Naitwa Edwin Edward nimeokoka na nampenda yesu natamani kufanya kazi ya Mungu kwa nguvu zangu zote ,nina miaka 25 na level ya elim yangu ni form six naomba Unisaidie nataka kutumika kwa Mungu myaka yangu yote iliyobaki hapa duniani naomba ruhusa nije nitumike chini yako kama musa chini ya eli Niko tayari kufanya vyovyote ili kazi ya Mungu iendelee
Mungu 2xaidie watoto wako 2kukumbuke ww maana ha2wezi bila ww
@SiphunMkulu
Ай бұрын
Amina mchungaji, hakika MUNGU azidi kukutumia tupate kuokoka,. Mana mahubiri ya sasa wachungaji wengi wanahubiri kuhusu mafanikio ya duniani hapa,. Ubarikiwe sana🙏🙏🙏
@judithmwamakula6535
Жыл бұрын
Ee Mungu nisaidie niwe mmoja watakaonyakuliwa siku ile
@StephanoMwita-cc6xx
8 ай бұрын
Hakika injili hii ni adimu Sana kuisikia Sasa Mungu awabiliki Mulino tufikishia
@anithafrank5533
Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa injili iliyo hai na dokitilini ya elimu kubwa ya biblia
@geoffreykamwavah6987
2 жыл бұрын
Nisaidie nami Ee Bwana Yesu, niisikie parapanda yako, niwe mmoja wa wanyakuliwa. MARANATHA!
@edgarmwalongo2781
2 жыл бұрын
Ndio postar
@emmanuelruben-jv2yv
Жыл бұрын
Mzee wangu nafurahi kwa uwepo wako kuna kitu umenifahamisha najivunia kukusikiliza
@ZabibuAnzuruni
22 күн бұрын
Ubarikiwe sana baba kwa chakula kitanmu
@joycemshana4028
Жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili yako Mzee wetu Mchungaji Moses Magembe....Tunakusubiri kwa hamu huku Arusha...Bethel Christian Centre - Kijenge Arusha... 😀😀😀😀
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Yes dhambi zonasimbua Sana watu uzinzi ujambazi uongo wezi uuaji na mengineo MENGI yanatutesa Sana Ni Bora kujikabidhi KWA YESU
@hamissimahangayiko-by7xz
Жыл бұрын
Nimefurahia injili hii Asante sana
@YusuKisingile-fs4hv
Жыл бұрын
Ubarikiwe Baba tuzid tu kuombeana
@rebeccamafita3395
3 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba hii ndo injili tunayoihitaji sio habar za injili ya mafanikio Yesu kwel anarud Mungu tusaidie
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Yani anahubiri ukweli kabisa, mana wachungaji wengi wanahubiri tu mafanikio
@Pendolyne
2 жыл бұрын
Tupate wap tena mtu kama huyu?? Ambae Mungu anakaa ndan yake.. Mungu aendelee kukuinua Baba kwa viwango vya juu zaid.
@kizandume3015
3 ай бұрын
Amen mungu akubariki sana mtumishi
@geofreyrungwe9206
2 жыл бұрын
Ujumbe nzuri wenye kuponya wew ni mzee pekee ninaye kuelewa baada ya akina kulola umebaki wew yani unatoa neno lote ubarikiwe
@jeniferliberatus3003
2 жыл бұрын
Asante nimebalikiwa na ujumbe huuu
@user-yb2pu9fk6e
8 ай бұрын
Tujiweke tayari kwni hatujuwi saa walasiku.atutiye nguvu mola wetu.
@daisybuyantsi5953
3 жыл бұрын
Wanawake nywele bandia,tutubu na wanawake tuvalie mavazi ya kumpendeza Mungu
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
kabisa
@lizzyontune5338
3 жыл бұрын
Hi injili imebadilisha maisha yangu 😭😭😭Mungu nisaidie niweze kukutumikia na kufuata njia zako 😭usinisahau utakapo nyakua kanisa 😭😭
@WILSONJOELTUNZE
2 жыл бұрын
Asante Sana Baba
@noelmagaja1098
3 жыл бұрын
Amina baba Nataman sana namii nije nimzae watoto Wtakao kuwa na ujasili mkuu wa kulihubiri maneno matakatifu ya Mungu.
@judithmwamakula6535
Жыл бұрын
Amen.Mungu akubariki
@angelanaftael7965
2 жыл бұрын
Mungu baba wewe ndie mchungaji mwema tusaidie tuifikilie toba
@evelynetitus974
2 жыл бұрын
We yesu nisaidie nifike mbinguni maisha yanayonisonga yasiwe kikwazo
@godsonjohn18
2 жыл бұрын
Hakika hii ni injili ya kweli barikiwa mchungaji wetu mungu akupe umri mrefu
@luhekelondelwa9714
2 жыл бұрын
Mungu tusaidie tuyatende mema iki siku ya unyakuo tuwepo 😭😭😭😭
@pastorasafuezekiel5323
3 жыл бұрын
Yesu nisaidie siku ni mbaya nimalize salama
@pizzaboy3640
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana MT. WA MUNGU MOSES
@ShukuruHangi-re3gs
9 ай бұрын
Hallelujah bwana Yesu usiniache katika duniya hiyi yashida ukirudi Yesu usiniache bwana nakusihi sana usiniache nisamehee Mungu
@user-it4rs7ei9b
Ай бұрын
Amen, Amen.
@christopherkivale9461
2 жыл бұрын
Hii injili imeenda shule kweli IPO live kinachoendelea nakillichotabiriwa Mungu tusaidie kuyajua haya.Ameni mtumishi Mungu aendelee kukutumia
@majaliwamhoja4954
2 жыл бұрын
Uje na mpanda katavi baba tunahitaji maombi kama hayo
@kizandume3015
3 ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho mazuri yaku tufunguwa akili sina chakusema ila nakushukuru baba mungu azidi kukutiya nguvu
@amanimwakalomba8511
2 жыл бұрын
Huyu sio Mch Yohana bali ni mzee wa Imani Rev Moses Magembe,Ubarikiwe sana Baba yetu wa imani.
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
Yesu nisaidie parapanda ikilia niwe ndani
@johnelias2
2 жыл бұрын
Baba Mungu akutumie kulionya kanisa,karibu Sana Arusha
@elinemakundi5011
2 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba mchungaji wangu
@hassanlamata2312
2 жыл бұрын
Nyie watu dunia iko mwisho hakika kabisa fuata maneno haya dunia iko mwisho dunia iko mwisho dunia iko mwisho sikiliza kwa umakin sana haya maneno ya huyu muhubiri 🤝🤝🤝🤝🤝
@marymangwela7737
2 жыл бұрын
Yesu andina jina langu kwenye kitabu cha mzima wa umilele.
@user-if1pz4nm4u
9 ай бұрын
Umefilisha ujumbe kwa waTanzania na kiumbe chochote chenye kusikia na kuelewa hii lugha ya kiswahili. Asante Mfalme wa Wafalme Yesu.
@vitalmugisho1613
2 жыл бұрын
Nairudiye injili yakweli babangu Mungu akubariki zaidi DRC tuna kufuata tono juuyatano
@joackimondara4663
2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki kwa ujumbe wa baraka.
@evaristbamfu7149
2 жыл бұрын
Mchungaji Mungu aendelee kukutmia kuhubiri neno lake . Nimebarikiwa sana
@edigarfredricki3794
2 жыл бұрын
Roho mtakatifu nisaidie nishinde
@rehemasuleiman7469
2 жыл бұрын
Uwiiii,Mungu kumbuka watu wako, macho yetu yafunguliwe
@angelaangela2013
3 жыл бұрын
Amina nabarikiwa sana mtumishi ikumbuke mwibara wanaitaji injiri Kama hiyo
@kaburajeanmarie1030
2 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu,,, eee Mungu nisaidie,nipe macho ya kiroho ili niweze kuona nyakati hizi tulizonazo,nimebarikiwa na kujazwa kipindi cha mahubiri haya, asanteni sana
@deogratiuspaulo6340
3 жыл бұрын
Amina Mchungaji Bwana akuongezee siku vijana tujifunze toka kwa wazee wetu.
@josephmutemi7494
3 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kutupa washungaji wenye ujaziri mwingi
@AyubuChidyalo
11 ай бұрын
Kwer yesu anarudi
@bacumijuvenalniyibigira3543
2 жыл бұрын
Mbarikiwe na BWANA
@shukuranipaul8271
Жыл бұрын
Mungu ni saidie kuwa kalibu nauwepo wako nisije nikabaki chu mungu akubaliki🙏🙏🙏
@espoirhamonikasuzu2210
2 жыл бұрын
MUNGU WETU UTUSAMEHE KABISA, NAUTUPE MOYO MPYA WA KUKUTUMIKIYA KATIKA MAMBO YOTE YA NAYO KUPENDEZA KATIKA DUNIA HII, MAANA NYAKATI TUNAZO ZIISHI NI NYAKATI ZA MWISHO, Mungu akubariki sana baba Mchungaji kwa neno hili
@rehemasuleiman7469
2 жыл бұрын
Yesu wangu nisaidie niwe na mwisho mzuri
@beatricebetty7912
3 жыл бұрын
Amen baba naitaji maombi yaziada juu yangu naitwa MAWAZO Lusambo naishi swedeni tafadhali baba naitaji maombi 🙏🙏
@pastorhermantv5420
2 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe ndugu yangu nakushauli badilisha jina maana jina lako linabeba hatima yako
@charleskuyeko1660
2 жыл бұрын
Jina la Bwana lihimidiwe. Kazi hiyo ni nzuri mno. Ninakumbuka tulipookoka miaka ya 80 kupitia The Big November kule Jangwani. Dasa hiki kinachofanyika huko Songea ni kama The Big November. Watumishi wa Mungu pamoja na kazi hiyo nzuri mnayofanya sasa nawaomba muirudie Dar es Salaam kwenye viwanja vya Biafra kwa jina la The Big November au lolote mtakaloona linafaa. Kwa kufanya hivyo mtaizimisha ile mishare ya adui ya anayoirusha kwa kutumia vifaa vya upako kama mafuta, chumvi, sabuni nk. kuiangamiza dunia.
@myself4128
2 жыл бұрын
Ukristo umekuwa mama maigizo yaani manabii wanaropoka ropoka tuuu eti namuona malaika blah blah hivi ingekuwa rahisi ivo Kila mtu angekuwa nabii basi?hawakemei dhambi wala hawahubiri Toba wanatabiria watu mafanikio tuu
@tygggnzyj2771
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@twinkleeddy9263
10 ай бұрын
Jaman tukae tayari kwa unyakuo
@goodluckmaalum7046
Жыл бұрын
Barikiwa baba
@amosyagulala9666
Жыл бұрын
Amina mchungaji huduma yako imeniweka karibu na Mungu
@thomaskiponda6079
11 ай бұрын
MAGEMBE AKIPASUA ANGA🎁🎁🎁🎁🎁🎁
@mercymwasha3993
2 жыл бұрын
Amen Mtumishi, hakika hii ni kweli yote. Bwana Yesu nisaidie nivuke nawe mpaka ng'ambo.
@user-xg9bu2lg4y
4 ай бұрын
Sema baba tupone mana ni siku za hatari
@drflaviastrato6039
3 жыл бұрын
Following from Namibia 🇳🇦
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Na .UNGU ATUHURUMIE SS NA WATOTO WETU MAANA MWILI UNATUDANGANYA TUACHE DHAMBI TUPENDANE TUONYANE NA KUANZA UPYA MAANA HALI YA DUNIA IMEKUWA NGUMU TUMULUDIE MUNGU TU
@haningtonkabuta9387
3 жыл бұрын
Shocking prophetic truth. Kwa kweli wateule tujipange! Asante baba na mchungaji wangu kwa kutukumbusha.
@godfreymwenesho1770
2 жыл бұрын
Mch huyu ypo wapi mtumishi na ninawezaje kupata namba zake et mtumishi nifanyej kumpata
@tithosimpito7863
2 жыл бұрын
@@godfreymwenesho1770 yupo Dar es alaam TAG MAJUMBA SITA
@wiza2309
Жыл бұрын
mungu utuhurumie, Mungu akubariki sana Baba yangu Magembe
@zawadiomari7409
3 жыл бұрын
Haleluya Bwana Yesu nakuomba utakapo rudi usiniache Roho yangu. Amen
@tithosimpito7863
3 жыл бұрын
Aameen🙏🙏🙏
@winnyrocha1361
2 жыл бұрын
Tuko katika nyakati za mwisho tumtafuteni mungu zaidi ya vyote
@festaaroni1736
2 жыл бұрын
Ameni mtumishi ubarikiwe sana BWANA moyo wangu upo tayari kukuraki🙏🙏🙏🙏
@maggyirene110
3 жыл бұрын
Ameen ameen... Injili ya kweli kabisa... Mungu Nirehemu
@devottamwingira2721
2 жыл бұрын
Oo
@ochanemmanuel8686
3 жыл бұрын
Jesus is coming back soon!!, Thanks for the message
@eliatrishayona9775
2 жыл бұрын
Baba Asante kwa ujumbe mzuri Mungu akutie nguvu baba
@andersonfungo9443
2 жыл бұрын
@@eliatrishayona9775 keep losing a look
@RachelBriervanity1
2 жыл бұрын
safi sana Mchungaji haya ndio mafundisho na mahubiri tunayataka kusikia ili watu watubu sio mafanikio na Biashara
@bonkeysimon4619
2 жыл бұрын
Natamani kuhubiri injili na mzee huyu,
@eliahmhanzi6357
3 жыл бұрын
Asante Eeee Mungu, tusaidie tuweze kuelewa maana Mbinguni tutaenda kujibu tumefanya nini tulipo kuwa duniani
@marymgonzo7891
2 жыл бұрын
Asante Bwana Yesu kwa ujumbe mzuri. Mungu akubariki sana Babaangu
@elizabethmavika6871
2 жыл бұрын
Asante sn kwa powerful msg!!😭 Mungu anisaidie/atusaidie 😭😭😭
@dionizydidas335
3 жыл бұрын
Ikumbuke mwibara mtumishi, tunataka uamusho. Mara haijafikiwa mtumishi na injili kama hii.
@emilynekesa4476
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor sijui mungu akiujukua uhai wako nani ataliambia kanisa ukweli kama huu
@tithosimpito7863
3 жыл бұрын
MUNGU ampe maisha maref sana ili tuzidi kujifunza kwake 🙏🙏🙏
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Yesu akufanike kwa damu yake takatifu, maadui zako wakawe maadui zake.
@mariamkandulu9827
2 жыл бұрын
Amen baba unayonena tunayaona, Tujiandae Wakati umewadia Yesu anarudi
@labanglorieusebyayesu8790
2 жыл бұрын
Amina amina amina
@kadzomasha8539
2 жыл бұрын
Nahaya sasa yameaza pastor mambo yana zindi kuwaabaya tuombeni mungu atusamehe😭🙏🙏🇩🇪🙏🇩🇪
@bernadetteshukuru9154
2 жыл бұрын
Mungu anihurumiye mimi mweye zambi rohoni
@pendobabel6563
2 жыл бұрын
Amina baba
@alexanderkapinga700
3 жыл бұрын
Pastor Magembe umenipa urith mkubwa ambao hapana thamani yake wala hapana anayeweza kuniondolea. Always be blessed
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Yes it's true
@carolinekessy7510
Жыл бұрын
I really missed home
@munninimuganura3969
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji Mungu aendelee kukuwezesha
@rozaliajohn8755
3 жыл бұрын
Nimekupata vizuri, mch. Mungu atusaidie,inatupasa kumwomba Mungu kilawakati.
@jacobjofrey9017
2 жыл бұрын
wote niwapendao mm nawakemea na kuwarud bas uwe na bidii na kutubu
@amamlen3731
3 жыл бұрын
Kwa hii injili Ata kama Mchungaji unaweza ukaokoka tena
@ezekielsamwel6742
2 жыл бұрын
Babaaaaaaa...,mbinga tunakusubiriaaaaaaaaaaaa
@lukamapunda628
2 жыл бұрын
Tunakujaaaaaa
@deosteriahamisi9950
3 жыл бұрын
Tutapataje kupona tusipoujali wokovu mkuu namna hii? MUNGU tusaidie maana pasipo Neema yako hatuwezi kukupendeza.
@BM_Smart2-6
2 жыл бұрын
Yesu atatusaidia tu tuupate uzima
@meladluvanda8765
2 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumish wa Mungu aliyehai kwa jumbe muhimu huu
@rozeyousef9823
2 жыл бұрын
Mungu nisaidie kukujua vema ili niweze kuyashinda ya dunia mana natamani kuioma mbingu nikiwa nimekupendeza E mungu🙏
@rozeyousef9823
2 жыл бұрын
Ee mungu naomba nilinde zidi ya maadui wabaya wasifanikiwe kutenda ubaya juu yangu🙏
@faithtimoth4421
2 жыл бұрын
Ooooh my god nikumbukee mim mwenye dhambi nyingi uniokoee
@nicholauskilima7033
2 жыл бұрын
My "God" nasiyo my god.
@yoramyohana8220
3 жыл бұрын
Ubalikiwee Sana mtumishi wa BWANA
@margretchipkwemoi8297
2 жыл бұрын
maubori kweli inanitia moyo barikiwa sana askof u
@raymondchristopher8951
2 жыл бұрын
INJILI HULETA KUFUNGULIWA MACHO YA KIROHO
@loraumuhire4755
2 жыл бұрын
Amen 🙏 Bwana Yesu Kristo akubariki akuongezee umuri uzide kutufundisha.
@leonidashatungimana6850
2 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akuongeze Siku ili Sisi wanadamu tusije kusema eti hatukuhubiliwa Mchungaji naomba WhatsApp Yako ikiwa uko nao mimi ni mtu wa Burundi naitaji WhatsApp Yako ili niongeye nawe
@pishondaniery7784
2 жыл бұрын
Tukazebut kuomba watanzania mungu yuaja
@lucyjeremia1381
3 жыл бұрын
Sema Baba tupone 🙏🙏
@jacquestuombebahaya3338
Жыл бұрын
Nasikiya ku barikiwa sana, Mungu akubariki.
@irakozesandra7243
3 жыл бұрын
Asante baba.yangu unafundisha vizuri na ubarikiwe juu unafundisha ukweli sio kama mahubiri ya watuwengine kwasababu hawafundishi ukweli wamengangania mafundisho ya barakatu ila ya sikuzamwisho hayahubiriwi sasa ila baba umefundisha ukweli Mungu anipemwisho mzuri
Пікірлер: 293