Hizo sera duh karibu chumbani alf wanaokukaribisha ni midume aushtukitu kweli dishi likiyumba sio poa.
@stephaniabwemo3297
4 жыл бұрын
Sijaona Wa kumkompea na magufuri
@titonkwabi7430
4 жыл бұрын
Jamaa wamebeba mzigo huo!
@charlesmulimi1786
4 жыл бұрын
Karibu mzee lakini uwaunge viongozi wa upinzani mkono, Wewe usubiri 2025 maana unaweza kuwa kama Lowasa.
@abrahamnyagawa1304
4 жыл бұрын
Hongera sana, Viongozi wa ACT-Wazalendo,kwa kumpokea huyu Baba, mheshimiwa BERNARD MEMBE. Huyu anajieleza kirefu na kwa uwazi,tofauti na yule wa Zamani. Pamoja na kwamba amerudi nyumbani, kama alivyosema mwenyewe, lakini alitupa raha, na taarifa anayo mwenyewe. Naomba, mh Membe, usituangushe. Ninaona uwezekano mkubwa wa Act kushinda uchaguzi. Nakupongeza sana mzee membe. HESHIMA KWAKO.
@amosmerama3680
4 жыл бұрын
Watu km nyie mnahitajika ili mtoe taifa hapa lilipo,kwa bahati mbaya wachache watkuelew mzee
@gabrielmoses6860
4 жыл бұрын
None Sense
@nestrysondegod3499
4 жыл бұрын
unasikitisha kwa kweli
@salehali2380
4 жыл бұрын
Karibu sana. Wacha tuone nini unaweza kuwafanyia wananchi.
@mbegesdigita5182
4 жыл бұрын
Membe chadema chama kubwa hivyo hujakosea kusema!
@hassansamata5995
4 жыл бұрын
Dah wajinnga ndio watakuelewa..bado siasa imekosa mtu sahii chama kimekosa mtu mbaka uchukuliwe wewe.. bado sana
@yohanampamba601
4 жыл бұрын
Utake usitake kwani wee nani! Membe ndio habari ya mjini.
@designdesign4426
4 жыл бұрын
Jamani hivi uyumzee anaakili mambo anayoongea mtu mwenye akili timam hawezi ongea uchafu huu.alf nakuomba we maembe pitia coment uone watu wanavyokuona taila.mzee dish limeyumba
@yohanampamba601
4 жыл бұрын
Nawaunga mkono wana Act- wazalendo Kwa kumpokea nguri wa siasa MEMBE, nami na amini umoja wetu ndio ushindi wetu.
@geofreymollel6973
4 жыл бұрын
Karibu mkuu njoo tuamshe upinzani ten bb
@manish-fp1fb
4 жыл бұрын
Kachero utarudi ccm tu mark my word, ccm ni Mfumo sio Chama cha Siasa. Kuna kila namna itafanyika utarudi tu mchana kweupe.
@eliatoshamapande6720
4 жыл бұрын
Mwanaccm yeyote lazima aiwaze chadema Kwanzaa...hahhaaaaaa haya bn unamaanisha ACT
@leonardrichard2419
4 жыл бұрын
Mimi naona anajaribu kuongea lakini amecherewa anataka kuturudisha nyuma huyu ariyokuwepo nyanja zote amepita nchi hii imebadirika maendereo yanapokuja kuna watu wataria wengine watafurahi mzee ungepumzika tu
@kaniogachief6151
4 жыл бұрын
Kumbe chadema ndio ACT khaa siasa hujui kabisa membe mfuu unae pumuwa
@josephwilison5509
4 жыл бұрын
Ni kwa nini hamhami wakati wa kuandaa mashamba bali mnahamia ama kujiunga na upandehuu wakati wa kuvuna?je ukishindwa utarudi ccm kama lowasa au nn msimamowako mkuu
@ahmedadan1915
4 жыл бұрын
huyo ni jeshi la mtu mmoja membe huyo hakuomba msamaha mtu
@geofreymollel6973
4 жыл бұрын
Acheni apambane iyo ndio demokrasia ss mnataka magu aende ulingoni peke yake pambana bb tuko nyum yako membe
@andresmartin6332
4 жыл бұрын
Mgombea magumashi Sefu kagombea mara nane na kafeli tamaa ya madaraka mmekutana
@kibakuliponcha9729
4 жыл бұрын
Nakubali mzee
@amirjuma7983
4 жыл бұрын
Ah wanafki wakubwa nyi
@bhelekiabhelekia6031
4 жыл бұрын
Tusidanganyane Membe ni Afsa usalama na upelelezi wa Ccm!
@jannychristopher8492
4 жыл бұрын
Ana asila sanaaaaaa huyo, mtoto wa chato humuwezi hata kidogo, atabaki kuigizatu
@michaelsanga1701
4 жыл бұрын
Mnataka muichukue nchi mwende nayo wap?
@anchelouskyaruzi5913
4 жыл бұрын
Watanzania wengi wenye nia nzuri na nchi yao watakuunga mkono bila.kujali wao ni chama gani wawe ni ccm, chadema, Udp, cuf.....kwani wamepigika woooote hakuna aliye na hauweni
@saxannjo6173
4 жыл бұрын
KIBARAKA MWINGINE WA MABEBERU, AKIWA NA FIKRA ZA KITUMWA..... ANAZEEKA VIBAYA HUYU MZEE.....POOR MEMBE
@fatumajuma1157
4 жыл бұрын
Claha kubwa yaccm nitume za uchaguzi Izo ndio nyukilia zao kinajecha Bado wanaowengi sn
@jannychristopher8492
4 жыл бұрын
Dooooooooh kaka ni msanii kweli kweli
@lemachristian8740
4 жыл бұрын
Unaipenda chademae
@kapambalapole8227
4 жыл бұрын
Mkuuu wa zito malim sefu nikazi
@bennymochiwa4800
4 жыл бұрын
we mzee ulikuwa uende chadema
@papawaroma
4 жыл бұрын
Very sad indeed, the guy has failed flat
@maisatou
4 жыл бұрын
Alfred,l concur A.R.Msimbazy
@costansiakimaro8980
4 жыл бұрын
Sema baba semaaaaaa
@faustinepeter3139
4 жыл бұрын
Ccm jamani sio chama chenye malengo ya kutukwamua kiuchumi kimekaa mda mrefu madarakani ccm aitufai tena wamebak wazee kwa wing
@nashonikibuna9327
4 жыл бұрын
Nani amekudanganya ati wamebaki wazee Kwa hiyo membe ndo kijana Sasa amekuja ACT?
@mosimba8972
4 жыл бұрын
Maarim Seif ana miaka 81 na Membe ana miaka 67 ni vijana hao
@samuelzachariah3984
4 жыл бұрын
Heri kukosa pesa kuliko akili!!
@michaelwillombe1794
4 жыл бұрын
Ila hapo nawewe umedanganya
@samsonmwijage1869
4 жыл бұрын
Kwa akili yako Membe ndo ataikwamua nchi kiuchumi?
@salehalzakwani3283
4 жыл бұрын
Mzee watajuta balaaa
@mosimba8972
4 жыл бұрын
Mzee acha uongo Mradi wa unaendelea kwa kasi wewe unaongea usilolijua
@aliabeid6226
4 жыл бұрын
Wewe unaonesha mroho wa madaraka kwanini kama unataka kuleta maendeleo usisubiri magu akaondoka kisha ukaomba huo uraisi Au umeona ccm hawataki tena wazee ?
@abdulkareemseif667
4 жыл бұрын
Kwani iyo katiba si muliitunga wenyewe
@aliabeid6226
4 жыл бұрын
@@abdulkareemseif667 sikuelewi unaongea nini
@abdulkareemseif667
4 жыл бұрын
@@aliabeid6226 yeye kataka kugombea km katika ya ccm inavoruhusu ,iweje useme ana uchu wa madaraka
@aliabeid6226
4 жыл бұрын
@@abdulkareemseif667 kwann lazima agombee sasa asisubiri kipindi kijacho kama hana uchu wa madraka au keshajua kuwa ccm inabadilika hatopata tena? na kutokana na history yake na mambo alofanya anajua wazi kuwa ccm hawtompitisha tena . ccm sasa wanataka vingozi watakaoleta mageuzi na kama utatizama history inaonesha mageuzi mara nyingi yanaletwa na vijana sio wazee Membe keshakua mzee angakaa pembeni akawacha vijana walete mageuzi
@salumkhassan930
4 жыл бұрын
Hamna Kufeli Nuku Za Mbwana Samata
@meshackmayenga950
4 жыл бұрын
Nahuko utafukuzwa tu,tena kama mbwa koko
@yussufnyangoma5693
4 жыл бұрын
@Meshack Mayenga maneno ya mkosaji hayo, wewe bakia kwa huyo huyo dikteta MAGUFULI ,Membe NI MWANAUME pekee aliyekua ANAWEZA kusimama mbele ya MAGUFULI NA kumkosoa bila uoga.
@yohanampamba601
4 жыл бұрын
Atafukuzwa mke wako poyoyo mkubwa wewe
@suleimanjokoro
4 жыл бұрын
Hamna kitu hapo ni 0 tu!
@saxannjo6173
4 жыл бұрын
Hivi aliyemdanganya kuwa yeye ana USHAWISHI ni NANI? ANATIA AIBU TU HUYU.... ANAONGEA MATAPISHI TU.... TOKA HAPA MJINGA WEWE
@benedictkiteji5089
4 жыл бұрын
Wajinga hawawezi kukuelewa
@kamalofanuel8120
4 жыл бұрын
Tumuelewe kwa sera ipi?
@halimamiss8878
4 жыл бұрын
mmmhh sasa huyu naye bora angekua zito sio huyumembe
@mangobase
4 жыл бұрын
Wewe ulikua wapi kuwatetea upinzani akiwa kwenye dola....umekua strong hasa kipindi cha JPM ..kusema kweli membe ungestaaafu tu utaaibika sana JPM ameiweza nchi...
@jeanmubemba1204
4 жыл бұрын
ANGEBAKI TU CCM ETI THE POINTI YAKE NI USHINDANI TU,USHINDANI BILA USHINDI NI KUPOTEZA MUDA
@livingstone712
4 жыл бұрын
Hongereni sana,tuko pamoja ACT ,hata sisi huku same ,tumeumia sana, had I wakulima wa mbogamboga aina ya mchicha tunatozwa elfu mojamoja ,wakati tunapo peleka mazao yetu sokoni, na kufukuzwa sokoni,Hivyo tuungane pamoja tufanye mabadiliko,HATA MIMI NAHITAJI KUJIUNGA NA ACT WAZALENDO,
@magellasaid28
4 жыл бұрын
Sasa ACT ndio watatatua ttz la kutozwa 1000? Ulipeleka malalamiko yko kwa viongozi wa serikali ukasikilizwa? Mh raisi alishatoa maelekezo wakulima wasisumbuliwe kwa kutozwa pesa sasa iweje wewe utoe? Acha uongo usiipake serikali yetu matope
@edwinmwandete4525
4 жыл бұрын
Huku fanya kosa lolote ila kosa ulilofanya he "
@simbawateranga7020
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jumanneibazu7709
4 жыл бұрын
Ww mzee jinga kamuongoze mkeo malaya.mkubwa we fisadi huna hata aibu watanzania waleo siyo wale mlokuwa mkiwaongoza nandgu yako
@moyesmboya6171
4 жыл бұрын
Toa kelele hapo
@abdulazizharthy5627
4 жыл бұрын
Kwa kweli CCM imechoka kabisa kazi ya ni majisifu tumefanya hivi tumenunua hivi hawasemi ukweli yale wanayo yafanya ya kuuwa watu kuwapoteza kuwabagua ni mijitu mijinga na nashukuru kumuona huyu JPM anakiuwa CCM kwa kuwatisha wenzake kuwapoteza ni jitu baya sana lenye uroho wa madaraka ni dikteta la mwisho kabisa
@magellasaid28
4 жыл бұрын
Alimuuwa nani? Una ushahidi? Umejazwa sumu wewe kuwa makini na kauli zako usimuogope mtu bali muumba wako tu, watu wanapotezwa na wapinzani kuipaka serikali matope tu, jiulize kwa mfano hao waliouliwa walikua na hatari gn kwa serikali? Hv serikali inashindwa kuwapa hata kesi na kuwafunga? Elewa serikali ni muungano wa taasisi nyingi mtu mmoja hawezi kuyumbisha serikali na hakuna serikali dhaifu duniani, wanasiasa nyie mashabiki na wanachama ndio mitaji yao, wale wajinga walioitwa MAKAMANDA huku a twn wkt hata mgambo hawajapitia walijazwa ujinga na kina Mbowe wakavamie kituo cha polisi eti kuwatoa viongozi wao walipigwa risasi wakafa kina Mbowe hawakuwepo hilo ni kosa la jinai leo weke zao na watoto wao wanateseka Lema Mbowe na cdm yao wala habari hawana, mm nafahamu yte hayo kwa kuwa nipo a twn na naona mateso yao sasa tuwe makini sn na hawa watu wasije wakatuingiza kwenye mtego km ni uhuru wa kuwa na chama hilo halina shaka lkn ukiona wanakuchonganisha na dola stuka wanachoangalia ni matumbo yao tu.
@mosimba8972
4 жыл бұрын
Hujielewi wewe
@abdulazizharthy5627
4 жыл бұрын
Acheni kuishabikia CCM haina historia nzuri kwa watanzania imeivamia Zanzibar na kuipora na mpaka leo hawataki kuiachia kisingizio muungano feki uliolazimishwa na mlaanifu mkubwa Nyerere na kuivamia Zanzibar tunamuomba Allah amzidishie adhabu huko aliko na kila anae muunga mkono ameifukarisha nchi na kuwatawala kimabavu
@lucasmwaja3401
4 жыл бұрын
@@abdulazizharthy5627 huna akili wewe huna haki ya kutoa laana wewe
@abdulazizharthy5627
4 жыл бұрын
Najua ninalosema na hiyo ndio demokrasia hasa unata nimuunge mkono Nyerere kwani aliifanyia lipi jema Zanzibar ila kaimeza nchi yetu ya Zanzibar na kuivuruga kiuchumi ni mtu wa kulaaniwa huko aendako
@idrisspetto2718
4 жыл бұрын
Wana CCM hapo ndipo tunapojiita wakuu wa upinzani chadema walimpoke loooo Leo Hawa nao wamempokea meeeeee
@yusuphyunusi6865
4 жыл бұрын
Nakukubali Mhe Membe una uwezo siyo km Lowasa aliyekuwa anatetemeka tu jukwaani
2015 alijiunga lowasa chadema, na Wala hakujali gharama, 2020 anakuja maembe act, wapinzani munatakiwa kua makini, otherwise mutajikuta njia panda every day
@aminaramadhan4891
4 жыл бұрын
Kabisa mkuu
@winnesakara6957
4 жыл бұрын
Asante
@philemonmartine7317
4 жыл бұрын
Hondaku😂
@CaptainFaudhiTz5383
4 жыл бұрын
Hapo hamna kitu Wala ni porojo tu hampiti hata kwa dawa
@ibrakulwa2737
4 жыл бұрын
Karibu ili uendelee kula nchi
@samwelnevele5323
4 жыл бұрын
Angalia unavopotea hata maneno huu ni uchu wa madaraka
@idrisspetto2718
4 жыл бұрын
Chadema Tena kazi kweli kweli
@selemanishaweji7504
4 жыл бұрын
Uzee mbaya san pole san mzee wangu
@masoudsalum9514
4 жыл бұрын
Sema sio kweli sio uzee
@nashonikibuna9327
4 жыл бұрын
Labda ungetafta upadri
@faustinesimon1240
4 жыл бұрын
Yupo vizuri
@geofreybernard2912
4 жыл бұрын
Popote Ulipo Tupo
@cyprianbernard907
4 жыл бұрын
😂😂😂eti chadema
@mosescheketela9505
4 жыл бұрын
Safi Membe
@josephwilison5509
4 жыл бұрын
Ni mambo gani yaliyokuudhi ndani ya ccm hadi ukaamuakukihama?
@mS-fh3dr
4 жыл бұрын
Amefukuzwa
@adammjomba7112
4 жыл бұрын
Msuguru moshi msuguru mbona upo hivo wewe ndio unaona com imefanya Maendeleo .lakini watu (watanzania WaPo ML70 au zaidi hivyo hayo Maendeleo unayo sema com imeleta pengine ni 35% Tanzania nzima sasa usilazimishe unavyoona wewe na wengine waone hivo hivo. Hatahuyo jpm anajua .kwamba com imeharibu sana ndio maana hakubali kuweka tumehuru ya uchaguzi na anatumia sana dola kulazimisha kupiga kuvuruga wapinzani .kusudi aweze kushinda .com haishindi kwaridhaa ya watanzania .bali ni polisi na tume ya uchaguzi ya ccm .kiufupi com inabebwa na polisi na tume ya uchaguzi
@magellasaid28
4 жыл бұрын
Maendeleo hayawezi kufanyika kwa mara moja tu paaaaaap hapana ni hatua kwa hatua hata nchi zilizoendelea hazikufika hapo mara moja kwa maeneo yao yooote hapa ni ngazi kwa ngazi, halafu kuweni makini sana na aina ya watu km hawa wanaolazimisha kwenda ikulu kwa namna yyte ile ni hatari Nyerere alishatupa muongozo, huyu ikulu anataka akafanye biashara gn? Suala la katiba huyu mpuuzi alikua CCM eti ametoka leo anadai katiba huu ni upuuzi angepiga kelele akiwa CCM bana, suala la katiba halikuanza kwa JPM tokea JK na Mkapa sasa msiwe watu wa kudanganywa na hawa wasaka tonge wenye uchu wa madaraka. Uchumi haujengwi mara moja unachukua muda mrefu jmn kuweni makini na hawa watu
@samuelzachariah3984
4 жыл бұрын
Kama hauna research ni bora hata usiwe unaongea.. maana Uchumi wa watu pia unategemea miundo mbinu...hao wakulima wenyewe wanategemea barabara nzuri ili mazao yao yafike mjini yaweze kuuzwa... we kama unataka kuletewa hela ndani endelea na huo upuuzi lakin sisi tunaona ni namna gani JPM amejitahidi kutusogeza!!
@timrmwanza9396
4 жыл бұрын
CCM OYEEEE
@timrmwanza9396
4 жыл бұрын
ACT Wazalembooo!
@Mastermind25491
4 жыл бұрын
Hatukupi kura,,JPM viva CCM chama letu tunatoboa
@emmanuelmashishanga5057
4 жыл бұрын
Hujitambui wewe
@mbilu348
4 жыл бұрын
utajua mwenyewe
@esromkanubho4738
4 жыл бұрын
Kama umesikia chadema
@mosimba8972
4 жыл бұрын
Anamawenge huyu mzee Chadema tena
@adammjomba7112
4 жыл бұрын
Mh mbembe wewe ni jembe letu ikiwa tume ya uchaguzi ya ccm itazubaa kidogo tunakupa dola tumechoka kuteseka na hii ccm hasa hii awamu ya5 watanzania kulala njaa hiyo ndio mara zote Au upate rakaa moja kwa siku. Lakini misifa tu ya jpm nimejenga daraja nk hilo daraja linamhusu nini maskini ambaye hana hata baskeli . Kwanza boresha lishe ndio ujenge utakacho.
@bfsgsvfweshdbfh3353
4 жыл бұрын
Uyo membe au mbowe dio atawapa mepesa we fala tu hao ata ofic wameshidwa kujenga acha ujinga kama mtoto we
@mosimba8972
4 жыл бұрын
Nani amekufa kwa njaa au ni ukoo wenu ndio wanaokufa bwege wewe
@MrKhatibu
4 жыл бұрын
Wabongo hawaaminiki ,sina imani na wanasiasa wa kibongo, mpemba pekee ndie mtu wa msimamo East Afrika nzima
@hilalhilal8400
4 жыл бұрын
NA anaemfata mpemba inabidi2 tumuamini
@markmangaya4947
4 жыл бұрын
Wajinga ndio waliwao..
@hilalhilal8400
4 жыл бұрын
Kama weye ulioliwa na kijinga musiba
@markmangaya4947
4 жыл бұрын
@@hilalhilal8400 Yaani anachofanya Magufuri ukioni,na tuna change katiba Magufuri atawale miaka 30.
@gracemima5234
4 жыл бұрын
ACT mumebeba mzigo. Huyo alikuwa mzigo mzito kwa CCM. Watanzania watakao waunga mkono ni mafisadi. Wakulima Membe hawamujuwi. Kama maendeleo ni kuiba mali za umma basi ACT. Mabadiliko hayawezi kuletwa na wewe Membe, HUNA uaminifu wa kuchunga mali za Watanzania.
@yohanampamba601
4 жыл бұрын
Acha unafiki mwanaizaya mkubwa wewe!
@mangobase
4 жыл бұрын
Mbea tu majungu kwahiyo mafisadi warudi tena hospitali twende India kupishana angani kila siku
@orandomoris1265
4 жыл бұрын
daaaaa yani siaasa mzee unaata aibu kwakuongopa
@hilalhilal8400
4 жыл бұрын
Kwaio sasa ivi watanzania wakiumwa hawaendi india? Acha unafiki ndugu zangu wameenda matibabi india labda huendi kwakua uchumi mbovu huna nauli ya kuendea.
CCM lazima tuchukue Dora kama maendeleo kila kona ukianzia afya ,elimu ,miundombinu na mengine mengi tupo vizuri .Kwetu ushindi it's given
@muniruwahid6648
4 жыл бұрын
Wangekubali tume huru ndio ungejua uongozi bora co kutulekea ujinga wa barabara watu wanalala njaa.
@hilalhilal8400
4 жыл бұрын
@T M 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏wape ukweliiii. CCM wiziiii majangiriii
@rosemarymsulwa203
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 labda
@samuelzachariah3984
4 жыл бұрын
T M Kwa hiyo unadhan kwenda nje mara kwa mara ndio Wananchi tunakitaka si ndio?? Akili mgando kabisa hizi!!
@lucasmwaja3401
4 жыл бұрын
@T M unawazia kwenye soli
@magellasaid28
4 жыл бұрын
Hukushiba kwenye sufuria utashiba kwenye sahani Membe? Unajua vzr ugumu wa kazi iliopo mbele yko, nikionacho mimi unakwenda kuporomoka kisiasa na tutakusahau muda mfupi ujao.
@salumkhassan930
4 жыл бұрын
Sasa Ashafukuzwa Katika Chama Chake Nayeye AJIRA Yake Ni Siasa Ulitaka Afanyaje? Na vyama Vyote Ni Vya Serekali Ndiyo mana Vimesajiliwa Kihalali Kwahiyo Kwenda Act Wazalendo Ni Kutimiza Hakiyake Ya Kidemokrasia Na Hakiyake Ya kikatiba Chapa Kazi Baba Membe
@nassormussa4090
4 жыл бұрын
Magufuri ni mungu wa watanzania tena ni maraika hawezi kushindwa na binaadamu aliyejaa udhaifu kama wewe magu atatawala miaka 50 mbele watanzania wamelizika nae hata kanisa limembaliki wewe mende baki huko huku chooni huwezi kushindana na mungu wa miungu yote inayoijua.
@denicekato2583
4 жыл бұрын
Acha kumkufuru Mungu wewe fala. Utalaanika wewe. Mungu wa watanzania ndo nani?? Jisemee mwenyewe acha kuwaunganisha watanzania kwenye ujinga wako.
@gaspersimon3257
4 жыл бұрын
Magufuli anaweza je kuwa MUNGU ? Mm nakataa rudi tena shuleni amelaaniwa mwanadamu yeyote amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake , Magufuli ni mwanadamu tuu kijana nenda ukatubu kwanza kwa kauli yako
Пікірлер: 145