Hichi kipindi ni kizuri sana. Azam TV pls invest more in this. BIG UP
@witnessmmari9902
2 жыл бұрын
MUNGU tusaidie nilingia nikajihisi nipo kwenye jeneza
@elizabethmrema6598
Жыл бұрын
Hahahaha wewe haliumizi jmn nipe uzoefu
@elizabethmrema6598
Жыл бұрын
Nasikia huwa inapunguz umri wa kuishi🤣🤣🤣
@witnessmmari9902
Жыл бұрын
haliumizi ila ukiwa humo ndani unafuata maelekezo ya dactar mimi nilikuwa nasikia sauti inaniambia vuta pumziiii,achiaa heee nikawa najiuliza ndio nazima au
@zenamgwao6654
Жыл бұрын
@@witnessmmari9902 grama yake sh ngapi na hospital gan ipo hii
@winnierobby8382
Жыл бұрын
VP lkn unaendeleaje
@jumachakaya4334
2 жыл бұрын
Tatizo amsemi kwamba kipimo nishingap
@paskaliernest370
2 жыл бұрын
Laki 3
@kurwamtz1982
5 жыл бұрын
daaa kwa mfano huwa ghalam zao zinzkuwaje ndugu
@revocatussebastian2427
2 жыл бұрын
Iyo MRI inaweza kupima ugonjwa wa ngozi yaani kama ngozi ina fangasi sugu wasio pona
@jacklinemlowe717
Жыл бұрын
Daaa hiki kipimo shikamo nilikaa nusu saa
@saidabeid8249
2 жыл бұрын
Garama zake ni shilingi ngapi?
@paskaliernest370
2 жыл бұрын
Laki 3
@billben9840
2 жыл бұрын
Mbon amjasena garama zake
@hamismsugwa-hw6gh
Жыл бұрын
Je CT scan hata tatz lipo shingon au mdomon kwenye tonsils linawez onekana
@miriammwangi3363
2 жыл бұрын
Ni how much MRI ya ngogo
@HD-pq1bo
2 жыл бұрын
Daa mbona awajibu awa watu
@paskaliernest370
2 жыл бұрын
Laki 3
@lucynelsonmungure1719
2 жыл бұрын
Nina swali ukiingia humo unapigwa nusu kaputi au unaingia mzima maana mimi nina woga
@joycemaige716
2 жыл бұрын
Kama unaweza kukaa na kutulia hupewi dawa ya usingizi
Пікірлер: 27