Hawa mbwa niwazuri sana niwale ambayo hawapotezi kumbukumbuku wako vizuri Sana hongera boss na mapambano yaendelee
@CharlesLyuki
Ай бұрын
Kwani kuna Mbwa anae poteza kumbukumbu
@abubakarihamissi4178
26 күн бұрын
ndiyo wapo wanaitwa bulldog@@CharlesLyuki
@ramseytheonesty7572
22 күн бұрын
@@CharlesLyuki mfuge pitbull
@kilianmuhelezi4113
6 күн бұрын
142 kilogram isn't a joke. No way huyo mbwa anaweza kua na kilo 142. Angeingia kwenye rekodi za dunia huyo. Ni ZOBA pekee( ENGLISH MASTIFF) ndio anaeshikikia rekodi hiyo. Hakujatokea mwingine. Hata ukubwa (height) wake huyo unaonekana ni wa kawaida. Around 80 - 85 cm begani
@ototek8037
Ай бұрын
Yani limbwa nililishe kilo 3 za nyama kila siku? Labda liwe la biashara..vinginevyo nitabweka mwenyewe na wezi watasepa tu, hakuna namna.
@GoodluckAmos
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@AmisamauridNgagada
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏
@user-db4cg5mh5b
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kha mbwa huyo hata mawazili hawanunui sio kwa bei hiyo kudadeki 😂😂😂😂😂 sijui kama polisi wanae kama huyo duu
@hellendaniel3809
Ай бұрын
Ukienda lodge ya hao mbwa utafurahi. Ana Lodge ya mbwa huyu bro huko kwa Murombo.
@user-db4cg5mh5b
Ай бұрын
@@hellendaniel3809 Alisha niuziaga mbwa frani namjua sema galama kubwa sana da
@hellendaniel3809
Ай бұрын
@@user-db4cg5mh5booooh kumbe. Hongera best maana kweli ni bei sana
@michaelsamson9663
Ай бұрын
Boss wa mbwa unatia huruma mbwa gani ml30 au wenzetu amtafuti pesa mnatumia pesa za😅😅ulisi
@zolongOne
29 күн бұрын
Ni wanakuwa wakubwa sana tena huyu wake anaonekana amechanganyika kidogo maana sio mkubwa sana
@jumannechibaladya6223
Ай бұрын
Kamuuzie chief godlove... Milion 30 hivi mnaichukuliaje nyie...
@neemamafie9092
Ай бұрын
Hongera inamaana kwa siku moja wanatumia kilo 300 🔥
@petermokami2273
15 күн бұрын
Mbwa yupo vizuri
@AsungaSteven
Ай бұрын
Napenda sana mbwa aisee
@shaneyramadhan2519
Ай бұрын
Njoo nikuuzie bei ya bure laki tatu tu
@user-bh4up3dg5m
Ай бұрын
Uko wapi@@shaneyramadhan2519
@AbdurrahmanGhazi-sh6yx
Ай бұрын
Kangal is the best dog in the world 🌎
@edwardkaniki5158
Ай бұрын
True
@dahero160
27 күн бұрын
@@edwardkaniki5158huyo n zaidi ya mbwa
@user-sx1xi4yb2z
Ай бұрын
Kamuuzie wema,ili yule mbwa wake apate rafiki na jirani,,na huwenda Wana ukoo na mbwa wa wema
@brendashao36
Ай бұрын
Wapi wema kuja kipande hii uje umchukue
@erickkilasi6182
3 күн бұрын
Huyo mbwa atawafia uzeni buku 50 mtulie, hiyo 30 m mnahisi ni hela ya kununua bagia eeh😅
@kekiplus1andonly
Ай бұрын
Napita,
@EdithMinja-fy4fv
Ай бұрын
Hawa ni mbwa wa zuri sana
@wisdomfolks
Ай бұрын
Namuona Tumaa hapo kubali sana
@user-hi8le2vb7z
Ай бұрын
Wewe 4resta iyo😊😊--na chenj
@mwajabumunna6398
Ай бұрын
IST mbili hizo woi
@magigesabai8674
Ай бұрын
Tuwe makini na hawa Mbwa kuna mama mmoja hapa Kibaha wamemtoa ngoz ya nywele amebaki na fuvu tuwe makini sana
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
29 күн бұрын
Ila wale wanaothamini mbwa kuliko wanadam Mungu atawanyorosha mwisho wenu.
@hmedoggftherljih199
Ай бұрын
Congrats from ℓαjiвωαh 🐾
@stannoreen6784
18 күн бұрын
Bado ujanishawishi unajiplaudi tu huwez kununua mbwa kwa million 30 bado pesa nyingi
@user-vk6bb4fe2p
3 күн бұрын
Hiv kaz yake kubwa ni ipi
@anwaralhabsi1424
Ай бұрын
Kwa kweli kwa gharama za usafirishaji WA mbwa hata atoke America haiwezi kuwa bei hiyo hata kidogo😂😂😂😂😂 na huko nchi za nje wenzetu hawauzi mbwa bei hizo hata kidogo
@BabMuniwe-pg7el
Ай бұрын
Wauzie haohao
@barackmoses7003
Ай бұрын
SIWEZI KUFUGA MBWA KAMWE
@JosephMilinga-nl4zh
Ай бұрын
Sio uwezi sema huna pesa,kumiliki mbwa kama uyo inaitaji uwe na ukwasi,uyo mbwa ana daktari wake spesho
@othmanabdallah3146
Ай бұрын
Sasa huyo mbwa kg 100 had 140 atawezaje kupambana na wezi , hizi kiki za bongo aisee
@NtamamiloGibson
Ай бұрын
Uzito huo ndio unafaa akikukamata hufurukuti mzee nikama kakamata panya tu.
@ziggertv3185
Ай бұрын
Jichanganye kweny hao mbwa
@inri003
Ай бұрын
Una hisi simba wana kilo ngap mzee na sio tu kupambana wanachase na kukamata for survival
@jaffjeff6912
Ай бұрын
@@inri003 Simba dume kg 200 na ushee
@sleeprelaxation8431
Ай бұрын
kwani simba anakua na kilo ngapi? leopard and tigers? ushawahi kutana na nyati ndugu uone show atakupa
@azimioalbertongellangella8970
Ай бұрын
30m nina nyumba ya maana nina gari na nina mke kama Hamisa Mobeto😂😂
@abuumuhammad7133
Ай бұрын
Sawa aziz key
@lewismpangala927
Ай бұрын
Duh nyumba au kibanda?
@eliusgration4150
Ай бұрын
😂😂nimecheka na kushangaa, kweli pesa huijui
@innocenttalentedperson9552
Ай бұрын
Hahaha
@awadhally1052
Ай бұрын
Kwel kabisa
@GOODLUCKSEFANIA
Ай бұрын
Atarisanaaaa
@adambunduki4524
Ай бұрын
Namba zake za sim
@benedictmrisho1800
Ай бұрын
Hata bunduki ukikaa nayo vibaya inakumaliza. Mbwa nae ni kukaa nao vizuri. Kuwa na mapenzi nao
@ericksonmuhulo1570
Ай бұрын
Je analiwa!?
@chalzharodymunis6577
Ай бұрын
Njooo tabora hawa mbwa wapo ml 2.5 tu
@silasiAbeli
Ай бұрын
peleka kusini kwa wa hehe
@nasramohamedi4095
Ай бұрын
Mara unanunua kesho yake anadanji 😅😅😅 utajua hujui
@dizzonofficial2600
Ай бұрын
Nataman sana nimpate huyoo aiseee
@shaneyramadhan2519
Ай бұрын
Upendi germnphfd
@josephifanda5626
Ай бұрын
Kwa unene huo hawez kukimbia sana
@kelkel4483
Ай бұрын
Haiwezekani breed moja ya mbwa iwe na coat mbili,mmoja ni pure breed mmoja ni cross breed ukiangalia unaona na mkia,same kwa Germany shepherd,jamaa anapenda mbwa ila mbwa akiwa cross breed anashuka bei,pure breed bei inapanda,pia watu waelewe mbwa anapokua mkubwa bei huwezi nunua kutokana na matunzo labda na training ailiyopatiwa,ila kitoto kinaweza nunuliwa kwa bei ndogo,coz of bado gharama ya matunzo sio kubwa
@Mohamed-ps2dx
Ай бұрын
Ni mbwa wazuri lakini kwa Ulinzi sio wazuri kwa maana ni wazito kukumbia na pia wagumu kufundishika pia wanakula sana ndio maana hawatumuki sana
@MAPOFA435
Ай бұрын
Unamjua vizuri huyo mbwa au unaongea tu... Huyo balaa lake ni hatari hua anakua na kilo 100+. kazi yake kubwa ni kuwinda paomja na kulinda mifugo. Ni mbwa mwenye akili sana. Ana mapenzi na familia. Huyo ni balaa mzee... Nutty dogs wanauza mtoto milion3 mweny miez 3.
@Nick16697
Ай бұрын
Hao mbwa ni hatari kuliko unavojua,
@menalikechildren8836
Ай бұрын
Mm nalipia 29M cash, kama upo tayari nidm
@jumannechibaladya6223
Ай бұрын
Mala unanunua unakuta wahehe wamempika Mish kaki
@PrinceBonnyTz8
Ай бұрын
Kwaiyo mbwa moja ni IST ngapi😂😂😂😂😂
@AnthonyMaganga-lo6kb
29 күн бұрын
Ist 3
@PrinceBonnyTz8
29 күн бұрын
@@AnthonyMaganga-lo6kb 😅😅😅😅
@spycley6127
2 күн бұрын
Wanaumwa sana hawa 😂 Ivi wanaichukuliaje milion 30
@eliaszacharia-ne6yw
Ай бұрын
Nyama kilo tatu kila siku Kila siku upoteze 30k na bado umenunua 30M
@user-gp1hi7sw5k
Ай бұрын
Nawataka
@hanifamziray277
Ай бұрын
Waxugu wananunua kbs vile wanapenda
@kanankirannko6174
Ай бұрын
Miaka ya 89 niliwahi kungatwa na mbwa na akaniachia alama ninayoiona hata sasa tena juu ya goti yaani mi nikiona hawa viumbe duh sipendi kabisa hata mtoto akileta huwa naweka ndani ya mfuko napeleka mbaliii
@FredMwamgogwa-td6ni
Ай бұрын
We jamaa kiboko kwa mbwaaa
@bahatikabungu7788
29 күн бұрын
Tupandishe na bei ya ng’ombe
@ntegrity277
Ай бұрын
Hamisa naye ni mke malaya
@fadybeatz
Ай бұрын
Hao mbwa Ni Wamaziwa
@FredrickNicodemus-t6g
Ай бұрын
Hakuna hio bei Mzee....stop being sarcastic asee...... Belgian n German shepherds ndo active protective dogs..
@user-cl4dn2nd9q
Ай бұрын
Sasa kilo,zote hzo naenda kumchinja niuze nyama au
@sund2553
Ай бұрын
Hawa ndio wale mbwa hatari ukijichangany wanaku dhuru hata wewe boss wao
@zubeiramlanzi2480
Ай бұрын
Muulize kingunge..
@peterkanza2207
Ай бұрын
Pitbull ndiyo mbwa hatari mno kuliko kawaida,wanapoteza kumbukumbu muda wowote.
@joharikitundu
Ай бұрын
Hawa Awana shida hao ukijichanganya ni jamii PDog sura mbaya ila ukiwa wahawadi ukakata mkia wanakuwa wapole ila ni walinzi waziri wa watoto na wanawake
@salmahassan586
Ай бұрын
Mbwa jamii ya kangals wanapatikana apo?
@user-jh9yv1zp1l
Ай бұрын
Kawauzie viongoz wanaokul pesa za umma hel zao wanachot tu
@BobuMarsata
Ай бұрын
Yani mbwa mm ni nunue m30 😮
@elishakayagwa9371
Ай бұрын
Hata elf 10 sinunui😂😂😂
@FerdinandCharles-ko7de
Ай бұрын
😂😂😂
@spycley6127
2 күн бұрын
@@elishakayagwa9371 😂😂 nipe tano
@user-bh4up3dg5m
Ай бұрын
Punguza bei
@usercabal
Ай бұрын
Alafu una mla supu au
@selemanmstafa9251
Ай бұрын
Sasa mbwa mkubwa hivyo anaweza kweli kupambana hata na purukushani nzito
@Tetesizausajili152
Ай бұрын
We usiongee Yani huyo ni kama Simba akikudaka huchomoki
@jumannemsengi2195
Ай бұрын
Jichanganye kwenye anga zake yy hakimbizi sungura!! Ww ingia kwenye yard yake utakubaliiiiiiiiii 😂😂😂😂 kwanza anakufata kama anawinda pundamilia porini 🎉
@hellendaniel3809
Ай бұрын
Wewe😂😂😂😂kamshike mkia ndio utajua hawezi kupambana
@VeronicaRugoyi
Ай бұрын
Weeee jidanganye atakutafuna
@babupiza641
Ай бұрын
Ukwani ukila nyama yake inaponyesha ukimwi
@magejuliani5293
Ай бұрын
Mi napenda mbwa lakini hawa wanatisha kuanzia matunzo hadi sura zao akikugeuka huyu hatari
@philemonmagesa5548
Ай бұрын
Kabisa
@shaneyramadhan2519
Ай бұрын
Nitfute nikuuzie germanphd
@user-fredrickmtei
Ай бұрын
Waficheni wahehe wasiwaone
@magejuliani5293
Ай бұрын
Ha ha haaa
@priscangimba6194
Ай бұрын
Sio wahehe tu kuwa nakini tutakulisha na wewe😅😅
@JERRYMWAKABONA
22 күн бұрын
PRODUCTS ZETU MBWA😂
@nwntz
Ай бұрын
Kg 3 za nyama si mchezo mboga ya wiki kwa tandale😂😂😂😂😂
@anwarihassan
Ай бұрын
😅😂😂
@AmisamauridNgagada
5 күн бұрын
Comment zenu humu nizakishamba xana kama mnataka vya bure fugeni njiwa swain nyumba zenu tutakua tunaingia bila hodi kama chooni😂
@ChrisantusMwewe
Ай бұрын
Kwa nn walipigwa marufuku? Kuna sababu yyte?
@emmanurichares6589
14 күн бұрын
Ni Rottweiler ni mbwa mkorofi mno na anafuta kumbukumbu umri ukienda so ana attack mpk mmiliki 🤣 ila sio huyu mbwa
@affaanothmaan6287
Ай бұрын
Hivi mil 30 ni ng'ombe wa ngapi kwa lak 4 kila mmoja!?🙈
@dastanfussy4898
Ай бұрын
Watu wanamaisha sisi tunaishi
@user-qk1iv2is9f
Ай бұрын
Ila KIBOKO ya wachawi 😄
@jumannemsengi2195
Ай бұрын
Mchawi hakitizi kwenye yard yake hasa zile nyumbani zenye eneo la nusu heka, "Mbezi beach" sasa jichanganye ujue yy ni wa milioni ngapi!! Sasa utakubaliiiiiiiiii kuwa ni wa 30milioni kwanza anachumba chake mpka kina chooo na godoro sasa utajua😂😂😂😂😂😂
@machanoalijaku7468
Ай бұрын
Akiumwa unachinja
@EmmanuelLekasango-rt1qx
Ай бұрын
Wakwanzaaaaaa
@material_liv4674
Ай бұрын
Mbwa kama hawa walipigwa marufuku UINGEREZA
@kurwaclement5122
Ай бұрын
Kwanini
@giftchristianmeela1409
Ай бұрын
ila sio aina hii
@user-zg8mi7ce3m
Ай бұрын
Kwa sababu gani, Walipigwa marufuku?
@zolongOne
29 күн бұрын
Rottweiler ndio walipigwa marufuku sio huyu
@nengailaizer-li2rp
23 күн бұрын
Hapana
@senixdanethox
Ай бұрын
Hakuna mbwa wa mil 30 wanasema mil 30 kwasababu mbwa sio wao na hawarusiwi kuuza
@jumannemsengi2195
Ай бұрын
@@senixdanethox huo ni muono wako!!! nenda Arusha kwanza!!! Halafu urudi na majibu, ww upo mkoa gani kwanza?? Halafu tukushauri Bus la kupanda🤓🤓🤓🤓
@othmanali7408
Ай бұрын
Kk tembea Mimi pia nilikua napinga mambo haya ya ufugaji ila tembea uone.. Kuna kuku milioni 2
@muhseenmakpel5043
Ай бұрын
Hao GERMANY SHEFWAD nao wanauzwaje
@ramadhankhatwib8561
Ай бұрын
😂😂😂du hatar Bora nimiliki Simba kabisa
@user-wj6zj1ly4e
Ай бұрын
M30 ni uongo au bange
@hellendaniel3809
Ай бұрын
😂😂😂😂 ana hadi lodge huyu bro sio bangi ndg siku ukija Arusha nenda kwa Murombo utaona
@user-sx1xi4yb2z
Ай бұрын
Niliwaona Dubai..ni Wana mate mengi kama mlenda😂
@zagadat1129
Ай бұрын
Hakuna garama kubwa tuu wacha garama yake kama kumsafirisha na ushuru
@zagadat1129
Ай бұрын
Alafu pia mbali na kuwa nap tuu kuwalisha tuu lazm ujiweze
Пікірлер: 151