Mvweduke shukran kwatalifa nzur tunakufwatilia tukiwa Oman uwarabun tunafurahia utangazaji wako Allah akuifaz ndungu yetu
@abudalaabdumalik9362
2 ай бұрын
Uko kuna ndugu yangu nilipotezana nae kwenye mawasiliano
@SurprisedMacawBird-qh7dg
3 ай бұрын
Pamoja kutoka geita
@gdujms7606
3 ай бұрын
Nice mwanduke you are giant of sports
@cesaryaudax6647
3 ай бұрын
Kutofunga kumesababishwa na Kibu na Ntibazonkiza Tulisema tangu mwanzo
@JosephJumbe-w6h
3 ай бұрын
Mimi ni Yanga ila Mo anapenda sifa kwa ahadi alizotoa na kuepuka kuaibika Simba najua atafanya kitu cha maana kwani hatakuwa tayari kuaibika kwa mashabiki na wanachama wenye matuaini makubwa na yeye!!!!
@HusseinJumah-md3ck
3 ай бұрын
😮😮😮
@SilvesterKazimoto-yk7hp
3 ай бұрын
Bwaduke wewe nimchambuzi mahili lakini kwa simba unajichosha bule
@deomusyebi9930
3 ай бұрын
Hapo hakuna kitu mzee unajichosha tu tuna hayo maneno yako utakuja yakataa
@jamesjames2368
3 ай бұрын
Utopolo wanaweweseka, mipango yao ya kuizima Simba inakwama.
@MeshackFrancis-t4q
3 ай бұрын
Kumbe Simba inazimwa na Yanga?
@ReusiKavakule
3 ай бұрын
Nakukubar sana mchambuzi wangu bora wa mwaka
@HospiaceMata
2 ай бұрын
Bwaduke hujawahi kutoka taharifa za uwongo hivyo tunakufatilia sana
@RayyanSaeed-d4h
3 ай бұрын
Unyama sana mbwaduke
@EzekiaMyila
2 ай бұрын
Nimeelewa mo nizaidi maana anaamini ktk maisha ya ushindani tuko pamoja naye
@ChandeMuinde-zs6rj
3 ай бұрын
Asante nze mbuaduke nakukubar nakufuatiriga nikiwa msumbiji Maputo 2:41 u
@DeusiMorisi
3 ай бұрын
Club zote tz zinatetemeka hoi
@SarahKaale
3 ай бұрын
Simba nguvu moja ❤❤❤❤
@DaudMasaga
3 ай бұрын
Taarifa nzuri san unajua
@musamatia
3 ай бұрын
😮. 😮😢🎉😮🎉 1:32 n
@musamatia
3 ай бұрын
😢BU
@JoelyEmmanuel
3 ай бұрын
Sawa nimekuelewa nisemee iwekweli kweli simba nguvumoja nitashukuru yakitimia❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MaryJohn-bt5fe
3 ай бұрын
Mo ameifanya simba anavyotaka muindi.nimpiga hela hana lolote
@yugemasanza1008
3 ай бұрын
Kaa na yanga yako
@JuliusWandwi
3 ай бұрын
Sasa ulitaka mamaako ndiye awe kama Mo?
@ShadrackMsanga
3 ай бұрын
An sana ngoja kwanza 🎉🎉🎉🎉
@MashakaMpuruti-di9dc
3 ай бұрын
Huyu mwamba nitegemeo Sana kwenyedata sport tz
@Sebastianmangenyi
3 ай бұрын
MO the best
@jamesjames2368
3 ай бұрын
Mbwaduke ni tishio kwa wachambuzi bahasha za kaki na media zake🎉
@PeterJoseph-wu6fv
3 ай бұрын
We nimwamba sana tena kwa wachambuzi wetu watanzania wehuna mambo mengi wwngi wao uongo mwini yani uchawa chawa ila ww msema kweli
@FrolahRimo-cm3tu
3 ай бұрын
Tunataka Simba ishuke daraja kabisa ndo furaha yangu
@ShafiiHungo
3 ай бұрын
Nice
@JuliusWandwi
3 ай бұрын
Kaka hata aliye nafasi ys tatu,tano na sita hawajaingia kucheza
Hamna ushahidi MO ni mmoja wa mabilionea vijana baronial Afrika. Forbes is an unreliable source, mind you. Mzee wa Data hio ni speculation tu kuwa Simba itakua tishio.
Пікірлер: 47