WAANDISHI WOTE WAKUIGE WEWE JAMAA... YOU ARE MORE THAN MILARD.. UNAULIZA KWAAJILI YA WATZ WEWE SIO CHAWA BRO. SINA TABIA YA KUKOMENT NMEKOMENT KWAAJILI YA KAZI YAKO
@elimuvisioncenter
2 ай бұрын
odemba n mashine afu very smart na mstaarabu
@franksanane8369
2 ай бұрын
Kweli hii bomboka 😂😂😂
@fikirigabriel1999
2 ай бұрын
DC ambaye hawezi kutofautosha kati ya UDA na DART ni hatari kwa maendeleo ya Ubungo
@HamisMghuna-fj3vz
2 ай бұрын
Huru wp 2020 huo hukua haki hata Farao Firaun ilikua hivhiv ubabe kutesa raia Farao yukowp aliishia bahar ya sham
@MelkzedeckMushi
2 ай бұрын
Mungu nifundishe kunyamaza🤭🤭🤭
@saidnoumani7244
2 ай бұрын
DC nakukubali fanya kazi kijana!
@HamisMghuna-fj3vz
2 ай бұрын
Wkuu w wlaya huna jipya mtisha raia kila cku
@EllyMarua-ge8rf
2 ай бұрын
Huyu kiongozi hana point aisee hv watu wanapambania maisha yao siasa inakujaje app mbona viongozi wa siku hizi wanafikra fupi Sana jaman
@fikirigabriel1999
2 ай бұрын
Kwa ma DC wa namna hii, kazi tunayo
@hassansengoba1221
2 ай бұрын
Huyu mkuu inaonekana alikua muimba taarabu enzi za high school, maana yy badala ajibu swali yy ndio anauliza maswali,hafai hata kuwa kiongozi wa familia.
@Chapo_ggg
2 ай бұрын
Huyu mtoto wa 2000 kapewa vipi u DC,, Yani ni below standard kabisa
@tisamokebulemasubugu6222
2 ай бұрын
Hili ni moja ya Tatizo la viongozi wetu kujificha kwenye kauli Hii ni Siasa matatizo yawatu yanageuzwa katika kichaka cha pale kuna siasa je Kupeleka Machinga Sokoni wakakaa na wakahakikishiwa ni eneo laasimi na baada ya muda Mkuu huyu wa wilaya anajitokeza na Dart kujenga Karakana bila taarifa bila kujali huo uamuzi utathiri wafanya biashara wadogo je kuuliza kwanini hili lifanyike? Hiyo ni siasa? Kuondowa Sitendi ni kuwatia umasikini wafanya Biashara tukihoji hiyo ni siasa? Mkuu huyu wa Wilaya baada ya kuambiwa kuna eneo la kuwaweka wa Machinga je alifika na kuliona likiwa halitoshi ? Wafanya Biasha tunaliona halitoshi kusema eneo halitoshi ni Siasa? Kuondowa Stendi na kujenga Karakana na kuweka wafanya Biashara nyuma ya Karakana tukiuliza ni uamuzi wa kuuwa mitaji yetu kwani hakuna Biashara bila Stendi na niuharibifu wa Fedha za Serikali kwani watu watakimbia maeneo hiyo ni Siasa? Kwahiyo Mkuu wa wilaya ya Ubungo Hasani Bomboko asijifiche kwenye kauli hiyo ya hapa kuna siasa huku akijuwa Tunacho hitaji kama wafanya Biashara wa SIM 2000 ni usalama wa maisha yetu bila kuvurugiwa Mitaji yetu kwa mamuzi mabovu bila huruma Siasa iko wapi?
@ZaharaAmili
2 ай бұрын
Ijulikane aya nimaisha yawatu nasio siasa..ikizungumziwa siasa kila mtu anachama chake.na aya nimaslai yawafanya biashara..hakuna siasa kwenye ili
@gregoryndanu3541
2 ай бұрын
Akili ndogo mno. Amekuaje mkuu wa wilaya?
@saidmakombeni5155
2 ай бұрын
🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙊
@elimuvisioncenter
2 ай бұрын
MUHOJI NA CHARAMILA
@jjustinemwanjwango4708
2 ай бұрын
Huyu jamaa, ilikuwaje akapewa u DC aisee😢😢😢
@asiliyetuonlinetv5063
2 ай бұрын
Punguza spana atakimbia huyo😂😂😂
@smallscaleminingsupplies9670
2 ай бұрын
Kua mkuu wa wilaya kunahitaji tu kua chawa, Tz ni nchi yenye katiba mbovu Afrika, msishangae huyu jamaa katokea wapi
@nazarethmwakipembe3246
2 ай бұрын
Wakuu wote wangekua kama huyu, tungekosa kwa kukimbilia
@ireneopelagi740
2 ай бұрын
Uwezo wake wakuongea bado mdogo mamlaka ni makubwa na anajaribu kuzungusha zunguka bado hasimami kwenye kuongea ukweli anataka kujionyesha kutaka kuwa na jina
@HusseinBugumba
2 ай бұрын
Jamaa anafedhesha kiti cha ukuu wa wilaya
@HamisLeo
2 ай бұрын
Muwe mnaangalia na watu wa kualika ktk kipnd bombo cha bing ajenda. Huyu hafai kbx hana majibu ya bing answer
@ChazGoodluck-g3q
2 ай бұрын
Tunaitaji viiongozi wakweli wenye kumjua mungu na wenye uwezo wa kujielezea na sio kuleta siasa kwa maisha ya watu.
@emmanuelsulle911
2 ай бұрын
Matako tu Uolewe huna lolote pita hivi Pumba Mwanzo Mwisho
@ndikumasabodiegovevo9091
2 ай бұрын
Siasa za afrika nikelele tu Yani mwanasiasa anajitoa fahamu kwamaslahi yake binafsi
@tisamokebulemasubugu6222
2 ай бұрын
Kwani masoko ni ya nani?Kama na ndio mana tunalipa Ushuru ache kujichanganya
@elimuvisioncenter
2 ай бұрын
haka ka jamaa kana dharau sana ... 😂
@adampetermakombe5654
2 ай бұрын
Tumemujua usimubane Sana yukoje
@almasikev1945
2 ай бұрын
Mnakamata Makahaba , Vipi kuhusu mashoga ??
@jumachikambo
2 ай бұрын
Ubungo kata ya kwembe, mwenyekit wa mtaa ana nafasi mbili za kazi, ni muhasibu muhimbili na mwenyekit wa serikali ya mtaa kwembe msakuzi
Пікірлер: 37