Ameen baba barikiwa saana kwamahubiri yako hakika yanaponya nafsi
@emmanuelngewa8894
2 жыл бұрын
huyu ni mchungaji wa ukweli, anakemea dhambi, maana maadili yamepotea kabisa hasa mijini, wakristo wapo kimtego mtego tu, Mungu akubariki sana
@metrinejahenda3251
2 жыл бұрын
Nakusiliza nikiwa Saudi Arabia.. unanibariki sana..
@angelowachira8442
3 жыл бұрын
We we sijui nitakuita mwalimu, au mhubiri au nani....you are just more than that. Kwa wale wanaoandika kwamba punguza sijui ukali... Lazima wawe wamekatwa na msumeno wa mgogo. Your teachings are excellent especially for the young and for the old waliopotea. Thanx thanx.. Keep it up..keep it up....NENO LA BWANA LITASIMAMA. Barikiwa
@hamischares3390
3 жыл бұрын
Umeona na ww mwenyewe mafundisho uake nimeya penda
@annageorge7712
3 жыл бұрын
Mchungaj niombee
@ciaberedamaris1326
Жыл бұрын
Sermons za.ajabu mtumishi Wa Mungu asante Kwa kuhubiri ukweli
@jackyjacob2105
Жыл бұрын
Ameeen 😅😅😅wanawake tumefikiwa 🙌
@user-ze8dy1bk7p
3 ай бұрын
Hongera baba karibu songwe.
@AngelBukuku-et6sb
6 ай бұрын
Ubarikiwe Sana Mtumishi Nimejifunza
@bamsstlucide7642
2 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe na kuneemishwa zaidi kwa habari na ufunuo unaotangazia walimwengu.
@lawmaina78
3 жыл бұрын
Amen mchungaji, pokea salamu kutokea Kenya.
@NashoniNorbet
3 ай бұрын
Neno nzur sana mtumishi
@arnoldkea2903
2 жыл бұрын
Pastor continue educating us we do really appreciate....
@fredyemmanuel4303
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁 Kama nawew umemuona kunadada amezishika nywele zake baada ya mchugaji kuhubir gonga like zako hapa
@musakaphu3563
3 жыл бұрын
😂😀😀
@beatusdatfius2539
3 жыл бұрын
Umenifany ni -rewind kanda kwa kalamu! 😂😂😂😂
@beatusdatfius2539
3 жыл бұрын
Umenifany ni -rewind kanda kwa kalamu! 😂😂😂😂
@nyakahangahospital7943
2 жыл бұрын
AMEN sana mtumishi wa mungu, nimebadilika! Ubarikiwe
@kekevinrxxxvingatesf7690
3 жыл бұрын
Aki I love this pastor bwana yesu akutunze kila siku uishi miaka mingi..
@majaliwamaige5848
3 жыл бұрын
Amen mungu akujalie ukae miaka daina utuhubili
@hamischares3390
3 жыл бұрын
Jamani mafundisho yeni mazulisana mbalikiwe kwa mafundisho yeni watu wa mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
@Winxtechnologies1
3 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka🎉🎉
@saidimohamedimgotomgoto979
2 жыл бұрын
Mkuu mm nakufatilia sana kwa kusema Eddy hapo umejitoa moyoni mwangu
@davidobeyo4538
11 ай бұрын
Amen ,pastor mafundisho mazuri sana
@Winxtechnologies1
3 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@isaacnsengiyumva6353
2 жыл бұрын
Ameeeeen Pasteur,suis ravis de tes prédication,suis à Goma DRC
Napenda unavyotoa mahubili bila kupindisha maneno.
@lizziegeorge1682
3 жыл бұрын
Jamani mchungaji unaogea , yaan mpaka visingino vina puncture
@restutamjuni4739
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji tunapona kupitia mafundisho yako
@evasempita1144
3 жыл бұрын
Asante.mtumishi.sema.tupate.kupona.wanawake.
@hellengumbi6667
3 жыл бұрын
Asante mchungaji kwa mahubiri yako
@dianaderck5560
3 жыл бұрын
jaman nimekuelewa sana,,, Mchungaji,,, Mungu akutie nguvu
@johnstoneodinga4186
3 жыл бұрын
Asante mhubiri ...kweli injili Ni moto ina choma pande zote..ukipinga utachomeka barikiwa ...🇰🇪🇰🇪 Present
@sophiayuga3014
2 жыл бұрын
ASANTE SANA MTUMISHI KUMBE KUNAWANAUME PAT TWO ASANTE KUNISAIDIA
@karimkalama6629
3 жыл бұрын
uyu mzee namkubali sana
@salumugidion
6 ай бұрын
Ameeeen 🙌🏼
@RutexNalex
2 жыл бұрын
Asante kwa kunikozoa,nimeanza Safari mpya ya ndoa
@manusunking7728
Жыл бұрын
Amen pastor inauma sana from Kenya
@user-dq8cz1lq6u
6 ай бұрын
Yes wambie ukweli Kuna wanawke ni vikoba unacheka lakin hauna sku ya kuchukua
@emmanueljuma5319
2 жыл бұрын
Mungu alubaliki neno lak
@sixmundleonard2135
2 жыл бұрын
Amina baba Mungu alibariki sana,japo ni mafundisho ya muda mrefu uliopita mimi leo ndio nimeyaona nimebarikiwa sana
@elackshedrack7024
Жыл бұрын
Amina baba
@Kwayayavijanamatundasichunya
3 жыл бұрын
Barikiwa san mchungaji DANIEL MGOGO 🙏🙏🙏
@allanmakundi1410
2 жыл бұрын
sema baba baada ya mahubiri ndoa zote zitakuwa salama
@lazarogatahwa1106
3 жыл бұрын
Mwanadam ameumbwa kwa mfano wa mungu unapofananisha na washirika na misukule kiroh sio vzr punguza ukali wa maneno wew mchungaji mbona mahubir yako mazuri tuu
@biblepowerstories
3 жыл бұрын
Hiyo imemnasa barabara
@jamesloy4710
3 жыл бұрын
pole dawa imeingia vumilia
@simeonikingvera3372
3 жыл бұрын
Iyo imefika kwenyewe ndo doz yako iyo
@dayanapastor2322
3 жыл бұрын
Inaoneka imeingia huyo
@biblepowerstories
3 жыл бұрын
Hakika imfikia penyewe pa moyo.
@deodatusmkatoliki9288
2 жыл бұрын
Mafundisho ya
@elizabethchales2663
3 жыл бұрын
Baba wakujilipua
@nicolasmgosi8070
Жыл бұрын
Plaster nikulize kitu ivi kweli comment zetu zinakufikia ila ww kweli we ni mtu wa mungu na mchungaji wa ukweli kweli matendo yako yanakutambulisha ongeza nyundo tubadilike
@abdulijumaa496
2 жыл бұрын
Mafundisho mazuri san
@frorencekilisanti3548
2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@mercyobed8167
Жыл бұрын
Amen
@kasililamecksatano7302
3 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu! Nakupenda sana
@saimonmsimbege7906
3 жыл бұрын
Hongela baba Kyara.akusaje
@francineaksanti2517
3 жыл бұрын
Muhubiri asante Kwa mafundisho kabisa,
@hadiyajuma3974
2 жыл бұрын
Kwakweli mchungaji maneno ya Kweli
@beatricemakoi6252
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@sebatwareeric8307
3 жыл бұрын
Ubalikiweee sana
@angumbwikemwanyumba5139
2 жыл бұрын
Sema tupone mtumishi wa Mungu
@tinelymgeyekwajaman2353
3 жыл бұрын
Asante mtumixhi wa mungu
@crystalrebecca2584
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@marybaranga7218
3 жыл бұрын
Asante baba mchungaji mafudisho mazuri sana leta kadi ukule vizuri
@japhetyonasultan5412
2 жыл бұрын
Kazi ipo Kwa kweli
@zulachama1067
2 жыл бұрын
Kweli hiyo ni msako stlye door to door mpaka kieleweke kidalipoo.
@nelsonkyando9432
3 жыл бұрын
Aminaaaaaa👏👏👏👏
@nancyturpesio7167
3 жыл бұрын
Amen Amen
@monaishm9445
2 жыл бұрын
Amina kwa mafunzo
@mwamvuasalumu7450
2 жыл бұрын
Nice
@jameskulengwa9333
2 жыл бұрын
Nime kubali mchungaji wambie ukweli kwani ukweli sikuhizi unafichwa kwenye Nyumba za ibaada bali wana hubiri maslahi yao binafsi
@deodatusmkatoliki9288
2 жыл бұрын
Yanajenga
@phibijuilus7748
2 жыл бұрын
ni kweli kabisa uzizi ni mbaya
@ciaberedamaris1326
Жыл бұрын
Na Je ikiwa unaona future inaamanisha.asikupe chochite?????
@Sarahmwendwa3086
3 жыл бұрын
Amen.Thanks for challenging mchungaji Daniel
@ayizeckmwamlima5256
3 жыл бұрын
Amina baba mchungaji
@mrmtumishi8140
2 жыл бұрын
Et kisigino kina pancha😁
@NeemaSizya
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂apooo ndo ananiuaaa,funika na raba
@lucasngoile4113
2 жыл бұрын
Professor j
@rizikiwakibale8760
3 ай бұрын
🙏🙏
@naillanalphanairakoze3880
3 жыл бұрын
Aminaaaaa😆😆😆😆baba mimi nikilala bila kusikia ujumbe wako sinaga raha😂😂😂😂😂
@fabianndimanya2055
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁Visigino vina pancha😂😂
@janualjulias7348
3 жыл бұрын
Tudanganye tu
@jimmyngowi4788
2 жыл бұрын
Amina
@florakaseke2836
2 жыл бұрын
Wambie mtumishi wanaume wasio ridhika na wake zao wamejaa tamaa
@gracelutonjalutonja1903
3 жыл бұрын
Kabisa
@rispergeke4181
3 жыл бұрын
Asante
@sabinacharles5679
3 жыл бұрын
Sawa
@batulimohamed6088
3 жыл бұрын
Ameen
@selenganyagawa1358
3 жыл бұрын
Yes, neno limelenga mulemule
@oliviakhevali7038
3 жыл бұрын
👏👏👏
@godfreymbuya2659
3 жыл бұрын
Mzee wa duka la dawa,chukua dawa inayokuhusu.Kama haikuhusu achana nayo.Dawa zipo aina zote,chukua inayokufaa acha kiherehere.
@biblepowerstories
3 жыл бұрын
Unamaanisha nini?
@dianaderck5560
3 жыл бұрын
jaman nimekuelewa sana,,, Mchungaji,,, Mungu akutie nguvu
Пікірлер: 105