Mtumishi huyu anajielewa, hongera, watu wanajitoa ufahamu
@seacresthotel8998
3 ай бұрын
💥💥💥💥👏👏👏MUNGU akubariki sana mchungaji
@Byondorujulika17
4 ай бұрын
Amina Mutumishi wa Bwana, karibu tena hapa kwetu IOWA STATE USA 🇺🇸.
@sultanalnaamani2156
4 ай бұрын
Mchungaji Mungu akupe afya njema na umri mrefu Mzee wetu tunaomba nambari yako ya Cm ilituwetukiwasiliana kwa pamoja hakika nimependa mafundisho yako ni mazuri na ukweli sana upo vizuri Ahsante.
@arimazuri
2 ай бұрын
Uko sahihi baba Mungu akubariki sana mtumishi
@alexiscirhuza
3 ай бұрын
Asante sana baba kwa Mashauri Yako ambayo yana uhai. Mungu akupe maisha marefu
@obedimunguachiza8434
4 ай бұрын
Tupate wapi tena watumishi wenye ufahamu wa Neno la Mungu kama na huu? Eh Mungu litakase kanisa lako, tuko hatarini.
@GADAUNEWS
4 ай бұрын
Asante mtumish Mungu akubarik Hananja
@ruthaloyce1012
4 ай бұрын
Sawa, Hananja kama Hananja!❤❤❤🌹🌹🌹chukua maua yakoo!
@saimonbikulaofficial
4 ай бұрын
Isee hananja tukupe makanisa yoye ya tz uyanyooshe mama unamafindisho yakweli unafundisha uhusiano kati ya mwanadamu na mungu God bless you
@japhetmnyeta1076
4 ай бұрын
Mchungaji Ume quolify,ni kweli ili Kujua MUNGU yupo lazima pawe na utaratibu na utaratibu ni sifa ya MUNGU WA mbinguni
@KhadijaKipua-dw7yz
4 ай бұрын
Mchungaji hananja uko sahihi kabisaa.
@RockofLifeChurch
4 ай бұрын
Mungu ambariki Mchungaji Hannanja Watu wengi hawana misingi.
@KALULUALLI
4 ай бұрын
MCHUNGAJI NAKUPENDA SANAA WEWE HUNAUONGO WALA UBABAISHAJI
@abdulsimbarakiye4145
3 күн бұрын
Baba mchungaji mimi ni Abdul Simba mungu akubariki baba yangu mimi ni mwisilam uwa nafata vipindi vyako wewe ni mkweli kabisa
@ElibarikiMbando
4 күн бұрын
barikiwa sana hananja;hua nakufuatilia saana
@IsackTheonest
4 ай бұрын
❤Mungu akubariki mchg, ww ni mwanga wa vijana
@twabwikemundela5770
4 ай бұрын
Amen mtumishi. Nimebarikiwa sana.
@eliabrandy
21 күн бұрын
Nakukubali sn pastor chukua mataji
@imanihussein9457
4 ай бұрын
hananja upo vzr
@priscakitambi8639
Ай бұрын
Uko vzr sana Mch. Mi nakukubali sana
@hermannicholaus238
4 ай бұрын
Njoo Moshi
@user-uu8bd4vi9s
4 ай бұрын
Mch umenyoka uko sahihi anae pinga hichi unacho sema akasome neno..Mungu akutie nguvu akulinde maisha yako yote.
@adronicoreveliano7151
4 ай бұрын
Sure!
@adriannebatakanwa6904
4 ай бұрын
Kina Ezekiel hawakuchukuliwa katika Roho. Yohana akiwa kisiwa Patimo hakuchukuliwa na kuonyeshwa yatakayokuja? Usipotoshe watu japo si wote wanasema kweli lakini kuchukuliwa kupo tu. Omba neema ikuzukie.
@PatriciaAkena
4 ай бұрын
Binadamu anpendi ukweli...nani anasugumunza na mungu kufuru kweli mungu bibilia inasema imani hati alitembea na mungu wapi hata musa mwenyewe..akumwona na kupenda bure
@elishakayagwa9371
4 ай бұрын
Huyu mchungaji ni comedian wala hana wito wa Mungu ila alisoma theology tu. Kama hana muda wa kukaa magotini hawezi kutumiwa na Roho Mtakatifu.
@charleslukumai7875
4 ай бұрын
n@@elishakayagwa9371wewe ndo komedian. Onyesha kwenye biblia mahali palipoandikwa kuna nabii aliyewahi kwenda mbinguni akakutana na Mungu, Mungu akamtembeza kwenye ufalme wake, kisha akarudi duniani.
@KabatoniBoraa
4 ай бұрын
Mchungaji wetue tupe number za sin Ili tuwe tunawasiliana.kwamana Wewe naona elim unayo kabisaa.allah akuifadhi akupe nguvu zakuteteya dini zote
@adenmwakalobo760
4 ай бұрын
Hongera na endelea vivi hivi mch Hananja, ulaghai wa baadhi ya wachungaji wachumia tumbo kwa kuwahadaa watu wanyonge na wasio na ufahamu mzuri ktk makanisa yao! Watakasirika kweli kwa vile umezianika hadharani mbinu zao ovu za kupumbaza watu; hata mienendo yao imejaa chukizo! Jamii yetu inapata faida kwa kuamshwa kupitia mafundisho yako kwa muongozo wa bibilia takatifu.
@user-uy5zk4lj5w
4 ай бұрын
HALELUYA, MCHUNGAJI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI WA NENO LA MUNGU KUPITIA BIBLIA TAKATIFU
@user-wq4pl5dv6b
4 ай бұрын
Mtume mohamed
@user-yq7yv5bb8j
Ай бұрын
Jaman mm nikimsiliza mch Hananja Roho inajaa amani tele.
@williamkadote305
4 ай бұрын
Muchungaji kwakweli unaongea sahihi, Na uko Baba watoto, ❤Sasa Muchungaji kwanini ulimi yako kila mara inatoka inje ? Kwakweli sio ma sighs zakisasa ?
@blandinajoseph1291
4 ай бұрын
Anaufanya kama ishara ya njoka
@felisterjoshuamollel3930
4 ай бұрын
Tunakukubali Sana mch. Hananja❤chukua maua yako 🎉🎉
@user-ty4ji9qm5r
4 ай бұрын
Hongera sana Hananja
@mossesezekiel7862
3 ай бұрын
Ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO
@paschalsafari9747
4 ай бұрын
Walokole wanauvuruga ukristo sanaa...
@fredyjunior6961
4 ай бұрын
Mnooo
@eliuschonjo7706
3 ай бұрын
Kucheza na akili za watu lazimaa uongezee uongoo !!! Ila hapo Kwa Mungu kuzungumzia uongo ni laana kubwa sana
@user-gt9zw9jk6w
4 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-tf4zb9fz1f
4 ай бұрын
Mwacheni Mzee angee ukweri .
@lwitikomusa1712
3 ай бұрын
Amina mtumishi ananja 🙏
@costantineevarist5110
4 ай бұрын
Amina mchungaji..Aliyepaa Ni Yesu tu.Wengine ni hadithi tu za uongo
@NgengeMkeni-uo5hq
4 ай бұрын
Hata Mtume Muhammad mwenyewe alidanganya umma eti alipaa na Buraq😂
@farhannahomary5505
4 ай бұрын
Mungu akulinde
@phinescah7353
4 ай бұрын
Amesema ukweli kabisaa,i support the truth because the bible says you shall know the truth and the truth shall set you free
@bashirukajembe4165
4 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@MILEMBEMASUKE-ds2fx
4 ай бұрын
What a paster....🙏
@allymwashambwa5920
4 ай бұрын
Hananja mungu akubariki sana kwakusema ukweli
@hekimaoscar6527
4 ай бұрын
Hongera
@hildaminja5148
4 ай бұрын
Asante sana. Unaweza kusaidia kizazi hiki
@user-ri8ch2hs3m
4 ай бұрын
Waambie baba wafunguke
@leonardpeter153
3 ай бұрын
Shetani ni mjanja sana watu wanawaogopa sana manabii wachungaji wanatumia nafasi hiyo kuvutia sana kwao ,Mungu ana mipaka yote yanawezekana kwake yeye aaminiye biblia aiimpi Mungu mipaka
@SifaelMpagike-gt1gz
4 ай бұрын
Amen
@japhetmnyeta1076
4 ай бұрын
Hakuna roho ambayo itakua kwenye mwili ikamuona MUNGU na isitake kumrudia muumba wake Kwa uzuri aliokua Nao MUNGU thus why Mussa alipokwisha ona mgongo wa MUNGU alirudi na wazee wa Israel wakashangaa mng'ao na wakamkimbia
@user-tr2mf3hp5s
4 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wng
@DonatiMlay
4 ай бұрын
Huyu mchungaji anasema ukweli mtupu manabii wa uwongo kwa ajili ya kuwapora hela waliokosa maarifa.
@gracekagoma3231
4 ай бұрын
Watu wanajiita manabii😢ni wa uongo 😢😢
@danielchaulema1670
3 ай бұрын
Watu wangu huangamia kwakukosa maarifa
@jabirkasunzu6841
4 ай бұрын
Bado mitume ya Kinyakyusa😂😂😂
@majaliwamsigwa6206
4 ай бұрын
Upo sahihi Mtumishi
@user-wm9hr7fx9l
3 ай бұрын
Halafu huyo wa Arusha anajiita nabii mkuu,tofauti na maandiko maana kwa mjibu wa maandiko alie mkuu ni mmoja tu
@kwamnkurumah8574
4 ай бұрын
Mchungaji hyu Nina mkubali Sana aise upo sahihi Nikipa mkubwa wao
@Inzaghi809
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-tl5oz3ws9m
4 ай бұрын
Ukosawa sana badili muelekeo uokoke ukweli wote unaujuwa
@user-gi3io1ew8e
4 ай бұрын
❤😂 Amina kabisa true pst 🙏
@littlelunie.7653
4 ай бұрын
Waambie na daniel alionyeshwa hakwenda mbinguni
@mohammadoman8963
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 asante kwa kuwaumbuwa wenzako wako kibiashara tu kuendesha maisha na watu hawana akili wanafata mkumbo tu
@stephenlembo8986
4 ай бұрын
Yesu hakuleta dini alileta wokovu.
@user-cd9nk8yz2h
4 ай бұрын
Binadamu mpaka akufe mara moja tuu ndio aende kwa mungu mbiguni
@pcctMadale
4 ай бұрын
PASTOR HANANJA UKO SAHIHI KABISA,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KWENDA MBINGUNI KUONGEA NA MUNGU,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KUONANA NA MUNGU NA AKAWA SALAMA!HATA MUSA HAKUWEZA!
@Kamkono
4 ай бұрын
Henoko ?
@suzydeusy1405
4 ай бұрын
Hamna mtu atamwona Mungu akiwa kwenye mwili huu
@iddyissa8110
4 ай бұрын
Haaa kweli kama unawaza sanaa unaweza ota kweri wanakufuru
@davidmapugilo5283
4 ай бұрын
Ufahamu, ufahamu, ufahamu, never speak of things you do not know
@manuelymanuely-ly7gs
4 ай бұрын
Wee unajina unaufaham
@lukamwinuka2957
4 ай бұрын
Wambie hao wanaenda kuxim wanasema Kwa Mungu
@Zaka-hv9ui
3 ай бұрын
Wewe ni mkweli mch Hananja
@christianmwabukusi8132
4 ай бұрын
Usihangaishwe nao Mchungaji
@petronyereresaliboko4047
3 ай бұрын
Watu wanaenda kuzimu na mbinguni yaani sana Tena shida saana hii inatisha mpaka unajiuliza hii ni nini
Ila kwenye biblia unawazidi sana kuijua! Wachungaji wengi wengi unawapiga fimbo!
@TM.Sullusi
4 ай бұрын
Hata hao wengine wanajua, ila wanaitumia vibaya ili kufanikisha malengo yao ya hovyo😢😢😢
@user-fh1vu5xk3j
4 ай бұрын
Wengi tunakuelewa,
@AnthonyAnatory
4 ай бұрын
Kabisa wasanii hao wanaangalia maokoto
@gilbertmaganga9370
4 ай бұрын
Huyu namuelewa sana msema kweli
@bosssyedmund8785
4 ай бұрын
Na tracksuit yangu😂😂😂
@user-cf9tt4vg9e
4 ай бұрын
UWO NI KWELI KABISA
@ChejoBuchejo-mm8bb
4 ай бұрын
Tz ni nchi ya watu wajinga sana ,,,yani tumejazwa uwoga tukawa mazuzu kabisa.....BORA NIWE NARUDI MASKANI KUTAMBIKA ,,,,,Asante mtumishi kusema UKWELI unaopotoshwa
Pastor anajua mpk ndumu....Yani hua wanipunga xna bro...
@JulianMakondo
4 ай бұрын
Sema watu wasimchukulie Mungu kikawaida , kusema ukweli Mungu anatisha na mwanadamu akimwona Mungu katika mwili huu wa damu na nyamu huyo mwanadamu hawezi kuishi , maana hata tuwe wasafi vipi Kwa utukufu Mungu alio nao tukimwona Kwa macho tu ya damu na nyama tunakufa
@user-ye1dt2eb8u
4 ай бұрын
Na vile watu tumechanganywa ni hizo ushuhuda za walio enda mbinguni na kuzimu, au Mungu aliwachukua ili waje watufundishe jinsi kuzimu inavyotisha
@georgiakiluvia8029
3 ай бұрын
P
@user-vr6lu8tq1n
4 ай бұрын
Sasa kama wanafunzi wa yesu walikua na wake mbona nyie wengine mnawambia msiowe?
@oscarmario466
4 ай бұрын
Hilo swali huyu halimuhusu anamke na watoto na haamini Hilo la kutokuowa maana kuto kuowa ni Sheria ya warumi
@SaleheRichard
3 күн бұрын
MCHUGAJI SEMA UKWELI KABISA UMESOMA BIBLE KIUKWEL
@EvanceBoy1997
4 ай бұрын
Unaongea unbelievable yule ni tapeli 😅😅😅
@saidiathumani6443
4 ай бұрын
Mafarisayo walishindwa kumwelewa yesu vilevile kwa sababu ya ufahamu tangulizi ndani yao. Muumba ni sauti na anasikika kupitia mmoja aliemchagua, ni vigumu sana kumuelewa muumba kama huna unyenyekevu. Hata hivyo wapo waliokusudiwa ndio wanaoelewa kuwa muumba anafanya kazi na wale wampendao, aliowakusudia hata kabla ya chochote kuumbwa!!
@salymsuleiman2035
4 ай бұрын
Ukristo ni dini ya maokoto
@user-fh1vu5xk3j
4 ай бұрын
Waelewa tunakuelewa
@dominicuskmbele158
4 ай бұрын
Hananja Master....
@frankanyandwilemwakatika1059
4 ай бұрын
Mungu atusaidie kuelewa maandiko na sababu ya kuja Yesu 23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Yohana 4:23 24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yohana 4:24 Tuache kufikiri kimwili Mungu anaongea na watu wake mpaka sasa ukiona haongei na wewe jichunguze mwenendo wako
@francofrederick972
4 ай бұрын
Wanafanya mdahalo😅😅😅😅
@ProspertRubura
4 ай бұрын
Iyo nikweli baba sema kweli
@sirajally8356
4 ай бұрын
ukweli nikwamba una simama naukweli wana haribu baibo nimatapeli sana
@rosejefwa9806
4 ай бұрын
Sasa hao wazee wanakuja kukupakamafu wanakuwa wameyatowa wapii wanakiwanda?
@saidali-xv8yh
4 ай бұрын
Hameni huko dini ya ukristo siya dini wapagani ndiyo wemekuiteni wakristo siyo Mungu wala yesu hakutmwa kwenu bali katumwa kwa wana wa israel.
@Asana-wi7yj
4 ай бұрын
Unahitaji kuelekezwa aliowaijilia hawakumpokea
@warakawayohana2896
4 ай бұрын
😂😂 ndumu haijaisha vizuri
@KassimJabu
4 ай бұрын
Hananja vunambavu
@margarethpolepole7438
4 ай бұрын
Unachosema Hananja kweli kabisa wachungaji wengi ni wasaka tonge la wajinga ndiyo waliwao hasa wanawake wanakombwa haswaaa
@Kamkono
4 ай бұрын
Hananja mwenyewe ameajiriwa na K.K.K.T Hana uwezo wa kumtafuta MUNGU asiye mjua .
Пікірлер: 164