Hapana kwa miaka 35 ? Kama huamini km Mimi gonga like.
@saidmajeba9791
5 жыл бұрын
kibasa mohamedi huyu yuko kwenye 45/48
@naomymzumilo9783
5 жыл бұрын
Mhhh 35!
@negelepeter2295
5 жыл бұрын
kibasa mohamedi bora wewe ume ona
@nellywizz9631
5 жыл бұрын
Miak 35 kwa siasa elewn wa tz basi mnafell wap jmn
@martineznangale4025
5 жыл бұрын
Namjua huyu ni kweli anamiaka 35 wala msitie shaka..nawahakikishieni
@williamsempoli9852
5 жыл бұрын
RC alianza vizuri kuongea kisha akapotea.....! Bado kazi ni kubwa
@oliviaseth4652
5 жыл бұрын
Miaka 35 ana mwili mkubwa, kweli njaa huna, umevimbiwa kwa kweli.
@francomwalutende7864
5 жыл бұрын
Mmmmh Dr.Bashiru Ally alisema viongozi wengi hawakuandaliwa nakubaliana naye
@ahmedsanchez2341
5 жыл бұрын
Mshono nguo
@atubarikiyessaya4076
5 жыл бұрын
Ulimfanya nn Nasari alikurekodi ukitoa rushwa
@reachthegoal7624
5 жыл бұрын
INAONEKANA hapa Kuna sitofahamu kwa yale mambo mengine Yale. Ukiona Jambo watu wanaongea huelewielewi ujue kuna wachache wanaufahamu undani wa kilichopo.
@smartcharles492
4 жыл бұрын
Mh Raisi lazma aangalie hili kuna shida Manyara
@ibrahimfrank1382
5 жыл бұрын
Umewasaliti wanachadema, nawewe huko utasalitiwa mbunge njaaa ww
@gibemarco5875
5 жыл бұрын
Hahaaaaa
@noresajoseph6336
5 жыл бұрын
Nauwona mwisho wa ccm madarakan mungu tenda miujiza jmn dah kam ww unamwombe adui njaa gonga lik tendw sawa viva Chadema
@jacobndamayape9462
5 жыл бұрын
Ukiona nyuki wamekuwa wakali jua hapo kuna asali.
@salummuhija4435
5 жыл бұрын
Kweli
@nelsonkazaura6954
5 жыл бұрын
Jacob Ndamayape Hapo umesama ukweli.
@ismailmajala2802
5 жыл бұрын
Jacob Ndamayape 🤣🤣🤣👍🏽 Ni Sahihi kabisa
@selle2552
5 жыл бұрын
true
@abdillahhamisi5560
5 жыл бұрын
kweli kabisa ukiona nyuki wakali kwenye mzinga ujuwe kuna asali
@andrewjames1635
5 жыл бұрын
Sio miaka 35 ya umri wake,ni miaka 35 kwenye siasa...Mlioelewa hivyo gonga like
@managementoffice9240
5 жыл бұрын
Mbona kasema usione ni mdogo
@andrewjames1635
5 жыл бұрын
@@managementoffice9240 mdogo kisiasa
@passionatequeenofhrt5252
5 жыл бұрын
Andrew James ahahahaaaa
@franksimbalee8652
5 жыл бұрын
👍
@egidikilindij5994
5 жыл бұрын
Ni ya kuzaliwa
@stevenedward7536
2 жыл бұрын
Mungu aziweke roho za marehemu waliopata ajali mahali pema peponi.
@loycemichael5959
Жыл бұрын
amina
@musakiboya587
5 жыл бұрын
Pole sana Mh Mkuu wa Mkoa unajua upo sahihi baba wasiokuelewa wataelewa tu Nashukuru maana umesema una miaka 35 ndani ya uongozi hubabaishwi piga kazi baba !
@babaharunakipindula3895
5 жыл бұрын
Mh. Rc nadhan hauko sawa km wote wawekezaji watreat equally
@adamwoiso2180
5 жыл бұрын
Wewe mwenyewe mdhulumat tuu umetudhulumu kura zetu ukakimbilia huko ccm Mungu anakuona
@moseskayan3705
5 жыл бұрын
adam woiso njaa tu ndio inawasumbua kurukaru wala Si kuwapenda wananchi wao
@selemanshechonge5456
5 жыл бұрын
adam woiso kweli
@mkabesamaashao6805
5 жыл бұрын
Ubabe ndio ulimtoa chadema
@mkabesamaashao6805
5 жыл бұрын
@@moseskayan3705 mbunge kwani hapendi mboga?
@moseskayan3705
5 жыл бұрын
MKABESA MAASHAO Ndio kila mtu anapenda mboga ila wasijifixhe kwa migongo zetu wakijifanya wanatutetea
@MrKhatibu
5 жыл бұрын
Conflicts of interest!!!
@lowassaloitore4774
5 жыл бұрын
Siku hizi ni ngumu hadi wajawazito sioni wakitapika tapika Vyakula hovyo Kama zamani...
@alphoncekagezi4950
Жыл бұрын
Ukweli ni kitu kisicho pendwa na wachache! Sema Kweli Mungu ndie ataithibitisha hiyo kweli.
@davidlucas5445
5 жыл бұрын
Hapokwenye ulipajiwakodi mkuu wamkoa umechemsha, walipakodi wote nisawa kulingana nabiasharayako.
@chafumirro5617
5 жыл бұрын
Kwa maana hiyo huyo mkuu wa mkoa ana miaka 35 duhhhhh....kwa maaana hiyo nipo sawa naye....na mm hata ujumbe wa nyumba kumi cna
@josephmwasambili9836
5 жыл бұрын
Jiongeze
@isihakaselemani9530
5 жыл бұрын
Wapi uliambiwa umri ni cheo?
@samwelombeni6850
5 жыл бұрын
Hahahaha
@wendestiven7201
5 жыл бұрын
Jichague tu ndugu yangu unyumba kum
@lucylucy195
5 жыл бұрын
Chafu Mirro ahahah nimeipenda iyo
@simbamaduhu1600
5 жыл бұрын
Mnyeti aliwahonga akina Ole Milia kuhamia CCM leo wanagomba tena
@divaimafuru2394
4 жыл бұрын
Mnyeti fanya kazi achana na mbunge afanye siasa,big up brother and God bless you 🙏
@georgeburchard4872
5 жыл бұрын
Wee mnyeti unajua haki? Tangu lini?
@alikomwasaga5399
5 жыл бұрын
Eti wameenda kumsaidia raisi si ushenzi huo wote rushwa tu Ilamnyeti umeongea jambo HAKI YA MTU sasa jifunzeni kuhifadhi hako
@alikomwasaga5399
5 жыл бұрын
Tayari kawafisadi hadi badtora
@mwilesimbeye9486
5 жыл бұрын
Kiukweli nimemuelewa mbunge. Ila wewe mkuu wa mkoa unaonekana kuna kitu kimejificha Kwa unavyojivhanganya. Mh Magufuli akutumbue tu, mana huna njaa umeshiba toka kwa hao unaowatetea.
@jumajaffary9698
5 жыл бұрын
Kick zitawatesa, mna offisi kwanini msikae pamoja, anyway Awamu ya tano... Kazi kwenye mitandao
@harrisonsamwel3112
5 жыл бұрын
kazi hizi nizawananchi zamani mlizowesha mambo yanaisha juu juu sa iv wananchi ndio wenye mamlaka wanapaswa kujua kila kinacho endelea
@mbwanaomary7537
5 жыл бұрын
@@harrisonsamwel3112 walizoea siri siri halafu wakija kujua badae wanaanza kulalamika, kwa awamu hii ya 5 hakuna vificho tena
@man-kereborbocrew8528
5 жыл бұрын
Uncle zumo
@felixkamkala3303
5 жыл бұрын
Safi sana Mnyeti Chapa Kazi msaidieni Mh Rais
@bobwangwe748
5 жыл бұрын
Mnyeti leo kashikwa. Anaimba haki
@mariamumwakusapu198
5 жыл бұрын
Hatimaye aliyoyasema Nabii lema yanatimia wanaanza kujimaliza wenyewe na bado tutafaidi mengi sana ss wapinzani wamepumzika wanacheki muvi ya wasiojielewa
@dandaniel7248
4 жыл бұрын
awesome
@rojakijana1162
5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa kashindwa kuelewa dhamana yake sioni sababu ya kujibishana na mbunge ni UPUUZI TU !
@sergebaleke1432
5 жыл бұрын
Kama na wewe umegunduwa mukuu wa mukowa kasema uongo eti ana miaka 35 bado anajiona dogo...gonga like yako hapa
@edwardtrigga5701
5 жыл бұрын
Sasa wewe kwa akili yako miaka 35 ni mingi?! Si kijana kabisa huyo bado
@manjipiuskonge9437
5 жыл бұрын
35 hahahahahahha
@sergebaleke1432
5 жыл бұрын
@@edwardtrigga5701 sio ivo wewe namaanisha ana zaidi ya miaka 35...vipi kiswahili kinakupiga chenga?
@nellywizz9631
5 жыл бұрын
Miaka 35 kwa siasa mnafell wap jmn
@sergebaleke1432
5 жыл бұрын
@@nellywizz9631 miaka 35 kwa siasa...siasa kainza lini? Yaani kaanza siasa wakati wa Nyerere? Acha zako
@happinessmwenda2773
5 жыл бұрын
Kweli haki ya mtu uwa haipotei.Huu utamaduni wa kutukanana Kwa viongozi si utamaduni mzuri ni aibu na tabia mbaya.Tunawafundisha nini watoto wetu?
@kinyutatonha8831
3 жыл бұрын
ndio hasara ya kutaka madaraka kinguvu jitu halijui hekma ya uongozi linkurupuka tu kuhonga fedha ili lipite kwenye uchaguzi mwisho wake ndio huo
@sagandamalechampullo659
5 жыл бұрын
Mwenye Njaaa Mbunge.
@designdesign4426
5 жыл бұрын
Nimesikilza pande zote mbili nimejilizisha. mkuuwamkoa hamna kitu.mlipakodi ata mdogo woteniwajenganchi
@epafrangweshemi4014
3 жыл бұрын
Wakija pamoja mbele yako, kama wewe ni kiongozi na sio mwanasiasa nani utakaempa kipaumbele? Yule anaelipa kodi 15Bilioni au 15Milioni?
@mtanzaniamzalendo7001
5 жыл бұрын
Ni aibuuu sanaaaa hakuna mwenye busara hapo, Mkuu wa mkoa ulianza vzr kwamba hujibu bdae ukashikwa na mizuka,
@leokamil6284
5 жыл бұрын
Na akaboronga hawana hekima
@meshackmakonda9349
5 жыл бұрын
Dhambi ya usaliti itawatafuna sana tu
@mathewtarimo9614
5 жыл бұрын
Naikumbuka flash ya nasari
@ameenamassawe7034
5 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniyani
@kibongekipipa3580
5 жыл бұрын
Hahahaha , thank you for the reminder
@rehemadani3600
5 жыл бұрын
Nassari na lema Wakati wanasema mliwabishia sasa mnajionea
@nyarinkya6102
5 жыл бұрын
Kweli Mnyate unajua haki haipotei au unaongea tu. ? Kipindi cha Arumeru na Arusha hukujua au ulikuwa mtoto?
Kuanzia leo sitoi tena shikamoo kwa mjitu mibonge minyama uzembe kumbe toto kwangu hili miaka 3 duh
@mohamedjsngulangwa
5 жыл бұрын
🤣🤣
@alikomwasaga2955
3 жыл бұрын
Hapo ndipo muone ccm na viongozi mjifunze mtatukanana sana sisi kimya
@Burange666
4 жыл бұрын
Wewe mbunge na huyo mkuu wa mkoa wote wasenge mnafirwa wezi wakubwa mpo hapo kwa ajili ya matumbo yenu wasenge nyinyi bora muondoke wenyewe kabla makufuli hajawatumbuwa matako yenu.
@modazen7178
4 жыл бұрын
Hatar
@ilynpayne7491
5 жыл бұрын
Daah yani huyu mkuu wa mkoa ni mwizi kabisa huwezi kuwa na miaka 35 ukawa na mwili huo 😂
@oscartemu2538
5 жыл бұрын
Acheni ushamba miaka ya kisiasa
@bwanap2003
5 жыл бұрын
Umri wake kweli, namjua alimaliza form 6 2005 pale Tegeta High school.
@ilynpayne7491
5 жыл бұрын
@@bwanap2003 hahahah kaaah sasa ame kuwa mwili nyumba hivyo sabab ya ela za wananchi😂
@allybakari2740
4 жыл бұрын
Mliochangia hapa wengi akilizenu ngumu kichwa
@bonifacerobert2934
4 жыл бұрын
Hapana ni kweli nimesoma nae shule ya msingi ni mwili tu.
@nelsonkazaura6954
5 жыл бұрын
Wewe Myeti Umepandishwa Cheo Baada Ya Kupotosha Haki Ktk Wilaya Ya Meru. Leo Usemaje Haki Haipotei?
@anuaryally7149
5 жыл бұрын
huna njaa acha kazi Pumba tupu
@egidikilindij5994
5 жыл бұрын
Anamaanisha ccm wataondoka siku moja
@qonquererqonquerer1581
5 жыл бұрын
Huyu Mnyeti Hopeless Sana
@mohamedmillanzi9070
5 жыл бұрын
Mzimu wa lissu unawala
@isihakaselemani9530
5 жыл бұрын
We nae kilaza tu,huyo msenge Lisu ana nini
@richardwest6771
5 жыл бұрын
funga domo lissu ni nan
@errydeo8865
5 жыл бұрын
lisu ndo nini vile?
@yusuphaman3449
3 жыл бұрын
Mzimu wa risu unakura ndugu zako we boya kweli
@emmanuelmunisi1554
3 жыл бұрын
Ohooo tena
@salummuhija4435
5 жыл бұрын
Nyie wote ccm sasa sijui mnamfadisha nani hapo.
@conasmalale1073
5 жыл бұрын
wao kwa wao
@violethmeja1848
3 жыл бұрын
Ila mheshimiwa ubarikiwe sana haki ipo ata ikichelewa utapewa nimekupenda sana.ukiishi kwa Imani Raha sana
@abuyunusmohamed6961
5 жыл бұрын
sasa mnamjua mungu kwa sababu Rais wa nchi ni mchamungu.Mnajifanya wachamungu kuficha maovu yenu
@ebenernnko3339
5 жыл бұрын
Safi sana Ole milya dhambi yakununuliwa na huyohuyo mkuu wa mkoa dhambi Itawafuna tu
@jesusjudea4784
5 жыл бұрын
Nafurahi Sana nikiona ccm mnapigana wenyewe
@kingj9346
5 жыл бұрын
Huyo mbunge angekuwa bado yupo chadema angekuwa lock up now for 24hr
@APILET
4 жыл бұрын
48hrs
@shumamasima6937
3 жыл бұрын
Kwel
@pirminmatumizi5464
4 жыл бұрын
Waziri, kuna sintofahamu kati ya RC na Mheshimiwa, hawa ni viongozi wakubwa wa watu. Si hekima kuruhusu walumbane mbele za wananchi wanaowaongoza. Ungekaa nao ofisini na kusuruhisha mgogoro huo. Viongozi vijana bwana!
@mohamedkassimu8789
5 жыл бұрын
Mh.Rais Manyara Kuna shida✍️
@cyrillemboya4176
5 жыл бұрын
Mnyeti umjui Mungu ww
@adinaninkurumbih9582
5 жыл бұрын
Sasa kama MTU alinunuliwa alafu anamfunga Paka kengele eti anakemea rushwa.
@unambwenaiman5355
4 жыл бұрын
Hongeraaa sanaaaaa
@idduyusuph9408
5 жыл бұрын
Hahahaha Hana njaa manaake awez kununuliwa Kama mbunge alivo nunuliwa toka chadema kwenda ccm jaman wanaumbuana
@cheupemwanga3326
4 жыл бұрын
Safi sana RC
@jacklinethomas110
5 жыл бұрын
Asante mkuu wamkoa mana nimezaliwa simanjiro naielewa vizuri,ukweli kwanza kazi yakuchimba sio kitu chamchezo,muwekezaji amestopishwa wafanyakazi watasomeshaje watoto wao jamani biashara yeyote inayofanyika simanjiro pesa inapatikana kwenye madini sasa mambo yamevuruqika watu wataishije jamani mkuu wamkoa sitosahau kauli yako,munqu yupo naanaona yote.
@barakamarmo8104
5 жыл бұрын
Sasa hapo hajajibu??? Ahahaha!!! Makubwa!!? Hauna hekima brother!!!
@levislewis4291
4 жыл бұрын
Ajajibu chochote ....
@levislewis4291
4 жыл бұрын
Unaona jibu hilo ! wanasikilizwa wazungu kuliko wenye Nchi maana wanatoa kodi kubwa kuliko sisi wa Tz ! hii si sawa....
@phchouse
4 жыл бұрын
Ukweli unauma. Mnyeti upo sahihi
@lucassabida789
4 жыл бұрын
Good
@alexkachemu7957
5 жыл бұрын
Muweke ndani ole milya kama wapinzani
@profgeofreysevelinenyalale9454
5 жыл бұрын
Mungu irehemu Tanzania amani yako itawale na maraika wako waingilie kati maana tunapoelekea si sarama watu waliopewa dhamana kuwa kioo cha jamii ndo wanakuwa wachafuzi wa jamii ebu tufundishwe kunyamaza Mungu tureheemu
@swedijumakarohe2500
Жыл бұрын
Ameongea Kwa hekima na busara Sana huu ndio uongozi
@munnawwaryaqoob3414
5 жыл бұрын
Mnamchosha tu kaka yangu ,pole my bro mh Waziri
@asiaenzi5542
4 жыл бұрын
Hatari
@mustafakinolo3861
4 жыл бұрын
Safi sana mbunge
@gloriamichael3698
5 жыл бұрын
Tunaangamia Baba tumekosa maarifa watoto wako Baba tuhurumie amen
@kibongekipipa3580
5 жыл бұрын
Hapo patamu, mtoa rushwa aliepandishwa cheo kwa kazi yake nzuri ya utoaji na aliyenunuliwa kwa rushwa
@mrangi4454
5 жыл бұрын
Anae lipa kodi lazima umueshimu aimaanishi analipa nyingi au kidogo
@benadolphabiandustan4109
5 жыл бұрын
Bha! Yaani bwana ww nkuu wa nkoa chawa kweli
@raphthedream1552
5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa inaonekana tuhuma anazotuhumiwa zinaukweli ndani yake
@mkabesamaashao6805
5 жыл бұрын
Stone baba!
@marcoserena4337
5 жыл бұрын
Huyu mnyeti wa wapi huyu?
@violethmeja1848
3 жыл бұрын
Oyooooo mkuu wamkoa nimekupenda
@angelalphonce2962
5 жыл бұрын
Hongera kwa kunyamaza kimya ikiwa kweliumenyaza
@venancengonyan8716
4 жыл бұрын
ni vizuri kukubaliana
@jescamjarifu2381
5 жыл бұрын
Siku za kutenguliwa zinakuita we jifanye huna njaa Na kama huna njaa kilichokufanya ukakubali kutumwa na mwanaume mwenzio ni nini??
@boylondontztz920
5 жыл бұрын
Jesca Mjarifu sikupingi but nataka nikusahihishe kidogo,hajatumwa na mwanaume mwenzake bali ametumwa na taifa kufanya kazi za kitaifa but nahc km Rc hafanyi kwausahihi kwann amkumbatie tajiri mkubwa?, eti ndo anatoa kodi kubwa nisahihi atoe kodi kubwa coz anaendena nakipato chake so wote wapo sawa anaelipa bl 15 na ml 15 wote ni sawa tuu
@hamismasoud8306
5 жыл бұрын
Jesca Mjarifu wewe hujielewi huyo hatumwi na mwanaume bali anatumwa na serikali
@jescamjarifu2381
5 жыл бұрын
@@hamismasoud8306 we unaejielewa kwanini usiwe Mungu au kama unajielewa kipi ulichokiumba fala nini wewe mwambie mama akp ndio hajielewi pumbavu wewe
@hamismasoud8306
5 жыл бұрын
Jesca Mjarifu najua kuwa una kipaji cha matusi ndio maana huna uelewa Mungu hawezi kukupa vyote, Kama unayo matusi mapya unaweza ukayazindua tu kwangu usijali 😎😎
@jescamjarifu2381
5 жыл бұрын
@@hamismasoud8306😒
@NR-ll4sr
3 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa yuko 👍
@upendoeliya9329
3 жыл бұрын
Acha kudanganya miaka mzee!! Sura yako inakuumbua!!
@eliankya3272
5 жыл бұрын
Mahali penye hela tunajua apakosi mgongano kweli mkuu wa mkoa umechemsha raisi anadai wanyonge kwanza wewe unadai tajiri kwanza
@leokamil6284
5 жыл бұрын
Si anapewa vijizawadi chezea hela ya mboga each day wewe.Huoni alivyovimba yupo sawa na mwanangu lkn yy Mzee kuliko mimi kwa kula kwa sadala
@thabitkassim4668
5 жыл бұрын
Yani wenyewe kwa wenyewe mnapishana kiswahili kweli?
@busyladyfashion582
5 жыл бұрын
tusidanganye bhana ww hauna iyo miaka
@alexanderlulu1301
4 жыл бұрын
Mnyeti yuko vzr ktk utendaji wa kazi
@kashambaadfouce1593
3 жыл бұрын
okk
@twakawawa9344
5 жыл бұрын
I totally agree with the RC regarding haki, it can only be delayed "by evils" but never denied or be hindered. The rest I don't know...
@patrickmkoma6960
3 жыл бұрын
Huo ni ushamba
@bwangajatown4237
5 жыл бұрын
Ccm haifai naviongozi wake hawafai
@harunakayega5531
5 жыл бұрын
Mh raisi tunaomba umchunguze huyu mkuu wa mkoa mana atakua na matatzo sana ukiona anazomewa hivyo ujue kuna jambo
@furahamwajeka7463
3 жыл бұрын
Ni kweli ana tatizo maana aliye na pesa ndo anahudumiwa Kwanza ...Hii sio sawa maana wtz wengi hawana pesa Sasa watuhudumiwa kweli na lini pia umri wa mkuu wa mkuu wa mkoa mdogo Sana hafai kapewa dhamana kubwa hiyoo...
@basachitopela1997
3 жыл бұрын
Wasenge nyie mshatosheka hela kumamazenu
@taufiqjenseni6197
5 жыл бұрын
eti mbuge anakuja kuongea pumba hapa hahahhh hao ndio wakuu wa mikowa wa magufuli daaaa
@clementmathias9512
5 жыл бұрын
Kumbe ukweli wanaujua? Kwamba haki ya mtu hucheleweshwa tu
@gavanaolenenguya1454
5 жыл бұрын
Mm xioni anachokizungumza jamn huna point mkuu wa mkoa
@christophermlaponi534
5 жыл бұрын
Dah, anyway, ndiyo mfumo uliopo kwa sasa ndani ya chama, ni kutifuana tu mbele ya kadamnasi wakati ofisi mnazo ! Huku kanga libora, huku ndiyo hivi, na kule kwingine nakala za barua mitandaoni nk !
@christermelaka5689
3 жыл бұрын
Pole mdogo wangu kwa kupata umbile baya ukifika 45 wewe ni babu yangu
@barnabasmafuru6930
5 жыл бұрын
Ccm oyeeee
@angellamwanri8414
4 жыл бұрын
Mmmh kumbe mnyeti ndivyo alivyo?
@ayubungombe2128
4 жыл бұрын
Sawa kabisa
@salmaayub61
3 жыл бұрын
Kwakweli mnyeti umetusa sana MERERANI WEWE unazurum sana watu umewabeba sana kina huseni gonga wamekujengea uwanja na pesa nyingi
@nashirkamugisha9425
5 жыл бұрын
mkuu wa mkoa huyu anafaa kupewa cheo kikubwa zaidi.
@EliyacostantinoPius
5 жыл бұрын
Si sahihi..hakuna hoja..Fikiria hata wanachi wake wanamzomea
@omarjumanne6744
4 жыл бұрын
Haki haipotei kweri huwa inacherewa tu lmani ya kisilamu mkuu uko.sawa kabisa
Пікірлер: 690