraphael5470
3 жыл бұрын
Hao wabunge nawafuatilia mno. Huwa jamaa wana hoja Sana.
@junioryasin5306
3 жыл бұрын
Nawanaosemag wasukuma ni mbulula
@madirishasimon9692
3 жыл бұрын
Kuna kitu kizuri ndani ya komenti yako ila Mimi nawapenda makabila yote
@elvzmak957
3 жыл бұрын
@@madirishasimon9692 bada ya magu profesa apewe urais watanzania kumbe tuna watu vichwaaaa
@davidmagundu2285
3 жыл бұрын
Mheshimiwa shkamoo! Umeongea madini sn!
@rwelamira
3 жыл бұрын
Very practical
@ibrahimkitela8233
3 жыл бұрын
Na limu nazo, kila mwanafunzi aende na limu na zikifika zingine zinauzwa
@rashidkipingu7358
3 жыл бұрын
Huyu mzee MUNGU ampe maisha marefu anajua kujenga hoja
@bahatijohn3222
3 жыл бұрын
Hakika we mzee ni hazina ya taifa hv tupate wapi watu kama hawa Mwenyezi Mungu hebu tusaindie xna
@salumukimanzchana987
3 жыл бұрын
Hongera sana kwa hoja zinazoendana na uasilia was mtanzania, hizi ndo huja za msingi na zenye kueleweka
@lucaschisamalo2852
3 жыл бұрын
Huyu mzee ndo mbunge hayo ndomambo yakuzungumza bungeni siyo kusifusifu Safi Sana mzee
@denisbuchard3718
3 жыл бұрын
Huyu mzee ni kichwa sana pamoja kuwa na std v kichwani..huyu mzee ndo tajiri wa kwanza Tz kufungua Supermarkets ziliitwa imaleseko Dar & Mwz
@anthonynetto4503
3 жыл бұрын
Waooo!!!
@mrmhenipm
3 жыл бұрын
Huyu mzee ana hoja nzuri sana ,,lakini cha ajabu watabaki kusikiliza na kugonga meza tu ,,,mengi ameongea mazuri.
@lucaseben4914
3 жыл бұрын
Mh aisee?
@emmanuelmogela5871
3 жыл бұрын
Uyu Mzee jembe jamani anatakiwa apewe nafasi ya juuu
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
na ulinzi
@bakarikissiga6288
3 жыл бұрын
Jamaa anaumiza akili sana kufikiria mbali plus comedy lakin ndo message sent
@hemedshalua2002
3 жыл бұрын
Genius
@radhiasalum7156
2 жыл бұрын
Where hapo Sasa track soti,😄😄
@charlesolomi9514
3 жыл бұрын
Ngoja Nile kwanza 😅😅😅
@rajabhussein7794
3 жыл бұрын
Hahahahahaha
@godlovemrosso5973
3 жыл бұрын
Kishimba kama kishimba sijutiii kukuona mjengoni Mungu azidi kukuinua kwenye hoja naweza kuziita natural maana hazina chemical
@boazisanga746
3 жыл бұрын
Wewe mzee Mimi kuanzia leo na kutunuku cheti Cha uprofessor excellence
@yagwishaheke2524
3 жыл бұрын
Duuh huyu ni professor
@wanderenyeura9011
3 жыл бұрын
Speaker pia kaongea point
@MusaNgao
3 жыл бұрын
Upo wajibu wa kusambaza fursa za watengeneza viatu vyeuc vya ngoz kule vijijini, naomba mrejee kwa @millard ayo updates lkn vijana hao hawana soko la kutosha na mijini wateja wa viatu vile sio sn mana mijini wanahitaji luxury goods.
@starlonejadamskp8224
3 жыл бұрын
Mheshmiwa hongera sana 🇹🇿🤝
@ahmedyusuphkasili2115
2 жыл бұрын
Uko vizuri kishimba
@ellykibale190
3 жыл бұрын
"Elimu ni cheti au kuelewa"- by prof kishimba
@alanjose6471
3 жыл бұрын
Kwakweli mueshimiwa mi nakuona unaakili za mbali alafu na sisi tumesoma hivyo hivyo mbona tumejiajili
@ZebedayoLazaro-y3z
Ай бұрын
A Man of philosophy
@ama7742
3 жыл бұрын
Anatema nondooo🔥🔥👌
@chrismassawe326
3 жыл бұрын
Mbunge makini sana
@thekingcr7365
3 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali sana. Anazungumza kwa lugha inayoeleweka na kila mmoja.
@Bikhafija
Жыл бұрын
Uyu baba ajawahi kukukea anaonge maisha ya mwananchi wa chini Walhalla sisi Wanamake tusio na wanaume tunapata shida sana
@MuyaMndiga-pq2gn
Ай бұрын
Huyu mdo mbunge ninae mkubali bungeni mheshiwa kishimba Fanya KAZI
@imchristian323
3 жыл бұрын
Daah mzee anajua struggle za mtaa
@saimonmakoye5009
3 жыл бұрын
Ndaaaa mzeee wangu kila unachongea point tuuuu hongera sana
Пікірлер: 316