Mo Matola hafai kuhamia simba marafiki sana pia anakuwa na makundi
@judithmsumba9808
Ай бұрын
Amen, Mchungaji Mungu azidi kuwapa baraka zake na NEEMA na Wengine wanakuwa mawakala wa Uchawi kutoka nje,zidi na pambana kuwaombea hizo roho za kichawi zipate kushindwa katika jina lake yeye mwamba wa miamba yaani Mungu baba mwenyezi, Amen.
@user-yz6ds9hn9l
Ай бұрын
Mimi naungana na wewe Stefano mange hawa viongozi simba wanamtia hasara MO ktk makocha wanapofukuzwa, matola matola ndiye anafamya mazingara makocha wasifanye vizuri, wakati yeye hana lolote, nyie wazee mlio kuja simba mtaoneka mnafeli kwa matola mzee Rage,magoli amkeni matola sio
@OmbeniMkumbwa-yg1vg
Ай бұрын
Namimi naungamkono mchungaji🎉❤
@aminaomary5567
Ай бұрын
Hapo umesema mchungaji. Kweli uchawi upo sana. Yaan sisi simba tulikuwa tunarogwa sana.❤❤❤ 👍👍👍🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SurprisedFullMoon-gg9vu
Ай бұрын
Nakukubali saaaana mchungajiii
@aminaomary5567
Ай бұрын
Majina hayo anayaweza sana kutaja Ahmadi Ali❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@marthamsacky6973
Ай бұрын
Amina, Na ikawe hivyo kwa uwezo wa Mungu kinywa chema kinaumba Mungu atatenda
@jumamwita8180
Ай бұрын
Kuna uwezekano ht mo dewji alilogwa aikimbie tim
@salimmalaka256
Ай бұрын
HATA BABRA NA YULE LETE MZUNGU UONDOKAJI WAO NI WA KIROGO KIROGO TU MATOPOLO MACHOGO FC MAHASIMU WA NA MAADUWI WA JADI NA SIO WATANI WA JADI MATOPOLO MACHOGO FC NI FITINA MAJUNGU NA WATOWA RUSHWA WANATUROGA MPAKA TUKICHEZA NA TIMU NYINGINE ASHURA CHEUPE ALIKUWA AKITANGULIA MIKOWANI MECHI ZOTE KWENDA KUTUVURUGIA TUSHINDWE SHENZISTAN KABISA
@dottobartazarymdororo
20 күн бұрын
sawa mkuu
@kabazitv4293
Ай бұрын
Yanga ndo wanaturogea timu pale mo arena
@AlphonceNganzi
Ай бұрын
Simba ya mwaka huu kweli ni balsa:
@malkavoice2570
Ай бұрын
Umenooga sana umekuja kupotea hapo kwa Mama yenu aisee. Huyo mama mchukue tu sisi hatumtaki
@HalimaMaulidi-sv7le
Ай бұрын
Ni kweli timu inarogwa xana wala co uwongo mchezaj kwao unafanya vizur akija tu bongo anafeli tunajiuliza "WHY,"
@justinazakayo6152
Ай бұрын
Sawa mtumishi
@JoseHaule-tx7lu
Ай бұрын
Kweli kabisa mchungaji
@jawahiriaelmy
Ай бұрын
Kweli wachezaji wana logana sana omba baba
@kasongoIDDi-mx7gz
Ай бұрын
Wewe uko sawa
@Stephano722
Ай бұрын
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba tukimtoa selemani matola hapo alipo ndiomchawi wa simba
@sittamwigulu8395
Ай бұрын
Ujinga mtupu huo
@hamisimsosi6237
Ай бұрын
Usajili tunamaliza na mpanzu yaani Simba hii moo hatumdai kitu Chochote hata tukishuka daraja Mimi safali hii nasubili bweha yoyote atakaesema moo hatowi hela kunawajinga baada ya vyuma vinashuka wameanza ngwiii moo atapata hasara kwani hela za babaako pumbavu mkubwa weeee😱😱😱😱😱😱😱😱😱
@JoseHaule-tx7lu
Ай бұрын
Unaongea fact sana
@chiefmajai9345
Ай бұрын
Imani potafu nilitegemea uatakuwa na mwanga
@AlphonceNganzi
Ай бұрын
Tukifungwa tukimbilie wapi mchungaji
@AzizMangara
Ай бұрын
KISOMWE KISOMO KWA VIONGOZI NA WACHEZAJI. ILI MWENYE KULITAFURA MWENYE KULIPATA.
@levocatuspjohn8638
Ай бұрын
Amen Amen ila mchungaji mbn unatoa siri ya kambi 😂😂😂
@williamissaya8091
29 күн бұрын
Ulijuaje mwamba!?duuuu! Haya yapo kitambo tuu!
@HalimaMaulidi-sv7le
Ай бұрын
Ushirikina upo bhana usikatae au kwa sababu halijakukuta?
@user-xs3ko8pg2g
Ай бұрын
Mchungaji na mpira wapi na wapi, au mchungaji wa ccm!
@charleskuyeko1660
Ай бұрын
Mchungaji mbali na wachezaji wao kwa wao kurogana, utopolo wamekuwa wakiturogea wachezaji na kuifunga timu nzima wawe Wazito. Kwahiyo kila utakapokuwa unawaombea kama timu wafunike kwa DAMU ya YESU. Fukuza majini na mapepo yote kutoka yanga. Ila Simba angalieni huyu Mchungaji anatia mashaka kama ni Simba kweli au ametumwa kwa kazi maalumu. Mbona alikuwa haonekani huko nyuma?
@thomaskitemi3283
Ай бұрын
Na kweli pale viungo Kati Kati bado misimari ipo
@stellamboya8673
Ай бұрын
Siku zote viongozi wa simba hawawezi kushindana kwenye usajili yaani wanamtaka timu kubwa lazima washindwe hata huyo mpanzi msiweke matumaina ninachowapongeza wamekubali kuachana na wachezaji wasumbufu usajili tunaimani ni mzuri na age nzuri wamepungua wanaokata mpunzi haraka
@georgesteven5185
Ай бұрын
Acha ujingaaa ww
@user-yz6ds9hn9l
Ай бұрын
Kama msaidizi mgunda yuko wapi, jamani jamani nawahurumia hao makocha na matola sio kwani jakuna kwakwenda wewe Rage na wenzako mimi mtanikuta paleee kwa huyo matola hakuna mpya mtayakanyaga mavi muda sio mlefu,
@kishimbaboy5403
Ай бұрын
panzu icjekuwa kma ya manzok tu,kilack deal done,mpaka avae jez ya cmba
@ezzepuritykamwene2121
Ай бұрын
Bado mbinu moja ya kununua marefa km yanga
@fmleli.tz2004
Ай бұрын
Huyu anavunja morali je anaweza mtaja anaye roga Asipewe na fasi afukuzwe simba
@user-gr9wc7bc2m
Ай бұрын
Hafukuzwi shahidi ni mayele
@user-nc1me5vv5f
Ай бұрын
Wacha ujinga katafute pakufanyia utapeli
@user-gr9wc7bc2m
Ай бұрын
Hamna utapeli tumeshawagundua tutajaa wachungaji wote mashabiki wa simba pamoja na mashekhe wote maxhabiki wa simba njooni vijana wakirudi
@JoseHaule-tx7lu
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@yusufulimo5737
Ай бұрын
Uyu jamaa anafana na magori wana undugu Nini.?
@2641956
Ай бұрын
Mchungaji mbona unaturudisha nyuma wanasimba. Unazungumzia ushirikina badala ya kuzungumzia Sayansi na kumuomba mungu. Ktk Karne ya 21 bado tunaadvocate Uchawi!!! Tubadilike
@salimmalaka256
Ай бұрын
ALIE KUAMBIA NI NANI KARNE YA 21 UCHAWI UTAKUWA HAUPO??? FITINA NA UCHAWI NDIO SAYANSI YA MU AFRICA
Пікірлер: 46