Mchungaji Geoffrey Mbwana amesisitiza suala la wokovu wa Bure ambao hupatikana kwa kumkiri Bwana mwokozi, wokovu huu ni bure wala hauna malipo, hivyo kila mmoja wetu awajibike kuutangaza wokovu huu kwa watu wote ili wamuamini na kubatizwa wapate kuurithi uzima wa milele.
- Күн бұрын
Mchungaji Geoffrey Mbwana- Kwenda kwa Kristo sio mpaka pesa, kila mtu anawajibu katika kuhubiri.
- Рет қаралды 872
Пікірлер