Kwa kila anayesikia mahubili kama haya mwenye ufahamu wa kutosha atajipambanua afahamu maneno ya manabii Yana nyakata ndio Sasa tuyatambue maneno ya yesu kristo na nyakati zetu tumutukuze mungu
@sylvestermhojaaron9659
2 жыл бұрын
Hii ndio injili ninayopenda kusikiliza, injli za mafanikio ya kimwili zimenichosha, kwenye injili ya namna hii itanifanya niwe nakufuatilia sana mtumishi Bwana Yesu Kristo akuzidishie marifa yake
@ibrahimunyanda398
2 жыл бұрын
Injili za hela..sifatiliagi mimi kwangu ni kufanya kazi nakuwa makini kwa matumizi kama Mungu wakunibariki na anibariki kwa uwezo wake nakusudi lake
@joelchuri27
2 жыл бұрын
Amen
@geraldmakalala6091
2 жыл бұрын
Huyu Mzee Ni noma,
@sylvestermhojaaron9659
2 жыл бұрын
@@geraldmakalala6091 umeona!! Yuko vizuri sana
@sylvestermhojaaron9659
2 жыл бұрын
@@ibrahimunyanda398 hapo umesema kweli mtumishi
@valelianonyato-gx5bq
Ай бұрын
Mungu ambaliki sana huyu mchungaji kwasababu ni chombo halisi cha Mungu na anatumika na Mungu kwelikweli Yesu amlinde na mabaya aumalize mwendo salama
@MartinKujirabwinja
Ай бұрын
Un Niko mashariki DRC,ni ajabu kusikia mahubiri ya mzee Magembe, si ajabu hâta mahubiri Mises Kulola ninayezania kuwa baba yake,ilinibariki sana. Mungu akuongezea maisha
@elieabambwaeca5448
Жыл бұрын
Si dans chaque pays on pouvait avoir 10 hommes de DIEU comme Moses Magembe la planète terre changerait a 70 % . Soi louer CHRIST d'avoir ces exceptions.
@tryphonebashaya3811
2 жыл бұрын
Kwakweli huyu Mzee amesoma biblia na ana ufahamu wa Hali ya juu. Mungu ampe maisha marefu.
@RevMUGISHAPetroNURUBurundimgsh
2 жыл бұрын
Barikiwa
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
sana
@magenierick5939
2 жыл бұрын
Mbona kama msabato huyu!!? anahubiri ujumbe wanaouhubiri wasabato kabisa, ni gomba za mama Ellen g White hizo!! Duh! Aisee kumbe kweli ya Mungu inabaki kuwa kweli tu, Barikiwa mchungaji endelea kula gombo hizo lisha na kondoo wa bwana hao Ipo siku watawakubari wasabato kuwa ndo waliobeba kweli ya Mungu
@wannaproducts
2 жыл бұрын
@@magenierick5939 Wamwabuduo halisi watamwabudu Mungu katika roho na kweli, kilichoandikwa na Mungu katika biblia kitafundishwa na kuwafikia watu bila kujali madhehebu yao
@aloismwenda8975
2 жыл бұрын
Neno la Mungu linaposhuka halina dhehebu,
@joashj2010
2 жыл бұрын
Huyu Mchungaji amefika karibu na kiwango cha juu cha imani. Ubarikiwe sana. Mimi ni msabato naishi Canada, nimefarijika kuona kuwa Mungu ana watu wake wengi makanisa mengine. Majina ya makanisa ni label tu, SDA, AGT n.k kubwa ni imani iliyijengwa katika ukweli wa neno la Mungu. Pengine wewe ni wa kwanza kwa makanisa ya J2 kufundisha kwa usahihi hivi Daniel 7 (kzitem.info/news/bejne/l4GNx4uMcZeKbKQ). Mungu akuinue zaidi ili uinue na wengine wengi. Asante kutuongoza katika toba ya kweli.
@ev.kastenhelandogo2841
2 жыл бұрын
Hellow Mr joash
@harunygeraldmmassy8047
2 жыл бұрын
Huna mamlaka ya kunizuia kumwabudu Mungu wang Barikiwa Pastor
@saudakabogo
2 жыл бұрын
Chuma hunoa chuma, Mungu amekuweka kwa wakati kama huu, uwe jasiri na moyo mkuu ukainene kweli yotee, tupo pamoja na wewe baba
@jamesdavid4977
2 жыл бұрын
Wakati upi wakati kitabu cha Daniel amekataa kusema ukweli uko wapi Daniel 7:24-25 mulize nini na nini kikibadilishwa hapo alipo fika hapo akahepa
@saudakabogo
2 жыл бұрын
@@jamesdavid4977 sema wewe unajua nn kwa habari ya maandiko hayo?
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@adventinandyanabo9358
9 ай бұрын
Kweli Mungu yuko ndani yake, amenifundisha vitu vingi sana Mungu amtunze
@user-td2wl8zc9i
Ай бұрын
Baba mchungaji Mungu akubariki San sana
@hermangatware4455
2 жыл бұрын
Mchungaji Moses ubarikiwe sana
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@labanglorieusebyayesu8790
2 жыл бұрын
Muchungaji Mungu akubariki sana baba yetu kwa neno la uzima
@fraidamsemwa5518
2 жыл бұрын
Mafundisho haya kweli yatoka kwa MTUMISHI WA MUNGU aliye hai,, Ubarikiwe MTUMISHI🙏🙏
@rozimlewamwampashi
3 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi umifanya niongezeke sana
@globalsearch3442
2 жыл бұрын
Powerful gospel Rev. Magembe......God want more people of your calliber
@RodgersMulongo
4 ай бұрын
Kwa Hakika roho mtakatifu amekushukia kuokoa watu wake Mungu akubariki sana, mchungaji, ee mwenyezi Mungu tuokoe
@yohanayakobo4044
2 жыл бұрын
Kweli mzee Magembe Mungu anakutumia kuokoa roho nyingi
@devidamasian5477
2 жыл бұрын
Bwana yesu lisaidie kanisa lako tupitishe katika njia zako ili siku utakapo rudi kulichukua kanisa lako tuwepo, naomba ndugu zangu tuishi katika mapenzi ya mungu mana nyakati izi ni za mwisho kila mmoja amtafute mungu kwa bidii.
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Ubarikiwe Kwa comment yako.
@robertsilington-cu4dz
Жыл бұрын
Amina
@laurentraphael5470
2 жыл бұрын
Pastor. Maghembe. Mungu akubariki Sana. Hii injili isiyo ghoshiwa ndio dawa kwa kizazi hiki.
@kimsamespa8490
2 жыл бұрын
Wow such a powerful man of God may u live long
@queenchristopher1515
Жыл бұрын
I love papa for u preachers learn us more and more and build us to depend in God.
@charlesgasper-wo9hc
5 ай бұрын
Mataifa mengi Afrika zikiwemo Afrika mashariki kutoa.Tanzania viongozi wakiroho wamesimamaimalakutetea kweli yaMungu hasa nchi za Afrika magharibi nakusini na kati.
@marykanute6127
2 жыл бұрын
Yesu Kristo!!!!..... Uta assemble kwa ajili ya shetani. Yesuuu nakutaka na nguvu zako
@NestoryMasunga-lf3gq
9 ай бұрын
Asante mzee umekuwa faida kwangu ubarikiwe na BWANA
@martinakyoo148
Жыл бұрын
Hii ndio Injili inayohitajika sana nyakati hizi ,kuliweka Kanisa tayari kwa UNYAKUO . Bwana Yesu akubariki Mch Moses Magembe kwa ufafanuzi mzuri Wa somo hili na kwa namna unavyolihubiri.Nimejifunza na nimebarikiwa
@EagleMaestro
2 жыл бұрын
Jesus My Lord Tupe Nguvu Ya Kupambana
@imeldathomas760
2 жыл бұрын
Hallelujah sifa na utukufu ni vyake Mungu YESU atusaidie tumuishie,asante sana baba kwa injili isiyo na kupepesa macho, injili ya kishujaa iletayo wokovu oooh Hallelujah
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@nathanaelyatala69
2 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa ujumbe huu, 🙏🙏🙏🙏🙏
@judithnjeza8202
2 жыл бұрын
Mungu Azidi kukubariki Baba... Kwa Kutuhubiri Injili ya kweli isiyogoshiwa
@agatharaibon298
Жыл бұрын
Amina baba ubalikiwe sana Mungu akupe myaka mingi ili tupoke vitu vingi zaidi!
@musalaban1182
2 жыл бұрын
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@aimeeshungaza5402
2 жыл бұрын
Hii ndio mafundisho ya kweli naya ufalme wa Mungu
@mathayoibrahimjicha6327
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mafundisho
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@shukuranpaulo1740
2 жыл бұрын
Ubalikiwe sana baba kwamaubili mazuli yanani fanya nimtafute mungu sana
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@jumasilas4864
2 жыл бұрын
ameni baba mchungaji ambaye haujachakachuliwa
@mtangag774
8 ай бұрын
Mungu ambariki huyu mzee dah
@judithnjeza8202
2 жыл бұрын
Yesu Tusaidie Kuridhika na kidogo tulichonacho zaidi ni kuutafuta Ufalme wako
@jerryjuma1339
2 жыл бұрын
Mungu akubariki baba Moses magembe
@CharlesMsengi
7 ай бұрын
Wengi wemegushineno la Bwana lakini wewe Yesu amekupa kusema kweli iliyo kuu hakika Bwana akutunza Baba Ameen. amekupab
@fettyfay2334
2 жыл бұрын
Pure Gospel. Am lucky to land here...Jesus is the real deal. Satan is a fooooool
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@nurdinmvellah4032
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mch magembe ,nimekuelewa kwa mafundisho yako.hakika tutashinda juu ya hili janga.
@YohanaChalamila
9 ай бұрын
Asante Mungu wetu kwa kutupa watumishi wa kutufundinda neno lako nasi tupate kuujua ufalme wako
@fredmyinga9007
2 жыл бұрын
God is still speaking today. God bless Rev Magembe. One of the few that still stands for the hard truth in these last days
@davidmshana3171
2 жыл бұрын
Amen utunzwe na Yesu
@ChanilaKitwima-zc6ko
4 ай бұрын
Ni kweli kbsaaa Bwana amtie nguvu Daima
@benedictormagembe6483
9 ай бұрын
Amina Asante Yesu kwa kumweka mtumishi wako kwetu sisi tunaoishi ktk siku hizi za mwisho.
@hosseawillam9313
2 жыл бұрын
Baba Mchungaji oooooh jamani Yesu tusaidie kanisa lako tuteteee babaaaas oh Lord Jesus
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@basilisamsaka8469
Жыл бұрын
Shinda ya T,A.G wamingiwa na roho ya kiburi
@sirduncan4549
2 жыл бұрын
THIS IS THE TRUE MESSAGE THE WORLD SHOULD HEAR,PREPARING THE CHURCH FOR THE SECOND COMING OF JESUS, IAM BLESSED TO HEAR THIS MESSAGE. IAM GETTING YOU CLEAR FROM NAIROBI-KENYA
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Tumuombee huyu Mzee wetu.
@Werema3760
2 жыл бұрын
Mafundisho adim sana! Ubarikiwe baba!
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@kevinmwiva5370
2 жыл бұрын
MUNGU ni mwema ametupatia wahubiri wa Ukweli.Amina
@gtmissionministry9166
2 жыл бұрын
What a Gospel, what exegesis , My God, My God...Full flame of Fire! Glory to God.
@janethmwihumbo1289
2 жыл бұрын
Mungu turehemu
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Wewe Mzee MUNGU anisaidie sana. Unajitahidi sana kusema ukweli.
@evarinenathaniel9838
2 жыл бұрын
Be blessed Mtumishi wa Mungu Baba. Jina la Bwana Yesu lisifiweee.
@trifordjohnmlembe3109
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie tuishike kweli mch Mungu akubariki
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@susanndanshau1185
2 жыл бұрын
Mbingu na nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe. Mwenye Sikio na asikie. Asante Bwana Yesu kwa ujumbe huu.
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@DelphinaCharles
5 ай бұрын
Hata mimi nimemkubali mafundisho yake yameniongezea Imani tunakiu sana kulijua neno la mungu mungu akutunze ili uendelee kumuhubiri kristu neno lake lisonge mbele na kuokolewa
@emmanuelanania5788
2 жыл бұрын
Baba mungu akuongeze umri wa kuishi, nimebarikiwa sana
@dushimedominique393
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@godfreynicolaus7017
2 жыл бұрын
Amina baba Mungu akubariki sanaaa na azidi kuongeza huduma yako tunabarikiwa sanaaa baba na najitahdi Sana kukufatilia baba
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@joycemnanka1298
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi, mm nakuelewa sana!
@fettyfay2334
2 жыл бұрын
Aminaaa... Baba ahsante kwa kukemea thbi makanisani. Bomoa rekenbisha... Tutakuelewaa tu. Na macho masikio na midomo italitii jina la Yesu
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@damaspmtz1018
2 жыл бұрын
Kweli kabisa nyie ndo Viongozi watiifu kwa Mwenyezi Mungu wetu
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@divinkahwege97
2 жыл бұрын
Mungu akutiye nguvu mtumishi
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@gaudencevalentino1406
2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Baba, MUNGU atusaidie Sana
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@YohanaChalamila
9 ай бұрын
Mungu akubarki
@user-ro1ii5wd9g
5 ай бұрын
hakika Mungu nimwema kutupa mabaki wake tujifunze kwake🙏🙏🙏🙏
@danielsteven5440
2 жыл бұрын
Ubarkiwe sana mtumish wa Mungu, maisha yko yawe marefu
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@ezekielkabeya831
2 жыл бұрын
JESUS CHRIST IS MY LORD FOR EVER
@Kaduguda
Жыл бұрын
Thanks and be blessed Rev. Moses Magembe for reminding us of a true life of a believer living in the last days. Wish there was English version of this gospel. It is so powerful and very rare to be heard!
@user-pd8gh2ni5h
8 ай бұрын
Ubarikiwe baba
@gracesolomon3815
2 жыл бұрын
Mchungaji.unaeleweka.sana. Mungu akuongezee miaka.ya huduma mana.mko wachache sana
@barakanswila5751
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mch magembe
@faithwavinyalucas1835
7 ай бұрын
Ujumbe huu unanibariki zaidi imenifuza jinsi ya kumgoja MUNGU......injili ya matengenezo........
@joshuaandrew386
2 жыл бұрын
AMEN Baba yetu mpendwa ubarikiwee Sana
@jeanefelix70
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji, tunachunga ukweli kuusu sabato ya kweli ni ipi ijuma pili au Jumamosi, kwa sababu kuna Wakristo wanao sema siku alio fufuka Bwana wetu YESU KRISTO ndiyo sabato ya kweli, lakini tunavyo juwa sabato ya kweli ambayo iko katika Biblia ni siku ya juma mosi.
@mondeyahkabeho7511
2 жыл бұрын
Great my sister
@magenierick5939
2 жыл бұрын
Mchungaji anakaribia kuwa msabato huyu maana mahubiri hayo na vitabu vya kisabato tupu.
@jeanefelix70
2 жыл бұрын
@@magenierick5939 Mchungaji ana hubiri Injili vizuri lakini kuusu sabato ya kweli ajawayi kusema. Mimi ni wa kanisa la PENTECOST lakini nilipo juwa ukweli kuusu siku ya juma mosi ndiyo sabato ya kweli nimekuwa huru. Ingekuwa vizuri sana wa chungaji waubirie watu ukweli kuusu sabato ya kweli.
@michaelshilla7861
2 жыл бұрын
@@jeanefelix70 wachungaji wengi wanatambua ukweli wa sabato ya kweli lkn wanapindisha maandiko au wanashindwa kuwambia waumini ukweli kuhofia watakosa ulaji. Ila Mungu azidi kuwafumbua watu macho ili wasome Biblia na kuielewa.
Bwana wetu YESU kristo asifiwe # ombi kwa kitengo cha habari tunaomba mtufikishie taarifa kwa baba mchungaji juu ya kufundisha vitabu vya ezekiel na zakaria
@januarykeng409
Жыл бұрын
MUNGU amlinde mtumishi huyu
@hellinahombuya5174
2 жыл бұрын
Hallelujah apewe sifa yesu.
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@user-it1mk2gs7l
8 ай бұрын
😢ubarikiw mze Moses magembe maana injili kama hii imepotea makanisan
@nathanaelndijuye5052
2 жыл бұрын
Huyu mzee YESU yuko ndani yake
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@bertiemunis267
2 жыл бұрын
Waaoooh nabarikiwa sana na huduma yako 📖🙏 -Arusha
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@fredrickmallagi4808
Жыл бұрын
Amina baba yetu
@rev.musabalalarogersmusabalala
2 жыл бұрын
Baba Magembe ukweli ni Muhimu Mungu abariki neno lake, pia kanisa tuyaelewe maneno haya yanayonenwa turudi kwenye kweli
@abrahamwaviilikinjiye6522
8 ай бұрын
This messenger of God is knowledgeable on the most difficult Scriptures. May the hand of God protect and bless him.
@phesojmutua0
6 ай бұрын
This is spiritual father
@debatkambalevyakuyamba6523
Жыл бұрын
Vraiment Jésus vient bientôt mes frères en christ
@mbuyuushindi5976
2 жыл бұрын
merci pour le message, je suis vraiement réveiulle,que Dieu benisse le paster mangembe ,
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
Tu dois te réveiller jusqu'à la fin du monde et tu dois aussi continuer de prier en pratiquant la vérité de parole de Dieu. Le temps du fin est proche
@moseselinisafi6425
Жыл бұрын
Hii ndiyo injili ya kweli ninayoitak
@sylvestrengwelu2012
2 жыл бұрын
Asante Mch.Magembe mhola ya seba Baba
@DavidGisore-ed2fg
3 ай бұрын
Ohh dear so lovely
@user-hu9gg5mn3i
6 ай бұрын
Habari za leo
@christianbaraka48
2 жыл бұрын
merci énormément pour cette prédication; voici le message authentique pour cette génération. QUE DIEU VOUS BENISSE ABONDAMMENT
@tumanicottage
2 жыл бұрын
Q
@user-xs6dr5oj2i
4 ай бұрын
Asante baba
@emiliusmambule6308
2 жыл бұрын
Mungu tusaidie sana
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@angelinatryphone6152
2 жыл бұрын
Mungu tuhurumie nautusaidie kupokea maasifa yatokayo kwako kupitia kinywa Cha mtumishi wako🙏🙏🙏
@UfunuoSt
Жыл бұрын
Huyu Mzee wetu anajitahidi sana tumuombee na tujiombee na sisi tuweze kuokolewa.
@twinkleeddy9263
10 ай бұрын
Nabalikiwa sana n mahubili yako mtumishi wa mungu
@twinkleeddy9263
10 ай бұрын
Mungu akubaliki
@clinton3168
Жыл бұрын
Da MUNGU ANIREHEMU NA ATUREHEMU VIJANA Maana nAhurumia VIJANA TUMEKUFA KABISAAA TUNAHITAJI MAOMBI YA HARAKA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭MUNGU NISAIDIE
@benaiahchaulah1037
2 жыл бұрын
Amina!Baba Mungu Akubariki sanaa nakupenda mno Babu unasema kweli
@sifunimsangi6673
2 жыл бұрын
Ubarikiwe baba, najiuliza mbona kanisa halihubiri injili kama hizi zinazowaandaa kuingia majira mapya. Watumishi wengi ni habari za kupata majibu ya matatizo yao ambayo hayawezi kuwaingiza ktk Ufalme wa Mungu. Hard gospel in a hard season.
@michaelshilla7861
2 жыл бұрын
@@sifunimsangi6673 wengi ni wafanyabiashara tu na Yesu ndio anaowazungumzia kwamba hakuwatuma kuhubiri hayo wanayohubiria watu leo.
@eliashibundabalinze2754
2 ай бұрын
Misri was before Israelities as a nation... Ashuru,Babel,Uajemi, Uyunani, Rumi,
@gasparlubaga5866
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@fabricenindagiye1143
2 жыл бұрын
Asante sana mchungaji kuniamsha. Uongezewe mafuta ya kiroho
Пікірлер: 321