Hakika katika hiyo game ijayo Chasambi mtoto wa maajabu anatakiwa mno na Awesu na KIBU DENIS PROSPER
@officialsuma99
2 күн бұрын
Kwa chasambi apo ok
@joshuamassawe2474
2 күн бұрын
Chasambi sawa ila naona Kibu bado.
@ZaydShafii
2 күн бұрын
Umetisha naamini simba wamepita hapo mwarabu anakufa kwa mkapa yanga apa
@YahyaMndevu
Күн бұрын
Upo sawa kaka
@lwelenjalferdinand671
2 күн бұрын
Kibu Denis asiende tena kwenye safari za Simba. Hana lolote huyo. Kalabaka na Chasambi wapewe nafasi. Maana huws wana mchango mara kadhaa
@mussinMkwizu
2 күн бұрын
Sema nilichokigundua mbwaduke ana kichwa kizur sana cha kumbukumbu
@anthonymilinga8696
Күн бұрын
Mechi yamarudiano inamuhitaji chasambi kwa asilimia 90 kwa jinsi ulivyo elezea. Chasambi ana mbio sana na nimpiga cross mzuri sana. Chasambi na Ateba ni muunganiko mzuri sana. Chasambi akianza kipindi cha kwanza naonakabisa waarabu wanaenda kufa dakika ya 10 ya mchezo.
@saidbakari2408
2 күн бұрын
Mbwatuke mchambuzi wa viwango vya fifa be bliessed
@user-vh6hh6ul2h
Күн бұрын
Nakuelewa San
@lucysweetbert9411
2 күн бұрын
Nakukubali sana kaka kwenye uchambuzi Huna baya
@adamkulwa7194
2 күн бұрын
Mbwa Duke, Mimi ni shabiki wa Simba. Ushauri wangu kwako, "Unapo ongelea strength ya simba hakikisha unaongelea na Weakness ya simba. Simba bado tunashida kwenye safu ya ushambuliaji kwa maana ya namba 10, 11, 7 na 9. Safu ya ulinzi na kati simba wapo vzr sana.
@FrankKashamakula-xb1pc
Күн бұрын
Team thmeanza kujenga nyuma Bob hapo mbele itakuwa Very Simple
@BonifaceThomas-ky6bf
2 күн бұрын
Tunawasubili lupaso hatoki mtu🦁💪🔥🔥🔥🔥
@lwelenjalferdinand671
2 күн бұрын
Ahsante kwa kumtetea Chasambi
@ZaydShafii
2 күн бұрын
Umetesha naamini simba wamepita hapo mwarabu anakufa kwa mkapa yanga apa
@reginaldchilongo2285
2 күн бұрын
Yule no.18 mgongoni ulisema ni mzee, lakini jamaa ana balaa kweli kweli
@lazarologo7800
2 күн бұрын
😂😂😂
@MandelaNjoolai-lf7rw
2 күн бұрын
No 19 ni hatari
@RogathShirima
2 күн бұрын
Mchambuz wangu bora kabisa
@Sempay-cs9dr
2 күн бұрын
Wewe mshabiki wa yanga nakukubali inatakiwa mashabiki wa simba na yanga wakuige wewe
@SINTACLEMENSBYABATO
Күн бұрын
Hyo mech inayokuja inamuhitaji chassambi lakin pia inamuhitaji mkwala
Пікірлер: 29