jaman mafannani wa tz muache uhuni hii fani ni ya dini mbon mnavaa kama mnaimba kwaya
@BABDEOMILADU
6 жыл бұрын
Soud Khalfan acha uswahili ww kuvaa Kanzu ndio uislamu
@adamujuttojuttoadamu2525
6 жыл бұрын
alosema kuimba hayo ni dini nan,achen istihzai na din hiyo ni maazif kama alivyosem ibn Abbas,uarabuni wanahesabu ni nyimbo
@binbarwan7401
6 жыл бұрын
Soud Khalfan acha ushamba ndugu
@theworldandcraziestguys2729
6 жыл бұрын
Soud Khalfan Aliekuambiwa kufanya hivi ni dini NANIIIIIII?!!!!!!acheni upuuuzi kabisa kwa kufungamanisha MATAMANIO na DINI ya ALLAH
@latylaty42
6 жыл бұрын
Soud Khalfan Music sio dini, music ni haram Qasida zisokua na music zineruhusika lkn sio kwa wanawake kuziimba hadharani
@umsalim6515
6 жыл бұрын
Na nasheed hasa inavotakiwa haipigwi kwa ala zote hizo za muziki.
@adamujuttojuttoadamu2525
6 жыл бұрын
waarabu kwao ni nyimbo,Ila c tunaona dini hahhahhh,
@aminaomar6275
6 жыл бұрын
Wangemuachia aimbe nasheed yake kama Muhammed muhiya tustarehe zaidi.....
@fatomajuma1578
5 жыл бұрын
Maashaallah maashaallah maashaallah Allah akuzidishie
@munirnurdini8613
6 жыл бұрын
Nalia mwenyew hapa nilipo ni shida
@jamalashraf2186
6 жыл бұрын
Mwamba....mashaallah...
@abuuraahim306
3 жыл бұрын
good boy
@jumakamana1107
5 жыл бұрын
MashaAllaah
@zaitunichabedwa6880
6 жыл бұрын
Safi sana muhiya
@zuhuraferouz2506
6 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah 👌👌🔥🔥
@muhammadkhatwab
3 жыл бұрын
Andika مدح الحبيب
@sulebendera5231
6 жыл бұрын
Mashaallah
@harounkudra5289
6 жыл бұрын
Wallaaaah rahaaaa
@shabanrajab3559
6 жыл бұрын
Khatar sanaaaa
@jumabias4917
6 жыл бұрын
Hongera mwamba
@mariamuhadi8958
6 жыл бұрын
Mumtaaaaz
@alwyedarus1825
5 жыл бұрын
kwani kasema hii ni dini yana sila gani na dini
@hajiakbar6915
6 жыл бұрын
Shekhe Nani kakwambia wamevaa vibaya, kwa hivyo kuvaa suti? haina ubaya wowote shekhe, wasomi wa Quran hata suti wanavaa.
@botebotelaa4530
5 жыл бұрын
Hatari sn
@abdiomar6832
5 жыл бұрын
Dah hii ni ngoma kama ngoma nyengine
@jaafarjacka6108
5 жыл бұрын
Yaaa salaam
@umsalim6515
6 жыл бұрын
Msichanganye hii dini ya kiislamu kabisa , hata kama ni nasheed haifai mchanganyiko wa wanaume na wanawake , kuvaa abaya tu sio kujistiri, kujitia make up na sauti pia ni kujistiri.
@allymisilo9043
4 жыл бұрын
Ndipo dini ilipofikia nasi tufanye show km waimba mziki tuingize pesa na kufurahisha wapenda taarab maana ndio wamejaa humo tunafeli wapi hvi kweli hatuoni wala nyoyo hazihisi shubha za wazi wazi wapi tunapata mambo haya Tuendelee kuiga mayahud na manaswara tu tutaona matokeo yake
Пікірлер: 42