Masha Allah jazaakallahu khayr masheikh we Allah awalipe dunia na kesho peponi
@johnnydepp3218
5 жыл бұрын
Alhamdulillah kuwa muislam!
@hasahm1995
5 жыл бұрын
Mungu awazidishie Afya masheikh wetu, awalinde na chuki na awajalie pepo.... Hoja iko wazi, wanaotaka mwongozo Allah awaongoze
@rehemaahamadiahmadi566
5 жыл бұрын
Kabisa
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
ماشاء الله Allah awazidishie ilimu maustadh wetu kwa juhudi zenu
@oopsm3574
5 жыл бұрын
Amin....
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@oopsm3574 Allahumma amin upo?
@oopsm3574
5 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 : nimejaa kama juice ya miwa.
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@oopsm3574 Yasalam hongereee
@abasibakali657
3 жыл бұрын
...
@sulimankarusi8345
3 жыл бұрын
Asalam elkum Mashallah mola awazidishiye
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
Nazidi kuwaombea dua hikazi yataka ustahamilivu Allah awazidishie subra maustadh wetu
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Allahuma Amin
@halifaabdi1408
4 жыл бұрын
MashaAllah...kazi nzuri Allah awazidishie na kuwapa nguvu inshaAllah
@haleemasulthan4894
4 жыл бұрын
mashaalllah shehe wetu allah akulipe .. malipoyako ya hak
@abdulmajid6033
5 жыл бұрын
MashAllah Allah awazidishie elimu,karibuni bamburi stage ya paka muwape watu dawaah waongoke tafadhal
@ayunramadhan3104
5 жыл бұрын
Maashaallah Maashaallah mashehzangu from dubai
@ayunramadhan3104
5 жыл бұрын
Yesu ni mwana wa Adam c mwana wa mungu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👍👍👍👍👍👍👍❤❤❤
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Ayun Ramadhan maneno kama haya yanatokana na mtu amepata wapi habari na je yeye anawezaje kupokea na kuelewa,maana asiemjua mwana wa Mungu hakumjua Mungu, imeandikwa
@myoutubecom-gg7sb
5 жыл бұрын
Masha Allah
@sh.issagisesa6271
3 жыл бұрын
Math 26:63 Yesu ameabisha afahamishe ikiwa ni mwana w Mungu akajibu mwana Adam
@abdilatifhashi9659
5 жыл бұрын
sheikh Yahya mbona video fupi na ni muhadhara tamu sana
@khatibhijja3958
5 жыл бұрын
Asanteni masheikh
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
karibu
@kambiayoubu4923
4 жыл бұрын
Wana soka
@boontujimmaa9462
3 жыл бұрын
Roho mtakatifu ni malaikatul jibril
@rashidbusanya7166
5 жыл бұрын
Shekh nimekukubali kwanza unajua lugha vizur hilo andiko nilijua litakutoa jasho umejibu vizur ata mimi nimeshangilia kwa nguvu
@captainaser8085
5 жыл бұрын
Mansha Allah sheikh
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
Mashallah
@hashimjombaa6129
5 жыл бұрын
Mashekhe twawaombea mungu awalipe mema mbere ya haki
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Allahuma Amin
@yasirinkupa9886
5 жыл бұрын
video ni fupi sana . Tafadhali ongezeni zingine
@mwanahamisially5234
5 жыл бұрын
Mtihan!!!
@jamilaomari2444
5 жыл бұрын
Safi!
@sadiaabed6687
5 жыл бұрын
Shekhe hebu tuelezee kuhusu ndowa unapofunga kuna kiyapo kwa waislamu ipo ama hakuna maana mm nimemsikia askofu mmoja tanzania akisema katika ndoa hakuna kiyapo kilichotoka kwa mungu nikiyapo kila kanisa ina kiyapo chakuapisha wanandowa tafauti tafauti hebu hii mada pia iwekeni ili tujuwe kama kunakiyapo cha kutuka kwa mungu ama chakutungwa kwakila kanisa lake ama msikiti
@allyhamisi4709
5 жыл бұрын
Vizur
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
Inalilay wainailay Rajiuun
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mfano kutoka kichwani
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
JAMBO USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA , MWANDISHI WA KICHWA CHA HABARI HII HUJUI KITU, HAKUNA MTU KATOLIKI AITWAE MCHUNGAJI SO HABARI YOTE INASHAKA
@machanomachano2047
4 жыл бұрын
Huyu ninani?
@alraident8068
4 жыл бұрын
@Frank John Unadai Habari ina shaka inmaana kitabu chako kina shaks
@sh.issagisesa6271
3 жыл бұрын
soma ukweli kutoka Math 26:63-64
@mwanahamisially5234
5 жыл бұрын
Kaz ipo
@khatibhijja3958
5 жыл бұрын
Sheikh Yahya mnawek vpande vifupi
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Tutaweka muendeleo
@oopsm3574
5 жыл бұрын
Hiyo mwana wa Mungu maana yake Metaphoric son.
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Oops! M walisema zamani na imeandikwa huyu ni mwana wa selenala awezaje kusema ni mwana wa Mungu,wakajiongeza kusema sisi hatukuzaliwa kwa zinaa ss ni wana wa Ibrahim ,lkn MWANA WA MUNGU akawajibu mngekuwa watoto wa MUNGU mngenipenda lkn ninyi ni wa babayenu ibilisi nakazi zake ndizo mnazozitenda.......
@ibrahimabdi2368
5 жыл бұрын
Allah awalipe kwa kazi minaoifanya
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Allahuma Amin
@steventitus2174
5 жыл бұрын
Kwenden wasenge nyinyi Kwanza katolk hatuna mchungaj ss wanafk wakubwa nyny
@azizinguzo9717
5 жыл бұрын
Matusi kua muislamu dini ambayo haipangiwi namtu kamaukriiiiiisto.
@sakinamubaraka1246
5 жыл бұрын
Ww hunaakili ungekuwa naakili usinge toa matusi kama yamekuchoma ugulia maumivu
@maulidibnjuma9575
5 жыл бұрын
umepanic brother
@rashidbusanya7166
5 жыл бұрын
mmmh kijana kaumia sana ila nisawa kwamaana ukweli siku zote unauma we kua tu muislaam utasalimika
@abdulazizi6606
5 жыл бұрын
mbona povu kaka ujatumwa kua Mkristo
@ismailyusuph740
5 жыл бұрын
Yesu alisema’ NIKIJISHUHUDIA MWENYEWE BASI USHUHUDAI WANGU HUWA NI KWELI....! Yesu Kwenye maandiko yake yote ALIJISHUHUDIA yeye ni mwana wa Adam na Sheikh alikwambia yapo maandiko mengine ndani ya biblia yanayosema hata Israel’ Ibrahim ‘Ephraem ni watoto wake pia’ Na pia watakaoamini maneno ya MUNGU nao pia ni wanae ‘ mbona wakristo maandiko ya Kweli mnayapa kisogo ‘ mnamchagua Yesu tu kuwa kiroja cha uana wa MUNGU wa kufikirika’ wakati hayuko peke yake’ ...! Halafu kuna hoja nyingine hapo ‘ wale mnaomuita Yesu MUNGU mtambue kuanzia leo’ mbingu zilifunguka na akamuona Mwana wa Adam(Yesu) ameketi mkono wa kuume wa MUNGU....!....kwa hivyo mjue kuna Yesu na Kuna MUNGU....Hayo mafundisho yenu ya Kipagani kutoka Rumi muachane nayo’ mtaenda kuwa Chips....! Na mkristo ukipinga maandiko ‘ pingana na Biblia Sio kufikiria mashindano...! Shukran Masheikh wetu’ tuendelee kulitangaza neno la LAA ILLAHA ILLA ALLAH...!
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Ismail Yusuph kweli YESU anejishuhudia maranyingi kuwa yeye ni mwana wa Mungu, akamwita Mungu baba, akasema tena baba ampenda mwana na akampa kuhujumu, akasema tena amwaminie mwana wa Mungu tuna uzima, na imeandikwa Mungu kamttoa mwanawe pekee , na hata leo hakuna mtu awezaye kuthubutu kumuita Mungu baba bila kumkiri YESU Kristo hii ndio tofauti kati ya wapagani na wana wa MUNGU
@wapoteenmedia4862
5 жыл бұрын
Hawa waisilamu usipokuwa makini nao wanaweza kukutoa katika mstari......
@sadamdamxa3309
5 жыл бұрын
Kivipi jackson
@abdulazizi6606
5 жыл бұрын
kama dini yako ya ukweli auwezi kutoka ila kama c ya kweli utatoka kwasababu asilimia kubwa wanatumia kitabu chenu bibilia kwaiyo kua makini kusikiliza pande zote mbili
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
wapoteen click wanamashaka na imani yao ndimana wanahangaika sana kutafiti imani itokayo kwa alie hai
@alraident8068
4 жыл бұрын
@@frankjohn8570 Nadhani nyinyi wakristo ndio wenye mashaka. Kwa maana kitabu kisomwacho hapo ni bibilia kwa maana nyingine bibilia iko na mashaka
Пікірлер: 69