Ameeeeeen.. Mungu kwanza .Asante mchungaji wangu.Bwana Mungu akubariki
@lastsilwimba664
Жыл бұрын
Mtu mzima unashindana na bibilia.. eti unafafanua.. pole Sana....
@sarajoana6383
Жыл бұрын
Amen iyonikweli kabisa Asante kwamafafanizi ya kweli ubarikiwe sana
@amosimbwana6550
4 жыл бұрын
Somo muhimu sana barikiwa paster
@JaphtAndrea
7 ай бұрын
Mungu aku balık kwa ma fundisho mazuri niombe ni simame katika njia ya kristo
@thimaomar8371
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana paster David Mbaga na nakuomba uniombee Mimi na family yangu
@jonasjoe3623
Жыл бұрын
Mungu alipomaliza kufanya kazi alipumzika,alilazimika kupumzika kwasababu hakuwa na kazi nyingine,na hata asingepumzika angebaki kuwa ni muumbaji
@dorcasrhobi8211
Жыл бұрын
Asantee saana pst umefafanua vizuri God blessing you more
@msabimsabi5731
5 жыл бұрын
Mungu azid kukusaidia mchungaji ili ufikishe ujumbe uliotumwa na Mungu kwetu sisi
@gracewilfred7276
2 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa mafundisho mazuri
@glorymarandu5426
4 жыл бұрын
Yani kwa Sasa natamani kubatizwa adventist
@FarajaMtavangu
4 ай бұрын
Batizwa wakati ni Sasa hata mm nilikua najiuliza sana lakin nilipobatizwa nilijikuta nimepata kitu Cha thamani sana ukweli umeniweka huru sana
@SabinaChacha-dy2yg
15 күн бұрын
Chukua hatua Wala usitaxame utaonekana vipi Kwa watu
@YoramSalim
10 ай бұрын
Mchungaji yupo vizuri sana sema aliye andika kichwa cha somo ndo kayakologa ameandika kitu ambacho mchungaji hajasema
@zabrongermanus-co1jj
Жыл бұрын
Amina
@dorcasrhobi8211
Жыл бұрын
Asantee saana kw ufafanuzi ubarikiwe
@ovidiokibuga1086
5 жыл бұрын
Amina,Mungu akubariki sana,nikejifunza mengi kupitia somo hili
@fredmakambo7160
5 жыл бұрын
Vídeo Haijakaa vizuri... Na hili somo ni muhimu mnoo
@TAFAKARITVNewlife
5 жыл бұрын
Ok ngoja niitizame upya
@fredmakambo7160
5 жыл бұрын
@@TAFAKARITVNewlife Amina... Nimeiweka kwenye Account yangu ya Inst. Na fb... Wakaniomba niiweke vizuri... Maana hili somo litawafungua macho watu wengi. Maana wengi sabato wanaitafsiri tofauti... Mimi naitwa Abibu pastor mafundisho ya pastor mbaga yalinitoa kwa wapinga kristo... Hakika MBAGA ni chombo kiteule kabisa cha Mungu
@TAFAKARITVNewlife
5 жыл бұрын
Haya hii hapa kzitem.info/news/bejne/sYeYyH-Zi4x-p44
@georgestanlewa7344
5 жыл бұрын
Mungu aukupe siku nyingi uineze hio neema ya christo.Ni Isaack kutoka msa kenya.
@raymondshio1235
5 жыл бұрын
Amen be blessed pastor David
@miriamshayou8638
2 жыл бұрын
Amina baba kwaujumbe mzuri
@joshuajoseph6824
Жыл бұрын
Understood
@dorcasrhobi8211
Жыл бұрын
Amen
@josephmatinde5051
5 жыл бұрын
Full truth
@carolinefrancis9321
4 жыл бұрын
asant san postar unnanisogez krbu n mungu
@abdonbwiro2574
5 жыл бұрын
Nakpenda pr Mbaga umenifumbua macho
@raphaelmwashibanda638
Жыл бұрын
Baba Mbaga upo vizuri Mungu Akubarki
@damarigongo3067
5 жыл бұрын
Amina baba uiponyaroho yangu kwa somo hili.
@uwayolove
Жыл бұрын
vizuri sana ndugu yangu ,nina swali vikao vya dharura vya baraza aidha vya vitengo je vinaruhusiwa ktk siku hiyo?
@TAFAKARITVNewlife
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qq173pOjkqOenYI
@godlistenmsaki4116
2 ай бұрын
Mchungaji tusaidie. Connection ya siku za uumbaji,na siku hizi tulizonazo na majina yake ili tuweze kufahamu ukweli wa siku zilizopo,,
@lastsilwimba664
Жыл бұрын
Sabato imepewa kwa binadamu. Ukubali au usikubali.. ufundishayo niyako..kama unaweza itowe. Utupe yako..
@estermshomi6139
4 жыл бұрын
Nakuelewa mchungaji
@PatrickMathias-cs9qc
8 ай бұрын
Na hiyo imetabiriwa na maanabii katika kitabu cha ufunuo na yanatimia mbele ya macho yetu
@amozmwaz1494
2 жыл бұрын
Ni ukweli
@raymondshio1235
5 жыл бұрын
Wala sio kuondoa SABATO
@samwelandrew5208
5 жыл бұрын
Ujumbe wako huwa unanikuna sana maana umejengwa juu ya msingi wa imani ambayo ni Biblia (1Kir 3:11)
@notbulgajohn4082
4 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu aliye hai.
@zenxhendaniel
Жыл бұрын
amina
@jacksonsaliji3753
5 жыл бұрын
Mtu mzima unalala bar na degree zako 🤣🤣
@PatrickMathias-cs9qc
8 ай бұрын
Yesu akuja kuivunja torati ila alikuja kuikamirisha ndio maana yeye ni bwana wa sabato maanake tunapaswa kuitumia siku ya sabato kumtafuta Yesu ili atuponye na kutusameha dhambi hivyo sabato ni moja kati ya amri za Mungu unapoipuuza maanake umevunja sheria Mungu na haiwezi kubadilika kwa kuwa Mungu hawezi kupingana na neno lake na hata baada ya kristo kufufuka mitume waliabudu na wakatoa mapepo siku ya sabato
@TAFAKARITVNewlife
7 ай бұрын
Nini maana ya kuitimiza au kuikamilisha torati? Na kwanini torati ilitakiwa ikamilishwe? Kwani kuna chochote kilipungua ktk torati? Na kwanini torati ilishindwa kumkamilisha mtu kuwa mwadilifu mbele za BWANA?
@PatrickMathias-cs9qc
7 ай бұрын
@@TAFAKARITVNewlifeni katika kuzishika Amri za Mungu aliposema kuwa akuja kuivunja alimaanisha ya kwamba Amri za Mungu hazitoweza kubadilika kamwe lakini Yesu alikuja kuikamilisha kivipi ni kuondoa mafundisho ya uwongo yaliyopandwa kwenye mioyo ya watu na kutoa tafsiri halisi katka Amri za Mungu kwa mfano siku ya sabato sio siku ya mateso kama vile walivyofanya mafarisayo bali ni siku ya kumuabudu Bwana Mungu na kuiomba rehema yake ya dhati ikiwemo kuwaponya wagonjwa na kuwatakasa walio fungwa na mapepo Lakini Yesu Hakuja kuibadilisha Amri ya Mungu kama wanadamu wanavyofanya siku hizi wala hakuja kuikataa sabato bali kuwaeleza sabato ni siku ya kuitakasa na kumuabudu yeye kwakuwa yeye ndiye Bwana wa sabato kama alivyonena kwa kinywa chake soma kutoka20:1-17
@PatrickMathias-cs9qc
7 ай бұрын
@@TAFAKARITVNewlife na cjakupinga hakika umeubiri vizuri
@TAFAKARITVNewlife
7 ай бұрын
Maandiko yanasema Sisi tulikufa katika mwili wa Yesu msalabani kwakuwa hatuku yatimiza matakwa ya sheria. Ili Yesu akisha fufuka kutoka wafu nasi pia tukafufuka pamoja naye kwa uwezo wa Roho mtakatifu, ili tukiwa hai katika mwili tuongozwe kwa kumfuata Roho na si Sheria kwani tulishakufa ktk mwili wa Kristo kwa sbb ya sheria.
@PatrickMathias-cs9qc
7 ай бұрын
@@TAFAKARITVNewlife kwaio unamaan ya kuwa si lazima kuishika sabato?
@maheligati2936
4 жыл бұрын
Njoo ubatizwe rango liko wazi
@MosesTindi
Жыл бұрын
Wacha kudanganya watu
@TAFAKARITVNewlife
Жыл бұрын
Unama maana gani ndg
@raymondshio1235
5 жыл бұрын
Umesema vema mchungaji YESU alikuja kuzifafanua sheria #kila kilima kitashushwa na palipo paluza patakuwa pamenyoka#"
@caleboloo489
4 жыл бұрын
Kichwa cha hili somo sikubaliani nalo. Sabato ni siku (kutoka 20:10) naye Yesu ndiye Bwana wa hii siku (Marko 2:27). Kuishika Sabato ni njia moja ya kuonyesha upendo kwa Mungu (Yohana 14:15) Najua sio huyu mchungaji anayehubiri aliiweka hii video hapa. Hangeiandika hivyo
@koyassa4509
4 жыл бұрын
Caleb Oloo watoto wa mama mdogo kwa kuchunguza bwana!!!!😂😏
@ItaelZablon-ld4rl
Жыл бұрын
Mi siyo msabato ila nimemwelewa sana,ila wasabato wenzake wamekunja nyuso anahubiri neno la kweli anawafundisha wasabato wajui maana ya sabato
Пікірлер: 74