Alhamdulliah! Alhamdulliah! Alhamdulliah. Allah atuongoze sote na atujaalie mwisho mwema. Lakini pia mnatakiwa kuheshimu maneno ya Snura kutoweka picha zisizo na stara. Mbona Snura anapicha nyingi amejistiri! Wekeni hizo picha za stara jamani au msiweke kabisa. Snura tunakupenda sana kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤❤❤
@ibrahimkimweri2329
2 ай бұрын
Allah Amuongoze, Amhifadhi, na Amjaalie kila la kheri
@ziadamuhunzi6210
2 ай бұрын
kiukweli hata mm namsuport snura ila wasafi mmekosea kupost hizo picture kuweni na weledi kwenye hilo sio vzri kwa kweli mwenyezi mungu amuongoze... inshaallah
@stationerykinondoni7241
2 ай бұрын
Nyie wasafi wasenge sana ameshasema hataki hizo picha na bado mnaweka
@faridaally-jp1gx
2 ай бұрын
Ameomba picha yake toweni muwe waungwana siyo vzr kaacha muziki anamuogopa Allaah toweni picha
@AsmaaMohamed-q2o
2 ай бұрын
Allah humuongoza amtakae na humpoteza amtakae kikubwa tumuombe atupe thibaat katik dini yake aturuzuku mwish ulio mwema amiin yaa rabb
@unbreakableteam8225
2 ай бұрын
Iyo mipicha ya uchi si ashasema hataki bado tu mnaziweka
@gloriadaniel3827
2 ай бұрын
Hawaogopi?. Wabongo bwana😂😂
@wonderkid_tz
2 ай бұрын
Aache na mungu amsimamie lakini picha zake watapost na akiziona atajutia kwsbb alifanya wakat wa nyuma
@fettiemaganza1484
2 ай бұрын
Yaan sijui watu wapoje
@lailaoman3856
2 ай бұрын
Wanatia asira
@Swabrah-fey
2 ай бұрын
Imagine ni jana tuuu wameambiwa leo wamepost jaman😢
@binthamoudshariff5492
2 ай бұрын
Ikiwa mnajua hataki awekwe jamani mnafanya makosa sana kueka bado picha ambazo hakupenda ziekwe tena subhanallah
@rashidingoyo-ep1kj
2 ай бұрын
Mungu amuongoze
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
Kwa sote...
@AllyMohamed-w5x
2 ай бұрын
Hawana adabu heshimuni haki yke
@mohdameir1601
2 ай бұрын
Tuweni waelewa hataki picha hizi tupost tena
@KhadijaMzuri
2 ай бұрын
Bora asinge jitokeza mana sasahv ndio kaleta majanga ilikua kimya hatajwi nyimbo zake hazisikiki wala picha zake azipostiwi ivyo alivyo jitokeza ndio kila kona picha zake za uchi zinaoneshwa nyimbo zake watu wanazisikiliza ndio kayachokoza hasa
@OmanOman-ns3iw
2 ай бұрын
Kayatimba
@lilmojr7
2 ай бұрын
Hivi nyie hamjui mnavunja sheria na hamfati maadili ya uandishi wa habari!!???si mmeambiwa na mwenyewe hataki picha zake zirushwe mnafanya nini sasa??? Pumbavu zenu.
@ubuntubantu2404
2 ай бұрын
Tulia wewe
@thamani5842
2 ай бұрын
Iyo mipicha tena musiiweke. Mwenyewe kakuombeni sana musipost izo picha za uchi. MUSIZIPOST MUSIZIPOST MUSIZIPOST
@BimkubwaOthman
2 ай бұрын
Sasa mtambue mna shims mpaka mbele ya mungu kwani mtu akesena kitu sitaki tuwe waekewa
@wemakalama6458
2 ай бұрын
Media zengine za hovyo sana inahaja gani muweke picha zake namwenyewe ameshasema mitihani kweli
@suleimanrashid3918
2 ай бұрын
Mungu amlaani huyo alieka picha yake asiopenda kuoneshwa wakati anazo picha alizo jistir mungu akulaa mpuuzi ww
@FatmaMohammed-ry8yo
2 ай бұрын
Nashangaa vyombo mshapata taarifa mnapost nn
@FredymaswiMwita-oj6gv
2 ай бұрын
hongera dada...heshimu mollah wako
@swalehejuma6611
2 ай бұрын
Kumweka dada yetu na hayo mapicha ambayo amekataa mnaonekana jinsi gani mlivyokubuhu katika ushetani, Allah awahukumu
@FahmiNassor
2 ай бұрын
Mtu amekataa picha zake za nusu utupu zisiwekwe anajutia makosa yake sasa nyinyi mnamfanyia kusudi kuweka picha zake yani nyinyi watangazaji ni mashetani ila juweni kila mkijaribu kumdhalilisha kwa kipindi hiki mjue mungu na malaika wake wanawalani acheni kuweka picha zake
@UmmyLubna-rp6rv
2 ай бұрын
Izi media zinakua hazifurahii mageuzi ya kiroho kwa wasanii.Wanapenda kila siku waumasi Mungu ili wao wafaidike..mtu kishasema hataki bado mnaendelea kumueka uchi.
@MwanatumuJumaa-rj4fg
2 ай бұрын
Hio ndio nguvu ya shaitan ilipo
@yasinkishama6455
2 ай бұрын
Nashangaa sana mtu alie omba hadi kubembeleza na hadi kukaribia kulia! Kubwa zaidi ni kumuachia mungu kwamba mimi nimeacha atake tuma picha zangu atajuana na mungu wake bado mnaendelea kutuma na kuonyesha hizo picha!?. Ebu kuweni waungwana kuweni wastaarabu msitume picha zake kawaomba kawabembeleza!!. Jamani hii ni dunia inatudanganya tu.
@Hajer-be2kh
2 ай бұрын
Sasa picha ya uchi za nin mbona alizojistiri zipo😢
@ubuntubantu2404
2 ай бұрын
Zote ni picha zake, ama huyo sio yeye?
@doctorukia
2 ай бұрын
She made a simple request. Kasema picha zake za uchi mzizipost na ndio kwanza mnazipost. Please respect her wishes.
@FidkimKim
2 ай бұрын
Fidd Kim✌️👁️✌️✨ Jicho la 3 ❤️🤍💯
@zaramuneer3257
2 ай бұрын
Yaani natamani kwenda kuangalia majanga Ila naogopa😢
@ntakilutandato
2 ай бұрын
SNURA NI HARD TARGET KUBWA YA SHETANI..KWELI DUNIA NI UWANJA WA HADAA.
@ains1122
2 ай бұрын
Wasafi mnakosea naomba muitoe hio picha ya snura madamu mwenyewe kawaimba naona ni bora kusheshimu matakwa yake
@masalakulwa7601
2 ай бұрын
we naye tuondokee hapa
@IbniAbbas-yz3kt
2 ай бұрын
@@masalakulwa7601masheitwan huwa hamkosagi!Mutu akiandika jambo jema nyie mna chafukwaa!Kweli kwenye hii dunia kuna viumbe wa ajabu sana!😢
@ubuntubantu2404
2 ай бұрын
Hutaki tuone chura lake alokuwa anasifia?
@nailaomar4810
2 ай бұрын
Subahna Allah
@USWAZITVONLINE
2 ай бұрын
Kwani hizo picha mitandaoni hazipo mpaka Wasafi wazitoe, Kama ana uwezo akazifute kwenye mitandao
@ferouzkeis6994
2 ай бұрын
Mbona mnapost apo picha alokuwa hataki zipostiwe
@SaadaAlsheibani
2 ай бұрын
Jamani kasema hataki picha zake kupostiwa na nyimbo
@fauziaomar4661
2 ай бұрын
Hivi snura akiwachulia hatua atakuwa amekosea? Maana ameshakataa picha zake kuwekwa mitandaoni
@farhannahkulishwaburekunam5360
2 ай бұрын
Ni kweli mtu ak8kwambia sitaki uweke pich au nyimbo kwa hazina heshima n yeye amerudi kwa mola wake halafu wewe unamfanyi kusudi unaweka basi dhambi utabeba wewe uliofanya basi msifanye mtabebe mzigo wake mwenyewe sio yeye tena ni jambo nzuri
@JonathanMgaiwa
2 ай бұрын
Mwacheni jamani kumzungumzia mambo yaliyopita, amebadilika
@saidabdurahman9631
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@badruahmad4277
2 ай бұрын
Hiyo,ametubu,kwakila anayeweka picha zake ,zilizokuwanje na Siberia za uislamu basi dhima ni yakwake siyo yy,ameshamaliza,ss endeleeni kuposti mapicha Picha ya kichetani
@zerochanneltanzania3797
2 ай бұрын
Sio mola wake! “Mola wetu sote”
@RamadhaniMohamedi-de2vc
2 ай бұрын
Munatafuta kiki kuweka iyo picha au munajifanya amnazo kwasababu yy ameshasema lake limekwisha ila sio vyema kufanya kitu mtu alicho kikataa.
@farahali6041
2 ай бұрын
Munapenda sana sifa amesema hstaki ndio mnapost
@FahdIbnyussuf
2 ай бұрын
Wasafi wendaazimu mtu ashasema hataki
@rahoumkhatry3758
2 ай бұрын
Kweli mataahira
@naasibabuu
2 ай бұрын
hata picha zake siamekataza au mmelewa
@saidomary6414
2 ай бұрын
Aliwaomba msiweke tena picha zake za uchi
@salimbilali5174
2 ай бұрын
Mlichoambiwa hamjaskia..
@AllyShaban-ms7ot
2 ай бұрын
Wasenge nyinyi picha za nn
@FahdIbnyussuf
2 ай бұрын
Watu wanapenda uwe muovu km wao ndo man wakaeka pic ilhali aonekane chizi km wao
@HabiibAlly-dd4ww
2 ай бұрын
MSIWEKE MAPICHA NA NYIMBO ZAKE
@b-creative4662
2 ай бұрын
Mambo mengine bwana Snura si alitoa nyimbo mbili tu Majanga na Chura au mi ndo sielewi!?
@MmangaMmanga-
2 ай бұрын
Basi heshimuni ombi lake ondoeni picha zake za uchi
@Abuu-bakarAbdullah
2 ай бұрын
Jamani hizo picha msiwekee hataki
@MohamedShaaban-p8b
2 ай бұрын
Msimueke mwenzenu picha zake za utupu mnamliza jamani amejua alicho kosea
@BINOSEMBOGA002
2 ай бұрын
Alafu mbona muna mambo ya ajabu si kashakataa kum post post picha zake
@paulojohn-bh2vz
2 ай бұрын
Hii ndy shidah ya watanzania sijui mfahamishewe vp duh mnakeraaah
@SirkingJr
2 ай бұрын
Jarbun kuwa waelewa, toen iyo picha
@abdalahaby3658
2 ай бұрын
Kama mnamkomoa tena kuweka hiyo mipicha...
@MwanaidiRulimbiye-y7q
2 ай бұрын
Sumalee level nyingine kabisa alipotoka ametoka hajageuka nyuma
@MariamIbrahim-h7p
2 ай бұрын
Slishakatar kiwekwae mipicha ya ajabu
@daudimaniseli759
Ай бұрын
HIZO PICHA ACHENI UJEURI ZITOWENI ALISHA SEMA HAZITAKI KIPI HAMKIELEW
@mohamedkipara1315
2 ай бұрын
Ataki pivha zake zitoke hamumuelewi
@HusnaSalum-p1q
2 ай бұрын
Ushetani umewatawala mwenzenu anatubu toeni hayo mapicha
@maryamtanzania9743
2 ай бұрын
Ameewaomba msipositi picha kwa sababu hazina maadili nyie mnapositi
@jeno_khan
2 ай бұрын
ay sw😅
@maimunamudiri2616
2 ай бұрын
Snura wachukulie hatua mama hao wajinga hawana akili 😢😢😢
@hussenyahaya8675
2 ай бұрын
Toeni hzo picha pumbavu nyie
@Rizikialiamechannel763
2 ай бұрын
Nyie wasafi hamna akili na team yngu ila leo nawatoa akili nyote kasema msipost picha zake mbya mbona hamuelewi nyie
@AdelinaCharles-oy9ug
2 ай бұрын
Aludishe namali alizo chuma kwenye mziki
@rayisadesigns2646
2 ай бұрын
We umeona hilo tu au siyo?! au ndiyo akuletee wewe 😂😂😂😂
@agnesjohn9382
2 ай бұрын
@@rayisadesigns2646😂😂😂 akili hana huyo
@HabibuUrasa
2 ай бұрын
ALLAH ni mkubwa leo hii dunia imeshatambua kuwa miziki ni kazi za shetani. ambaye hataacha basi ajandae na jahannam km unabisha kuwa hakuna adhabu basi kataa usife
@HASSANBAKARI-q9c
2 ай бұрын
nyie ambao mnasema wasitumie picha izi,,ni za nani kwani?au zitumike zipi??? Ibada za mungu tu hamfanyi na mnajua kuna kufa ndo mtamfata snura alichosema
@wemakalama6458
2 ай бұрын
Kwani lazima zitumike tumia akili life is too short👈
@jumamahege4195
2 ай бұрын
Hivi nyie wasafi ni minaakali gani, mbona hamuna adabu bata nyie
@fatmafatu1128
2 ай бұрын
Kwahiyo nyinyi ni matahira ama? Kwanini mposti picture zake mbaya nakawakataza au nyinyi mnataka kila mtu abaki kwenye ushetani kama nyie
@abdurashidinasorodini
2 ай бұрын
Wapumbafu kabisa nyie tena shenzi zenu wajinga mso na akili sasa hizi picha mnazo ziweka mnamaana gani wajinga nyie machizi msojielewa mbwakoko
@AllyShaban-ms7ot
2 ай бұрын
Wajinga nyinyi
@fauziaomar4661
2 ай бұрын
Hivi snura akiwachulia hatua atakuwa amekosea? Maana ameshakataa picha zake kuwekwa mitandaoni
Пікірлер: 98