MBUNGE TARIMBA ALIVYOMKABIDHI BILIONI 1 MSHINDI wa SPORTPESA mbele ya WANAHABARI..
Florian ni fundi makenika na amefanikiwa kuwa bilionea wa kwanza wa SportPesa baada ya kubashiri kwa usahihi mechi zote 13 za Jackpot za wiki iliyoisha.
Akimtambulisha mshindi huyo wa awamu ya nane mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi SportPesa, Tarimba Abbas alianza kwa kumpongeza Florian kwa ushindi wake na kuwa bilionea wa kwanza aliyetokana na kubashiri mpira wa miguu.
''Leo ni siku ya furaha kwangu na kwa wafanyakazi wengine wote wa Sportpesa kwa kumpata mshindi wa Jackpot. Napenda kuchukua nafasi hii kwa niaba ya kampuni kumtambulisha kwenu Florian Valerian Massawe kuwa mshindi rasmi wa Jackpot yetu akiwa amejishindia zaidi ya bilioni 1.2”
“Kwa bahati nzuri mshindi wetu amepatikana wakati tunasherehekea miaka 5 tangu kuanza shughuli hizi za michezo ya kubashiri hapa nchini Tanzania.Ushindi wa Florian umefanikisha dhamira yetu ya kuwawezesha na kuwainua watanzania kiuchumi na kutengeneza bilionea wa kwanza.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Негізгі бет MBUNGE TARIMBA ALIVYOMKABIDHI BILIONI 1 MSHINDI wa SPORTPESA mbele ya WANAHABARI..
Пікірлер: 34