Uyu baba anataka kila moja awe upande wake yeye amekemea Kanisani kwake acha kujiona unaubili sana unajifanya mjuaji sana ovyo sana
@jamesherbalclinic7665
3 күн бұрын
Mtumishi sikiliza, anachokisema Magembe Ni kweli. Mungu anataka nyimbo ambazo malaika wanafurahi. Acha kutudanganya rap au reggae kuwa ni Muziki wa kimbingu au kiroho. We know all these things you do as leader of a church. Sometimes things are not good.
Ni makosa makubwa kushindana sisi kwa sisi sio sawa Kwani Maghembe unapomshambulia wala hana muda. Wa kukujibu
@petromakala-il5ts
3 күн бұрын
Mtumishi Rudi kwenye uimbaji utamuona Mungu kwa namna ya pekee sana , ulivyokuwa unaimba tenzi enzi zile , nilikuwa nazitumia sana kuingia kwenye maombi . Ila Sasa unaenda kukengeuka husikilizi ushauri wa wtumishi wenzako. Umeshupaza shingo sana Nakuombea Roho mtakatifu aingie kwako akubadilishe. Ameni
@AlithaSima
3 күн бұрын
hii ndio kazi njema
@liberatusmathias211
3 күн бұрын
ukiona mtoto nasema vibaya baba yake ujuwe basi mtoto adabu hana
@fredmwabulambo6342
4 күн бұрын
Unajivunjia heshima...huna hata uwezo hata kidogo, na huna Mungu ndani yako kama Mch Magembe,,, hata aibu hunaaaa?
@AllyBabu-kr6lg
3 күн бұрын
Mungu hakupe hekima apo kwa wageni ao ulio nao ndo watakatifu sana acha kujikweza.wengine apo wakuwanyesha maziiwa we unawapa nyama angalia utawaangamiza
@GeorgeMabala-v9h
5 күн бұрын
Mbarikiwa,kama unataka kumweka sawa magembe mpigie simu,
@EmanuelMosses-vm6dr
3 күн бұрын
😂😂😂
@RodaMaganga-ye6ye
2 күн бұрын
Subutu yake atakaona kale kazee😂
@HappyFlowers-ee8ru
2 күн бұрын
@@RodaMaganga-ye6yenimech ka eti kale kazee yaani na ana msimamo sana yule mzee
@SoosanOman
Күн бұрын
😂😂😂😂@@RodaMaganga-ye6ye
@gerald-s1e
3 күн бұрын
Naomba sana mtumishi tumia muda mwingi juhubiri neno la Mungu aliye hai ili makaya waache pia waombee sio kukosoa wenzeo mpaka unachisha
@adamsonkyando-l4i
4 күн бұрын
!!! Lege ni Dini kabisa na wote wadini hii ni wavutaji sana mda wote ni moshi midomon Mbarikiwa ujifunze kwa wazee wa viwango kama Magembe,umemjuwa jujuu humjui huyu mtumishi, Huyu akifundisha anajuwa Neno na anafundisha kitu anacho kijuwa na kufuatilia
@enezermwafrica7443
3 күн бұрын
Bahati Bukuku anaimbaga Rege na mnamualikaga, je mnamualika mkiamini ni mwenye dhambi ktk staili yake ya uimbaji?
@renatus5687
4 күн бұрын
Kama Hawa ndo wachungaji hata waumini wao ndo maana wakaitwa makondoo maana hayajitambui
@AlvanEdwine-ih4vy
4 күн бұрын
Hamna uwezo wa Mungu ktk lege na rap camoon usitudanganye nmeyasklza manyimboi yako hamba uwezo wa Mungu camoon
@ordafabian5172
4 күн бұрын
Unamjua selin Dion wewe,
@barakabusima
4 күн бұрын
@@ordafabian5172 na huo ndiyo ukweli hataki ni hivyo hivyo akubali ni hivyo hivyo
@AlvanEdwine-ih4vy
4 күн бұрын
@@ordafabian5172 sina haja ya kumjua ase tangu nlpookolewa sina haja ya kuwajua hao kijana
@gerald-s1e
3 күн бұрын
Nakupenda lakini huchagui umri unataka kuwa kiongozi wa wa wachungaji wote hapo umeniumiza juu ya mzee huu
@nasonlyanga4558
2 күн бұрын
Acheni kutuchanganya watumishi fanyeni Yale Yesu alioyatima❤❤❤
@Mwesige-s8q
3 күн бұрын
Kuna miziki haifai kanisani Magembe yuko sahihi We mtumishi acha kupotosha watu
@yusufumwanawadaudi74
2 күн бұрын
Hapo mch Mbarikiwa_mwakipesile umefeli, na sijui kwanini ulianza jwa roho lkn huku mwishoni mbona kama umwili umezidi?
@mariamswedi1140
7 сағат бұрын
ana maneno mengi sana na Mungu alikataza kuwa na maneno mengi maana yko muovu ndani ya maneno mengi
@adamsonkyando-l4i
4 күн бұрын
Magembe akifundisha au kuhuburi ukimkosoa juwa unashida ya kiroho,Magembe wote yawapasa mmsikilize na mjifunze kwake kwa Kila kitu
@officialshelomwangole256
4 күн бұрын
Kwani magembe ye nani?
@masala8099
4 күн бұрын
mbarikiwa uko vizuri
@shukranmsukwa
4 күн бұрын
Ukisoma Biblia maandiko yanatufundisha kila mtu na amuone mwenzake ni bora kuliko yeye na kutanguliza wengine,,sasa hapa 😢
@lusungungimbudzi4265
16 сағат бұрын
Uko Sahihi Sana
@ULIMBOKAKIKOSA
4 күн бұрын
Mbarikiwa moyoni mwako Kuna vichaka vichafu mbona unauzungumzia sana umalaya naona na wewe ni Malaya maana ndio uliyokujaa moyoni mwako
@AIDANIKAHIMBI-ql6tn
4 күн бұрын
Hapo unakosea sana Mtumishi mzee yupo vizuri ndugu neno haliwezi kuja vile wewe umetaka muda Mungu akimpa neno la vile umetaka itafika tu so tuache kuwasema WATUMISHI kwa hapo hapana mwache mzee awahudumie watu
@Dominant97
5 күн бұрын
Uyu mwamba namwelewa sanaaa
@dorismkongwe4140
4 күн бұрын
Nilikuwa nakuheshimu lkn kwamagembe umenivunjamoyo sikuheshimu tena mbarikiwa kwendazako
@OswardSanga-ep5js
5 күн бұрын
Uko sawa Sana mlio wa ala sio ushetani lege hipop zuku takeu sengeli bluzi hakuna mziki wa Mungu Wala washetani
@ryobanchagwa2499
3 күн бұрын
KAMA UNAMKOSOA MAGEMBE UMEANZA KUPOTEA KABISA SITAKIELEWA DAIMA JIREKEBISHE
@JuhudiNjili
2 күн бұрын
Weeer😂😂😂😂 Injiri ya kweli sikiliza ya magembe weweeee unakosoa tuu kwa kuongea ongea tuuu😂😂😂
@DoriceMwalukasa
3 күн бұрын
Jamani nakupenda sana lakin naona kila siku unasema watumishi wengine. Mtumishi unamambo muhimu na kuna kitu kwako tuhubiri watu waache dhambi. Ubarikiwe san mbarikiwa.
@makejamaduhu7618
3 күн бұрын
Yaani ndo hapo tuu hata Mimi huyu jamaa huwa ananishinda. Mbona mwakasege Hana tabia hizo?
@HappyFlowers-ee8ru
2 күн бұрын
@@makejamaduhu7618alafu yeye ni mkosaji mkubwa akikosolewa yeye anasema Kuna kazi nyingi za kufanya yaani shida amejiweka kuwa mwenye haki sana kila kitu anaona anapatia hata kama anakosea anataka kusifiwa MUNGU aliye hai amsaidie sana
@petromakala-il5ts
4 күн бұрын
Melody nzuri Ina leta uwepo wa Mungu , kanisa linalopiga hipop halina maombi , maana wako sawa na wamataifa wanavyofanya , ndugu mtumishi wa Mungu Mbarikiwa , Kuna mengine yanakupita ,usijihakikishie TU kuwa wewe ndo mtoa hukumu wa mwisho , Kila mtumishi mwenzako mmbaya TU.aaa hii hapana , kumbuka kuwa tangu Yesu aoondoke duniani akiwa kama mwanadamu hajatikea Tena mmbadala wake aliye mkamilifu , sote tunaishi kwa neema TU. Kwa namna hii unaweza ukaimba hata taarabu kanisani kwako mpendwa. Kwa mtu aliekaa vizuri na Mungu wake, ukisikia mziiki au merolody Fulani , unajua TU hapo ni dhehebu Fulani , na hapo ni baa. LAZIMA TUZINGATIE MELODY ZENYE UWEPO WA MUNGU .
@akutiboysolomon9418
4 күн бұрын
Zipi?
@WTC492
5 күн бұрын
Pamoja na yote mbarikiwa upo creative sana.
@GenelinaMwombela-f3n
2 күн бұрын
Huna jipya umeshaishiwa mtumishi gani wa Mungu huna kiasi pole sana tanya utubu hiyo dhambi wahubilie watu wamjie mungu sio kuwaponda watumishi wa mungu
@AizackKalenge-ro5rc
3 күн бұрын
Mbarikiwa nakuomba sana Jitahidi kuwa Mnyenyekevu,Sio kwamba wewe Unajua kila kitu
@HappyFlowers-ee8ru
2 күн бұрын
Kabisa MUNGU amsaidie
@salvinahassan8778
3 күн бұрын
Muimbieni Bwana wimbo mpya, hadi upige lege Mungu kaishiwa midundo,. Inaonekana Mungu wako amefirisika midundo mizuri ndo maana una copy Kwa wavuta bangi
@benjaminlijongwa3715
5 күн бұрын
YAANI WEWE MBARIKIWA UNAPANGIA WATU KILA KITU MPAKA CHA KUSEMA YAANI WEWE TU NDIO UPO SAHIHI
Samahani Mkuu mm nipo na wewe ila usimgise magembe hajakosea bana , magembe ni mtu mwingine ni baba wa Imani ktk historia ,,,,lege pia ni itikadi ya Imani tulia wewe ,pia historia ya lege sio Mungu Bali ni Shetani
@JohnEliakim-g5n
3 күн бұрын
Mpaka sasa sijajua kuwa ni yupi kwako yuko sahihi na unajifunza kwake.
@ambokilegwakisa3526
3 күн бұрын
Lege ni dhambi kwani lege ni dini kubali kuonyeka usipokubali ni hasara yako,dhambi zote sawa
@josephifanda5626
5 күн бұрын
Mmmh huyu Anashida
@AIDANIKAHIMBI-ql6tn
4 күн бұрын
Hubiri neno acha hayo,sio mahali pake
@GODFREYKIPALILE
Күн бұрын
umeshajiunga na casian ni kukosoa tu,hubirini injiri watu waokoke waishi maisha matakatifu,waende mbinguni
@sttevemwangi
4 сағат бұрын
Hata Kenya tunaskiza Mch. Magembe maana si kwingi kuna neno la kweli. 3:33
@micheleliakimeliakimmihale8820
4 күн бұрын
Naona unaleta mambo ya kidunia kabisa aisee unahitaji Neema ya Mungu. Hv wahubir wa Tz tusipo jifunza kwa magembe tujifunze kwanan. Maana huyo ndie Moses kulola alie Baki. Unasifia lege na hipop hovyo kabisa. Biblia inasema tusifatishe namna dunia hii inavyofanya , wew unakinzana na maandiko, mmh jaman tusiwe walimu wengi
@NethrinePaul
2 күн бұрын
Namchukia sana huyu baba
@nasonlyanga4558
2 күн бұрын
Usimchukie ila muombee na kumuonya❤❤❤
@NeemaHamissi
Күн бұрын
Nethrine kwani yeye anakupenda jitafakari
@SamsoniMaloda
16 сағат бұрын
NO N.t.p usimchukie bali mwombee yanini uitupe nafsi yako motoni sababu ya kumchukia mtu ambae hajui unakulala nn unavaa nn na unalalaje kemea iyo Roho kwa jina la BWANA soma Mathayo 5:44 nikutakie maisha malefu
@ushindimbwilo1398
2 күн бұрын
hapo nimeona unajiunga mkono mwenyewe
@wilfredlukowo9476
4 сағат бұрын
Ukweli unauma
@mkojeragodsonofficial4664
Күн бұрын
Bible is academic We need your CV first Kabla hujamuongelea baba etu He is not your type Hata hueleweki unaongea nn Inasikitisha Sana pole Sana Njoo tyukufundishe Cha kuongea.
@SamsoniMaloda
3 күн бұрын
ACHA USHAMBA & UJINGA HUWEZI MWIMBIA MUNGU KWA MIFUMO YA KIDUNIA ATA YESU MWENYEWE KAMWAMBIA Rachel & Zipporah Mushalla MNANIIMBIA KWA KULAPLAP MM NIMEKUA MBWAAA..?
@nasonlyanga4558
2 күн бұрын
Fanyeni Yale mliotumwa
@Revocatusfeli
2 күн бұрын
Itakuwa vyema watumishi wamungu utakapo ona wamekosea sehemu, mfata inbox umukosoe yeye Kama yeye usimuanike azalani, lakini Nia ya magembe ilikuwa nzuri kwasababu waanzilishi wa lege na ipp hawakuwa watakatifu, kwakuimba lege zao waweza kufufua roho ndani yako zilizo kuwa nyuma yao waanzikishi hao
@saimongilala8938
4 күн бұрын
Baba mangembe achana na huyu naona Hana neno Ra kuhubilia watu ni upuuz2
@simonimauta3516
5 күн бұрын
Uhuuuu..
@EliaMhile
2 күн бұрын
Mbarikiwa bwege kabisa
@EmmyJerremiah
7 сағат бұрын
Yaan stak ata kukusikiliza tena ww ushakengeuka .......
@ajaykilawah2622
2 күн бұрын
Kwani wewe ni Mungu kukaaa kukosoaa watu? 😅
@NethrinePaul
2 күн бұрын
Embu jaribu kuhubiri neno la Mungu acha kuchambua maubiri ya mtu wew ni mwema serekali imekushinda?
@regnaldymambaly9880
20 сағат бұрын
ushetani ni kuwa huyu anae imba ana mwombia nani au anamsifu nani Mungu au shetani, pia tukumbuke kuwa shetani alikuwa kiongozi wa sifa kwahiyo alitoka na maarifa hayo kule mbinguni na anacho kifanya ni kubadilisha tabia za wale wanao imba na haya tunayaona kwa wasanii wengi yaani msanii ana amini ili aonekane kuwa ni msanii mzuri ni lazima avae hereni kusuka nywele bila kujuwa kuwa shetani ame watega kwenye hayo
Ndugu yangu hiyo siyo kazi tulio itiwa hubiri injili siyo kukosowa , jichunguze Wewe mwenyewe kwanza je! Uko sahihi
@gerald-s1e
3 күн бұрын
Mzee umezidi kukosoa watumishi wa Mungu unataka kanisa lako ndio lifuatwe,unajua watu watakuchoka.unaacha juhubiri watu waache dhambi wewe unakosia wwnzio ili usifike wewe acha hizo
@manfordmkinga4080
4 күн бұрын
Nimekupenda bure
@makejamaduhu7618
3 күн бұрын
Kwani alikusema wewe? Ushauri wangu mtumishi naomba urudi kwenye uimbaji. Huko umeshindwa maana unasema watu bila sababu. Magembe anasema na kanisa lake shughulikia jambo lako. Rudi kwenye uimbaji kwenye kuhubiri mmmmmh bado kabisa
@MathayoNemes
4 күн бұрын
Unaposema ni sahihi ila msiambiane kwa ukali msmbo yake mungu
@evaristkobelo3936
4 күн бұрын
Magembe hajibizani n Wehuu
@leahpeter691
19 сағат бұрын
Kabisaaa
@namajojomedia2197
2 күн бұрын
Sasa kwahlo umepotea ww kajifunze zaidi apa sikusapoti umegeuka pepo
@RAZALOCHUMA
3 күн бұрын
Natuimbe kwa kito na akili sio lege
@RAZALOCHUMA
3 күн бұрын
Na muvunja amri ni muvunja qmritu
@mr-option7751
3 күн бұрын
Maubiri yake ili uyaelewe unaitaji uwe makini sana kiukweli ameongea ukweli ubarikiwe
@elishampoki8751
5 сағат бұрын
Mwe ndagha kikolo une ngatele ,
@Kachelo96
4 күн бұрын
Mchungajiiiii uwa nafirai maubuli Yako aiseee kwer mngu mikutenda wema tu nakuchukia mabaya
@FrenkAshell-gj4jw
3 күн бұрын
W2 ndo unaubili au uwa unachamb watu ww tu ujakamilik
@markopedeshe9692
4 күн бұрын
We unavuta bangi
@Mch_David_Batemba
4 күн бұрын
Goodbye
@makejamaduhu7618
3 күн бұрын
Mahubiri yooooote matako matako ninyi wahubiri wa sasa jitahidi someni neno. Unawasema wasababto nao wamekukosea nini hadi unawaona watu wapumbavu? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@athanaskitime1484
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂 kwa mara ya kwanza nimecheka kama mazuri, wanatikisa nini pastor???? Ili kufanya mazoezi ya zinaa...😂😂
@ManyotoMachemko
3 күн бұрын
Na ww pia unamapungufu yako, c kama umekamilika
@RodaMaganga-ye6ye
2 күн бұрын
Matako ya nini na wewe hubiri vitu vya kuponya watu roho zao! Matako matako malaya sijui nini! Mmmh watumishi na nyie mnavuka mipaka! Mara matusi pumbavu za nini?
@MichaelJudo
4 күн бұрын
Huyu ndie mtetezi wa taifa
@Fundi12345
3 күн бұрын
Sasa wewe unagomban na kira mtanzani mpedwa wangu bira shaka hata wewe unakasoro kira kitu wewe no je ni kweli ?
@mchjohnmasegese8193
3 күн бұрын
Wewe mbarikiwa una matatizo.kwani Kila mtu aongee unachotaka wewe.
@blues4life633
3 күн бұрын
Huna akili ww kenge😢
@EliaMhile
2 күн бұрын
Yan kenge wa bluu kabisa, amefilisika injili huyo. Ameamua kufanya siasa inayofanana na injili.
@suedosila4209
4 күн бұрын
Hahahahahahhahhahha Nimecheka sana
@barakabusima
4 күн бұрын
Ukweli utabaki pale pale mzee kasema ukweli sema shida muda mwingine unaongea sana
Пікірлер: 160