Ahsante Mch.Mgogo ushuda wako umenijenga Mungu akubariki.
@salimalimasi1326
4 жыл бұрын
Napenda sana iyi interview nimependa ujumbe uliomo , na dada ulio apo Mungu akubariki vile unavyo jistiri . Umevaa vizuri sana , unadamsh comfortably and elegant . Ukweli umesemwa , unaushuhuda mzuri Pastor wetu . Utafika mbali sana
@hawamusumba431
4 жыл бұрын
He is nt jst a pastor but a role model to the society
@kagoramogi
3 жыл бұрын
I wish we don't have music on the background to distruct the attention of listening this good message
@phoebemmanga299
4 жыл бұрын
Ubarikiwe Mch. Daniel Mgogo. Unatuponya roho zetu. Ameeen.
@blandinamnyinga8318
4 жыл бұрын
Hawa ndio wale tunaowaita WALIMU tena WALIMU wazuri katika huduma za KIMUNGU.
@elizabethkaroli3799
4 жыл бұрын
Ukisikiliza kwa makini kuna sehem utalia kuna sehem utacheka kuna sehem utajifunza nk barikiwa sana mchungaji
@esperanceruziga1990
4 жыл бұрын
Iyo ni kweli kabisa
@mtupiruu3252
4 жыл бұрын
Amen
@emmanuelgabagendi3169
4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu sana mchungaji
@paulina.baynit7970
4 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana. Nakupenda maana una gusa maisha ya watu. Nimenufaishwa na Kubarikiwa sana na mahojiano haya. Mbarikiwe mno.
@angelangare863
4 жыл бұрын
God Bless you man of God watching all the way from Kenya mombasa
@carolinetalam5832
4 жыл бұрын
My favorite pastor be blessed 🇰🇪
@brightonjohn4393
4 жыл бұрын
Namkubali sanaa huyu Baba Mchungaji
@rosemarynyabenda3131
4 жыл бұрын
Kazana Kuhubili Muchungaji MUNGU AKUBARIKI WEWE NIMUVUNAJI KATIKASHAMBA LABWANA YESU KIRISITO HUWATUNABARIKIWASANA
@aludomakori4230
4 жыл бұрын
Dada mtangazaji nimekupenda uko smart,vaa yako Hadi ongea yako
@rajabumalupu4184
4 жыл бұрын
Tatizo makuchaaa hyoo
@mecktildatushabe7898
4 жыл бұрын
Kweli kajitahid
@michaeldjunior1023
4 жыл бұрын
Kama hana pete vile, ngoja tuombe posa
@abdullatifnakikolo7433
4 жыл бұрын
Kweli aiseee.. mtangazaji yuko njema sanaaaa.. big up kwake.
@nelsonsaimon5646
4 жыл бұрын
Pastor Mgogo kazi yako n kubwa sana katika kutusaidia sisi vjana na jamii kiujumla mungu akutunze na kkutetea katka huduma yako
@AppolineAtandjo
8 ай бұрын
Baba yangu tunawapenda sana kwakazi Mugu ametiya ndaniyenu,mubarikiwe sana tena sana❤❤❤
@victoriamallago8307
5 ай бұрын
Mchungaji, uko vizuri sana. Endelea kutusaidia. Hiyo si hekima ya kawaida, mh! Umenibariki; umenipa majibu ya maswali yaliyonitatiza. Umebarikiwa.
@rehemankungu3511
4 жыл бұрын
Napenda sana mafundisho ya mch,na hasa hongera kwa aliendaa haya mahojiano,ila kimeniudhi huo mziki ni wanini hasa
@wakyomusongo7245
4 жыл бұрын
Hata mm mziki hapana
@shangwekamando2599
4 жыл бұрын
Pole kaka
@shangwekamando2599
4 жыл бұрын
Pole kaka
@patrickigiraneza6591
4 жыл бұрын
Asante Mchungaji kutuelezea historia au njia yako tangu ulipoanzia kumtumikia Mola.
@blasioshitsirishibachi9739
2 жыл бұрын
Huduma yako ni first class. Naomba ifanye na masters kabisa katika kazi ya uinjilist. Nakuoembea sana Mungu aendelee kukuinua
@stevenlayda7847
4 жыл бұрын
Powerfully testimony 🙏🏻Barikiwa sana mtumishi
@beverlymutinya510
4 жыл бұрын
God does not call the qualified,He qualifies those that He has called.He doesn't call the prepared,He prepares those that He has called.Long life Pastor Mugogo.
@ezekielmwasamboma9953
4 жыл бұрын
Very true
@jafariabwe3434
2 жыл бұрын
@@ezekielmwasamboma9953 hello
@barikielisaktay7404
4 жыл бұрын
Be blessed pastor you're so unique
@michaeldamas9611
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, kweli utumishi upo ndani yako.
@elizabethchristopherkilumb4729
4 жыл бұрын
Hakika dharau siyo nzuri . Mungu nisaidie nisiwe na dharau ndani yangu , nimpende kila binadamu .
@nyandajppeter4493
4 жыл бұрын
Mgogo umefika mbali
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Amen❤❤
@samsonkabakasamsonkabaka7773
4 жыл бұрын
Walitazama kimwili kumbe rohoni uku vizuri hongera sana
@arielngabo9016
4 жыл бұрын
This testimony is so powerful and helpful. But the music is not necessary. Please leave the testimony be clear and neat.
@nemaodhiambo7274
4 жыл бұрын
Thanks you
@arielngabo9016
4 жыл бұрын
You welcome my sister.
@irenemacha7457
4 жыл бұрын
acha mwanadam akushushe chin ili mungu akuinue
@adrophwilliam3225
4 жыл бұрын
Ni Mungu sio mungu
@manasejames8404
4 жыл бұрын
Napenda jinsi MUNGU anavyo mtumia kutangaza habari njema ya yesu Mungu akubariki
@philipowilliamu7974
4 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor.
@nicholaskhainza4802
4 жыл бұрын
Tunashukuru Mungu kwa kukuinua kutoka kwenye vianzo vidogo hadi uliko leo hii.Mungu azidi kukutumia kutukosoa,kutujuza na kutukomboa.Mungu akubariki 🙏
@paschalzacharia6708
4 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu,unaneno la Mungu ndan yako
@user-vg6me9vk7y
11 ай бұрын
Amen 🙏 baba nimesikia kubarikiwa sana ata Mimi MUNGU atanisaidia nijue kuongea kingereza vizuri nisawala la muda tu
@meksonyjoseph8909
4 жыл бұрын
Huyo ndo mchungaji wa kweli ana fundisha maisha halisi ya binadam na tabia zake .najinsi ya kumshilikisha mungu kurpuka mabaya
@bibianajangandu1727
2 жыл бұрын
Hongera mch mgogo bxarikiwa sana
@cyrusmecha664
4 жыл бұрын
Asante Sana Mch D mogogo unajenga mioyo ya wengi Sana endelea barikiwa na Elohim
@doreenchuwa3630
4 жыл бұрын
Nafurahi sana nikimsikiliza Pastor yaani napata raha tu nina Enjoy.... nakuwa tu naraha Asante Nice interview
@raka19853
4 жыл бұрын
Hapo umenena mchungaji, great testimony
@shadrackmajikwa4770
4 жыл бұрын
Ongera. Sana. Baba. Mchungaji
@dorcasshoo2405
4 жыл бұрын
That's mgogo much love to you championship
@bernardwald8745
4 жыл бұрын
Hongera sana mwamgogo ulongite lukani!
@evawayesu7848
4 жыл бұрын
Amen amen God bless u Pastor l like this papa so much thanks
@ezekielmwasamboma9953
4 жыл бұрын
Mungu akutunze Kaka yangu mpendwa, huduma yako ni njema sana! Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi na zaidi! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
@happinessndunguru5155
4 жыл бұрын
Mungu anamtumia mtumishi wake barikiwa mnooo
@selfaakinyi512
4 жыл бұрын
Neema yaa mungu izidi kuwa juu yako mchungaji napenda nondo zako zinaniponya mno.from Qatar amen
@luciuskomba8824
4 жыл бұрын
Samaki haloi 😀😀😀 ubarikiwe sana mchungaji 🙏🙏
@samsonkabakasamsonkabaka7773
4 жыл бұрын
Baba uko vizuri sana kweli mchungaji ana siri kubwa Sana
@goroliainekisha583
4 жыл бұрын
Hakika wewe ni mchungaji mwema,mungu anakutumia
@queenessiekenya6869
4 жыл бұрын
A very big testimony 🙏🙏🙏napenda mahubiri yako from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@yhudahtallam4398
4 жыл бұрын
Kweri
@mtupiruu3252
4 жыл бұрын
Anatumiwa sana na Mungu
@lauratuya
4 жыл бұрын
Pastor be blessed 🙏🙏
@enestaasanga2715
4 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na kipindi hiki barikiwa mtumishi unaeleza vizur sana
@samwelsamwel2692
4 жыл бұрын
Hivi unaimba gospel? ??
@enestaasanga2715
4 жыл бұрын
@@samwelsamwel2692 hapana siimbi ndugu yangu
@gwakisanoah2538
4 жыл бұрын
Haleluya watu wa Mungu. Ahsante kwa ujumbe pia kwa safari ya wokovu mchungaji. Nimesikiliza vizuri,,,, Yako mambo mawili nataka kuongezea hasa kwa habari ya dhambi ya uzinzi. 1. Ni kweli kabisa wengi walijua na wanajua dhambi zote ni sawa ila dhambi ya UZINZI ni kinara cha dhambi zote... Yusufu anasikika akisema nimtendeje Mungu dhambi kubwa kama hii mbele ya mke wa Potifa anakimbia pia dhambi zote ni nje ya mwili wa mwanadamu isipokua dhambi ya UZINZI. "ikimbieni zinaa" mpaka mtu ashiriki dhambi ya UZINZI huyu alikusudia kuitenda kwa gharama yoyote. Kwa swala la kutengwa halafu baadae arudi kundini hiyo si sawa,,,, lugha nyepesi hatakiwi kurudi tena kundini ndio maana siku hizi kuna mizaha sana makanisani maana wanajua watarudishwa tena. Wakirudu bado wanarudi na tabia zile zile za kale. MTU akibainika amezini asitengwe tu bali AFUKUZWE kabisa. 2. Nimezini nakufuata ofisini kwako ili wengine wasijue na unikingie kifua kwa sababu ya wadhifa nilionao yaani tajiri, msomi, mwimbakwaya, kiongozi wa ibada, sorolist maarufu, mtoaji sana, maskini nk... Dhambi ni dhambi tutafanikiwa kuficha mimi na wewe lakini KAMWE hatafichwa Mungu, maadamu mtu amekiri kuzini iwe ni kwa mchungaji au kiongozi mwingine huyo AFUKUZWE kwa staili yoyote ile... Kizazi cha leo utatenga wangapi na utarudisha wangapi ona watu wanavyovaa makanisani, wanavyosuka, wanavyonyoa, hakuna tofauti na wahuni wengine walioko mtaani tofauti ni Bwana asifiwe tu. Kanisa SIO sehemu ya kufanyia mizaha. Kanisa ni sehemu serious kwa watu serious. Mwishoni, Injili kabisa kabisa haikumwacha mwenye dhambi anacheka ilimpa afanye maamuzi mawili tu yaani KUMWUA aliyehubiri ama KUTUBU dhambi na kuanza maisha mapya... Njia ni Ile Ile bado haijabadirika. MATENDO 2:37, 5:33-42, 7:51-60. Amen
@wardawarda3427
4 жыл бұрын
kabisa halafu eti utakuta anazaa mtoto wa kwanza anarudi kundini anabeba zaidai ya mimba tatu zote zinaa zote anarudi kundini Mungu anajua ila zinaa skuizi yani wameifanya kawaida kule kwa nabii Mkuu wanaenda waombewe ili wazae wakati hawapo kwenye ndoa dada yetu Wema analia apate mtoto lakini hajaolewa. onaona sasa mtihani huo leo kijana anakutongoza siku moja hiyo anataka uzini nae subhanaallah.
@joynkungu7630
4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa mtumishi,Dhambi ya uzinzi tumeona makanisani km kitu cha kawaida tu,na wakati ndo dhambi inayo beba mambo mabaya mengi cn, na km hilo la dharau,na mizahaa,ndo limekuwa nguzo kuu ndani ya makanisa.
@joynkungu7630
4 жыл бұрын
Mungu atufanye tupone
@dafrozasangi3038
3 жыл бұрын
Mchungaji nimekuelewa ubalikiwe sana
@leahmwasaru3500
10 ай бұрын
I love your preaching
@imrantheophile7523
4 жыл бұрын
Listening from Kuwait,, You are real man of God.. You talk facts and you believe that we are human
@albeleenalberto158
4 жыл бұрын
Palitokea mtu,palitokea mtu.......😂😂😂
@edwardkasubi1332
4 жыл бұрын
Hukufeli darasa la saba bhaaaana isipokuwa shule zilikuwa chache wakati ule
@prosoerngelangela8046
4 жыл бұрын
Watanzania tumekuelewa sana Mchungaji na ludia tumekuelewa hatakama wengine hawajasema ila wamekuelewa kimoyomoyo
@marychao3039
4 жыл бұрын
Napenda Huyu pastor sana. Mahubiri yake naipenda sana na yananitia moyo nikiwa German.
@estherongere2765
4 жыл бұрын
Amen sana mtumishi unanibariki sana kutoka Kenya
@jafariabwe3434
2 жыл бұрын
Verry nice God bless
@dannabiswa1340
3 жыл бұрын
umeniponya moyo wangu mchungaji,hongere kwa kazi nzuri
@abbybixa6972
4 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@paulomwalimu6731
3 жыл бұрын
Ongera sanaa mchngji mungu amekuinua kwa viwango vya juu na vya ajabu sanaa
@adelinaadoloph5311
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mch.Huduma yako ni nzr napenda kuskiliza mahubiri yako
@t7zkc5tpxgim28
4 жыл бұрын
AMEN, Mungu akubariki sana pastor haki huwa wanibariki zaidi
@josephinejacob5550
4 жыл бұрын
Mchungaji mchekeshaji.uko vizuri.
@fredrickodongo8570
4 жыл бұрын
I love listening to him!!! .He touches our hearts.
@ananiamkasu8847
4 жыл бұрын
Watumishi kama wewe ndio nguzo ya taifa,kwani biblia inasema akiwepo mcha Mungu moja wa kweli ktk taifa Mungu hulinda taifa hilo!!
@esperanceruziga1990
4 жыл бұрын
Pastor napenda Sana injili yako. Natamani sana nikitumiwa maubiri yako yawe full Mzee
@gressmaganga3551
4 жыл бұрын
God bless u pastor Daniel
@bwirechrispus3092
2 жыл бұрын
I listen to this pastor's teachings all the time Busia Uganda well represented
@mwajejasson6995
4 жыл бұрын
Mchungaji mgogo unatakiwa uwe mbunge Wa chama chochote maana mungu anakusimamia
@abdullatifnakikolo7433
4 жыл бұрын
Kipindi kizuri sanaaa.. hongera mchungaji na pia mtangazaji mmefanya vema sanaa. Mbarikiwe.
@k.kswitzerland4168
4 жыл бұрын
This guy is really..plz the music is too ......
@fei3668
4 жыл бұрын
my favourate pastor
@barakamwema6980
4 жыл бұрын
Nataka namba ya huyu mtumishi wa mungu mgogo
@user-mb7pl8ok9r
Жыл бұрын
Ulinitowa mbali sana mchungaji wangu
@franciswasajja6831
4 жыл бұрын
Am following you from Uganda
@medardpeter8372
3 жыл бұрын
Ahsante Sana pastor Mgogo ubarikiwe sana
@happybruno1764
4 жыл бұрын
Ni nakukubali san nayakumbuka mahubili yako yalisababisha baba na mama waokoke iringa makambako myaka ya tisini huko mwaka wa kwanza somo ni pombe ni kikopo mwaka wa pili wachungaji munapenda mikate makanisani, mwaka wa tatu ulisema mm ni nessi katumwa na dackital mungu agawe doz mbili mala tatu myaka hiyo
@isaacjackson7667
2 жыл бұрын
Lkn nimefurai Sana sema hapo t kwany kupenda Arsenal mmmh jamn tunakupenda lkn hii timu dah
@monaishm9445
2 жыл бұрын
Najisikia haman nikimsikiliza mtumishi wa Mungu
@ceverinlyimo8291
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji..
@rogersmaokola3147
3 жыл бұрын
Hahahaaa barikiwa baba umenichekesha ama kweli
@devothabishagazi2390
4 жыл бұрын
Pastor nakupenda mno Mungu azidi kuinua huduma yako
@aludomakori4230
4 жыл бұрын
Umejitahidi kujibu vzr
@ameniameni617
4 жыл бұрын
Pamoja Sana mchungaji mgogo nakukubali sana
@douglaswawire174
4 жыл бұрын
Thanks pastor,
@mugemadesire8286
3 жыл бұрын
Mchungaji injiliyako inahekima, mungu azidi kufungua mlango injili itangazwe
@johnhaule1750
2 жыл бұрын
Mgogo,pasta,ukovizuli🙏🙏🙏
@albertludago7374
4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na huduma yako pastor wangu
@hanningtonolang8693
3 жыл бұрын
My role model
@msafirimhehe
4 жыл бұрын
Wow! Amina.. Umezungumza ukweli kabisa wa Utumishi. Barikiwa..
Пікірлер: 250