Kuna mwalimu mkuu,Dokta mkuu,mwanajeshi mkuu,n.k. Bas Ronaldinho ndio mchezaji mkuu kwenye hii dunia🙌🔥
@gwakisamwakambulwe2491
6 ай бұрын
Watu wengi sana wameiga skills kutoka kwake........he is the true living legend
@Chezalive
6 ай бұрын
For sure. Jamaa ni inspiration kwa kizazi hiki
@ezekielkandonga9238
6 ай бұрын
Alikwisha wai sema nayeye kuwa Role model wake ni JJ Okocha,Sema Mzungu anathamini sana kilicho chake
@khalidhashim6082
6 ай бұрын
@@ezekielkandonga9238 maradona ndiyo role model wake
@giant_701
3 ай бұрын
He is a very good player I have ever seen in this world
@user-ig7yt7bx4l
6 ай бұрын
ronaldinho is a legend in footbal no one like him
@Chezalive
6 ай бұрын
Sure bro
@etienneabibu3979
6 ай бұрын
Tokea Dunia iiumbwe hakujawahi kuwa na mchezaji mkuu kama Gauch Ronaldinho nampenda sana jamaa huo. Aa h jamani
@Chezalive
6 ай бұрын
Jamaa noma sana
@nathanielneshiez2570
6 күн бұрын
9:01 9:05 if he had scored, this would have been the most iconic goal in football history.
@benancejohn1198
6 ай бұрын
Mwamba kabisa 🙌🔥⚽🙌
@Chezalive
6 ай бұрын
Fundi wa boli
@mohdkhatib223
6 ай бұрын
Huyu jamaa mpira ameutia rangi na nakshi uzidi kupendeza, pia amefanya vitu vigumu vionekane ni rahisi na inawezekana.
@Chezalive
6 ай бұрын
Fundi Mmoja wa boli
@oliverngualo4028
6 ай бұрын
Kizazi cha GAUCHO tumeenjoy sana 😅😅😅😅
@Chezalive
6 ай бұрын
Sana kumuangalia tu ilikuwa burudani
@rameckrichard7534
6 ай бұрын
Mpaka najuta kwa nn sikufanikiwa kumuona
@CotteBravo-mm5tp
6 ай бұрын
Kizazi cha messi tumeinjoy sana
@Chezalive
6 ай бұрын
Tafuta clip kama Hizi uangalie, hata wazee wetu hawakumuona Pele ila stori zake wanazo😅
@shinipapaya846
5 ай бұрын
@@CotteBravo-mm5tphamna kitu hapo ndugu yangu zaidi ya kubebwa na wazungu wezie hasa FIFA ndio waliompa kombe la Dunia kwa kufosi maana ingekuwa aibu isio semekana 🏃 🤣🤣🤣 kacheza mara tano kombe la Dunia wakali wote Duniani wameshinda ndani ya mwaka mmoja au miwili 😆😆🤣🤣
@LugwishaMawede
5 сағат бұрын
I have ever seen a player like him
@user-wk1de2se5z
3 ай бұрын
Nice wangu
@GodeliGogo221
6 ай бұрын
Gooo 1
@Chezalive
6 ай бұрын
😅
@GalaxyStar-ix6iy
5 ай бұрын
Kama Dunia ingempata mchezaji Kama huyu B's angekuwa wa kwanza mpaka sasa
@janenjenga5639
6 ай бұрын
He was a great player
@Chezalive
6 ай бұрын
Sure
@ELIBARIKIJULIUS-qx7jj
3 ай бұрын
Ata mm sijaona muchesaji kama mucha iyo ronadinho😅
@stephenmwangi6145
5 ай бұрын
The only wizard when football is concerned in this planet earth ever
@Chezalive
5 ай бұрын
Sure 🔥
@nassirali8342
5 ай бұрын
The ONLY ONE .NO ONE WILL NEVER PLAY LIKE GAUCHO
@danndhaya8796
6 ай бұрын
what a narration, i love
@Chezalive
6 ай бұрын
Thanks 🙏
@johnmwakasege4581
Ай бұрын
Wa Brazil 🇧🇷 wapo vizuri kwenye chenga
@AbuubakarJuma-se9cp
6 ай бұрын
Hakun aliyewah kucheza mpira km mt huyu🎉🎉🎉🎉
@Chezalive
6 ай бұрын
Sio poa mzee
@jumahalifa6436
6 күн бұрын
Mlete na historia ya JJ okocha
@user-ug8jq1op6g
5 ай бұрын
My world soccer legend
@LinosJohn-dp9xi
Ай бұрын
Alikuwa noma saanaaa hakuna kama yeye😂
@SaidHassan-pv6kf
15 күн бұрын
Maisha yote hatotokea Tena katika huu ulimwengu kama huyo jamaa
@FaustineMichael-hy8li
22 сағат бұрын
Bado sijaona wa kumfikia gaucho
@user-yn4mw3du3i
2 ай бұрын
Samahani broo sikubahatika kumuona, mwamba kwangu ni mbappe
@shawaynejaphary9926
3 ай бұрын
Hakuna Mchezaj Kama Dinho Na Hatotokea... He's One In A Lifetime
@user-sy2rr2jf7v
6 ай бұрын
Yupoo yuleeeeee mnaigeriaaa yuleeeeee okocha. Jay Jay haya ukiachanaa na okocha yupoo yuleeeeee lobincho naeeeee vituu ambavyoo ronadincho allifanyaa naeeeee lobincho aliwezaa kuvifanyaa brother anguuu Kwanii brother napenda Sana kuchambi chambua mipiraaa hiiiiiiiiiiiii bwanaaa brother njoooo wahsapuu tukaeee tuchanbuee
@Chezalive
6 ай бұрын
Umetisha sana, sema Kila Mmoja ana Radha yake kaka
@user-go9vp1qy8b
3 ай бұрын
Japokuwa yote hayo Gaucho alikuwa na vingine vitu vyake alikuw akiongezea hadi soccer inanoga kamanda
@user-bm1gq2ww6h
2 ай бұрын
The only legendary made to like football ⚽️ 🙌 👏
@user-wy9dx5go4t
6 ай бұрын
Huyo mamba akumbukwe daima
@Chezalive
6 ай бұрын
Anajua
@user-df8bv2fq5p
6 ай бұрын
hakuna rika la huyu mwamba duniani kwa kusakata soka
@Chezalive
6 ай бұрын
Mwamba anajua
@Alkhairatgoodboyhopelifestile
Ай бұрын
Kwa kweli ni mchawe😂😂
@rogersiddy
6 ай бұрын
Kifupi ilo halipingiki kbs alikuwa fundi sana kama ulichelewa kuangalia mpila basi vigumu kumuelewa utaishia kusema kila mtu na radha yake hatujakataa ila raha ya mpila kuona vionjo kama vya Dinho hamasa na majadiliano yanakuwa mengi vijiweni na maeneo mbali mbali iyo ndo radha ya mpila
@Chezalive
6 ай бұрын
Dinho sio wa kwanza kaka Wala hatokuwa wa mwisho, endelea kufuatilia ntakuletea Radha tofauti Nb: Pengo la mtu haliwezi kuzibika.
@rogersiddy
6 ай бұрын
@@Chezalive Elewa mada ya husika tatizo letu sisi wabongo tunachokiamini vichwani mwetu ndo hivyo hivyo tunavipeleka kwenye mada ya mitandaoni haya nikuulize swali wewe mchezaji gan mwingine alietokea katika kipindi chake na baada ya kuustaafu mpila yupi unamfananisha nae mwenye vionjo kama yeye?
@khalidhashim6082
6 ай бұрын
@@Chezalive kama michael jackson saizi wanamuona mwenye makosa ila alikuwa hatari lakini dinho ni hatari sana
@anganilekajigilikajigili2641
6 ай бұрын
Huyu ndio mwamba wa sokaaaa 🫱🏻🫲🏽🫱🏻🫲🏽👊🏻👊🏻
@Chezalive
6 ай бұрын
Anajua sana
@Rody450
6 ай бұрын
Hio sauti nikama ya Jamal kwani ulitoka wasafi WCB ama nakufananisha
@Chezalive
6 ай бұрын
Hapana kaka unanifananisha, sio Jamal
@LovelyForestHills-qe8pe
2 ай бұрын
Mimi mbakaleo huanatakia Manisha mema hakuanakiyongo katika Maisha yake.
@clementkivegalo2604
5 ай бұрын
Hakuna kama Gaucho!
@Mohamedibakiri
3 ай бұрын
Mwanafunzi wa jay jay okocha kakopi kavinogesha ila okocha fundi mno
@manaseliberatus1347
Ай бұрын
MARADONA
@EmmanuelNyamuyarula
6 ай бұрын
Hakika umri ungejirudia gaucho angerudi tena
@Chezalive
6 ай бұрын
Tulishuhudia burudani
@kambonamajaliwa5466
6 ай бұрын
Mpaka leo sijaona mwenye uwezo kama wake
@Chezalive
6 ай бұрын
Kila Mmoja na Radha yake kaka
@kambonamajaliwa5466
6 ай бұрын
We ladha yako iko kwa nani ndugu?
@Chezalive
6 ай бұрын
Hahaa😅 Nakubali Kila mchezaji mzuri, japo wanatofautiana radha
@user-xx3bu9uf3g
6 ай бұрын
True my brother 💯✅🙏
@Chezalive
6 ай бұрын
@user-xx3bu9uf3g 🔥🔥👊
@yahyamlawa2069
6 ай бұрын
Na hatokei tna mwingine
@Chezalive
6 ай бұрын
Dunia ilimpata mburudishaji
@AllyNdosa
Ай бұрын
Sjui kama atakuja kutokea kama uyu jamaa
@amirimohammed2875
6 ай бұрын
Fund mmoja2 gaucho
@Chezalive
6 ай бұрын
Anajua sana
@ahmedkhatibu5387
6 ай бұрын
Mpka leo hakuna mchezaji kamu huyu bingwaa
@Chezalive
6 ай бұрын
Inawezekana kabisa, mwamba Alikuwa hatari
@leonardlunguya7112
3 ай бұрын
Ilikuwa Raha sana kuinjoi kumwangalia Dinho
@user-ud2jd2nm7i
5 ай бұрын
Ni, kweri, Mimi kwa, macho yangu ya, nyama,sijamuona mtu, kama, yeye
@Chezalive
5 ай бұрын
Mtu hatari sana
@Suzanawilbard
5 ай бұрын
Wapo wengine Jay jay okocha, Robinho,Quaresma ni hatar hao jmaaa na wao
@JuniorGaddafi3978
6 ай бұрын
Kwa maisha yangu yote sijapata kumwona mwamba na mchawi wa soka kama Gaucho. Wengi mtamsema Cr7 au Messi ila katika kitabu changu cha mastaa wa soka basi Gaucho yupokidedeani.
@Chezalive
6 ай бұрын
Mwamba fundi kweli kweli, mtoa burudani
@armankassim5906
5 ай бұрын
Jay jay okocha
@fanuelmulumba9976
Ай бұрын
@@armankassim5906 okocha Bado hatoshi
@Jacksonkutusha
5 ай бұрын
Ni mwamba
@user-mc5us4lh1f
6 ай бұрын
hatokuja kutokea kama yeye
@Chezalive
6 ай бұрын
Noma sana
@jaffarmohamed6859
3 ай бұрын
❤❤
@Jumamustafa-ur7uv
6 ай бұрын
Mwamba sana huyu
@Chezalive
6 ай бұрын
Mwamba sana jamaa, inasikitisha tulimkosa mapema sana
@ashaalali1221
6 ай бұрын
Kkkk unadani mpira ni ukweli kkkk.inaitwa eye tricks.wee jiuliza mpona Africa awashindi world cup? OK mpona mpira iko na stars? Ni wongo.lk movies..wrestling etc .lk acrobat.
@Chezalive
6 ай бұрын
Acha bas mzee
@user-zn2nf2ui6j
5 ай бұрын
Mwamba wa ukweli
@allykagawa
6 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌
@Chezalive
6 ай бұрын
Hatari mzee
@petermwanyondo5370
5 ай бұрын
Sijaona wakumgusa kwamba huyu
@user-pp5wr3vd1n
5 ай бұрын
Hats Mimi
@benjaminmwenikahindi5429
6 ай бұрын
Uyu nimnomaaaa
@Chezalive
6 ай бұрын
Noma sana
@denisdamiani6473
4 ай бұрын
Mbappe
@michaelkitebo9305
6 ай бұрын
ALIKUA HATARIIII
@Chezalive
6 ай бұрын
Fundi Mmoja wa soka
@venancerutta6875
4 ай бұрын
Duniani ni wachache
@user-gq6rz9hs5z
5 ай бұрын
Mimininao
@ibrahimabdullah1887
Ай бұрын
Huyu ndio mtu sasa messi mchongo
@Chezalive
Ай бұрын
😂😂
@francisnduguti7457
6 ай бұрын
He learned his skills from J.J Okocha💪💪
@Chezalive
6 ай бұрын
🤔 maybe
@EricPatoh
6 ай бұрын
You are mad to say that
@LeesMD333
5 ай бұрын
Absolutely
@adriankiarie1868
5 ай бұрын
Very true he also said so
@user-go9vp1qy8b
3 ай бұрын
But he added other skills himself
@user-sy2rr2jf7v
6 ай бұрын
LAKINI nyieee acheniiii tuuu lakin wapooo walioo kuwaaa wanafanyaa Kama yeyee jamaniiiiii
@Chezalive
6 ай бұрын
Tupe mfano mzee😅
@002RYE
2 ай бұрын
Kiukweli hakuna aliyefanya kama alivyofanya huyu mwamba
Пікірлер: 134