SIMBA NI TIMU KUBWA TANZANIA ,🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO
@yusufunguruko8080
27 күн бұрын
The only soccer analyst in Tanzania - big up Mbwaduke !
@assamkagila
Ай бұрын
Namkubali sana huyu mwamba yuko vizur kweny uchambuzi wa soka
@MbwadukeStats
Ай бұрын
Shukrani sana Mkuu. Ahsante kwa kuendelea kutuunga mkono!
@gasperelasto8842
Ай бұрын
Tuchambulie match ya yanga vs kaizer chief
@dubo2010
29 күн бұрын
@@MbwadukeStats formula karibia miaka yote ni (64 - idadi ya timu zinazoshiriki = idadi ya zitakazo anzia hatua ya kwanza)
@user-hn8vj1vn5y
22 күн бұрын
@@dubo2010 Good! Ahsante sana Mkuu!!
@IsaacParuz
Ай бұрын
Ubunifu Hadi Raha kaka mbwaduke hongera sana wote hapo na team yako
@peterngatunga1527
25 күн бұрын
Samahani vijana wetu msiharibu lugha katika kujitambulisha hatusemi Kwa majina naitwa..... Bali Kwa jina naitwa naitwa.......... Asante sana
@salummohammed1176
Ай бұрын
Kweli kaka umechambua vizuri sana asioelewa atakua mburura Simba SC nitimu kubwa
@user-wl4yo4zp9t
Ай бұрын
Mbwaduke uko vizuri
@gasperelasto8842
Ай бұрын
Kaka asante sana kw kazi nzuri. Tunaomba utuchambulie match ya yanga dhidi kaizer chief
@user-uj5wg9mm2t
29 күн бұрын
Simba nguv moja😂😂😂😂
@OGVIDEOPRODICTION-z2l
28 күн бұрын
asant
@shabaniramadhani8026
29 күн бұрын
Uko vizuri brother
@ThuwaibaMkana
Ай бұрын
Nimekuelewa baba mbwaduke❤
@DAVIDKISWAGA
Ай бұрын
Uko vizuri sir mwanduke!
@MbwadukeStats
Ай бұрын
Shukrani sana. Ahsante kwa kuendelea kutuunga mkono!
@DadeSaide-qr7ti
29 күн бұрын
Asante sana. @@MbwadukeStats
@Jaymedia16Tz
28 күн бұрын
Kk uko vzr ninakufuatilia sana tena sanaa achana na hawa wachambuzi uchwara wanajisifu eti wachambuzi hongera sana bro
@FedricMwikwabe
Ай бұрын
Big up Mr mbwaduke
@rizikylaizer1602
Ай бұрын
Leo nina raha napenda data zako mbwaduke sana❤
@mwitamalwa2773
28 күн бұрын
Simba ni simba tu so yakufananisha na team yoyote Tz😂😂😂😂😂😂😂
@jumaazuberi9317
28 күн бұрын
Miaka 4 simba anaenda kimataifa na anafika robo yanga ndani ya miaka hiyo 4 hawafiki popote na kucheza makundi nibaada ya miaka 25 watafanana vipi na SIMBA.
@orestonjalika632
29 күн бұрын
Tatizo lako unajua sana boli wewe mbwaduke. umekuwa taa sana aise
@YasiniJuma-rc9bb
Ай бұрын
Nadhani we ndo mchambuzi bora Tz!!👏🏽👏🏽👏🏽
@errydeo8865
Ай бұрын
Hakuna mwingine He is the best of the best....
@YasiniJuma-rc9bb
Ай бұрын
@@errydeo8865 Ni kwel aisee
@nahimanafiston6518
Ай бұрын
Wawuuu
@labramsalum976
Ай бұрын
Nakubaliiiii
@KASSIMSHEHEMBA
29 күн бұрын
Kimataifa huwezi kulinganisha Simba na Yanga Simba ipo nafasi ya 6 afrika Yanga 43 huoni Yanga ni kibonde
@User255tv
Ай бұрын
Noted. Kwa kutumia idadi ya 5 bora, hata makolo wangekuwepo CCL nao wangeanzia preliminary vilevile. Tukutane uwanjani.
@johnsonisack1133
Ай бұрын
Yap brother
@ibrahmsimai
Ай бұрын
.saw
@user-yr8eq7rr1z
Ай бұрын
Huyu ndo mchambuz, cyo wale kina ambokile ushenz mtupu
@charleznicholas416
28 күн бұрын
Mbwaduke namkubali sana huyu jamaa anachambuwa kwa akili
@augustinokibena8387
Ай бұрын
Kuhusu pot Yanga atakuwa pot ipi
@silasjacob-j2l
Ай бұрын
watabakia kujifananisha na mnyama caf wenyewe simba yani hapo formula zitabadilika sana imradi2 mtoto asifanane na baba
@sweetbertrwiza5982
Ай бұрын
Hata kama kichwa chako kigumu kama jiwe lazima utaelewa tu!
@khadijamisayo7476
Ай бұрын
Simba ni Simba tu
@YunusHaji-i8i
Ай бұрын
Apewe tunzo na mauwa🎉🎉🎉🎉 yake Kwa kiwango chake jamaaa
@user-tr8kz6wc1j
29 күн бұрын
Wasifosi tufanane
@user-wn4qu9yu7n
Ай бұрын
Huwa nafurahishwa na data zako
@Bashirusalum
Ай бұрын
Simba sio paka hata alowe vipi
@Kabeya410
Ай бұрын
Bahati mbaya kwetu bahati nzuri kwao wangekua huku nao wangekua hawao wao wa 6 na zimetengwa 5 simba nae angeanza kama Yanga tu kule shirikisho ni mkurulo yaani 12 unakosaje hata yanga angekua kule asingecheza mwanzo Asante Mbwaduke hawa makolokolo wasitambe ni mfumo tu 😅
@abdallahmzee4335
Ай бұрын
Ucjifariji kwani hukuwahi kuwa huko mbona ukupata hiyo nafasi ya kuanza awamu ya pili,Kubali tu Simba ni kubwa kwani ukikubali utakufa
@Kabeya410
Ай бұрын
@@abdallahmzee4335 angalia kabla hapo nilikua sina point za kunibeba baada kufika fainali na kufika Robo niliyodhulumiwa ningekua huko timu 12 nayo unajisifu mkurulo huku kwetu ni timu 5 mimi wa saba ingekua kumi bora au saba bora nimo ningeanza mbele ila kwangu faida napata mazoezi mazuri we subiri hiyo raundi unaishia hapo hapo mwaka huu hata makundi hufiki Yanga kafika fainali shirikisho na mechi ugenini nimeshinda pamoja na figisu zote kanuni ndo imenitoa Sasa kama Mwanaume kweli fika fainali na ushinde fainali ugenini NIKO PALE NIITE MBWA
@abdunnurahmedsilim7456
Ай бұрын
Siku zenu zinahesabika za kujiita eti ni wakubwa!@@abdallahmzee4335
@amidanjalle3468
Ай бұрын
Sis ni simba
@evansmoshi1923
Ай бұрын
Maswali ya wanafunzi mashabiki wa utopolo
@BibeLunangela
Ай бұрын
Acha uhongo
@user-tc7fh1mv8f
Ай бұрын
Brother mm swali langu nikuwa mbona bala laAfrica ina nchi 54 afu kuna timu 52 ,59 afu mda huo kuna nchi zimepeleka timu mbili hii imekaaje?je kuna nchi hazishiliki michezo kabisa au
@sangaelly8548
29 күн бұрын
Ndiomaana
@brunoh_bx
Ай бұрын
Salma Hamidu naomba naomba yake me bado sijaoa jama😂😂 Nakukubal sana kaka Mbwaduke👏👏🔥🔥🔥
@emmanuelibrahim8159
Ай бұрын
Umalaya tuu kuoa aaaaah😮
@brunoh_bx
Ай бұрын
@@emmanuelibrahim8159 😀😀 si ndo natak kuoa sasa jaman
Пікірлер: 56